Lemay's supplements

Lemay's supplements

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Lemay's supplements, Health/Beauty, Arusha.

Lemay’s Supplements 💊🌿
Suluhisho la matatizo ya afya 💪
Virutubisho HALISI vya BF Suma Tanzania 🇹🇿
🦴 Mifupa & viungo | 🩺 Afya kwa ujumla
📦 Huduma ya haraka
📞 Wasiliana: 0628 062 258

27/12/2025
27/12/2025

anakumbana na usumbufu wa kwenda chooni mara kwa mara, kuamka usiku au maumivu yanayohusiana na tezi dume (prostate), huu ni wakati wako 🌿

ProstanRelax Capsules zimetengenezwa kusaidia afya ya prostate kwa njia salama na ya asili. Habari njema zaidi ni kwamba kuna OFA MAALUM kwa sasa! 💥

👉 Punguza usumbufu
👉 Lala kwa amani bila kuamka mara kwa mara
👉 Jali afya yako mapema

Usisubiri hali iwe mbaya. Chukua hatua leo kwa afya yako ya baadaye.
📩 Wasiliana nasi sasa upate punguzo hili kabla halijaisha!

18/04/2025

JUICE YENYE MCHANGANYIKO WA PAPAI, CHUNGWA, EMBE, NA MAJI YA N**I INA FAIDA NYINGI SANA.

Mchanganyiko wa papa (papai), chungwa, embe, na maji ya n**i una faida nyingi mwilini:

Huimarisha kinga ya mwili – Chungwa, embe na papai vina vitamini C nyingi.

Huboresha usagaji wa chakula – Papai lina enzyme ya papain inayosaidia kumeng’enya chakula.

Huondoa sumu mwilini (detox) – Maji ya n**i husafisha figo na kusaidia mwili kutoa sumu.

Huongeza maji mwilini (hydration) – Maji ya n**i na matunda yana maji mengi yanayozuia upungufu wa maji.

Hulinda ngozi na macho – Embe na papai vina vitamini A na antioxidants kwa ajili ya ngozi na macho.

Husaidia mfumo wa mmeng’enyo – Nyuzinyuzi kutoka kwa matunda haya huboresha choo na kumeng’enya vizuri chakula.

Kwa ushauri zaidi juu ya lishe mbalimbali wasiliana nasi kwa simu 0747622258
Ni mchanganyiko bora kwa afya ya kila siku. Unataka nitengeneze juisi au smoothie recipe ya haya?

31/01/2025

Celebrating my 1st year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. 🙏🤗🎉

19/11/2024

Magonjwa ya mifupa na maungio yana sababishwa na vitu vingi sana ikiwemo

Ajali
Aina za ukaaji hasa ofisin
Kuumia kwa namna moja ama nyingine na mda mwingine unaweza usijue
Mazoezi mazito
Ulaji mbaya wenye kuleta mkusanyiko wa uric acid na kupunguza uzalishaji wa ute ute kwenye joints
Kuendesha gari masafa marefu mara kw maara

Zipo athari nyingi mtu anapata akiwa na matatizo ya mifupa na maungio k**a

Ganzi
Misuli kuwaka moto
Uchovu
Kudhoofika kw mifumo mingine km upungufu wa nguvu za kiume na hormone imbalance, macho, nk

Sasa basi acha kuendelea kuteseka matatizo yote ya mifupa na maungio yanatibika na virutubisho lishe bora kutoka marekani

Wasiliana nami mr moh mriri mtalamu wa afya na tiba lishe

call 0628 062 258

29/06/2024
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Arusha