AFYA Care

AFYA Care

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA Care, Health/Beauty, kimara stop over, Dar es Salaam.

01/07/2026

FAIDA ZA KUTUMIA KARANGA KWA MWANAUME NA MWANAMKE

Karanga ni chakula chenye virutubisho vingi k**a protini, mafuta yenye afya, nyuzinyuzi, vitamini E, magnesiamu na zinki.

‎FAIDA KWA UPANDE WA MWANAUME
‎🔶Husaidia kuboresha afya ya moyo na mzunguko wa damu.

‎🔶Huchangia uzalishaji wa homoni za kiume kutokana na madini ya zinki.

‎🔶Husaidia kuongeza nguvu na stamina kwa kuwa zina mafuta yenye afya na protini.

‎🔶Huchangia ubora wa mbegu za kiume o(shahawa) ikiwa ni sehemu ya lishe bora kwa ujumla.

‎🔶Husaidia kujenga na kutunza misuli.

‎FAIDA KWA UPANDE WA MWANAMKE
‎🔶Husaidia afya ya ngozi na nywele kutokana na vitamini E.

‎🔶Huchangia afya ya mifupa kwa kuwa na magnesiamu na fosforasi.

‎🔶Husaidia kushiba kwa muda mrefu, hivyo inaweza kusaidia kudhibiti uzito ikiliwa kwa kiasi.

‎🔶Huchangia afya ya moyo na kupunguza cholesterol mbaya (LDL).

‎🔶Husaidia mwili kupata virutubisho muhimu wakati wa ujauzito, ikiwa ni pamoja na folate, ambayo ni muhimu kwa ukuaji wa mtoto.

‎FAIDA KWA PANDE ZOTE MBILI (KIUME&KIKE)
‎🔶Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu zinapoliwa kwa kiasi, jambo ambalo linaweza kuwafaa hata watu wenye kisukari.

‎🔶Hupunguza hatari ya magonjwa ya moyo.

‎🔶Huboresha mmeng'enyo wa chakula kutokana na nyuzinyuzi.

‎🔶Hutoa nishati ya kudumu.

‎📌📌 Karanga zina kalori nyingi, hivyo ni vyema kula kwa kiasi (takribani kiganja kimoja kwa siku). Pia epuka karanga zilizo na chumvi nyingi au zilizokaangwa kwa mafuta mengi.

Wasiliana nasi kwa ushauri na tiba 0765343998

30/06/2026

MADHARA YA KUTOKUTIBU PID, UTI Na FANGASI

‎🔶Maambukizi kuongezeka na kuwa
‎ makali.
‎Maumivu makali wakati wa kukojoa au kujamiiana.

‎🔶Maambukizi kufika kwenye figo (hasa kwa UTI), hali ambayo inaweza kuwa hatari ikiwa haitatibiwa.

‎🔶Harufu mbaya na uchafu usio wa kawaida kutoka sehemu za siri.

‎🔶Miwasho na vidonda kutokana na kujikuna mara kwa mara.

‎🔶Maambukizi kujirudia mara kwa mara ikiwa chanzo hakitatibiwa kikamilifu.

‎🔶Kuongezeka kwa hatari ya kupata maambukizi mengine, ikiwemo baadhi ya magonjwa ya zinaa.

Wasiliana nasi kwa ushauri na tiba 0765343998

08/06/2026

AFYA YA UZAZI
#

04/06/2026

MADHARA YAKUISHI NA MAAMBUKIZI UKENI NA KWENYE KIZAZI KWA MUDA MREFU…

‎♦️ U.t.i sugu (maambukizi ya muda mrefu ya njia ya mkojo k**a Urinary Tract Infection) ukipuuzwa unaweza kuathiri mwili kwa kiwango kikubwa. Haya ndiyo matatizo 7 muhimu yanayoweza kumpata mwanamke:

‎♦️ Maumivu ya mara kwa mara wakati wa kukojoa;
‎Kuwashwa na maumivu huendelea kila unapokojoa, hali inayosumbua sana maisha ya kila siku.

‎♦️ Maumivu ya chini ya tumbo na mgongo;
‎Maambukizi yakizidi huleta maumivu ya tumbo la chini na hata mgongo wa chini.

‎♦️ Maambukizi kupanda hadi figo;
‎Hii huitwa Kidney Infection
‎Ni hatari zaidi na inaweza kusababisha homa kali, kutetemeka na hali mbaya ya afya.

‎♦️ Homa na uchovu wa mwili;
‎Mwili unapambana na maambukizi muda mrefu, husababisha uchovu, joto la mwili kupanda na kujisikia dhaifu.

‎♦️ Mkojo kuwa na damu au harufu kali;
‎Unaweza kuona mabadiliko ya rangi ya mkojo au harufu mbaya isiyo ya kawaida.

‎♦️ Kuathiri maisha ya kimapenzi;
‎Maumivu na usumbufu huweza kufanya tendo la ndoa

‎Kwa msaada wa ushauri na tiba Wasiliana nasi 0765343998

01/06/2026

Wanawake Wengi wakipata muwasho au uchafu ukeni hukimbilia kununua dawa za fangasi moja kwa moja.

‎Lakini hapa ndipo wengi wanapokosea.

‎Sio kila MUWASHO NI FANGASI.

‎Sio kila uchafu wa ukeni ni fangasi. Na sio kila dawa unayonunua dukani ndiyo suluhisho la tatizo lako.

‎Ndiyo maana wanawake wengi hutumia dawa leo, wanapata nafuu kidogo… halafu baada ya wiki chache tatizo linarudi tena.
‎.

‎Dalili zinazoweza kuonekana kwa fangasi ni:
‎✅ Muwasho mkali ukeni
‎✅ Maumivu au kuwaka wakati wa kukojoa
‎✅ Uwekundu au kuvimba sehemu za siri
‎✅ Uchafu mzito mweupe k**a maziwa yaliyoganda

‎Lakini kumbuka, dalili hizi zinaweza kufanana pia na PID, bacterial infection au changamoto nyingine za uzazi.

‎K**a fangasi inajirudia mara kwa mara, hiyo ni ishara kwamba kuna CHANZO CHA NDANI BADO HAKIJAREKEBISHWA vizuri.

‎Ndiyo maana tiba sahihi haipaswi kuangalia dalili pekee... Inapaswa kuangalia kwanini tatizo linaendelea kurudi.

‎Wanawake wengi ninaosaidia huwa walishatumia dawa nyingi kabla,

‎... lakini walipoanza kurekebisha chanzo cha tatizo na afya ya mfumo mzima wa uzazi, ndipo walipoanza kuona nafuu ya kudumu...📌

‎Usizoe kuishi na:
‎❌ Muwasho wa mara kwa mara
‎❌ Uchafu unaorudia
‎❌ Harufu isiyo ya kawaida
‎❌ Maumivu wakati wa tendo

‎Mwili wako unajaribu kukuambia kuna kitu kinahitaji kushughulikiwa kwa usahihi.

‎Je, wewe fangasi au muwasho wa ukeni umewahi kukurudia mara ngapi ndani ya mwaka mmoja? 👇🏽💬

‎📲 Nitumie Ujumbe mfupi Kupitia Wasap: +255(765343998 ) AFYA CARE ushauri binafsi na Msaada Zaidi.


#

29/05/2026

AFYA YA UZAZI KWA MWANAMKE

18/05/2026

‎“Nilikuwa nakonda kila siku… nikidhani ni kawaida. 😔
‎Kiungulia, tumbo kuwaka moto, gesi na kukosa hamu ya kula vilikuwa sehemu ya maisha yangu kutokana na Acid Reflux.

‎Nilijaribu vitu vingi bila mafanikio ya kudumu mpaka nilipopata mwongozo sahihi wa kitaalamu na kushauriwa kutumia Probiotics kutoka afyacare

‎Taratibu nilianza kuona mabadiliko…
‎✅ Kiungulia kupungua
‎✅ Mfumo wa mmeng’enyo kuwa mzuri
‎✅ Gesi kupungua
‎✅ Hamu ya kula kurudi
‎✅ Mwili kuanza kurudi kwenye hali nzuri

‎Watu wengi wanahangaika na Acid Reflux bila kujua kuwa afya ya utumbo ina mchango mkubwa sana kwenye tatizo hili.

‎Usipuuzie dalili za mwili wako. Pata ushauri sahihi mapema kabla tatizo halijakuwa kubwa zaidi. 🙏

‎📩 K**a unapitia changamoto ya Acid Reflux, H.Pylori, tumbo kuwaka moto au gesi nyingi, Andika neno MSAADA upate mwongozo.

Wasiliana nasi kwa ushauri na tiba sahihi 0765343998

15/05/2026

DALILI ZA MVURUGIKO WA HORMONI ZA UZAZI
(Hormonal Imbalance)

Kutokuwa sawa kwa homoni (hormonal imbalance) katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kunaweza kuonyesha dalili mbalimbali, kulingana na homoni gani imeathirika (mfano estrogen, progesterone, prolactin, au homoni za tezi):

DALILI ZAKE
1.Hedhi kuwa irregular:
kuchelewa sana
kuja mara kwa mara
kukosa kabisa
kutoka damu nyingi au kidogo sana
Maumivu makali wakati wa hedhi

2.Kushindwa kupata ujauzito au kuchelewa kushika mimba

3.Kutokwa na damu kati ya hedhi

4.Kubadilika kwa uzito bila sababu wazi

5.kuongezeka sana au kupungua

6.Chunusi nyingi au ngozi kuwa na mafuta kupita kiasi

7.Nywele kuongezeka sehemu zisizo kawaida
kidevuni, kifua, tumboni
(huonekana sana kwenye Polycystic O***y Syndrome)

8.Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa

9.Uchovu wa mara kwa mara

10.Mood swings:hasira,huzuni ,anxiety

9.Kukosa usingizi vizuri

10.Kutokwa maziwa kwenye matiti bila kunyonyesha

11.Uke kuwa mkavu au maumivu wakati wa tendo la ndoa.

UKIWA NA DALILI HIZO NENDA HOSPITALI KWA MATIBABU AU USHAURI.

Wasiliana nasi kwa ushauri na tiba sahihi 0765343998

13/05/2026

Natural Cleanser ni bidhaa ya usafi wa mwanamke inayosaidia kutunza maeneo ya siri kwa upole na usafi wa kila siku.

♦️ Kusaidia kuondoa uchafu na jasho sehemu za siri
♦️ Kupunguza harufu mbaya
♦️ Kusaidia kuzuia maambukizi yanayotokana na uchafu
♦️ Kusaidia kuleta hali ya freshness siku nzima
♦️ Kusaidia ngozi kujisikia laini na safi
♦️ Kusaidia kuweka uwiano mzuri wa usafi wa uke
♦️ Kutoa faraja na kujiamini kwa mwanamke

Wasiliana nasi kwa ushauri na tiba sahihi 0765343998

04/05/2026

⚠️ Povu linalodumu kwa muda mrefu
‎K**a povu halipotei haraka, linaweza kuashiria uwepo wa protini nyingi kwenye mkojo (tatizo la figo).

‎✅Maumivu wakati wa kukojoa
‎Hii inaweza kuwa dalili ya maambukizi ya njia ya mkojo (UTI).

‎✅Kukojoa mara kwa mara
‎Hasa ukiwa na hisia ya kuwaka au kuungua.
‎Harufu kali au mabadiliko ya rangi ya mkojo
‎Inaweza kuonyesha maambukizi au upungufu wa maji mwilini.

‎✅Uvimbe wa mwili (miguu, uso au mikono)
‎Dalili muhimu ya tatizo la figo kutokana na kupoteza protini.

‎✅Maumivu ya mgongo chini (eneo la figo)
‎Huashiria matatizo ya figo au maambukizi.

‎✅Uchovu usioelezeka
‎Hasa k**a figo hazifanyi kazi vizuri.

‎✅Kiu kupita kiasi
‎Inaweza kuhusishwa na kisukari au upungufu wa maji.

‎⚠️Sababu zinazoweza kusababisha hali hii
‎♦️ Upungufu wa maji mwilini (dehydration)
‎♦️Protini nyingi kwenye mkojo (proteinuria)
‎♦️Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI)
‎♦️Magonjwa ya figo
‎♦️Kisukari kisichodhibitiwa
‎♦️Nitafute kwa Tiba na ushauri wa kitaalamu

Wasiliana nasi kwa ushauri na tiba sahihi 0765343998

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Kimara Stop Over
Dar Es Salaam