Jenga Uhai
☀️Nakusaidia kuelewa na kudhibiti sukari mwilini. Lishe | Mazoezi | Mtindo wa Maisha |Virutubisho. #0763490384
📗 Kitabu SIRI ZA KUISHI BILA KISUKARI👇
25/08/2026
Kuna watu hawaujui huu mlo...,
24/08/2026
Nani mwingine kupangilia diet kwake anaona ni mateso😅🙆
Kwa ushauri na muongozo mzurii juu ya afya yako
Wasiliana kwa namba 0763490384.
Elimu ya Afya na Lishe
Endelea kukesha kutwa usiku bila kulala...
Ni hatarii kuelekea kwenye maradhi ya moyo na kisukari..
Kwa ushauri wa karibu juu ya Hali yako kiafya..
Wasiliana kwa namba 0763490384
Itabirie afya yako Mema..😅
24/08/2026
K**a unaanza kupata tumbo kubwa, usifikiri ni suala la mwonekano tu… kuna mambo mengine ya afya ambayo mwanaume anatakiwa kuyaangalia..licha ya afya yako kuingia kwenye hatarii za Maradhi mengi yasio ambukiza bado kuna kesi nyingi zinatokea chumbani huko😓
Nipo hapa kwa ushauri wa kina juu ya Hali yako kiafya... Wasiliana kwa namba 0763490384.
23/08/2026
Kisukari hakianzi siku unayopewa majibu ya Hospitali, Mara nyingi huanza taratibu, kupitia aina ya lishe, mazoea na mtindo wa maisha tunaoishi kila siku.
Ndiyo maana ni muhimu kujifunza mapema kabla tatizo halijawa kubwa.
SIRI ZA KUISHI BILA KISUKARI ni kitabu kinachokupa mwongozo wa vitendo kuhusu:
• Namna ya kuboresha lishe yako kila siku.
• Vyakula vinavyofaa kula na vile vya kupunguza.
• Mbinu za kujenga mtindo bora wa maisha.
• Maarifa ya kukusaidia kufanya maamuzi sahihi kwa afya yako.
Ni kurasa 133 zenye maarifa rahisi, yanayoeleweka na yanayoweza kutumika moja kwa moja katika maisha ya kila siku.
Usisubiri mpaka uambiwe una kisukari ndipo uanze kutafuta maarifa kuhusu namna ya kuilinda afya yako.
NAKALA PRINTED — Unapata kwa Tsh 40,000/=
Na PDF — Tsh 15,500/=
Unaweza kuagiza popote ulipo Tanzania.
Na baada ya kupata kitabu, utapata pia BONUS ya ushauri wa BURE na ufuatiliaji wa karibu ili kukusaidia kuelewa na kutumia vizuri maarifa utakayojifunza.
Bofya LINK sasa kuagiza nakala yako.
Au piga simu/WhatsApp:
*0763 490 384*
Anza kujifunza mapema na uwasaidie wengine pia.
23/08/2026
Mambo yalivyokua next slide..🙆
Kizazi bado kunahitaji elimu
22/08/2026
💫💫💫💫
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
