Jenga Uhai

Jenga Uhai

Share

☀️Nakusaidia kuelewa na kudhibiti sukari mwilini. Lishe | Mazoezi | Mtindo wa Maisha |Virutubisho. #0763490384
📗 Kitabu SIRI ZA KUISHI BILA KISUKARI👇

25/08/2026

Kuna watu hawaujui huu mlo...,

24/08/2026

Nani mwingine kupangilia diet kwake anaona ni mateso😅🙆
Kwa ushauri na muongozo mzurii juu ya afya yako
Wasiliana kwa namba 0763490384.
Elimu ya Afya na Lishe

24/08/2026

Endelea kukesha kutwa usiku bila kulala...
Ni hatarii kuelekea kwenye maradhi ya moyo na kisukari..

Kwa ushauri wa karibu juu ya Hali yako kiafya..
Wasiliana kwa namba 0763490384

24/08/2026

Itabirie afya yako Mema..😅

24/08/2026

K**a unaanza kupata tumbo kubwa, usifikiri ni suala la mwonekano tu… kuna mambo mengine ya afya ambayo mwanaume anatakiwa kuyaangalia..licha ya afya yako kuingia kwenye hatarii za Maradhi mengi yasio ambukiza bado kuna kesi nyingi zinatokea chumbani huko😓

Nipo hapa kwa ushauri wa kina juu ya Hali yako kiafya... Wasiliana kwa namba 0763490384.

23/08/2026

Kisukari hakianzi siku unayopewa majibu ya Hospitali, Mara nyingi huanza taratibu, kupitia aina ya lishe, mazoea na mtindo wa maisha tunaoishi kila siku.
Ndiyo maana ni muhimu kujifunza mapema kabla tatizo halijawa kubwa.
SIRI ZA KUISHI BILA KISUKARI ni kitabu kinachokupa mwongozo wa vitendo kuhusu:
• Namna ya kuboresha lishe yako kila siku.
• Vyakula vinavyofaa kula na vile vya kupunguza.
• Mbinu za kujenga mtindo bora wa maisha.
• Maarifa ya kukusaidia kufanya maamuzi sahihi kwa afya yako.

Ni kurasa 133 zenye maarifa rahisi, yanayoeleweka na yanayoweza kutumika moja kwa moja katika maisha ya kila siku.
Usisubiri mpaka uambiwe una kisukari ndipo uanze kutafuta maarifa kuhusu namna ya kuilinda afya yako.

NAKALA PRINTED — Unapata kwa Tsh 40,000/=
Na PDF — Tsh 15,500/=
Unaweza kuagiza popote ulipo Tanzania.
Na baada ya kupata kitabu, utapata pia BONUS ya ushauri wa BURE na ufuatiliaji wa karibu ili kukusaidia kuelewa na kutumia vizuri maarifa utakayojifunza.

Bofya LINK sasa kuagiza nakala yako.
Au piga simu/WhatsApp:
*0763 490 384*
Anza kujifunza mapema na uwasaidie wengine pia.

Photos from Jenga Uhai's post 23/08/2026

Mambo yalivyokua next slide..🙆
Kizazi bado kunahitaji elimu

Photos from Jenga Uhai's post 22/08/2026

💫💫💫💫

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00