Mkombozi Health Center3
TUNATIBU CHANZO CHA TATIZO NA SIO DALILI PEKE YAKE
21/10/2022
Habari za uzima wapendwa
nimeandaa group watsap kutoa elimu ya afya pia ushauri na suhulisho la magonjwa mbalimbali
k**a wa elimu karibu sana kwa group
NB; WANAWAKE TU SIO WANAUME
https://chat.whatsapp.com/CEXU6g7P4SqHdzswFqeOM4
19/10/2022
Kwanini utumie MAMA FERTILITY KIT?
hii ni special package kwa mama anatarajia kupata ujauzito
Kazi yake :-
Kusawazisha homoni za uzazi
Kupevusha mayai kwawakati sahihi
Kuondoa UVIMBE kwenye kizazi(FIBRODS)
Kusafisha mfumo mzma wa uzazi
Kuondoa madhara kwa walio tumia dawa za uzazi wampango au P2
Kutibu na kukinga PID na UTI SUGU na FUNGUS
Na kuandaa mji wa mimba kupokea mtoto
Utatumia kwamda wa sku 40
14/10/2022
Nimeteseka sana na tatzo la kiharusi (stroke) mwaka 2019 ilinik**ata nikapelekwa Mhimbili wiki mbili na nkiwa sjitambui kabisa. Nlipo pata nafuu wakaniridisha nyumbani, nkaanza kutumia virutubisho lishe kwasababu nliambiwa hospital mshipa umeziba na Hakuna Dawa ya kutibu tatzo hili baada yamda nlipata nafuu nikaweza kutembea wakininyanyua juu japo mwili haukua na nguvu, nimeendelea na hali hii mpaka 2021 mwishoni presha ikawa imepanda na stroke nayo ikanishika kisawasawa skua najitambua mwezi pili 2022 nlipata kujitambua nikiwa mhimbili tena hapo nlijikatia tamaa kabisa ya kuishi tena
Sku moja mke wangu Alikuja na Kijana mmoja nakujitambulisha yeye anatibu tatzo hili kwa kutumia seli shina kwamda mfupi nitaweza kupona nakunyanyuka, nikaanza tumia alikua akiniwekea chini ya ulimi kwakweli namshukuru Mungu baada ya wiki nkapata matumaini tena nakuruhusiwa kwenda nyumban na wiki tatu mbele nlikua nishaanza kutembea mwenyewe na kula mwenye na sasa tatzo limeisha kabisa
Nashukuru Mungu kwakukutana na MKOMBOZI kwa msaada alio nipatia ngependa na wengine watumie hii seli shina
Mpigie MKOMBOZI 0748366447
12/10/2022
Kiharusi (Stroke) Ni Ugonjwa Gani?
mwanzo wa kiharusi
Stroke Ni Nini?
Stroke au kiharusi ni tatizo linalotokea ghafla kwenye ubongo ambapo mtiririko wa damu kwenye eneo fulani la ubongo husitishwa ghafla au kupungua sana hivyo kusababisha eneo hilo la ubongo kukosa damu na virutubishi muhimu na seli za eneo hilo kuanza kufa. Hili linaweza kutokea pale mishipa ya damu ya kuelekea kwenye eneo hilo ikiziba au mishipa ndani ya ubongo katika eneo hilo kupasuka. Seli za ubongo za eneo hilo zikianza kufa kwa kukosa damu, shughuli zote zinazoendeshwa na eneo hilo la ubongo husimama kwa mfano kumbukumbu au misuli. Kiharusi ni ugonjwa wa dharura hivyo tiba inatakiwa ipatikane mapema iwezekanavyo. Kimsingi kiharusi huweza kumpata mtu ye yote wakati wo wote.
stroke
Kuna aina tatu za stroke; ischemic, hemorrhagic na TIA. Kundi la watu lililo kwenye hatari kubwa zaidi ya kuupata ugonjwa huu ni lile la watu wenye miili mikubwa, umri zaidi ya miaka 55, wenye historia ya ugonjwa huu kwenye familia zao, ambao hawafanyi mazoezi , wanaokunywa sana pombe au kutumia madawa haramu.
Kiharusi Husababishwa Na Nini?
Kila moja ya aina za stroke hapo juu inasababishwa na vitu tofauti.
Ischemic strokes, ndiyo aina ya stroke inayowaathiri watu wengi zaidi, asilimia 85 ya wagonjwa wa stroke hupatwa na aina hii ya stroke. Aina hii ya stroke husababishwa na kuziba kwa ateri (mishipa ya kusafirisha damu safi) zinazoelekea kwenye ubongo au kusinyaa kwa mishipa hiyo, hivyo kusababisha hali inayoitwa ischemia (upungufu mkubwa wa mtiririko wa damu).
stroke aina ya ischemic
Kuziba kwa mishipa ya damu hutokea baada ya damu kuganda ndani ya ateri zinazoeleka kwenye ubongo au katika maeneo ya mbali zaidi na kusukumwa kwenye mishipa yenye kipenyo kidogo ndani ya ubongo. Mishipa hii inaweza kuzibwa pia na mafuta yaliyoganda ndani ya ateri (plaque).
Hemorrhagic strokes, husababishwa na ateri ndani ya ubongo kuvuja damu au kupasuka. Damu hii iliyovuja huleta mgandamizo kwenye seli za ubongo na kuziharibu. Kupasuka kwa mishipa ya damu husababishwa na hypertension, trauma au dawa zinazofanya mishipa hii ya damu kupungua unene wake.
stroke aina ya hemorrhagic
Transient ischemic attack (TIA), hii ni tofauti na aina hizo mbili za stroke hapo juu kwani hapa mtiririko wa damu kuelekea kwenye ubongo huvurugwa kwa muda mfupi kwa sababu zile zile tulizozitaja hapo juu tulipozungumzia ischemic strokes. Stroke ya aina hii ni ishara ya kutokea strokes nyingine baadaye k**a hatua zinazostahili hazitachukuliwa.
Dalili Za Kiharusi (Stroke)
Ugonjwa wa stroke humpata mtu ghafla na dalili hutokea kwa muda mfupi sana. Dalili kuu za ugonjwa huu ni:
Kuchanganyikiwa, mtu akipata shida ya kuongea na kuelewa anachoambiwa
Maumivu ya kichwa yanakwenda pamoja na kupoteza fahamu kwa vipindi na kutapika
Ganzi katika viungo vya uso, mkono na mguu na hasa vikiwa vya upande mmoja wa mwili
Kupata shida ya kuona kwa jicho moja au yote
Kupata shida ya kutembea vikichanganyika na kizunguzungu na kukosa mpangilio wa matendo ya mwili
Athari za kiharusi zinaweza kuwa ni za muda mrefu. Kulingana na muda uliopita kabla ya kuugundua na kuutibu ugonjwa huu, mtu anaweza kupata ulemavu wa muda mfupi au wa kudumu. Pamoja na madhara ya stroke k**a yalivyoorodheshwa hapo juu, mgonjwa wa stroke anaweza pia kupata yafuatayo:
Msongo wa mawazo
Maumivu kwenye mikono na miguu yanayoongozeka baada ya viungo hivyo kufanya kazi au kutokea mabadiliko ya hali ya hewa.
Kupooza au udhaifu wa upande mmoja wa mwili
Kupata shida katika kufanya matendo ya kuonyesha hisia za mwili
Kushindwa kumudu matumizi ya kibofu cha mkojo au viungo vya njia ya haja kubwa
Tiba Za Stroke Na Namna Ya Kuzuia Stroke
Kwa vile aina kuu mbili za stroke, ischemic na hemorrhagic, kila moja ina chanzo kilicho tofauti, kila moja inahitaji tiba iliyo tafauti na ya aina nyingine. Ni shurti kujua kwa uhakika ni aina gani ya stroke iliyotambuliwa kwani tiba ya stroke ya aina moja inaweza kuwa na madhara kwa stroke ya aina nyingine. kwa tiba wasiliana na DR MKOMBOZI 0627001150
12/10/2022
Damu ya Hedhi kuwa mabonge.
Mwanamke huingia kwenye hedhi kwa wastani wa muda wa siku 3 mpaka 7.
Katika kipindi hiki hutoa damu kwa wastani wa mililita 30–80 kwa siku, damu ikiwa nyekundu bila mabonge yoyote.
kiasi hiki cha damu ni sawa na kutumia pedi 2 mpaka 3 kwa siku bila kulowa damu chepechepe.
Kuna wakati mwanamke anaweza kupata damu yenye mabonge, yaani iliyoganda na nyeusi.
Hali hii huashiria kiasi cha damu anachopoteza ni kingi zaidi ya kawaida.Inaweza kuambatana na hedhi kuwa ndefu zaidi ya kawaida au damu kutoka nyingi zaidi ya kawaida.
Hali zifuatazo zinaweza kusababisha hili.
Sindano za kuzuia mimba.
Mimba kutoka.
Vitanzi vya kuzuia mimba.
(Intrauterine Contraceptive Devices ) Endometrial hyperplasia.
Maambukizi ya Via vya uzazi vya ndani (Pelvic Inflammatory Disease–PID).
Vivimbe kwenye ukuta wa
mji wa uzazi (endometrial polyps ).
Mabonge kwenye mji wa.mimba
(uterine fibroids ).
Saratani ya ukuta wa mji wa uzazi, mji wa uzazi au shingo ya uzazi.
kwa Tiba zilizoandaliwa kitaalam,
Wasiliana na Dr mMKOMBOZI hapa 0627001150
12/10/2022
CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;
- Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
- Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
- Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
- Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
- Kisukari
- Kuwa na mawazo na wasiwasi
- Matumizi ya madawa mbalimbali
- Umri hasa wazee
- Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
- Kuwa na tatizo la kibofu
- Tabia za kujichua kwa mda mrefu ( Punyeto )
- Kutopata usingizi kamili
- Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a
- Kuwahi kufika kileleni
- Kukosa hamu ya mapenzi
- Kushindwa kurudia tendo la ndoa
- Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
- Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
- Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
- Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
- Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku
- Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
- Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo, punguza unene na mengine
- Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidi
- Balansi uzito wako
- Usivute sigara
- Punguza au acha kunywa pombe na mawazo
- Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
- Acha kupiga punyeto
- Usitumie dawa zenye kemikali nyingi huathiri mfumo wa uzazi
- Kunywa maji ya kutosha
Dawa Ya kutibu na Kuondoa Matatizo ya nguvu za kiume ipo.
MALE POWDER. Dawa Ya Nguvu Za Kiume.
Dawa Hii Ni nzuri sana na Inatibu Tatizo.
Kuwahi kumaliza
Kuimarisha Misuli
Kushindwa kurudia tendo
Kuongeza wingi wa Manii
Kutibu Athari Zote za Punyeto
dawa ipo full dozi 240000
Dar es salaam ,mwenge mpakani center 0627001150
12/10/2022
DALILI 12 ZA MWILI WENYE SUMU NYINGI
Kimsingi ni Kwamba tunaingiza Sumu nyingi saana Mwilini siku hizi kutokana na Mfumo Wa maisha tunaoishi. Hewa tuvayovuta Kuna Uchafuzi Mkubwa, Vyakula tunavyokula lakini pia Madawa ya Kisasa yana Kiwango cha Kemikali Fulani. Zifuatazo ni Dalili hizi....
1.Uzito uliozidi na Hautoki /Haupungui kirahisi Kwa kufanya Diet au Mazoezi (Ukipungua Unarudi tena Haraka)
2. Kuchoka Ovyo Kusikoelezeka.
3. Kukosa Usingizi (Kuwa na Stress hasa Usiku)
4. Kushuka Uwezo Wa Kufikiri
5. Maumivu Ya Kichwa Mara Kwa Mara.
6. Kuwa na Mood mbaya Mara Kwa Mara (Kukasirika Haraka)
7. Mwili kutoa Harufu mbaya. (Jasho Kali saana, mdomo au Kutoa Choo Chenye Harufu Kali kuliko Kawaida.
8. Kupata Choo Kigumu (Kukosa Choo Kwa Siku Kadhaa) au kupata Mara moja Kwa siku nzima wakati umekula zaidi ya Mara 2.
9. Maumivu ya Misuli yasiyoelezeka.
10. Ngozi Kukosa Nuru
11. Kuwa Sensitive saana na Harufu na Kuhisi Harufu nyingi zinakuumiza
12. Kuwa na Hamu kubwa ya Vyakula hasa vyenye Mafuta Mengi, Sukari nyingi na Chumvi Nyingi.
*K**a Una Kati ya Dalili Kuanzia 3 kati ya Hizi tambua Kuwa Mwili wako unahitaji Kuondolewa Sumu. Tunahuduma nzuri saana ya Bidhaa Lishe ya Kuondoa Sumu Mwilini...Usipofanya Hivyo, Tarajia matatizo Makubwa kwenye afya yako siku za Usoni*
Tiba ipo virutubisho lishe utatumia kwamda mfupi kusafisha mwili wako
12/10/2022
UPUNGUFU WA MBEGU ZA KIUME.
Baadhi ya dalili za mwanaume MWENYE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME (ishara ya kushindwa KUTUNGISHA MIMBA)
- Kukosa Hamu ya s*x
- Kushindwa kusimamisha uume au anaweza zimamisha ndani ya muda mfupi tu yaana anashindwa ku mantain er****on.
- Kushindwa kukojoa
- Kushindwa kabisa kurudia round baada ya round moja
- Kukojoa manii mepesi sanaa au kidogo sana kuliko kawaida.
- Kukojoa kabla ya tendo au mara tu anapoanza tendo yaan premature ej*******on.
- MWANAUME anaweza pia AKAWA hana DALILI yeyote mbaya anasimamisha, anamwaga vizuri ila MBEGU ZIKAWA HAZINA UBORA au ZIKAWA CHACHE SANA.
●●●KIPIMO CHA MBEGU, S***M ANALYSIS.
Ni kipimo MUHIMU SANA kwa wanaume,
1. Ujazo, Volume atakiwa mwanamke akojoe Mili 1.5 mpaka mils 5 (mwanaume akikojoa manii kidogo sana sana au asipotoa kabisa ni tatizo.
2. WINGI WA MBEGU (zinatakiwa ziwe Million 15 mpaka MILLION 200 au Zaid kwenye Ml Moja), mbegu zikiwa chini ya Million 15 ni mbegu chanche, LOW S***M COUNT, OLIGOS***MIA inaweza kuwia ugumu mwanaume Huyu kumpa Mimba Mwanamke wake.
K**a mwanaume anashida ya uzalishaji wa mbegu chache, yaan OLIGOS***MIA, huwa tunawapa DAWA kuongeza uzalishaji wa MBEGU na wengi hu respond vizuri na kuweza kuwapa wanawake zao MIMBA.
Wasiliana na Dr MKOMBOZI Kupata tiba hii 0748366447 au 0627001150
12/10/2022
Niliwaambia wanangu wasihangaike tena na mimi juu ya tatizo langu kwani walitumia gharama nyingi sana kunisaidia ili niondokane na tatizo hili na nilifanyiwa upasuaji mara ya kwanza nkajua nimepona ila baada ya mda wa miaka miwili tatizo lilianza tena
Nilitumia kila aina ya njia kujaribu ili nipone lakini niliambulia kupoteza pesa zangu tu. Ndipo nilipo wazuia wanangu kuhangaika namie tena juu ya tatzo langu la kuvimba kwa tezi dume pamoja na presha
Binti yangu alikuja kuniambia sku moja kuwa kakutana na njia nyepesi yakuweza kutatua tatizo langu kwamda mfupi nitapona, nilimkatalia kabisa kwani nilijua atatoa pesa tu huko na nisipone nikijiangalia na umri wangu miaka 53 skuona haja tena
Aliendelea nisisitiza sana nkaona acha nijaribu kutumia ili nimlizishe tu
Skuamini kabisa wiki ya tatu tangu nitumie njia hii maumivu wakati wa haja ndogo yaliisha naskupata haja ndogo mara kwa mara tena wala mkojo kutoka kidogo kidogo,pia nilikua nakojoa mkojo umechanganyikana na damu, hata uvimbe kupungua kabisa na baada ya wiki kadhaa wakanipeleka hospitali kuangalia nikaambiwa sina tena tatizo lile, skuweza kuamini kwakweli namshukuru Mungu kwa msaada wa suhulisho hili
Ngelipenda nawazee wezangu waijue njia hii kwa kuwasiliana na huyu kijana alie weza kunisaidia kupitia njia hii nyepesi mpigieni awasaidie 0748366447/0627001150
MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA
(1)Usumbufu wa hedhi*_
(2)Kuumwa kichwa mara kwa mara*_
(3)Kizungu zungu*_
(4)Kichefu chefu*_
(5)Kuongezeka uzito usiokuwa na faida.*_
MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA
(1)Huathiri fuko la uzazi kwa ndani*_
(2)Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga*_
(3)Kuumwa kichwa mara kwa mara*_
(4)Kupata kichefu chefu*_
(5)Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake*_
(6)Kubadilisha mwenendo wa damu*_
(7)Kuliathiri ini kidogo*_
(8)Kupata kisukari*_
(9)Kupata ugonjwa wa moyo*_
(10)Kupooza upande mmoja wa mwili.*_
MADHARA YA KITANZI
(1)utokaji ovyo wa damu*_
(2)Kutoboka fuko la uzazi*_
(3)Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.*_
MADHARA YA KIJITI
(1)Husababisha kansa*_
(2)Kuchanganyikiwa akili*_
(3)Shinikizo la damu*_
(4)Maumivu makali wakat wa tendo la ndoa.*_
Kwa tiba za matatizo haya wasiliana nami 0627001150
11/10/2022
UGCare PLUS NI NINI
Ni Stemcell ambayo ina mchanganyiko wa mimea mbali mbali hasa majani ya Dokudami, majani ya Artichoke na honeydew melon na pia matunda ya Acai, blue green algae na ceramide.
Stemcell hii ilitengenezwa maalum kwaajili ya kuboresha afya ya mwili kwa kutibu magonjwa mbali mbali.
Stemcell hii hufanya mambo makuu manne muhimu katika mwili wa binadam ambayo ni;
o Kurekebisha seli zilizoharibika
o Kuimarisha kinga ya mwili
o Kurutubisha seli
o Kutoa sumu mwilini
DOKUDAMI
Dokudami ni mmea wa asili wa Kijapani unaotoa maua yenye majani mazuri yenye umbo la moyo na maua meupe ya kupendeza. Jina lake la kisayansi ni Houttuynia cordata, pia inajulikana k**a Heartleaf. Neno dokudami hutafsiriwa kuwa "kizuizi cha sumu" kwa Kijapani, kuashiria sifa zake za kuzuia mwili na sumu.
HONEYDEW MELON
"Honeydew" ni jina la kimarekani la aina ya White Antibes cultivar ambayo imekuwa ikilimwa kwa miaka mingi kusini mwa Ufaransa na Algeria.
Honeydew ina kiwango kidogo cha mafuta na kolestero na kuifanya kuwa chanzo cha haraka cha nishati kwa mwili wako. Honeydew pia imejaa vitamini na madini, pamoja na:
o Vitamini C
o Vitamini A
o Calcium
o Madini ya Chuma
o Folates
o Vitamini B6
o Potasiamu
o Vitamini K
o Magnesiamu
Huimarisha mifupa
Huboresha afya ya Ngozi
ACAI BERRIES
Berries za Acai ni matunda bora ya Brazili. Haya matunda ni asili ya Amazon ambapo ni chakula kikuu. Hata hivyo, hivi majuzi yamepata umaarufu ulimwenguni kote na yanasifiwa kwa kuwa na manufaa hasa kwa afya na ustawi.
ARTICHOKE LEAVES
Mmea huu ulianzia Bahari ya Mediterania na umetumika kwa karne nyingi kwa sifa zake za kua ni dawa.
Manufaa yake ya kiafya yanayodaiwa ni pamoja na kupunguza viwango vya sukari kwenye damu, umeng’enyaji wa chakula, afya ya moyo, na afya ya ini.
Artichokes zina kiwango kidogo cha mafuta na kiwango kikubwa sana cha fiber, vitamini, madini, na antioxidants. Zina kiasi kikubwa cha madini ya folate na vitamini C na K, pia hutoa madini muhimu, k**a vile magnesiamu, fosforasi, potasiamu na chuma.
FIKA OFISINI KWETU UJIPATIE STEMCELL YAKO YA UGCAREPLUS.
11/10/2022
📌 UG-CARE PLUS STEM CELL ndio bidhaa pekee sokoni ambayo ina jani maarufu la dokudami, majani ya artichoke na viambato vya ziada vya Blue Green Algae AFA ambavyo vimetumika kwa karne kadhaa nchini Marekani, Japan na Asia kutibu magonjwa mengi. *
*📌 UG-CARE PLUS STEM CELL ni miligramu 1500 kwa kila mfuko ambayo ina vifurushi 20 katika pakiti 1, bidhaa inayozingatia lishe iliyotengenezwa nchini Japani na UGreat International. Ni matajiri katika madini, antioxidants, antibacterial na antivirals. Viungo vyake vinatokana kabisa na asili.*
*📌 UG-CARE PLUS STEM CELL ina uwezo wa kutibu na kutoa dawa ya kudumu ya matatizo ya mishipa ya fahamu na mishipa ya fahamu, afya ya ngozi kwa ujumla, shinikizo la damu, ugonjwa wa arthritis, magonjwa ya moyo, matatizo ya usagaji chakula na mkojo na mengine mengi.*
*📌 UG-CARE PLUS STEM CELL hutibu maradhi ambayo bidhaa zingine haziwezi kushughulikia na hupita na zaidi ya kile ambacho bidhaa zingine zinaweza kufanya. Si ajabu kwamba wengi huiita ''zao la ajabu la asili''.*
*📌 UG-CARE PLUS STEM CELL ni salama na inatumika sana pamoja na shuhuda nyingi kuhusu utendakazi wake kutoka katika nchi kadhaa ambako UGreat inamilikiwa. Imethibitishwa na kuidhinishwa na MESTI,ISO,GMP,HACCP na US FDA.*
*KUBWA NI KUBWA 👍👌👏
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
14112
