TIBA ASILI

TIBA ASILI

Share

Karibu ujitubu mwenyewe nyumbani kwako

30/04/2023

SEE YOU APRIL THANK YOU FOR BEING THERE FOR US ♥️🥰 MY MEMORABLE MONTH BIRTHDAY MONTH 💚

HOW LOVERS BECOME ENEMIES

Love needs to be regularly fed to grow and flourish.

Many people rightly believe successful marriages are founded on mutual love and affection. However, they erroneously believe once the love is mutual, sustaining it will come naturally and effortlessly. Love is commitment, not just a feeling.

Keeping love alive takes continuous mutual commitment. Love needs regular feeding with kindness; watering with trust; and strengthening with respect. When love is continuously starved, it never just dies, it usually turns to hatred.

Happy marriage thrives on mutual love. Love grows through mutual kindness, trust and respect. Starved love becomes hatred.

03/01/2021

Mpo???

SI UNASIKIAGA AMEFANYIWA UPASUAJI WA MOYO...LABDA ALIKUWA NA TUNDU KWENYE MOYO LIKAZIBWA AU ZAKE ZILIKUWA ZIMEFELI ANAWEKEWA VALVE BANDIA AU MISHIPA YAKE YA KWENYE MOYO IMEZIBA ANAPANDIKIZWA MISHIPA MINGINE. WAKATI HUO MOYO NA MAPAFU VINAKUWA VIMESIMAMISHWA KABISAAA.MOYO UNAKUWA UMETULIA NA MAPAFU PIA YAMETULIA ..SASA WAKATI HUO HII NDIO MASHINE INAYOKUWA INAFANYA KAZI ZA MOYO MA MAPAFU WENYEWE WANAITA MASHINE. DAMU YAKO YOTE INACHEPUSHWA NAKUPELEKWA KWENYE HIYO MACHINE na WAKISHAMALIZA KUREPAIR KASORO ILIYOPO TARATIBU MOYO NA MAPAFUFU VINAAMSHWA TENA MOYO UNAANZA KUDUNDA NA MAPAFU YANAANZA KAZI YAKE
🤝

14/07/2020

FAIDA ZA JUICE ZA MATUNDA KIAFYA

JUICE YA MCHANGANYIKO WA NDIZI NA CHUNGWA::
Chukua ndizi k**a mbili au zinazotosha kutengeneza kiasi cha juice na machungwa:Kisha osha vizuri matunda yako na Menya vizuri kisha katakata weka kwa brenda hakikisha unakatakata ndogo ndogo

Ndizi ninazozungumzia hapa ni ndizi mbivu na si vinginevyo:

Baada ya kusaga chukua maji safi na salama kisha changanya

Unaweza kuweka sukari au Asali ili kuleta ladha

Unaweza kuweka mchanganyiko wako kwenye friji ili upate ubaridi na uwe tayari kwa matumizi ya kunywa

FAIDA ZA JUICE HII KIAFYA
Kumbuka tunda la ndizi lina madini ya POTASSIUM an SODIUM kidogo : madini haya yana vitamin B na pia kuna MAGNESIUM ndani yake

VIRUTUBISHO VILIVYOMO VINASAIDIA
Mzunguko wa damu kwenye arter kuwa mzuri. Pia katika mchanganyiko huu wa juice kuna vitamin C na A

Aidha juice hii inasaidia kutunza na kuufanya moyo ufanye kazi yake vizuri na ina uwezo wa kuzuia shinikizo la damu (HIGH BLOOD PRESSURE)

JUICE NYINGINE NI MCHANGANYIKO WA APPLE NA PARACHICHI
chukua apple na parachichi zinazotosha kutengeneza kiasi kinachotosha cha juice unayotaka

Osha matunda yako vizuri kwa salama wa afya yako kisha menya toa mbegu

Kati vipande vinavyiweza kusagika.

Weka kwenye brenda na maji kidogo kisha saga mpaka visagike vizuri unaweza kuchanganya na Asili ikiwa bhado ipo kwenye brenda hata maziwa fresh k**a utapenda

Halafu utaongeza maji kiasi kulingana na familia yako then iweke kwenye friji kwa matumizi ya kunywewa

FAIDA ZAKE KIAFYA
virutubisho vilivyomo ndani ya matunda haya vine uwezo mkubwa wa kupunguza CHOLESTEROL kwenye damu hivyo kupunguza uwezekano mkubwa wa mtumiaji wa juice hii kupatwa na magonjwa ya ARTER /kuziba law mishipa ya damu

Aidha mchanganyiko huu unazuia magonjwa k**a (ukosefu wa madini chuma na UPUNGUFU wa damu mwilini) kwani parachichi na apple vina viwango Vikubwa vya madini chuma pia huzuia CANCER ya COLON

Kumbuka matumizi ya juice hizi niya mara kwa mara, Unapokunywa juice k**a hizi mara moja kwa mwezi haitakusaidia kitu. Pangilia juice hizi k**a sehemu ya mlo wako wa kila siku

MCHANGANYIKO MWINGINE NI
KAROTI NA APPLE

Chukua kiasi cha karoti na apple kinachokutosheleza kutengeneza juice kwa kiasi inachohitaji pia uwe na kipande cha limao nusu tu ,,osha Menya matunda yako yakate vipande vidogo vidogo ili visagike kiurahisi weka na maji kiasi ili visagike vizuri

Baada ya kupata mchanganyiko wako weka na kile kipande cha limao nusu ili kuongeza ladha
Weka maji kiasi unachotaka kisha weka kwenye friji kwa matumizi ya kunywewa pia siyo lazima kuongeza sukari kwani matunda haya yana sukari

FAIDA ZAKE
Inauwezo wakutunza ngozi. kwa tunda la apple linaondoa harufu chafu kwenye ngozi na karoti nayo kwa kutumia virutubisho cha beta_karotini chenye uwezo wa kutengeneza vitamin A hulinda na kurejesha uhai katika ngozi ambapo inaifanya ionekane nyororo. Pia juice hii inafanya ini lifanye kazi yake vizuri kwa kulainisha nyongo na kumsaidia kuondoka uchafu.

JUICE YA VIAZI MVIRINGO
chukua viazi mviringo vinavyotosha kwa juice andaa kwa kuchonga kuviosha na kukatakata viipande vidogo vidogo kwa ajili ya kusaga ili upate juice

FAIDA zake
Inatumika k**a dawa ya kuondoa au kipunguza asidi au gesi tumboni. Juice hii ya viazi mviringo inaweza kusaidia kupunguza matatizo ya figo,,,kisukari,,,u enene au kitambi

JUICE YA MBOGAMBOGA
hii ni mchanganyiko wa mbogamboga k**a vile karoti,,nyanya na tango

Maandalizi
Anza kwa kuosha kisha menya kata vipande vidogovidogo saga mchanganyiko huu kwenye brenda ili kipata juice

FAIDA zake
Juice hii inasaidia kuzuia cancer hasa ile ya kwenye mfumo wa kumengenya chakula kukinga mapafu na artery pia inasaidia kuimarisha kinga.

JUICE YA TIKITI MAJI
chukua tikitimaji (water melons)osha kisha kata ile nyama yake ya ndani ule mwekundu tu siyo maganda yake tafadhali saga kisha utapata juice kiasi unachohitaji

FAIDA zake
Inauwezo wa kusafisha figo pamoja na njia ya mkojo inazuia unene kwa kuwa na kiwango kidogo cha calories.

KWA AINA HIZI CHACHE ZA JUICE UNAWEZA KHJUA UMUHIMU WA JUICE ZA MATUNDA NA MBOGAMBOGA TUNAZOTUMIA

Acha maoni yako kwa comment plz

By
Mourene

28/06/2020

TATIZO LA MTOTO KUCHELEWA KUONGEA::

Kuchelewa kuongea ni kati ya matatizo ya mawasiliano ambayo huwakuta watoto.

Tatizo hili hujitokeza pale ambao watoto hushindwa kuongea kuendana na hatua ya ukuaji walioufikia.

Zipo aina tatu za tatizo la kuchelewa kuongea kwa watoto

Aina ta kwanza ni mtoto kushindwa kusikiliza nini anaambiwa.

Aina ya pili mtoto kushindwa kujieleza juu ya ni nini anataka.

Aina ya tatu ni mtoto kushindwa kufanya vyote kujieleza,,na kusikiliza wengine.

Moja ya dalili ya matatizo ya kuongea ni mtoto kushindwa kupiga kelele likizo na mpangilio mpaka kufika miezi 15. Kelele k**a mama ,,yayaaaaa,,daaadaaaa,,,au bluuuubluuu.

Baadhi ya sababu za tatizo hili ni pamoja na matatizo ya kusikia,,usonji,,,mtoto kukosa watu wanaozungumza Mara kwa mara karibu yake ,,,mtoto kuzaliwa Njiti na mtoto kutumia vifaa vya kielektronic k**a vile tv na simu kwa muda mrefu

Matatizo mengine ya maendeleo ya lugha na kuzungumza kwa watoto yanatibika k**a mzazi/mlezi atatafuta tiba mapema kabla ya mtoto kufikisha miaka 5
By
Mourene e Swai and TIBA ASILI

26/05/2020

Tiba ya pumu {ARTHMA} kila tiba kati ya zifuatazo niyakujitegemea
1..
TAFUTA UJAZO WA SAWA KWA SAWA WA ARKISUS,,, HABBAT,,,, SAUDAI,,SUFA,,TANGAWIZI,,ZAATARI,,ZAMDA,,,DARUFIFIL,,,KARAFUU

CHUKUA KIJIKO KIMOJA CHA CHAI (5ml)cha mchanganyiko huu changanya na kijiko kimoja cha Asali
KUNYWA DAWA HII KUTWA MARA TATU KWA SIKU 7...11

2..
Changanya kijiko kimoja (5ml) cha mafuta ya haba soda na vijiko viwili vya ujazo wa *5ml) vya asali weka kwenye kikombe cha khahawa(50ml) changanya na maji ya uvuguvugu kunywa kiasi hiki kutwa mara tatu

Kisha jipake mafuta ya haba soda kwenye koo,,kifua,,na mgongo

Pia chukua kijiko kimoja (5ml) cha haba soda uweke ndani ya kikombe au kibakuli chenye maji moto halafu uwe unavuta mvuke wake puani Asubuhi na jion.

Website

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00