weightsupporttz
Weighsupporrttz
01/12/2023
Hivyo ambavyo Vyote vinapatikana kweny Argi plus na Artic sea
Karibu sana tuweze kukusaidia
01/12/2023
01/12/2023
Kunza siku na kikombe cha maji ni njia nzuri ya kuboresha afya yako na kuhakikisha kuwa mwili wako unapata unachohitaji kuanza siku.
02/11/2023
K**a unafanya kazi ya kukaa kwa muda mrefu hii inakuhusu đź§
➡️Kuna madhara mengi sana yanayoambatana na ukaaji wa muda mrefu:
- Bawasiri
- Arthritis
- Low back pain
- Obesity
- Kitambi
- Fatigue
➡️Ili kujiepeusha na hii kadhia, fanya haya:
- Tumia meza ya kusimama
- Kaa mkao mzuri kwenye kiti
- Fanya mazoezi ya kustretch kila baada ya muda
- Park gari mbali na tembea
- Ondoa sukari, jam, margarine na bidhaa zote ofisini
- Kula vizuri...kula vizuri...kula vizuri
- Kunywa maji mengi
31/10/2023
Acha kuangalia video za Uchi n picha
Acha kujichua
Ni hatari kwa afya yako Mwanaume
31/10/2023
Mara yako ya mwisho kula Mbegu za maboga ni lini?
16/10/2023
Unywaji pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako
16/10/2023
Hakikisha unakula chakula gani kwa ajili ya kuimarisha afya yako
07/10/2023
Sababu Zinazo Pelekea Shahawa Nyepesi Na Idadi Ndogo Ya Manii "Low perm count".
》Kwakawaida ili mwanaume awezekumpa mwanamke mimba anatakiwa kutoa kiasi cha mbegu kati ya 15M hadi 300M, Per Milliliter of Semen.
》Mwanaume akiwa na Shahawa nyepesi ni kiashiria cha mbegu kuwa chache (Oligospermia) Au kutokwepo kwa mbegu kabisa (Azoospermia), Matatizo haya yata pelekea kushindwa kumpa mwanamke mimba.
1. Homoni kuvurugika (Hormono imbalance)
》Tatzo hili limekuwa gumzo kwa wanaume wengi kutokana na mitindo ya maisha, Homoni za Testosterone zikipungua kwa mwanaume mbegu zitakua dhaifu.
2. Upungufu wa madini ya zinc kwa kiwango kikubwa mwilini,
》Madini ya zinc kwa mwanaume nimuhimu sana, Mwanaume mwenye madini ya zinc ya kutosha huwa na mbegu nyingi na imara.
3. Kumwaga mbegu mara kwa mara, "KUJICHUA".
》Kumwaga sana mbegu nisababu ya mbegu zako kukosa ubora na hivyo kutoa mbegu chache, Nyepesi na dhaifu,
》Kujichua ni sababu moja wapo inayo kufanya umwage mbegu sana, Naitapelekea mbegu zako kuwa Nyepesi na zisizo vutia.
4. Matatizo ya tezi dume na maambukizi ya magonjwa ya zinaa kwama vile (Kisonono na kaswende) Nimoja ya sababu zinazo pelekea Matatizo ya mbegu dhaifu.
NB: Zingatia vyakula vyenye kiasi kikuwa cha madini ya zingu kuongeza uwingi wa homoni ya Testosteroni, Nakuboresha production ya Mbegu zenye afya njema.
Nimuhimu kufanya vipimo vya Homoni level na kiwango cha S***m cells Kila baada ya miezi 6, walau mara 2 kwa mwaka. ZINGATIA 🍆💦
Tembelea page zetu KWA ajili ya kupata elimu zaidi 🙏
+255 669589167
05/10/2023
Hakikisha unafanya haya kila Asubuhi
Click here to claim your Sponsored Listing.
