Boresha AFYA YAKO

Boresha AFYA YAKO

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Boresha AFYA YAKO, Health/Beauty, Dar es Salaam.

05/07/2023

ATHARI ZA BAWASIRI
Upungufu wa damu mwilini (ANEMIA)

STRAGULATED HEMORRHOID
Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
Kuathirika kisaikolojia
Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
Kupungukiwa nguvu za kiume.

03/07/2023

Sababu za kupata choo kigumu

Lishe mbovu: Vyakula vilivyosindikwa sana, sukari, nafaka iliyokobolewa, pombe. Vyakula vilivyoongezwa sukari na kemikali za kutunza chakula kisiharibike na mafuta mabaya huleta ugumu kwenye utengenezaji na utolewaji wa kinyesi na hivo kukupelekea kukosa choo kwa muda mrefu.
Msongo wa mawazo: Watu wanaopata msongo mkubwa wa mawazo huharibu mpangilio wa homone zao pamoja na kuathiri uzalishaji wa visambaza taarifa kwenye mwili na hivo kusababisha shida kwenye misuli, kupata mcharuko/mpambano ndani ya mwili (inflammation) na kuathiri ufanyaji kazi wa enyzmes ambazo husaidia kumeng’enya chakula.
Kutoshughulisha mwili: Mazoezi yanasaidia kuimarisha mzunguko wa damu kwenye mfumo wa chakula na kuimarisha misuli na hivo kurahisisha utolewaji wa kinyesi. Utafiti unasema watu wanaotumia mda mwingi wakiwa wamekaa hasa maofsini wanaongoza kwa kuapata matatizo ya kukosa choo kwa mda mrefu.
Matumizi ya baadhi ya vidonge: Baadhi ya vidonge husababisha kukosa choo kwa muda mrefu na kupata choo kigumu. Mfano dawa za kupunguza maumivu, dawa za kuconrtol stress, dawa za kulevya, virutubisho vya calcium na magnesium na antiacids.
Ukuaji wa bacteria wabaya kwenye mfumo wa chakula: Bacteria wazuri/normal flora waliopo kwenye mfumo wa chakula tunawaita probiotics husaidia kwenye uchakataji wa chakula. Ndio maana kuna umuhimu wa kula vyakula vyenye kambakamba kwa sababu ni mbolea nzuri kwa bacteria wazuri kukua na kufanya kazi.

03/07/2023

Je, unapata changamoto ya choo kigumu?

Habari njema ni kwamba tatizo hili unaweza kuliepuka na kuna tiba asili nyingi sana kwa tatizo hili ili kusafisha tumbo lako na kupunguza athari unazopata. Kwnye makala hiiutajifunza namna ya kuepuka tatizo hili ili uepuke kupoteza pesa zako na kuitibu ukiwa nyumbani

03/07/2023

BAWASIRI INATIBIKA BILA UPASUJI

03/07/2023

IJUE BAWASIRI

03/07/2023

DALILI

Ishara na dalili za Bawasiri zinaweza kujumuisha:

1. Kutokwa na damu bila maumivu wakati wa mvurugiko wa tumbo lako unaweza kugundua kiwango kidogo cha damu nyekundu kwenye tishu za choo au kwenye bakuli la choo.

2. Kuwashwa au kuwasha katika eneo lako la kutolea kinyesi.

3. Kupata Maumivu au usumbufu.

3. Kuvimba karibu na sehemu ya kutolea kinyesi (mkundu).

4. Uvimbe karibu na Eneo la kutolea kinyesi chako, ambapo unaweza kuwa nyeti au chungu.

4. Kuvuja kwa kinyesi

03/07/2023

BAWASIRI,AINA ZAKE,CHANZO,DALILI NA TIBA ASILI
DR. MOHAMMED MOHAMMED
CALL/ Whatsapp 0657477284

Bawasiri katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa

Ugonjwa huu wa bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa. Ugonjwa huu katika jamii hufahamika kwa majina tofauti tofauti hutegemea kabila na mahali.

Ugonjwa huu umekua ni ugonjwa hatari kutokana na tabia za wagonjwa kuficha kutokana na aibu ya tatizo lenyewe lilipo au kuhofia jamii kumtazama tofauti kwa sababu jamii nyingi hasa za afrika mashariki zinaamini kuwa ugonjwa huu ni mkosi mkubwa.

Kuna aina kuu mbili za bawasiri :
1. Bawasiri ya nje
2.Bawasiri ya ndani.
Bawasiri hii ya ndani ndio bawasiri mbaya kabisa kwa sababu ni vigumu mgonjwa kujitambua kua anatatizo na hii inatokana na tabia ya bawasiri yandani kutokua na maumivu wakati inaanza.

SABABU ZINAZOPELEKEA MTU KUPATA BAWASIRI

Ugonjwa huu wa bawasiri husababishwa na mambo yafuatayo;

(1) Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
(2) Tatizo sugu la kuharisha
(3) Ujauzito
(4) Uzito wa mwili kupita kiasi
(5) Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
(6) Kupata haja kubwa ngumu
(7) Kua na mgandamizo mkubwa tumboni.

Bawasiri iliyotokeza nje katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa

ATHARI ZA BAWASIRI
* Upungufu wa damu mwilini
* Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
* kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
* kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
* kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
* Kupata tatizo la kisaikolojia

NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI

* Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
* kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
* Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
* Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.

AINA ZA BAWASIRI

{1}BAWASIRI YA NDANI
~hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
Aina hii ya bawasiri imegawanyika katika madaraja manne

DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pake pa kawaida.

DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya kujisaidia

DARAJA LA TATU ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe

DARAJA LA NNE ~hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi

[2}BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS

CHANZO CHA TATIZO LA BAWASIRI
~Ugonjwa huu wa bawasiri mpaka sasa chanzo chake hasa hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo na hukuweka katika hatari ya kupata tatizo hili
~KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
~TATIZO SUGU LA KUHARISHA
~UJAUZITO
~UZITO MKUBWA
~MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
~KUPATA KINYESI KIGUMU KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI

kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa

kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa

kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa

kupata kinyesi chenye damu

kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA WA BAWASIRI
~ matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri, mara nyingi wagonjwa wa bawasiri hupatiwa tiba ya kukatwa kinyama na kushauriwa kuendelea na tiba ya vyakula Lakini tiba huwa haina matokeo mazuri kwasababu baada ya Muda tatizo hujirudia kutokana na kwamba hawajatibu chanzo cha tatizo hivyo tiba nzuri ya bawasiri ni kutumia dawa itakayotibu chanzo cha tatizo huku ukiendelea na tiba ya chakula, MFANO MZURI WA DAWA NI bawasiri fluid na bawasiri powder hizo zinatibu na kuondoa tatizo moja kwa moja kwa muda wa wiki mbili tu hata k**a ulishawahi kufanyiwa upasuaji hivyo ni vizuri kutumia dawa hizo ili kumaliza tatizo pamoja na hayo ni
vyema ukazingatia mambo yafuatayo ili KUEPUKANA na ugonjwa wa bawasiri

ZINGATIA KANUNI YA CHAKULA BORA KWA KUPENDELEA KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA

KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GLASI SITA HADI 12 KWA SIKU

EPUKA KUTUMIA MUDA MREFU CHOONI

MADHARA YA BAWASIRI
~Ugonjwa wa bawasiri una madhara makubwa iwapo hautapatiwa tiba ya uhakika haya ni baadhi ya madhara ya bawasiri

KUPATA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

KUPATA TATIZO LA KUSHINDWA KUHIMILI KINYESI

HUPUNGUZA MORAL YA KUFANYA KAZI KUTOKANA NA MAUMIVU

HUATHIRI KISAIKOLOJIA

MWANAMKE HUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

KUPATA KANSA YA YTUMBO
✍ hayo ni mambo ya msingi sana kuyajua kabla ya kujua tiba

KWA MAHITAJI YA DAWA ASILI ILIYOKWISHAANDALIWA YENYE KUONDOSHA BAWASIRI MOJA KWA MOJA KWA UWEZO WA MWENYEZI MUNGU WASILIANA NAMI KWA MAWASILIANO YANGU HAPO CHINI

DAWA UTATUMIWA POPOTE ULIPO PIA DAWA UTAIPATA KWA BEI NAAFUU KABISA HUNA HAJA YA KUFANYIWA OPERESHENI YA BAWASIRI KWANI MARA NYINGI BAWASIRI HURUDI TENA PINDI INAPOFANYIWA OPERESHENI..

Bawasiri humpata MTU yeyote katka umri wowote

03/07/2023

Bawasiri ni moja ya magonjwa ya kawaida. Kubadilisha tabia ya chakula na mtindo wa maisha ndio sababu kuu za ugonjwa huu. Kulingana na tovuti rasmi ya Maktaba ya Kitaifa ya Tiba, asilimia 50 ya wakazi wa India kwa mfano wanaugua bawasiri wakati fulani maishani mwao, na asilimia 5 kati yao huathirika kabisa.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam