Sjclinic1

Sjclinic1

Share

TUNAJISHUGHULISHA NA MATATIZO YA UZAZI KWA MWANAMKE NA MAGONJWA YOTE SUGU .

PATA ELIMU , USHAURI, NA TIBA KWA TIBA ASILIA YA VIRUTUBISHO VISIVYO NA CHEMIKALI (SALAMA) KWA AFYA
PIGA 0755929632

11/05/2022

Pata elimu na tiba bure kupitia watsap group letu bofya link hapo chiniπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
https://chat.whatsapp.com/CdAgSEY0pR27xf9cpZo4Iw

03/03/2022

Jiunge na watsap group letu kwa wanawake tu
https://chat.whatsapp.com/CdAgSEY0pR27xf9cpZo4Iw

03/03/2022

Je unaijua PID
Karibu katika clinic yetu upate elimu na ushauri bure bofya πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
https://chat.whatsapp.com/CdAgSEY0pR27xf9cpZo4Iw

03/03/2022

Huitaji kusumbuka karibu sj-clinic upate ushauri na tiba
jiunge n watsap group letu upate elimu na ushauri buree bofya link πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
https://chat.whatsapp.com/CdAgSEY0pR27xf9cpZo4Iw

01/03/2022
01/03/2022

.

01/03/2022

IJUE PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)

PID ni ugonjwa unaotokana na maambukizi ya bacteria kwenye via vya uzazi wa mwanamke k**a mfuko wa mimba (uteras) na mirija ya falopia (fallopion tubes) na viungo vingine vya nyonga (pelvic structures). PID ikiendelea zaidi inaweza pia kuathiri sehemu za tumbo na viungo vyake.
K**a ilivo elezwa hapo juu, PID ni matokeo ya maambukizi kwenye uke au mlango wa kizazi (cervix) ambayo hupanda hadi kwenye via vya juu vya uzazi wa mwanamke. Hivyo, lazima kwanza kuwe na shida ukeni au kwenye seviksi(mlango wa kizazi).

Sababu za PID

PID hutokana na magonjwa yanayo ambukizwa kwa njia ya ngono k**a;
1. Kisonono (gonorrheae) na
2. Klamidia (chlamidial)
Magonjwa haya yanapo kaa kwa muda mrefu bila kutibiwa au kushindikana kupona kwa sababu fulani ndio hupanda kiasi cha kuathiri zaidi njia nzima ya uzazi wa mwanamke.

MUHIMU na ZINGATIA

1. Magonjwa yanayo ambukizwa kwa njia ya ngono huwapata wanawake na wanaume. Hii ni sawa na kusema kuwa, ukiona unaugonjwa huo jua kwamba unayehusiana nae au mmoja wa unaohusiana nao kingono anaugonjwa huo. Hili ni lamsingi sana hasa katika matibabu. Unapo gundulika kuwa na ugonjwa unao ambukizwa kwa njia ya ngono tafuta tiba na mwenza wako kwa pamoja bila kujali kwamba ana dalili au laa.
2. PID sio ugonjwa wa zinaa bali ni ugonjwa unaosababishwa na magonjwa ya zinaa.

Namna ya kujikinga PID

1. Tumia njia za kujikinga na magonjwa ya zinaa
2. K**a una ugonjwa wa/ magonjwa ya zinaa hakikisha unatibiwa na unapona kabisa.

Dalili za PID

Kusema kuwa hii ni PID au sio inategemeana na maelezo yanayotoka kwa mgonjwa. Mgonjwa akiwa na historia ya kuugua magonjwa ya zinaa akawa na dalili k**a; Homa, Maumivu chini ya kitovu, Maumivu ya nyonga pande zote au moja anashauliwa kumuona mhudumu wa afya kwenye kituo cha afya kilicho karibu.
Dalili za ugonjwa wa zinaa ni pamoja na homa, kutoka uchafu wenye harufu ukeni na wakati mwingine kuhisi muwasho wakati au baada ya kukojoa.

01/03/2022

.

01/03/2022

ujue mzunguko wako ili uishi maisha mazuri

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam
TUNAJISHUGHULISHANAMATATIZOYAUZAZIKWAMWANAMKENAMAGONJWAYOTESUGUYOTE PATAELIMU,US

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00