S T K Health solution
Natoa tiba dhidi ya changamoto mbalimbali za Afya kwa kutumia teknolojia mpya ya Selishina..
03/02/2024
B A A D H I ya mambo yanayotofautisha kila Ujauzito,
Uzoefu wa Kimwili:
Mimba nyingine huja na kichefuchefu kikali sana, wakati nyingine zinaweza kukosa kabisa kichefuchefu!
M W A N A M K E anaweza kupata matamanio ya vyakula tofauti katika kila ujauzito.
K I W A N G O cha uchovu, usumbufu, na dalili nyingine za kimwili zinaweza kutofautiana sana kati ya mimba na mimba!
za furaha, wakati nyingine inaweza kuleta wasiwasi na huzuni.
M A T U K I O ya awali yanaweza pia kusababisha hisia tofauti! Kwa mfano, mwanamke ambaye alikuwa na matatizo katika ujauzito wake wa kwanza anaweza kuhisi wasiwasi zaidi wakati wa ujauzito wake wa pili, kuliko mwanamke mwingine.
B A A D H I, ya mimba zinaweza kuwa shwari zikiwa na matatizo machache sana ya kiafya, ilhali zingine zinaweza kuja na matatizo k**a vile kisukari wakati wa ujauzito, shinikizo la damu nk
M A Z I N G I R A na mafadhaiko ya nje huwa pia yanachangia. Mimba inayopatikana wakati wa utulivu maishani inaweza kuwa ya utulivu zaidi ikilinganishwa na wakati wa msukosuko au mafadhaiko.
M U H I M U kutambua kwamba mwili na hali ya kila mwanamke ni tofauti na ya kipekee. Kile ambacho mwanamke mmoja ataona changamoto katika ujauzito, mwanamke mwingine anaweza kuona kawaida na akamudu!
H I S I A, uzoefu, na ugumu wa kila ujauzito ni wa kipekee na hutofautiana, tuambie wewe ulipata utofauti gani?🫠
03/02/2024
Maswali haya matatu yanaulizwa na idadi kubwa sana ya wanawake wanaonyonyesha
1.Je nikikutana na baba mtoto, nitambemenda mtoto?
2.Je nikimshika mtoto baada ya tendo la ndoa, mtoto atapata madhara?
3.Je nikikutana na mwanaume asiye baba wa mtoto, nitambemenda mtoto?
Mtoto aliyedhoofu mwili, haongezeki uzito, amechelewa, au hakuwi sawa sawa k**a watoto wengine wa umri wake inaaminika kwamba mtoto huyo amebemendwa.
📌 Asili ya kubemenda!
Imani hii imekuwepo miaka sana. Na inapatikana katika maeneo ya Tanzania.
Watu wanaamini kwamba mama anapokutana kimwili, mbegu za kiume huingia kwenye damu na kusafiri mpaka kwenye maziwa. Mtoto akinyonya maziwa hayo anapata madhara. Anakuwa amebemendwa.
📌Je ukweli ni upi
Ukweli ni kwamba, dhana ya mtoto kubemendwa ni dhana potofu. Mbegu za kiume hazina uwezo wa kupenya kwenye mwili na kufika kwenye maziwa ya mtoto. Hazina uwezo huo.
Hivyo hata mama kumshika mtoto baada ya tendo la ndoa haina madhara yoyote kwa mtoto.
📌Nini husababisha mtoto kudhoofu
Kuna sababu mbalimbali zinasababisha mtoto kudhoofu afya yake.
Watoto wengi wanaosemwa kwamba mama yake amembemenda ukimuangalia ni yule mtoto mwenye matatizo ya utapia mlo, mtindio wa ubongo au maradhi mengine yanayoathiri ukuaji mfano matatizo ya moyo nk
Endapo wana ndoa sio waaminifu au mama amekutana kimwili na mwanaume mwingine anaweza kupata maambukizi.
Maambukizi hayo yanaweza kumuathiri mtoto pia. Mtoto anaweza kupata maambukizi wa HIV kupitia maziwa ya mama yake
📌 Je ni sawa kukutana kimwili?
Dhana hii ya mtoto kubemendwa ni moja wapo ya mambo ambayo yamesababisha wanaume wengi kuchepuka. Kuchepuka ambako kumeleta magonjwa katika familia. Hakuna madhra yoyote kukutana kimwili.
Hakuna
Biblia inasema msinyimane. Na mimi nawakumbusha msinyimane tafadhali...😂
19/01/2024
BAADHI YA SABABU NI K**A:
✅Uke mkavu : Hili tatizo mara nyingi linaweza changiwa na mambo k**a vile unyonyeshaji, kujifungua, wale ambao walifanyiwa upasuaji wa kuondoa O***y, baadhi ya madawa k**a vile antidepressants, madawa ya pumu, madawa ya mzio, madawa ya Saratani n.K. Lakini kuna sababu zingine k**a vile kufanya mapenzi wakati bado hujaandaliwa vizuri, kuosha sehemu za uke kwa ndani, kutumia kemikali na bidhaa zenye kemikali za kuoshea uke, n.K
✅ Polyps : Hizi ni vimbe zisizokua Saratani, mara nyingi hutokea katika mlango wa kizazi au katika kuta za mji wa uzazi (Endometrial lining), hizi vile huweza sababisha maumivu na hata damu kutoka wakati wa tendo la ndoa
✅Majeraha katika Uke : Hii inasababishwa na ile hali ya kufanya tendo la ndoa kwa vurugu, wale mnaofanya tendo k**a vita mnanielewa 🙄 sasa ukikuta mwanamke ana uke mkavu basi anaathirika zaidi
✅ Saratani : Kuwa na mzunguko usioeleweka na kutokwa damu wakati wa tendo ni dalili kubwa kabisa ya Saratani ya Mlango wa kizazi na saratani ya Uke. Kutokwa damu sana baada ya kukoma hedhi ni dalili pia ya Saratani ya mji wa uzazi
📝 UTAKUA KWENYE HATARI ZAIDI K**A :
▶️ Una saratani ya Mlango wa kizazi au Saratani ya mji wa uzazi
▶️Umekaribia, Upo au Umepita kipindi cha ukomo wa hedhi
▶️ Ulipata mtoto sio mda mrefu au unanyonyesha
▶️ Hupati maandalizi mazuri kabla ya tendo
▶️ Unaosha uke kwa ndani mara kwa mara (Douching)
📝 JE, KUNA TIBA?
Ndio tiba ipo kwa dozi tofauti tofauti, na itategemea sababu iliyogundulika ya wewe kutokwa damu wakati wa tendo k**a nilivyoelezea sehemu ya kwanza.
Mfano : Ikiwa sababu ni maambukizi utapata tiba ya kukusaidia kupata suluhisho la kuondoa changamoto hio pia k**a tatizo ni ukavu ukeni basi nakushauri tumia kirutubisholishe cha complete+liven alkaline/choleduz ili kuongeza hormone ya Estrogen ili uke uweze zalisha ute wa kutosha wakati wa tendo.
NOTE:
Baadhi ya wanawake hutumia vilainishi wakati wa tendo, hii itakupa suluhisho la muda huo tuu lakini haimalizi tatizo k**a ilivyo tiba ya kudumu. Tibu kiini cha tatizo ili usipate changamoto hiyo tena.
Umejifunza kitu, Save post hii Itakusaidia kwa Matumizi ya Baadae,
Kwa changamoto Binafsi, nitumie Ujumbe
18/01/2024
Mara nyingi malalamiko ya kuumwa kiuno yanatoka zaidi kwa kinamama kuliko kinababa. Miongoni mwa sababu zinazochangia maumivu ya kiuno ni matatizo wakati wa kipindi cha hedhi.
Pia kukosa kwenda choo, uzito mkubwa wa mwili, kukaa isivyostahili kwa muda mrefu, unyanuaji au ubebaji wa mizigo mizito, kula chakula kisichofaa, kutokuwa na mazoezi ya kutosha, matatizo kwenye mfumo wa uyeyushaji chakula na kusimama muda mrefu.
Zipo tiba za aina nyingi zinazoponya maumivu ya kiuno, leo tuzungumzie manufaa ya kitunguu swaumu kwa tatizo hilo.
Ikiwa unasumbuliwa na maumivu ya kiuno, tafuna punje sita za kitunguu swaumu kila siku. Pia ponda punje moja ya kitunguu hicho, paka sehemu ya kiuno inayouma kabla ya kwenda kulala, fanya hivyo kila siku.
Je, una tatizo lolote la kiafya? usisite kuja kwenye kituo chetu cha kutolea huduma za afya, Kijitonyana makumbusho, Dar es Salaam.
Tunamjali mgonjwa yeyote, tunatumia tiba lishe na virutubisho asili kuondoa changamoto mbalimbali za kiafya zinazomsumbua binadamu. Acha kuteseka kwa maradhi yaliyoshindikana.
Au nitumie kwa Whatsapp no: 0699460766
S T K HEALTH SOLUTIONS iwapo unataka ufafanuzi wa jambo, gharama za matibabu au namna ya kufika katika kituo chetu.
17/01/2024
HAIKUCHUKUI KUWA NA MALI NYINGI AMA PESA ILI KUFANYIKA BARAKA KWA WATU WENGINE, K**A SIO WEWE BASI MUUNGANISHE MLENGWA ILI SOTE TUWE BARAKA KWENYE MAISHA YA WENGINE. SISI TUNATIBU NA MUNGU ANAPONYA
0699460766
S T K HEALTH SOLUTIONS 🙏🏾
17/01/2024
HAIKUCHUKUI KUWA NA MALI NYINGI AMA PESA ILI KUFANYIKA BARAKA KWA WATU WENGINE, K**A SIO WEWE BASI MUUNGANISHE MLENGWA ILI SOTE TUWE BARAKA KWENYE MAISHA YA WENGINE. SISI TUNATIBU NA MUNGU ANAPONYA 🙏🏾
S. T. K HEALTH SOLUTIONS
0699460766
16/01/2024
Laparoscopy.
Huu ni upasuaji mdogo unaomruhusu mtaalam wa afya kuangalia ndani ya uwazi wako wa tumbo (abdominal cavity) ambapo mtaalam wa afya hukata kidogo tumbo (tiny cuts) na kuingiza kifaa kiitwacho laparoscope ndani ya tumbo na kuangalia kwa karibu mirija yako ya uzazi.
Muda mwingine mtaalam wa afya huingiza catheter kwenye uke (va**na) na shingo ya kizazi (cervix) ili kusukuma dai kuelekea kwenye mji wako wa mimba (uterus) na mirija yako ya uzazi (fallopian tube) kwa lengo la kubaini tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi.
Mara nyingi hiki kipimo ndio hutumika kuthibitisha (confirm) matokeo ya kipimo cha Hysterosalpingogram.
Madhara Ya Kuziba Kwa Mirija Ya Uzazi:
Ikiwa tatizo la kuziba kwa mirija ya kuzazi halitafanyiwa matibabu haraka basi litapunguza uwezekano wa mwanamke kushika ujauzito.
Kushindwa kutibu tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi pia kunaongeza hatari ya mimba kutoka (miscarriage) na mimba kutunga nje ya kizazi (ectopic pregnancy).
Jinsi Ya Kuzuia Kuziba Kwa Mirija Ya Uzazi:
Njia ya kuepuka kuziba kwa mirija ya uzazi ni kupunguza hatari ya kupata magonjwa ya zinaa (STI’s) ambayo ndio huchangia kwa kiasi kikubwa tatizo la kuziba kwa mrija ya uzazi. Kufanya ngono ilyosalama (practising safe s*x) kunapunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya zinaa ambayo huchangia kwa kiasi kikubwa kuleta uharibifu kwenye viungo vya uzazi (reproductive organs).
HITIMISHO:
Mirija ya uzazi inapoziba huzuia mwanamke asipate ujauzito kwa kuwa huzizuia mbegu za mwanaume zisiweze kulifikia yai la mwanamke, na vile vile hulizuia yai lililorutubishwa lisiweze kufika kwenye mji wa mimba.
Upasuaji unaweza ukafanyika ili kuondoa hali ya kuziba, lakini njia hii ya tiba sio ya maana sana kwakuwa inaweza ikasababisha mimba kutunga nje ya kizazi (ectopic pregnancy).
Yafaa sana ukapata virutubisho vilivyotokana na mimea na matunda ili kuondoa kabisa vyanzo au visababishi vya kuziba kwa mirija ya uzazi na kukuwezesha kupata ujauzito.
Ikiwa unasumbuliwa na tatizo hili, tafadhali wasiliana nami kwa Whatsapp no: 0699460766, S T K HEALTH SOLUTIONS kupata virutubisho vyenye uwezo wa kuondoa vyanzo vya tatizo hili kwa gharama nafuu.
14/01/2024
SISI TUNATIBU NA MUNGU ANAPONYA. 🙏🏾KARIBU TUKUHUDUMIE.
14/01/2024
MATIBABU YAKE:-
Kwa Bahati nzuri msaada wa haraka kwa changamoto ya P.I.D upo umbali wa simu moja tu.
Kwa dose ya P.I.D, inaanzia 95,000/=, Dose kamili inatengemea ukubwa wa tatizo ilo Na Upo nalo kwa muda gani,
Nitumie Ujumbe whatsapp muda huu, kupata msaada wa haraka zaidi, ikiwemo Ushauri Na Tiba.
0 6 9 9 4 6 0 7 6 6, S T K HEALTH SOLUTIONS
13/01/2024
1. Utakusaidia kupata Ujauzito ulioupangilia
2. Utakuepusha kupata ujauzito ambao Hukuupangilia
3. Utaweza kuamua jinsia ya mtoto unayemtaka.
CPE ni dawa tuliyonayo kwaajili ya kuboresha hedhi yako na kuondoa maumivu wakati wa hedhi.
Dose yake inaanzia 85,000/= kutengemea ukubwa wa tatizo.
Kwa Msaada Zaidi, nitumie Ujumbe sasa Whatsapp no: 0699460766, S T K HEALTH SOLUTIONS.
10/01/2024
Zawadi hii iko njiani kuja kwako,2024 nimwaka wako wakupokea hii baraka, anayeamini na Aseme Amen!
Usisahau kulike na kufollow kurasa zetu kwa masomo na msaada zaidiii
Matatizo binafsi nitumie ujumbe whatsap
0699460766, S T K HEALTH SOLUTIONS.
08/01/2024
Hizi Hapa Dalili Kuu 10 Hatarishi za P.I.D:-
1️⃣ Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa.
2️⃣ Kuwashwa sehemu za siri.
3️⃣ Uke kutoa harufu mbaya.
4️⃣ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.
5️⃣ Uke kuwa na ulaini sana.
6️⃣ Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
7️⃣ Kuvurugika Kwa hedhi.
8️⃣ Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi.
9️⃣ Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa.
🔟 Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula.
MATIBABU YAKE:-
Kwa Bahati nzuri msaada wa haraka kwa changamoto ya P.I.D upo umbali wa simu moja tu.
Kwa dose ya P.I.D, inaanzia 95,000/=, Dose kamili inatengemea ukubwa wa tatizo ilo Na Upo nalo kwa muda gani,
Nitumie Ujumbe whatsapp muda huu, kupata msaada wa haraka zaidi, ikiwemo Ushauri Na Tiba.
0 6 9 9 4 6 0 7 6 6, S T K HEALTH SOLUTIONS.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
