Mwalimu MKUU
#MICHEZO | MAPENZI | UDAKU | dini #Muziki
14/04/2026
π¨ ππππππππ: ππππππππ πππππ ππ
ππππππ πππππ ππ:
Rasmi, k**ati ya nidhamu ya klabu ya Simba SC imemtoza faini mshambuliaji wao, Jonathan Sowah, na kumuagiza kuanza kufanya mazoezi na timu ya vijana (U-20) kufuatia uchunguzi wa utovu wa nidhamu uliokuwa unamkabili. π¬πππ£
Sowah atatakiwa kusalia na kikosi hicho cha vijana hadi hapo uongozi utakapojiridhisha na mabadiliko ya mwenendo wake, jambo ambalo ni pigo kwa safu ya ushambuliaji ya Wekundu wa Msimbazi inayomtegemea nyota huyo raia wa ghana
I got over 2,500 reactions on my posts last week! Thanks everyone for your support! π
10/02/2025
Kikosi cha official young African sc
10/02/2025
MADRID DERBY
- Leo nilikuwa makini sana kuwatazama Atletico Madrid . Nimegundua jamaa wana timu ya ushindani , Sio Madrid tu ! Sidhani k**a kuna timu inaweza kuvuna alama 3 dhidi yao ikiwa watakuwa katika ubora wao . Jeshi la El Cholo linaonekana limekamilika , kila mchezaji amekomaa na anamwaga jasho lake kwaajili ya timu . Katika gemu ya leo dhidi ya Real Madrid waondoe Atletico Madrid pale iweke timu nyingine tofauti mechi inaisha mapema tu ...!!!
Unawatazama Wachezaji wa Atletico Madrid jinsi wanavyoutafuta mpira baada ya kuupoteza ,kisha unafikiri ni k**a Diego Simeone huwa anawaeleza wachezaji wake wakafie uwanjani !!!
ONYO KWA MANCHESTE CITY : K**a Real Madrid watacheza walau kwa 70% k**a walivyofanya leo dhidi ya Atletico Madrid , basi Man City hakuna sehemu wanaweza kutokea . Huenda tukashuhudia mchezo mwepesi sana. Kuna muda Real Madrid wanakupa mpira kisha wanakusubiri ukosee ili wakupe adhabu na hilo ndo moja kati ya matatizo makubwa ya Man city Msimu huu .
Nasubiri ....βπ»
10/02/2025
10/02/2025
Kula chuma hicho
π«΅
10/02/2025
βTabora United wamepata kipa mzuri na mbadala sahihi wa Hussein Masalanga aliyekuwa na FORM nzuri duru la kwanza la ligi.
Huyu ni Jean Noel Amonome licha ya kuruhusu magoli matatu dhidi ya Mnyama π¦ lakini huwezi beza uwezo na ubora wake.
Ni top golie mwenye uwezo mzuri kwenye zile move za 1v1 (yeye na attackers) na kufanya save,kujiamini kwake pamoja na utulivu wa kuanzisha mashambulizi kutoka kwenye miguu yake
Pia ana uwezo mkubwa wa kuk**ata mali bila kusahaua Timing and Positioning yakr na Mawasiliano mazuri na walinzi wake kumbuka huyu alicheza Afcon 2021 na timu yake ya Gaboni,sio kipa wa kinyonge wanangu !!.
Click here to claim your Sponsored Listing.
