afya_online_

afya_online_

Share

👉Tunatibu matatizo sugu ya jinsia zote
👉Tunatoa Elimu juu ya Afya bila malipo
👉 Call: 0719593777

09/12/2025

*USIYOYAJUA KUHUSU DAMU YA HEDHI*
============================
Karibu WhatsApp uweze kuendelea kujifunza kupitia WhatsApp group zetu kwa Jinsia zote

Comment niunge au tuma ujumbe Niunge kwenye WhatsApp number +255719593777

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

-------------- KARIBU--------------

Nakuletea mambo 10 usiyoyajua kuhusu Hedhi na Damu yake:-

1.Damu ya Hedhi Sio Kwamba Asilimia 100 ni Damu.

Hua ni Mchanganyiko wa Damu, Ute Ute na Uchafu Ulioko Ukeni(Vagina secretions) Pamoja na Tishu zilizopo kwenye kizazi (Uterine Tissue)

2.Damu ya Hedhi haina Bacteria

-Unaambiwa Damu inavyotoka kwenye kizazi mpaka inatoka nje hua haina bakiteria mpaka inavyotoka nje kugusana na hewa.

3.Damu Inayotoka wakati wa Hedhi inakadiriwa kua Mills 50-80 sawa na Vijiko 6 vya chai.

4.Kila rangi ya damu ya hedhi ina maana yake mfano:-

-Rangi Nyekundu inaashiria Ndo hedhi inaanza.

-Rangi Nyeusi inamaanisha damu imekaa muda mrefu kwenye kizazi.

5.Maumivu ya Hedhi ni sawa au yanakaribia maumivu ya Uchungu wa kujifungua

6.Hedhi inasaidia Kizazi kujisafisha na kuaondoa uchafu.

7.Stress zinaweza kusababisha hedhi kutoka kidogo au kutoonekana kwa muda flani au Kuchelewa.

8.Kila Mwanamke ana Aina yake ya Hedhi(Siku anazoingia, Maumivu anayoyapata, Kiwango cha damu kinachotoka nk)

9.Mwanamke anaweza kupata Mimba hata akiwa katika siku zake za hedhi.

10.Pia Mwanamke anaweza kupata mimba bila kuona siku zake za hedhi.

Yaani akawa haoni siku zake na akapata Mimba.

K**a una Tatizo lolote linalohusiana na Mzunguko hedhi, au Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke Kiujumla, tuwasiliane

AFYA ONLINE SERVICES:
ALL IT'S BECAUSE YOUR HEALTH MATTERS

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

09/12/2025

*MWANAUME KAA MBALI NA VYAKULA HIVI*

============================
Karibu WhatsApp uweze kuendelea kujifunza kupitia WhatsApp group zetu kwa Jinsia zote

Comment niunge au tuma ujumbe Niunge kwenye WhatsApp number +255719593777

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

-------------- KARIBU--------------
Hivi ni Vyakula Vinavyoharibu Nguvu za Kiume.

👉Mwanaume ukiendelea kula vyakula hivi, Nguvu zako za kiume zitaisha:-

*1.Chips*

Chips hukaangwa katika Mafuta ambayo huja kuziba mishipa ya damu katika uume hivyo kusababisha Uume kutosimama vizuri

*2.Soseji*

Soseji pamoja na vyakula vingine vilivyosindikwa vina chumvi nyingi ambayo huathiri nguvu za kiume.

3.Keki
4.Pombe
5.Soda
6.Vyakula Vya Wanga

AFYA ONLINE SERVICES:
ALL IT'S BECAUSE YOUR HEALTH MATTERS

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

23/07/2025

*_NILISEX NA WANAUME WAWILI MIMBA YA NANI?_*

============================
Karibu WhatsApp uweze kuendelea kujifunza kupitia WhatsApp group zetu kwa Jinsia zote

Comment niunge au tuma ujumbe Niunge kwenye WhatsApp number +255719593777

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

-------------- KARIBU--------------

Mwanamke anapofanya mapenzi na wanaume tofauti tofauti ndani ya muda mfupi:-Mfano siku moja k**a huyu, Hua ni rahisi mimba kua ya yeyote.

Kwa sababu mbegu ya kiume (S***m) inaweza kukaa katika mwili wa mwanamke ikisubri kulirutubisha yai mpaka siku 5.

Kwa hiyo k**a yai litapevushwa na mwanamke akafanya mapenzi na wanaume wawili ndani ya siku moja mbegu za mwanaume wa kwanza au wa pili zinaweza kurutibisha yai hilo.

Hata hivyo unaweza kutumia njia ya mzunguko wa hedhi kukusaidia kufahamu mimba ni ya nani:-

Kwa mfano tuseme mzunguko wako ni wa siku 28 na uliingia period tarehe 01.07 uk**aliza tarehe 5.07 kisha ukafanya tendo tarehe 14 ambayo ndo siku ya ovulation na mwanaume X saa saba mchana na ukashiriki na mwanaume Y usiku.

Chansi ya kua mwanaume X kua ndiye mwenye mimba ni kubwa.

Ila k**a siku ya ovulation iko mbali maana yake ni kwamba chansi ya mwanaume wa kwanza kua ndo mwenye mimba inakua ndogo.

Yote kwa yote ili kua na uhakika zaidi unaweza kusubiri uone mtoto kafanana na nani baada ya kuzaliwa au mkaamua kupima DNA, Kupata uhakika zaidi.

AFYA ONLINE SERVICES:
ALL IT'S BECAUSE YOUR HEALTH MATTERS

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

23/07/2025

*VYAKULA VINAVYO CHELEWESHA "KUMWAGA"*

============================
Karibu WhatsApp uweze kuendelea kujifunza kupitia WhatsApp group zetu kwa Jinsia zote

Comment niunge au tuma ujumbe Niunge kwenye WhatsApp number +255719593777

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

-------------- KARIBU--------------

Hivi ni vyakula vinavyomsaidia Mwanaume Kumwaga moto kwa muda mrefu zaidi..

(Yaani anachelewa Kumaliza)

#1. Ndizi..
Hizi pia huongeza Stamina...

#2. Chocolate

#3. Kitunguu Saumu

#4. Karanga

#5. Tikiti Maji

#6. Tangawizi

#7. Parachichi

#8. Mayai

AFYA ONLINE SERVICES:
ALL IT'S BECAUSE YOUR HEALTH MATTERS

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

28/06/2025

Njoo WhatsApp 👇 kuona Shuhuda mbali mbali

Namba zetu ni: +255719593777

Haijalishi ulikotoka, kinachojalisha ni kule unakoelekea... na safari inaendelea!

Tunaandika historia kwa vitendo, si maneno. Kila hatua ni ushindi mwingine.

Karibu tukuhudumie!

21/05/2025

*_FAIDA 10 ZA MAZIWA MTINDI_*
============================
Karibu WhatsApp uweze kuendelea kujifunza kupitia WhatsApp group zetu kwa Jinsia zote

Comment niunge au tuma ujumbe Niunge kwenye WhatsApp number +255719593777

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

-------------- KARIBU--------------

*_1. Kuboresha Usagaji wa Chakula_*

Maziwa mtindi yana probiotics—yaani bakteria wazuri k**a Lactobacillus na Bifidobacterium—ambao husaidia kuweka usawa wa bakteria tumboni. Hii husaidia sana kwenye mmeng’enyo wa chakula, kupunguza matatizo k**a kuvimbiwa, gesi na tumbo kujaa.

*_2. Kuimarisha Mfumo wa Kinga_*

Probiotics waliomo ndani ya maziwa mtindi huchochea kinga ya mwili kwa kuongeza uzalishaji wa seli za ulinzi. Hii husaidia mwili kupambana na bakteria, virusi na maambukizi mengine kwa ufanisi zaidi.

*_3. Kuweka Mifupa Imara_*

Maziwa mtindi ni chanzo bora cha kalsiamu, fosforasi, na vitamini D—virutubisho muhimu kwa ujenzi na uimara wa mifupa na meno. Ulaji wa mara kwa mara husaidia kuzuia magonjwa k**a osteoporosis (udhaifu wa mifupa).

*_4. Kudhibiti Uzito na Kupunguza Mafuta Mwilini_*

Kwa sababu yana protini nyingi, maziwa mtindi husaidia mtu kushiba kwa muda mrefu. Pia, huchochea matumizi ya nishati mwilini na hivyo kusaidia kupunguza uzito na mafuta ya ziada mwilini.

*_5. Kudhibiti Viwango vya Lehemu (Cholesterol)_*

Ulaji wa maziwa mtindi huweza kusaidia kupunguza lehemu mbaya (LDL) na kuongeza lehemu nzuri (HDL), jambo ambalo ni zuri kwa afya ya moyo na kuzuia presha ya juu au mshtuko wa moyo.

*_6. Kusaidia Wenye Matatizo ya Lactose_*

Watu wengi wana matatizo ya kusaga lactose (sukari ya maziwa). Maziwa mtindi ni rahisi zaidi kumeng’enywa kwa kuwa tayari yana bakteria waliovunja sehemu ya lactose. Hivyo ni salama hata kwa walio na lactose intolerance.

*_7. Kupunguza Hatari ya Saratani ya Utumbo Mpana_*

Utafiti umeonyesha kuwa ulaji wa maziwa mtindi mara mbili kwa wiki unaweza kusaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani ya utumbo mpana. Hii ni kwa sababu probiotics husaidia kupunguza uvimbe na kuweka utumbo katika hali nzuri.

*_8. Kurekebisha Shinikizo la Damu:_*

Maziwa mtindi yana madini k**a potasiamu na magnesiamu ambayo husaidia kuondoa sodiamu (chumvi nyingi) mwilini. Hii inasaidia kudhibiti presha ya damu na kuimarisha afya ya moyo.

*_9. Kusaidia Katika Maambukizi ya Ukeni kwa Wanawake_*

Probiotics waliomo kwenye maziwa mtindi husaidia kurejesha usawa wa bakteria kwenye uke, na hivyo kusaidia kuzuia au kutibu maambukizi ya fangasi au bakteria.

*_10. Kuboresha Afya kwa Ujumla_*
Kwa ujumla, ulaji wa maziwa mtindi huimarisha afya ya mwili mzima, huzuia magonjwa sugu, na kusaidia katika kuongeza maisha marefu yenye afya njema.

AFYA ONLINE SERVICES:
ALL IT'S BECAUSE YOUR HEALTH MATTERS

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

01/03/2025

*_HEDHI YA SIKU MOJA_*

============================
Karibu WhatsApp uweze kuendelea kujifunza kupitia WhatsApp group zetu kwa Jinsia zote

Comment niunge au tuma ujumbe Niunge kwenye WhatsApp number +255719593777

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

-------------- KARIBU--------------

Kawaida hedhi hutofautiana kwa wanawake.

Kwanza hedhi inaweza kujirudia kati ya siku 21 hadi 35.

Na hedhi ikianza inaweza kuchukua kati ya siku 2 hadi 7.

Hii ni kawaida..

Inapotokea mwanamke anaingia hedhi ya siku moja huenda ikawa ni:-

*_A.MJAMZITO_*

Ambapo wakati mimba inatungwa katika kizazi hua kuna baadhi ya wanawake hutokwa na damu japo inakuaga kidogo sana. Kwa siku hiyo moja.

*_B.MIMBA NJE YA KIZAZI_*

Yes k**a mimba ikitungwa nje ya kizazi haiwezi kukua na kua kubwa..

Kwa hiyo hua inapasuka na hupelekea kutokwa damu ambapo kwa haraka haraka unaweza kudhani ni damu ya hedhi kumbe ni mimba imepasuka.

Mara nyingi hii huambatana na maumivu makali ya kiuno na tumbo.

*_C.MIMBA INATOKA_*

Unaweza kudhani uko period kumbe ulikua mjamzito na mimba imetoka yenyewe bila wewe kujua.

*_D.NJIA ZA UZAZI WA MPANGO_*

Vitanzi, Sindano, Vidonge nk..

Husababisha mvurugiko wa homoni ambapo husababisha damu ya hedhi kutoka kidigo sana au nyingi sana.

*_E.STRESS_*

Mwanamke anapokua na msongo wa mawazo anaweza kukosa kabisa hedhi au hedhi ikaja kidogo sana.

*_F.UMRI_*

Kadri umri unavyokwenda kiasi cha hedhi kinapungua

*_G.PID_*

Yes PID hua ni moja ya sababu ya mwanamke kutokwa na damu kidogo sana au nyingi sana

*_H.VIMBE MAJI KATIKA MAYAI_*

Mwanamke anapokua na vimbe maji hasa PCOS hupelekea homoni kuvurugika ambapo husababisha hedhi kua kukosekana kabisa au kua kidogo sana.

Inashauriwa k**a hedhi yako ni kidogo sana au inakuja siku moja tu na kukata wahi hospitali.

AFYA ONLINE SERVICES:
ALL IT'S BECAUSE YOUR HEALTH MATTERS

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

01/03/2025

*_HAWA NI VIGUMU KUTUNGISHА MIMBA_*

============================
Karibu WhatsApp uweze kuendelea kujifunza kupitia WhatsApp group zetu kwa Jinsia zote

Comment niunge au tuma ujumbe Niunge kwenye WhatsApp number +255719593777

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

-------------- KARIBU--------------

Mwanaume kuna dalili akiwa nazo huenda ikaashiria kua ni vigumu kwake kutungisha mimba..

Baadhi ya dalili hizo ni:-

*_01:Kushindwa kabisa kusimamisha uume._*

Mwanaume ambaye hawezi kabisa kusimamisha uume maana yake ni vigumu kushiriki tendo,hivyo ni vigumu kwake kutungisha mimba.

*_02: Ikiwa mwanaume hamwagi shahawa kabisa au ana mwaga shahawa kidogo_*.

Ikiwa mwanaume anapofika kileleni anamwaga shahawa kidogo sana k**a matone au hamwagi shahawa kabisa huenda ikawa vigumu kutungisha mimba.

*_03: Ikiwa mwanaume amevimba korodani_*

Kuvimba korodani huenda ikawa ni dalili ya ugonjwa kitaalamu unajulikana k**a Vericocelle.

Hii ni hali ya mishipa ya damu inayozunguka korodani kuvimba.

Hii mishipa inapovimba huathiri uzalishwaji wa mbegu za kiume.

Na ndo unakuta mwanaume anazalisha mbegu za kiume chache au mbegu zenye hitilafu.

Viashiria vingine vya mwanaume asiyeweza kutungisha mimba ni :-

- *_04:Kukosa hamu ya kufanya mapenzi_*

- *_05:Korodani kua ndogo kuliko kawaida. Nk_*

Inashauriwa mwanaume kufanya chek-up ya mfumo wa uzazi walau mara moja kwa mwaka.

AFYA ONLINE SERVICES:
ALL IT'S BECAUSE YOUR HEALTH MATTERS

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

17/02/2025

*_INAKUAJE MWANAUME ANAPAΤΑ ΤΕΖΙ DUME_*

============================
Karibu WhatsApp uweze kuendelea kujifunza kupitia WhatsApp group zetu kwa Jinsia zote

Comment niunge au tuma ujumbe Niunge kwenye WhatsApp number +255719593777

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

-------------- KARIBU--------------

Ukisikia tezi dume maana yake ni k**a kifaa kinachotengeneza shahawa katika mwili wa mwanaume kimevimba.

Ambapo kikawaida kila mwanaume kifaa hicho anacho na huzaliwa nacho.

Ishu ni kwamba hiko kifaa au kiungo huongezeka kadri umri unavyokwenda.

Kwa baadhi ya wanaume huongezeka kwa kasi kubwa na wengine huongezeka pole pole.

Ukiachana na sababu ya umri sababu zingine zinazosababisha tezi hilo kukua na kuongezeka bado hazifahamiki.

Japo zipo baadhi ya sababu zinazotajwa kuchangia hali hiyo kutokea k**a:-

-Mabadiliko ya homoni

-Sababu za kijenetiki(Unakuta ukoo flani wanaume wanapataka tezi dume)

-Unene ulipotiliza

-Kutofanya mazoezi

-Maambukizi ya bakiteria katika tezi dume nk

Kwa hiyo hakuna sababu maalumu ya mtu kupata tezi dume, na hapo mwanzo wala hakukuwa njia maalumu kwamba mwanaume aifate ili asipate tezi dume.

Kikubwa ilikuwa ukiona una miaka 50 na kuendelea mkojo hautoki wote, unakojoa sana usiku nk

Huenda ikawa ndo tezi dume na unatakiwa uwahi hospitali.

Kutokana na Maendeleo ya Kiteknolojia kwasasa Kuna Supplements (Virutubisho) Vinavyosaidia mwanaume Asipate hilo Tatizo na K**a analo Basi zitamsaidia Apone kwa 100%

AFYA ONLINE SERVICES:
ALL IT'S BECAUSE YOUR HEALTH MATTERS

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

17/02/2025

*_MWANAMKE ANAVYOFIKISHWA KILELENI_*

============================
Karibu WhatsApp uweze kuendelea kujifunza kupitia WhatsApp group zetu kwa Jinsia zote

Comment niunge au tuma ujumbe Niunge kwenye WhatsApp number +255719593777

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

-------------- KARIBU--------------

Tofauti na wanaume wanavyofika kileleni, upande wa wanawake ishu iko tofauti kidogo..

Kwanza ni adimu sana mwanamke kufika kileleni na hata akifika kuna mikito yake..

Na hizi ni aina au namna ambavyo mwanamke anaweza kufika au kufikishwa kileleni..

Aina ya kwanza inaitwa:-

*_CL****AL OR**SM_*

Hii ni aina ya kwanza na maarufu ya mwanamke kufika kileleni ambapo kwa kuchezewa kisimi mwanamke hufika kileleni.

Kisimi ni makutano ya mishipa ya fahamu zaidi ya 8000.

Ndo maana kisimi kikipatiwa vizuri mwanamke anafika kileleni..

*_VA**NA OR**SM_*

Tafiti zinaonyesha kua mwanamke mmoja kati ya watatu anaweza kufika kileleni kwa uume kuingia ukeni..

Inasemekana mwanamke anafikaga kileleni kwa kufanya mapenzi pale eneo maalumu linalojulikana k**a G-**OT linapoguswa.

Kwa kifupi ni kwamba ukiingia ukeni k**a inch 2 hivi kwa ndani sehemu ya juu utakutana na eneo lenye mkusanyiko wa mishipa mingi ya fahamu ambapo eneo hilo likiguswa mwanamke anaweza pia kufika kileleni.

*_MULTIPLE OR**SM_*

Katika hali ya kawaida mwanaume akifika kileleni inachukua muda ili afike tena kileleni, tofauti na mwanamke yeye kwa wakati mmoja anaweza kufika kileleni zaidi ya mara moja.

Una enjoy hii session? K**a ndiyo usiwe mchoyo, settings za group zinaruhusu mtu yeyote kua add members wapya, basi fanya kuwa add wenzako kwenye group.

*_NI**LE OR**SM_*

Kwa baadhi ya wanawake japo kwa uchache wanaweza kufika kileleni kwa kuchezewa au kunyonywa matiti, Aina hii pia ni ya kipekee kwa wanawake.

*_COMBINED OR**SM_*

Hii nayo ni maajabu..

Yaani hapa ni kwamba mwanamke anafika kileleni kwa kupitia maeneo mbalimbali..

Mfano unakuta mwanamke kufika kwake kileleni ni mpaka achezewe kisimi, wakati huhuo uume uguse G- spot ..

Wanawake wanaofika kileleni kwa staili hii hua ni vigumu sana kufikishwa kileleni.

Umepata kitu? K**a ndiyo usiwe mchoyo, settings za group zinaruhusu mtu yeyote kua add members wapya, basi fanya kuwa add wenzako kwenye group.

AFYA ONLINE SERVICES:
ALL IT'S BECAUSE YOUR HEALTH MATTERS

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

08/12/2024

🇹🇿Day 343 of 366 ⚙️🩺💼🙋‍♂️

Good Evening Watu wa MUNGU 😊

Only Positive Vibes 🤞🤞🤞

27/11/2024

*_HEDHI ZAIDI YA SIKU 7 SHIDA NINI?_*

============================
Karibu WhatsApp uweze kuendelea kujifunza kupitia WhatsApp group zetu kwa Jinsia zote

Comment niunge au tuma ujumbe Niunge kwenye WhatsApp number +255719593777

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

-------------- KARIBU--------------

Kwa wastani mwanamke huingia period kwa siku kati ya 2 hadi 7.

Hedhi ikitoka zaidi ya siku 7 huenda shida ikawa ni:-

*_UVIMBE KWENYE KIZAZI_*

Kitaalamu inaitwa Fibroid au Mayoma.

Uvimbe katika kizazi husababisha hedhi kutoka nyingi, yenye mabonge makubwa na wakati mwingine huambatana na maumivu makali ya tumbo.

*_HORMONAL IMBALANCE_*

Hii ni sababu namba moja ya hedhi kutoka nyingi zaidi.

Ambapo chanzo kinaweza kua ni matumizi ya dawa za uzazi wa mpango, Vimbe katika tezi za shingo, Kukaribia kukoma hedhi, Au homoni zenyewe kuvurugika bila sababu ya msingi nk.

*_ENDOMETRIOSIS_*

Hapa unakuta seli za ukuta wa kizazi zimeota maeneo mengine nje ya kizazi.

Hii ni moja ya sababu ya mwanamke kushindwa kubeba ujauzito au kupata maumviu makali wakati wa hedhi..

*_ADENOMYOSIS_*
Hapa sasa unakuta seli za ukuta wa kizazi zimejichimbia katikati ya ukuta wa kizazi.

Hii ndo husababisha mwanamke hupata maumivu makali sana wakati wa hedhi.

*_UTERINE POLYP_*

Hizi nazo ni vimbe katika kizazi tofauti ni kwamba hizi hua zimetokana na tishu zinazotengeneza ukuta wa kizazi.

Hapa napo mwanamke hupata hedhi nyingi na maumivu wakati wa hedhi.

K**a una tatizo hili Please tuwasiliane kwaajili ya upatikanaji wa Suluhisho.

AFYA ONLINE SERVICES:
ALL IT'S BECAUSE YOUR HEALTH MATTERS

♡ ㅤ ❍ㅤ ⎙ ⌲
ˡᶦᵏᵉ ᶜᵒᵐᵐᵉⁿᵗ ˢᵃᵛᵉ ˢʰᵃʳᵉ

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
255