Munna Clinic
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Munna Clinic, Dar es Salaam.
14/12/2022
Tatizo la UGUMBA na Mimba Kuharibika limekuwa linaongezeka zaidi
Hali inayotia Hofu, huzuni pia kufedheka kwa mwanamke katika MAHUSIANO ...
Na cha kus**itisha, baadhi yao Tayari wamepambana kutumia Dawa tofauti Tofauti bila MAFANIKIO...
Miongoni mwa sababu (05) Hapo chini, ndizo zinasababisha USHINDWE kubeba mimba kwa wakati........
1️⃣Uwepo wa kasoro kwenye upevushaji wa mayai (40% ya wanawake)
2️⃣UHARIBIFU /KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI
unaosababishwa na maambukizi ya PID au Makovu labda kutokana na utoaji mimba katika njia zisizosalama
3️⃣UVIMBE kwenye kizazi :Dalili ni Maumivu chini ya Tumbo, kutokwa Damu nyingi, maumivu wakati wa tendo la ndoa, maumivu Ya mgongo na miguu, kukojoa mara kwa mara
4️⃣PID :Dalili za PID ni uchafu ukeni, maumivu ya tumbo Unapokaribia hedhi, Homa, Maumivu /kutokwa na Damu wakati wa tendo la ndoa, pia Kutokwa na Harufu mbaya ukeni.
5️⃣MVURUGIKO WA HOMONI :Homoni maalumu zinazosaidia Ushike UJAUZITO, zinapovurugika, upevushaji wa mayai huwa ni NADRA kutokea au Kutotokea kabisa.
6️⃣UMRI :Umri Mkubwa wa miaka 45 na kuendelea nafasi ya kushika mimba ni nadra sana kutokea
Ni KWELI hutafikia SULUHISHO(kushika ujauzito) iwapo hutopata matibabu sahihi 😔
ILA una nafasi Bado ya kubeba Mimba,
Kupata SULUHISHO rahisi tuwasiliane kupitia whatsapp/piga 0718341181 TUTAKUSAIDIA.
13/12/2022
malaika akimremba mwenzie😂😂😁
13/12/2022
UTAGUNDUA UNA UVIMBE KWENYE KIZAZI IWAPO UTAONA DALILI HIZI
✅Maumivu wakati wa tendo landoa!
✅Mimba kuharibika Mara kwa Mara( miscarriage).
✅Kupata damu ya hedhi nzito isiyoyakawaida.
✅Maumivu makali wakati wa hedhi.
✅ Unaweza kupata matatizo ya nyonga na ukipima unaweza kugundulika na uvimbe.
✅Kushindwa kupata ujauzito kabisa.
✅Kujaa muda wote na kujihisi K**a mjamzito.
✅Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi.
✅ Shinikinizo la kibofu Cha mkojo, na Mara nyingi inapelekea kukojoa Mara kwa Mara.
Pindi vimbe zinapoongezeka/kuwa kubwa, utaona baadhi ya mabadiliko k**a :
1. Kukojoa mara kwa mara
2. Haja kuwa ngumu.
3. Miguu kuvimba.
4. Kupungukiwa damu.
Mara Baada ya Kufanya UPASUAJI haina Maana Tayari IMEKWISHA, Hapana, ila uvimbe utakuja kuota TENA 😔
Kupata Matibabu ya KUDUMU dhidi ya FIBROIDS tumia namna zifuatazo kupata HUDUMA
Piga/Whatsapp :0718341181
12/12/2022
Ni kawaida kuhisi vibaya, Kutojiamini, na hali ya kukereka pindi uke unapotoa uchafu na harufu shombo ya samaki UKENI.....
Uchafu unaotoka ukeni ni kwa sababu ya bacteria wanaoshambulia katika via vyako vya uzazi..
Hali hii inapelekea mirija ya uzazi kuziba, na hata kupata Changamoto ya kushika mimba.
Umeona nyakati tofauti tofauti uke unatoa Uchafu mzito, Tuambie kupitia whatsapp /kupiga :0718341181 TUKUSAIDIE.
10/12/2022
NANI MKWELI HAPO 🤔
10/12/2022
Una uwezo wa kuepuka BAWASIRI, iwapo tu, Utazingatia haya yafuatayo :
-Kutumia Maji (lita 2 na zaidi) kwa siku
-Kuepuka kutumia muda mrefu chooni
-kutokukaa Sehemu moja kwa Muda Mrefu
-Kuepuka kunyanyua Vitu vizito zaidi mara kwa mara
-USITUMIE NGUVU WAKATI WA KUJISAIDIA
Iwapo Tayari Una Bawasiri, awali ZINGATIA ushauri wa hapo juu, hatua ya pili ni kupata Msaada wa kitabibu
Tuna Tiba Ya kudumu(mimea asilia) inafanya kazi Ya kumaliza BAWASIRI, pia inasaidia upate choo cha kawaida....
Kupata Huduma Kamili, Tumia namba zifuatazo Whatsapp /piga:0625904079
10/12/2022
Ugonjwa wa PID umekuwa ukiwasumbua wengi wanawake..
Wengi WAKITAMBUA, Tayari wamepata PID kwa kuchelewa...
Hii ni Kwasababu ya kushindwa kufahamu ni Dalili zipi za ugonjwa huu(PID) ..
Hizi ni Dalili Kuu(07) za ugonjwa wa PID
-1️⃣Kutokwa na Uchafu ukeni
-2️⃣Kutoa Kiarufu (shombo ya samaki) na Miwasho ukeni
-3️⃣Maumivu makali chini ya Tumbo
-4️⃣Maumivu makali wakati wa hedhi
-5️⃣Kutokwa na Damu /Maumivu wakati wa Kujamiiana
-6️⃣Homa
-7️⃣Kuhisi kuungua wakati wa kukojoa
Unapokuwa na ugonjwa wa PID, inachangia mirija ya uzazi kuziba, mimba kutunga nje ya kizazi (ECTOPIC PREGNANCY) na Kushindwa kupata Mimba kwa wakati...
NOTE:Wahi kuitibu PID, ILI upone Mapema, Kadri Unapochelewa kutibu PID, ndivyo PID inakutafuna zaidi.
Kupata Huduma (ushauri & Tiba Ya kudumu) Dhidi ya Ugonjwa wa PID, Tuma ujumbe Kupitia Whatsapp 0718341181 /kupiga Moja kwa moja
09/12/2022
Kheri ya Siku Ya uhuru Tanzania
08/12/2022
Ni wachache wa nafahamu ugonjwa wa Bawasiri..
Baadhi yao kutafsiri ni kipele kimeota eneo la Haja kubwa, kumbe ni ugonjwa HATARI wa bawasiri
Unagundua una Ugonjwa wa BAWASIRI iwapo una Dalili miongoni wa Hizi zifuatazo :
➡️kuwepo wa kinyama kilichovimba eneo la haja kubwa
➡️Miwasho eneo la Haja kubwa
➡️Maumivu sehemu ya Haja kubwa
➡️Kuvuja Damu wakati wa kujisaidia
KUMBUKA:Ni Hatari kwako Binafsi, ugonjwa huu unapouvumilia bila kuutibu MAPEMA
KWASABABU, Muda wa kupona unaongezeka, pia kuja kupata maumivu zaidi hali ya kushindwa kuendesha Shughuli zako kwa wakati na ufanisi k**a KAWAIDA.
Kupata Huduma Bora Dhidi ya ugonjwa wa Bawasiri, Tuma ujumbe Mfupi BAWASIRI Kupitia Whatsapp /SMS :0625904079
08/12/2022
Wanawake Wengi wanapenda kujaribu Ku *PUSH*, k**a Walifanyiwa Operation (c/s) Mimba Iliyopita
Na wengi wanapenda kajaribu kujifungua kwawaida(vaginally) kwa sababu mbali mbali,kuogopa kidonda,wengine wanakuwa waliumia sana kwenye Op,wengine wanaogopa dawa za ganzi,wengine wanaona sio mipango ya Mungu kuzaa kwa Op,wengine ni katika kuogopa tu Op,sababu ni nyingi kwa niliowahoji.
Na Hii Itawezekana k**a Yafuatayo Yametick
1.sababu iliyofanya ufanyiwe Op sio sababu endelevu, mfano mtoto Hakugeuka, huyu wa sasa Unakuta kageuka.
Lakin kuna sababu endelevu, mfano, MAMA una nyonga FINYU SANA, hata mimba zinazofuata itakuwa finyu tu utahitaji OP.
2.angalau Ulifanyiwa OP,miaka mi3 iliyopita au Zaid.
3.Mtoto huyu,Mimba Hii,Haina kizuizi kujifungua kwa kawaida...
Walau vigezo hivyo Vitick vyote.
Madhara ya KUJARIBU ku PUSH,k**a ulifanyiwa OP hata miaka miwili,mitatu bado,RISK ya KUCHANIKA kizazi ni MKUBWA and so risk ya kikosa huyo mtoto na wewe mwenyewe kupoteza maisha kwa Kumwaga damu Nyingi kutokana na KUCHANIKA kizazi.
Kwanza s**i hizi kutokana na jitihada za Kupunguza vifo vya mama na mtoto,Ku push Baada ya kufanyiwa OP, Haishauriwi.
Una changamoto Ya uzazi, wasiliana moja kwa moja na namba ifuatayo ya Huduma, kupitia whatsapp /SMS /kupiga :0718341181
07/12/2022
Kasoro ya UGUMBA, imekuwa inasumbua wengi wanawake...
Hali inayotia hofu wengi katika MAHUSIANO,
Baadhi yao wametumia gharama kubwa ya Matibabu bila mafanikio.
Hivyo, Hizi ni sababu Tano(05), zinazochangia USHINDWE kushika Mimba kwa wakati...
1️⃣Uwepo wa kasoro katika upevushaji wa mayai
2️⃣UHARIBIFU /KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI
unaosababishwa na maambukizi ya PID au upasuaji wa awali maeneo ya tumbo
3️⃣UVIMBE :Dalili ni Maumivu chini ya Tumbo, kutokwa Damu nyingi, maumivu wakati wa tendo la ndoa, maumivu Ya mgongo na miguu, kukojoa mara kwa mara
4️⃣PID :utaona Dalili Hizi, uchafu ukeni, maumivu ya tumbo Unapokaribia hedhi, Homa, Maumivu /kutokwa na Damu wakati wa tendo la ndoa
5️⃣UMRI :umri wa miaka 45 uwezo wa kushika mimba unapungua ni mdogo Sana
Nikutoe Hofu, Una uwezo wa kushika Mimba, bila kujalisha Una Changamoto ipi kwa sasa na muda gani umekuwa ukitafuta Mtoto..
Iwapo Umetafuta mtoto bila mafanikio, au unashika mimba na kuharibika.......
Tuwasiliane kupitia whatsapp /SMS :0718341181 au kupiga Moja kwa moja, UTAHUDUMIWA.
Click here to claim your Sponsored Listing.
