Afya_com
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya_com, Health/Beauty, Dar es Salaam.
29/11/2021
Fibroids ni uvimbe usio wa saratani ambao hujitokeza kwenye kuta za mfuko wa mimbauitwao uterusi kutokana na kuvurugika kwa homoni za uzazi. Uvimbe huu husababisha kubadilika kwa shape na size ya kizazi na pia dalili zingine mbaya. Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na uwepo wa uvimbe kwenye kizazi(fibroids . Ni jambo la msingi zaidi kwa wanawake wote kuchukua hatua katika kuzuia kutokea kwa fibroids.
22/11/2021
SARATANI YA TEZI DUME.
Tezi dume ni nini?
Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.
Ipo wapi?
Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguks mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.
Saratani ya tezi dume ni nini?
Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini
Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume:
1. Umri Mkubwa kuanzia miaka 50
2.Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii
3. Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu
4. Unene uliokithiri
5. Ukosefu wa mazoezi
6. Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.
7. Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume
DALILI ZAKE NI ZIPI.?
1. Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
2.,Kwenda kukojoa mara kwa mara.
Damu ndani ya mkojo.
3. Kushindwa kukojoa.
4. Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
5. Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
6. Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.
7. Kupungua kwa nguvu Za kiume
UCHUNGUZI.
Wanaume wote wanpaswa kufanya uchunguzi wa saratani ya tezi dume kuanzia miaka 50. Kwa wale wenye historia katika familia wanapaswa kuanza wakiwa na umri wa miaka 45.
0766369996.
0623028530.
Karibu tukusaidie ukiwa mahali popote πΉπΏ.
14/11/2021
Hello Ladies..!! USITUMIE SABUNI KUSAFISHIA UKE WAKO....Tumia Femicare Feminine Cleanser pekee.
Kwanini Utumie Femicare Feminine Cleanser kwa ajili ya usafi na usalama wa uke wako?? ππΎππΎππΎππΎ
-: haina kemikali wala madhara ya aina yoyote hivyo anaweza tumia mwanamke yeyote.
-: Huondoa maanbukizi ya bacteria wabaya ukeni na kusaidia uzalishwaji wa bacteria walinzi katika uke wa mwanamke. Hutibu tatizo la FANGASI sugu pamoja na U.T.I (ni nzuri kutumia baada ya damu ya hedhi kukata ili kuzuia maambukizi ya bacteria wabaya ukeni).
-: Huondoa tatizo la kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni pamoja na miwasho.
-: Husaidia kutunza maeneo ya siri safi na salama na kukufanya ujiskie vizuri muda wote hasawa wakati wa tendo la ndoa na kumfanya mwenza wako kufurahia zaidi tendo hilo kwa kuwa huimarisha misuli ya uke na kuwa imara zaidi.
-: Husaidia kutunza maeneo ya uke dhidi ya maambukizi ya magonjwa mbali mbali k**a vile PID,fangasi pamoja na UTI
Wasiliana Nasi uweze kujipatia Femicare kwa ajili ya usafi na kuboresha maeneo yako ya ukeni.
0766369996
0623028530
Ukiwa mahali popote Tanzania na bidhaa itakufikia kwa uaminifu mkubwa
Karibu sana tukuhudumie.
10/11/2021
DALILI (15) HATARI KWA MWANAMKE.
Kuna baadhi ya dalili ambazo wanawake huziona ni za kawaida na kuzipuuza lakini baada ya muda huona madhara makubwa yanayogharimu afya zao za uzazi.
Hapa nimekuwekea baadhi ya dalili ambazo hupaswi kuzipuuza pale zinapokutokea.π
1. Kupata Maumivu makali chini ya
kitovu yanayo ambatana na maumivu
ya kiuno,
2. Kuhisi maumivu na hali ya
kuchomachoma wakati wa haja
ndogo,
3. Miwasho sehemu za siri ndani au nje
ya uke,
4. Kutokwa na ute ukeni usio wa
kawaida, ute huu unaweza kuwa wa
njano, mweupe, kijani, kahawia, au
uliochanganyika na damu hizi ni dalili
za maambukizi katika via vya uzazi,
5. Kupata maumivu makali wakati wa
tendo la ndoa,
6. Kuhisi k**a kuna kitu kinasukumwa
kinachouma wakati wa tendo la ndoa,
7. Kutokwa na hedhi bila mpangilio,
8. Kupata maumivu makali sana wakati
wa hedhi,
9. Kutokwa na damu ya hedhi yenye
mabonge au nyeusi sana,
10. Kutokwa na damu ya hedhi mfurulizo
bila kukata zaidi ya siku 7 na
kuendelea,
11. Hedhi kujirudia ndani ya mwezi
mmoja zaidi ya mara mbili au tatu,
12. Kutopata hedhi kwa muda mrefu
wakati si mjamzito na bado
hajafikia umri wa kukoma hedhi,
13. Kupata vipele vinavyouma na
kuwasha sehemu za siri,
14. Kuvimba na kuwa mwekundu kati
midomo ya nje ya uke,
15. Uke kuwaka Moto.
Nini_ufanye_unapopata_dalili_hizi
Usisite kuwasiliana nasi kwa msaada wa tiba na ushauri wa kiafya.
0623028530
0766369996
KARIBU TUSAIDIANE
07/10/2021
Kisukari Sio Ugobjwa Wa kudumu na inatibika kabisa bila kutumia Sindano za Insulin wala dawa za Mahospitalini
Karibu tukuhudumie na uweze kuondokana na Kisukari kabisa ukiwa mahali popote Nchin Tanzania πΉπΏ
0766369996/0623028530
07/10/2021
07/10/2021
Tuko hapa kukuhudumia na kuhakikishia ni Tiba ipi bora kwa ajili ya changamoto yoyote ya kiafya inayokutatiza na kuhakikishia tiba hiyo inakufikia kwa usalama zaidi na kwa wakati sahihi.
Karibu
29/09/2021
Kuna baadhi ya dalili hatari ambazo wanawake wengi hukutanan nazo na kuziona ni za kawaida na kuzipuuzia lakini baada ya muda hupata madhara makubwa yanayo yanagharimu afya zao za uzazi .
Hapa ππΎππΎnimekuwekea baddhi ya dalili amabzo hupaswi kuzipuuza pale zinapokutokea...
1. Kuhusi miwsho sehemu za siri nje au ndani ya uke.
2. Kupata maumivu makali chini ya kitovu nayoambatana na kiuno
3. Kuhisi maumivu makali na ya kuchochoma wakati wa haja ndogo.
4. Kutokwa na ute usio wa kawaida,ute huu unaweza kuwa na rangi ya njano,au mweupe,au kijana,au kahawia,au uliochanganyikana na damu.hizi ni dalili za maambukizi katika via vya uzazi.
5.kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
6. Kutokwana hedhi bila mpangilio
7. Kupata maumivu makali wakati wa hedhi
8. Kutokwa na damu nyeusi sana au yenye mabonge mabonge.
8. Kutokwa na damu hedhi mfululizo bila kukata zaidi ya siku saba na kuendelea.
9. Hedgi kujirudia ndani ya mwezi mmoja zaidi ya mara mbili au tatu
10.kutopata gedhi kwa muda mrefu wakati si mjamzito na hujafukia umri wa ukomo wa hedhii
11. Kupata vipele vinavyouma na kuwasha sehemu za siri
12. Uke kuwaka moto
13.kuvimba na kuwa mwekundu katika midomo ya uke.
K**a ni mmojawapo ambaye umekutana na dalili k**a hizo usisite kunitafuta niweze ili nikusaidie
Tuma neno AFYA kwenda au za kawaida kwa namba 0623028530.
Au piga simu tuzungumze
27/09/2021
Karibu inbox Whatsap kwa namba 0623028530 tuzungumze kwa changamoto zote ππΏ za uzazi
Au piga simu namba 0623028530 kwa msaada zaidi.
Karibu inbox Whatsap kwa namba 0623028530 tuzungumze kwa changamoto zote ππΏ za uzazi
Au piga simu namba 0623028530 kwa mawasiliano zaidi
RAHA YA MWANAMKE NI KUWA NA AFYA BORA KATIKA MFUMO WA UZAZI
Hello
Health is wealth
Click here to claim your Sponsored Listing.
