AFYA BORA
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA BORA, Health/Beauty, dar es salaam, Dar es Salaam.
MIMI NIMSHAURI NA MSAMBAZAJI WA BIDHAA BORA ZA AFYA AMBAZO ZINA TATUA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA AFYA K**A.
▶️P.I.D FANGASI
▶️TEZI DUMU
▶️KISUKARI
▶️UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME ▶️UJAUZITO MIRIJA YA UZAZI KUZIBA NA KWA WATOTO PIAH NK.
Mwanaume, usipuuzie dalili hizi! Huenda zinaashiria maambukizi kwenye mfumo wa uzazi:
🔹 Maumivu au kuungua wakati wa kukojoa
🔹 Kutokwa na uchafu usio wa kawaida kwenye uume
🔹 Maumivu ya korodani au sehemu za siri
🔹 Kukojoa mara kwa mara kuliko kawaida
🔹 Kuwashwa au muwasho sehemu za siri
Ukiona dalili hizi, ni muhimu kuwahi kupata ushauri na uchunguzi wa kitabibu mapema ili kuepuka madhara kwenye afya ya uzazi.
U.T.I huathiri mfumo wa mkojo, wakati P.I.D huathiri mfumo wa uzazi wa mwanamke. Dalili zinaweza kufanana, hivyo ni muhimu kupata ushauri na vipimo sahihi kabla ya kutumia dawa.
📲 WhatsApp: 0672518275 kwa ushauri zaidi
Njia rahisi kabisa ya kuondoa miwasho na fangasi sehemu za siri kwa mwanamke
Miwasho na fangasi sehemu za siri mara nyingi husababishwa na ukuaji kupita kiasi wa fangasi aina ya Candida.
Ili kupunguza tatizo hili:
✅ Osha sehemu za siri kwa maji safi na epuka kutumia sabuni zenye kemikali kali au manukato.
✅ Vaa nguo za ndani za pamba na epuka nguo zinazobana sana ili eneo libaki kavu.
✅ Badilisha nguo za ndani kila siku na baada ya kufanya mazoezi au kutoka jasho jingi.
✅ Punguza matumizi ya sukari nyingi kwenye lishe, kwani sukari inaweza kuchochea ukuaji wa fangasi.
✅ Tumia vyakula vyenye probiotics k**a mtindi usio na sukari au virutubisho vya probiotics vinavyosaidia kuboresha uwiano wa bakteria wazuri mwilini.
✅ K**a dalili zinaendelea, tumia dawa za fangasi ulizoelekezwa na mtaalamu wa afya au fanya uchunguzi ili kujua chanzo halisi.
"Usipuuzie miwasho na fangasi sehemu za siri!"
Tatizo hili linaweza kuathiri faraja yako ya kila siku na kuendelea kujirudia mara kwa mara. Kuanza na usafi sahihi, lishe bora na kuongeza bakteria wazuri mwilini kupitia probiotics kunaweza kusaidia kupunguza tatizo.
Ikiwa dalili zinaendelea au kujirudia mara kwa mara, fanya uchunguzi wa kitaalamu ili kupata tiba sahihi.
K**a unapata miwasho, niandikie neno MIWASHO ili nikupatie mwongozo sahihi wa kitaalamu utakaokusaidia kupona haraka. 0672518275
Miezi inapita bila kuona hedhi? Usipuuzie! ⚠️
Kutokuona hedhi kwa muda mrefu kunaweza kusababishwa na changamoto za homoni au matatizo mengine ya afya ya uzazi. Pata ushauri na matibabu mapema kabla hali haijawa kubwa zaidi.
Swali: Umewahi kukaa muda gani bila kuona hedhi kabla ya kutafuta matibabu? 🤔👇 0672518275
🚨 BAADA YA KUTUMIA UZAZI WA MPANGO ukiona mwili wako una dalili zisizo za kawaida k**a maumivu makali, kutokwa damu kupita kiasi, hedhi kubadilika sana au maumivu ya chini ya tumbo usikae kimya.
Afya ya uzazi inahitaji uangalizi wa mapema ili kuepusha madhara makubwa baadaye. 🩺
📩 Wasiliana nasi kwa ushauri na matibabu sahihi mapema.
“Afya Bora” tunajali afya yako kwanza. 0672518275
Je unatamani kuitwa mama je na wewe nimhanga wa changamoto za uzazi...
Siku moja mida ya usiku simu yangu ilianza kuita nikaichukua kuangalia ilikua ninamba ngeni. Nikapokea, Habari bako, Salama nikasikia sauti ya mwana dada Akaniuliza samahani Dr Emanuly. wewe uko wapi na unahusika ni nini. Nikamjibu bila samahani mimi nipo Dar es Salaam nah Usikae na utatuzi wa changamoto za uziza kwa wanawake.
MAZUNGUMZO YAKAANZA.
Je bei zenu ziko je.
mimi: Huduma zetu nikutokana na ukubwa wa changamoto hivyo naomba tuzungumze kiundani ili niweze kukupatia tiba itakayo tibu chanzo na tatizo lenyewe.
madam... Sawa, Mimi nina tatizo kubwa Doctor yani homoni zangu hazipo sawa nimetumia dawa lakini bado lakini natokwa na uchafu ukeni hauna harufu na niwanjano nimetumia dawa za kila aina lakini bado hali inatulia inarudi nimeenda hospitalini nimeambiwa nina P.I.D Nikapewa dawa lakini bado sasa ivi uke wangu unakuwa mkavu na hata hamu ya tendo sina kabisa nisaidie Doctor naitaji mtoto. mimi nipo (Mozambique 🇲🇿)
Doctor... Pole sana madam kwa changamoto hiyo lakini ondoa shaka na weka imani sasa unaenda kupona kabisa na kurejesha furaha yako ya kuitwa mama.
Kwanza P.I.D ndio chanzo kikubwa cha wewe kutopata ujauzito sababu maambukizi yameenda kuharibu mfumo mzima wa uzazi ndio maana unatokwa na uchafu wa njano. Hiyo ni taarifa kuwa kizazi chako kipo hatarini k**a hutoanza tiba mapema basi uwezekano wa ujauzito nimdogo sana.
madam....Nikweli unavo sema dr ila je hizo bidhaa nazipataje huku na je kweli unanihakikishia nitapata ujauzito sababu nimetumia pesa nyingi kweli na mafanikio hakuna naogopa mana mwanzoni niliambiwa hivyo hivyo ila baada ya hapo hakuna chochote.
Doctor... Namna ya kuzipata bidhaa zetu nirahisi na kwa uaminifu mkubwa piah nikuondoa hofu na mashaka ukianza2 matibabu basi utaanza kuona mabadiliko na mwili wako utajirekebisha na kujiandaa kwaajili ya kushika ujauzito. Nimewa saidia kina mama wengi na kina dada wengi na wamefanikiwa na kupata ujauzito.
Bidhaaa zetu zimelenga kuanza na chanzo na tatizo.. Zinasaidia kusafisha kizazi.
Zina saidia kuondoa bacteria wabaya.
Zina saidia mwili wa mwanmke uweze kujiandaa na kupa ujauzito.
Zina saidia mayai kupevuka kwa wakati.
Zina balance homon
Zina saidia kuondoa madhara ya P.I.D
Zinaongeza hamu ya tendo la ndoa.
Madam.... Sawa Doctor nimekuelewa Piah ahsante kwa kunitia moyo.
Doctor.. Sawa madam Tupo pamoja na ninaimani sasa unaenda kupona...
Wanawake wengi wanapitia changamoto mbali mbali za afya kimya kimya wengine wamekata tamaa..
Habari njema kwako wewe mwanamke ni hii sasa suluisho la changamoto za uzazi limepatikana tuwasiliane mapema upate tiba sahihi. 0672518275
Je na wewe unaitaji kushika ujauzito.
Changamoto k**a.
Homon inbalance
kutokwa na uchafu wenye harufu
uvimbe kwenye kizazi
mayai kuchelewa kupevuka
mirija ya uzazi kuziba.
Zinachelesha wanawake wengi kushika ujauzito.
Habari njema kwako mwanamke ni hii nimewa saidia kina mama wengi na kina dada wengi kupitia bidhaa bora za Afya na wamepata matokeo mazuri na kupona kabisa.
Tuwasiliane sasa uweze kupata ushauri na tiba itakayo kusaidia kuongeza nafasi ya kushika ujauzito.
EMANUELY HEALTH CARE
+255 672 518 275.
SIRI YA KUONDOA PID KWENYE KIZAZI
Unasumbuliwa na maumivu ya tumbo la chini, uchafu usio wa kawaida au harufu mbaya?
Inaweza kuwa ni PID… na wengi hawajui njia sahihi ya kujikinga!
Mchanganyiko wa asili k**a:
✔ Vitunguu saumu
✔ Tangawizi
✔ Kitunguu maji
✔ Karafuu
✔ Asali
Husaidia:
• Kupunguza uvimbe mwilini
• Kupambana na bakteria
• Kuimarisha kinga ya mwili
JINSI YA KUTUMIA:
Chemsha glasi 2 za maji, kisha weka:
• Punje 3 za vitunguu saumu
• Kipande kidogo cha tangawizi
• Nusu kitunguu maji
• Karafuu 4
Acha ichemke dakika 10, ipoe kidogo kisha ongeza kijiko 1 cha asali.
Kunywa glasi 1 asubuhi na 1 usiku kwa siku kadhaa.
LAKINI KUMBUKA:
Hii ni njia ya kusaidia afya tu, sio mbadala wa matibabu ya hospitali. PID ni hatari ikipuuzwa!
USIPUUZE DALILI:
Ukiona hali inaendelea, wahi hospitali mapema kuepuka madhara makubwa kwenye kizazi.
Jilinde, jithamini, afya yako ni muhimu!
+255 672 518 275
Wakati mwingine changamoto ya kupata mtoto haitokani na sababu moja tu. Zipo sababu nyingi zinazoweza kuathiri uwezo wa mwanamke kushika mimba au kubeba ujauzito salama.
🔹 Maambukizi ya mara kwa mara kwenye mfumo wa uzazi
🔹 Kuziba kwa mirija ya uzazi
🔹 P.I.D sugu
🔹 Uvimbe kwenye kizazi (Fibroids)
🔹 Homoni kutokuwa sawa
🔹 Mayai kutokomaa vizuri
🔹 Mzunguko mbaya wa hedhi
🔹 Msongo wa mawazo na maisha yasiyo na lishe bora
🔹 Saratani ya mlango wa kizazi au vidonda vya kizazi
🔹 Kutopata matibabu mapema
⚠️ Wanawake wengi hupuuza dalili za awali hadi tatizo linapokuwa kubwa zaidi.
❤️ Afya ya uzazi ni muhimu sana. Ukiona dalili zisizo za kawaida k**a maumivu ya chini ya tumbo, ute wenye harufu, hedhi kuvurugika au maumivu wakati wa tendo — usikae kimya.
📩 Wahi kupata ushauri na tiba mapema kabla madhara hayajawa makubwa. 0672518275
🚨 MFUKO WA KIZAZI UKITOA UCHAFU AU MAAMBUKIZI USIYAPUUZE! 🚨
Je, unasumbuliwa na:
❌ Ute mzito wenye harufu mbaya
❌ Maumivu ya tumbo la chini
❌ Hedhi kuvurugika
❌ Kuwashwa au kuungua sehemu za siri
❌ Kushindwa kupata ujauzito
Hizi zinaweza kuwa dalili za maambukizi kwenye mfumo wa uzazi yanayohitaji tiba mapema kabla hayajaleta madhara makubwa zaidi. ⚠️
✨ Tunatoa ushauri na bidhaa maalum za kusaidia kusafisha mfumo wa uzazi, kupunguza maambukizi na kurejesha afya ya uke na kizazi.
📩 Tuma ujumbe sasa upate maelezo zaidi.
Afya Bora ni kipaumbele cha mwanamke 💕
+255 0672 518 275
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
123
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |
