AFYA BORA
TIBA KWA CHANGAMOTO TOFAUTI ZA KIAFYA
10/08/2023
JINSI YA KUPONA VIDONDA VYA TUMBO SUGU KWA HARAKA.
Je, umehangaika kupona vidonda vya tumbo bila mafanikio?
Unahitaji kupona Vidonda vya tumbo kwa haraka?
umechoka kuteseka na Vidonda vya tumbo kila siku?
Ujumbe huu ni kwa ajili yako sasa hivi, chukua hatua.
BONYEZA LINK HII KUPATA MUONGOZO SAHIHI
πππππππππ
https://chat.whatsapp.com/DV8SoDb5fpF9mAvUK2rvRt
08/08/2023
VYA TUMBO (peptic ulcer disease)
β’ hutokea kwenye mfuko wa chakula (gastric ulcers) na pia kwenye sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo (duodenal ulcers). Tumbo ni kati ya sehemu mwilini ambazo huzalisha acid kwa jili ya kusaidia kwenye uyeyushaji wa chakula na katika kulinda utumbo na uambukizo wa vimelea vinavyoleta magonjwa.
K**a tujuavyo acid hii yaweza kuunguza sehemu hii ya utumbo na hivyo kusababisha madhara. Kuna njia tumboni ambazo zinaulinda utumbo usiweze kupata madhara haya ya acid, mojawapo ikiwa ni utando wa mucous tumboni lakini pia regulation katika utengenezaji wa acid ili isije ikazidi. regulation hii ni automatic mwilini. Regulation na uzalishaji wa acid hufanywa chini ya matakwa ya mfumo wa neva. Kwa hiyo acid lazima iwepo kwa ajili ya umuhimu wake, lakini isiwepo kwa kiwango kinachoweza kuleta madhara (hii ndio essence ya regulation).
VIDONDA VYA TUMBO:
hutokea pale ambapo kunakuwa na uzalishaji mwingi wa acid kupita kiasi au pale ulinzi wa tumbo dhidi ya acid unapopungua. Acid hutengenezwa na chembe hai tumboni zinazoitwa parietal cells.
SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO
1. uzalishaji wa acid nyingi tumboni - hii husababishwa na kuongezeka kwa chembe hai zinazozalisha acid, chembe hizi zaweza kuongezeka kwa sababu ya cancer (gastrinoma - husababisha ugonjwa wa acid nyingi unaoitwa Zollinger - Ellison Syndrome), lakini chembe hizi pia zaweza kujigawanya bila mpangilio (hyperplasia) hivyo zikawa nyingi na kusababisha uzalishaji wa acid kuongezeka.
2. Kutokuwepo na uwiano kwenye regulation ya uzalishaji wa acid, kunatakiwa kuwe na uwiano kati ya vile vitu vinavyoamuru uzalishaji wa acid na vile vinavyozuia. Inapotokea vile vinavyoamuru uzalishi vikavizidi nguvu vile vinavyozuia uzalishaji basi acid huzalishwa kwa wingi na hivyo kusababisha vidonda.
3. uambukizo wa bacteria aina ya Helicobacter pylori . Hawa huharibu ule utando unaolinda utumbo na hivyo kufanya acid iweze kupenya na kusababisha vidonda
4. Kuna dawa pia ambazo mgonjwa akitumia sana zaweza kumsababishia michubuko na vidonda tumbo, dawa hizi ni zile za jamii ya NSAIDs (Non steroidal anti-inflammatory disease) k**a aspirin, brufen, indomethacin (indocid) na zote za jamii hii.
Mechanism ya utokeaji wa vidonda ni complex na nadhani nimeelezea kwa kifupi na lugha ambayo naamini imeeleweka.
Matibabu yapo ambayo huhusisha Tibalishe zinazopunguza utengenezaji wa acid, Tibalishe zinazozuia bacteria wa H. Pylori lakini na upasuaji endapo hizi Tibalishe zitashinda Vidonda vya tumbo hupona kabisa endapo mtu atapata matibabu sahihi.
Ili uondokane na hili inabidi kwanza upate tiba sahihi ya ugonjwa sahihi . Kwa yeote mwenye dalili za ugonjwa huu tafadhali wahi matibabu
Wahi kupata tibalishe itakayokuponya na kukutibu kabisa
KARIBU UPATE MUONGOZO SAHIHI
BONYEZA HII LINK KUJIUNGA
https://chat.whatsapp.com/DV8SoDb5fpF9mAvUK2rvRt
08/08/2023
*βͺοΈUNASUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO, NA UMETUMIA DAWA NYINGI BILA MAFANIKIO YOYOTE ??*
π *Wanaitwa H.pylori Bacteria:*
βͺοΈHawa ni Bacteria ambao zaidi ya 87% ya Watu wenye Matatizo ya Vidonda vya Tumbo, Matatizo yao yamesababishwa na uwepo wa Bacteria hawa.
βͺοΈ Ni Bacteria ambao wanaweza Kuingia katika Mfumo wako wa Mmeng'enyo wa Chakula (Tumbo & Utumbo) Kwa Kupitia:
*π€·ββοΈ Vyakula unavyokula kila siku, na Maambukizi kutoka kwa Mtu mmoja kwenye Mwingine Kwa Njia ya Kugusana au Kubadilishana Mate.*
βͺοΈUnaweza kuwa Unatumia Dawa Nyingi sana za Kumaliza Tatizo la Vidonda vya Tumbo, Tumbo Kujaa Gesi, Kiungulia au Tumbo Kuuma Mara Kwa Mara Bila Mafanikio Yoyote, Basi Ni Vyema Ufahamu Kuwa, k**a Dawa zako hazina Uwezo wa Kuwathibiti hawa Bacteria *UTAENDELEA KUWA MTUMWA WA KULA DAWA KILA SIKU* Bila kupata Mabadiliko yoyote..
βΌοΈSasa, Katika hili group nimeandaa elimu ni Namna gani Utaweza kuepukana na tatizo hili Nimetoa Ufafanuzi Vyema Jinsi Unavyoweza Kuwathibiti hawa Bacteria na Pia K**a Una Dalili zozote za Vidonda vya Tumbo,
KARIBUNI UPATE SULUHISHO
BONYEZA LINK HII KUJIUNGA
πππhttps://chat.whatsapp.com/DV8SoDb5fpF9mAvUK2rvRt
13/07/2023
https://chat.whatsapp.com/Ggn7SjNvVOX1Ps0BMstlSZ
Katika kipindi cha zaidi ya Miaka 11 sasa, nimekuwa nikiwasaidia wanaume kuondoa changamoto zao za kiafya, na nimegundua Makosa mawili makubwa yanavyowafanya wanaume washindwe kabisa kupona changamoto zao.
*1. WANAUME WENGI HAWAZIFAHAMU CHANGAMOTO ZAO KWA KINA.*
Baadhi ya wanaume niliowauliza kuhusu changamoto zao majibu yao yalikuwa haya.....
-hata sijielewi kabisa, nimekuwa mchovu sana yaani naaibika tu.
-Nimejikuta tu nashindwa kushiriki tendo vizuri sijui hata nini kimetokea.
-changamoto yangu nashindwa kumridhisha mwenza wangu n.k
_Lakini hata wachache wenye kuzifahamu changamoto zao bado wanashindwa kufahamu chanzo cha changamoto zao._
Nilipowauliza kuhusu chanzo cha changamoto zao majibu yalikuwa hivi....
-Ndugu yangu hii hali imejitokeza tu yenyewe hakuna kitu nilichofanya.
-Doctor mimi nilikuwa vizuri sana ila nashangaa sasa hivi et nakomea kimoja tu n.k
Kosa hili kubwa Limewafanya Wanaume wengi kutumia Madawa mengi na mwisho Changamoto zao zimekuwa kubwa zaidi.
*2. WANAUME WENGI HAWAJUI WANATAKIWA KUFANYA NINI KUPONA CHANGAMOTO ZAO*
Hii imewafanya wanaume wengi kujaribu kila kitu, _Mbaya zaidi wengi wamekuwa watumiaji wazuri wa madaya ya kuongeza nguvu za kiume (kuboost)_
*(Waswahili wanasema "K**a hujui unapokwenda huwezi kupotea")*
Leo acha nikuamshe Kwenye usingizi uliolala kwa muda mrefu *"HAKUNA DAWA YOYOTE INAYOTIBU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME"*
Upungufu wa Nguvu za kiume sio ugonjwa, ni changamoto inayojitokeza kutoka na mtindo wako wa maisha ya kila siku (Lifestyle),hivyo njia bora ya kupona changamoto yako ni kubadili mtindo wako wa maisha(lifestyle).
_Inawezekana hapa Nimeanza kukuvuruga zaidi._
Kwa kutambua Ukubwa na Ugumu wa changamoto yako nimeamua kuandaa Somo Buree kabisa hapa,
Somo hili litakusaidia vitu vifuatavyo:-
*Kwanza* kuifahamu vyema changomoto yako.
*Pili* Kufahamu Exactly unatakiwa kufanya nini kupona changamoto yako
*Tatu* Kupatiwa Mwongozo hatua kwa hatu ili kuhakikisha unapona changamoto yako.
*Nini Unachotakiwa Kufanya!*
*SOMO HILI LITATOLEWA KWA NJIA YA AUDIO, PICHA NA VIDEO CLIP PALE ITAKAPOHITAJIKA*
Unachangamoto yoyote unatamani kuzungumza na mimi?
Save namba yangu, kisha nitumie Jina lako nami nisave namba yako, ili uweze kupata msaada kwa uharaka zaidi.
Namba zangu ni:
*0688484174*
*KARIBU USIKILIZE SOMO:*
BONYEZA LINK HII KUPATA ELIMU ZAIDI WHATSAPP GROUP
πππππππππππππππ
https://chat.whatsapp.com/Ggn7SjNvVOX1Ps0BMstlSZ
08/07/2023
JE ? UNARIDHIKA NA KIMOJA CHALI ??
Katika vitu ambavyo havifurahishi na vina ongeza hofu kwa mwanaume ni kuwa mtu wa kimoja kila wakati
kila mtu anajua kuwa sifa ya mwanaume ni kwenda Raund zaidi ya mbili hapo tunaita wewe ni rijali
Lakini K**a wewe unaishia kimoja kila wakati ni aibu kubwa kwako na unapungukiwa na sifa ya kuitwa mwanaume
CHA KUFANYA
kula chakula chenye kujenga afya yako zaidi
Kula matunda kwa wingi
fanya mazoezi na pata muda wa kupumzika
K**A CHANGAMOTO INAYOKUSUMBUA NI YA MUDA MREFU
)
Tafadhali wasiliana na Mimi kwa kutuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neno AFYA BORA kwenda namba 0688484174
Natoa elimu kwanza BURE kisha nitakupatia suluhisho la tatizo lako
USIKUBALI KUDHARALAULIWA KILA SIKU
GUSA HII LINK KUJIUNGA NA GROUP LA WHATSAPP
MOJA KWA MOJA. πππππππ
https://chat.whatsapp.com/Ggn7SjNvVOX1Ps0BMstlSZ
05/07/2023
K**a unakosa hamu ya tendo la ndoa, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
K**a uume hausimami barabara, una upungufu wa nguvu za kime.K**a uume unasimama kwa muda mfupi na kulegea, una upungufu wa nguvu za kiume.
K**a uume wako hulegea muda mfupi tu baada ya kuingia ukeni, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.K**a unafika kileleni muda mfupi tu baada kuingia ukeni, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
K**a unashindwa kufika kileleni una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.K**a unasikia maumivu wakati uume unaposimama, una tatizo la kuishiwa nguvu.nza kiume.
K**a unashindwa kutoa mbegu (shahawa), una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.Iwapo moja ya matatizo hayo yatakutokea, fahamu ya kwamba, una UPUNGUFU wa nguvu za kiume, na hivyo sasa ni muda muafaka wa kutafuta matibabu sahihi bila kuchelewa.
Unapoanza kujitibu mapema kabla mambo hayajawa mabaya zaidi, unakuwa umejitengenezea fursa pana ya kupona.
Usisubiri mpaka hali iwe mbaya wahi Sasa kupata SULUHISHO
0688484174
*CHANGAMOTO YA MWANAUME KUFIKA KILELENI MAPEMA*
Kwa Mwanaume, au Kile Kinachojulikana K**a Kumwaga Mapema Au Kumaliza Haraka, Ni Hali Ambayo Inaweza Kutokea Kwa Wanaume Wengi Wakati Fulani Katika Maisha Yao.
β οΈHii Inaweza Kuwa Chanzo Cha Wasiwasi Au Kukosa Kuridhika Katika Uzoefu Wa Ngono.
β οΈKuna Sababu Mbalimbali Zinazoweza Kusababisha Mwanaume Kufika Kileleni Haraka. Hapa kuna baadhi ya sababu za kawaida:
πUzoefu: Katika Wanaume Vijana Hasa, Kukosa Uzoefu Wa Kutosha Katika Ngono Kunaweza Kusababisha Kufika Kileleni Haraka. Kadri Mwanaume Anavyopata Uzoefu Zaidi, Anaweza Kujifunza Kudhibiti Hisia Zake Na Kuchelewesha Kufika Kileleni.
πMsukumo Wa kihisia: Hisia Za Msisimko, Shauku, Au Wasiwasi Zinaweza Kusababisha Mwanaume Kufika Kileleni Kwa Haraka. Mawazo Yanayo Husiana Na Hofu Ya Kushindwa Au Kutowaridhisha Wenza Wao Mara Nyingi Huongeza Shinikizo Na Kusababisha Mzunguko Wa Kumaliza Haraka.
πNjia ya kujamiiana: Baadhi ya wanaume wanaweza kuwa na msuguano mkubwa au msisimko mkubwa katika maeneo fulani ya sehemu za siri, ambayo inaweza kusababisha kufika kileleni haraka. Njia ya kujamiiana inaweza kusaidia kwa kuweka shinikizo kidogo katika eneo hilo na hivyo kuchelewesha kufika kileleni.
πMatatizo ya kiafya: Katika baadhi ya matukio, sababu za kimatibabu zinaweza kusababisha kufika kileleni haraka. Matatizo k**a vile kisukari, matatizo ya tezi, na matatizo ya neva yanaweza kuhusishwa na shida hii. Ni vyema kushauriana na daktari ili kuchunguza ikiwa kuna sababu za kiafya nyuma ya suala hili.
K**a mwanaume anayekabiliwa na suala hili, kuna njia kadhaa za kujaribu kukabiliana nayo:
πMazoezi ya kupanua: Mwanaume anaweza kufanya mazoezi ya kupanua ili kujenga nguvu ya misuli ya pelvic floor. Mazoezi k**a vile Kegels yanaweza kusaidia kudhibiti misuli hii na kuchelewesha kufika kileleni.
π Mazoezi ya kusisimua: Kujifunza kusisimua mwili wako na kuelewa jinsi mwili wako unavyojibu kwa msisimko kunaweza kusaidia kuondoa changamoto yako
π Matumizi Ya Virutubisho
Na hili ndilo suluhisho kuu ambalo ukilitumia ni wazi kwamba lazima utakaa sawa kabisa.
Kwa Ushauri Na Tiba tuwasiliane nikupe Muongozo sahihi Leo
Mawasiliano
π +255688484174
01/07/2023
*VYAKULA MUHIMU KWA AFYA YA TEZI DUME*
KOMAMANGA (POMEGRANATE) Kutokana na uwezo wake mkubwa k**a kiondoa sumu (antioxidant), pia upatikanaji wa vitamini A,C, E na madini ya chuma,faida HIZI zitakusaidia kwenye kuondoa tatizo ,
Ongeza Ulaji wa machungwa ,parachichi
Pia. pilipili kiasi K**a ni mtumiaji
MAFUTA YA MIZEITUNI
Mafuta ya mizeituni yana uwezo mkubwa sana wa kuongeza kiwango cha kichocheo cha Testesterone kinachozalishwa na mwili. Tafiti zinasema watu wanaotumia mafuta ya mizeituni kila siku,kiwango cha testosterone huongezeka kwa asilimia 17 mpaka 19 kwa muda mfupi
*ONGEZA MATUMIZI YA MBOGA ZA MAJANI*
πππ
broccoli, spinachi,figiri,chaines, cabbage na aina nyengine za mbogamboga zinasaidia mwili wa binadamu kutoa kiwango cha kichocheo cha estrogen kilichozidi ndani ya mwili na hivyo kuongeza kiwango cha testosterone ndani ya seli,
*VYAKULA JAMII YA KUNDE*
maharage ya soya na mboga nyengine zenye Jamii ya KUNDE
*VITU MUHIMU VYA KUZINGATIA*
punguza matumizi ya vyakula vya Sukari kwa wingi,
vyakula vya ngano
punguza matumizi ya pombe
, punguza vyakula vya mafuta mengi kwani mafuta yanapokua mengi Mwilini hupelekea uzito kuzidi na uzito unakua mkubwa Zaidi husabisha ukuaji wa saratani ya tezi dume
KWA USHAURI & MAELEZO ZAIDI TUWASILIANE KWA SIM NO
0688484174
01/07/2023
BORESHA NGUVU ZA KIUME KWA KUTUMIA AINA SITA 6 ZA VYAKULA
ππππππππππ
BONYEZA HAPA KUJIUNGA
https://chat.whatsapp.com/Ggn7SjNvVOX1Ps0BMstlSZ
1. Yai la kienyeji hasa kiini chake kina protein kwa Wingi ambayo husaidia Uzalishaji Wa homoni ya kiume na Hamasa ya Kushiriki Tendo Kikamilifu.
2. Maziwa Huongeza Nguvu ya mwili na Kuimarisha mifupa kutokana na Vitamin D Inayopatikana kwa Wingi ndani yake.
3. Kula Ugali Wa Nafaka Mbalimbali k**a Mahindi Lishe ,mchele, mtama na Ngano.
4. Samaki na Dagaa ni muhimu Sana kutonaka na kuwa na Madini ya Zinc kwa Wingi na Omega 3 kwa Wingi ambayo husaidia Ufanyaji Kazi wa Mfumo wa fahamu. Lakini pia husaidia kuongeza Nguvu Za Kiume na Maumbile Ya Uzazi na hii ni kutokana na Tafiti Zilizofanywa maeneo ya kanda ya ziwa.
5. Matumizi Ya mboga mboga na matunda kwa Wingi hasa Jamii ya matunda Damu k**a strawberry π, Zabibu π, Komamanga Ambayo husaidia kuongeza Mzunguko Wa Damu. Kumbuka Mzunguko Wa Damu Ndio kila Kitu kwenye Mfumo wa Uzazi wa Mwanaume. Matumizi Ya mimea Jamii ya mikunde pia k**a maharage, kunde Soya Huwa na protein na Madini ya Zinc kwa Wingi, hivyo hujenga Misuli na Uimara Wa Mwili.
Zingatia Kufanya Mazoezi Na Kunywa Maji Ya Kutosha Hii Itakusaidia Kusafiri kwa haraka kwa Virutubisho Chakula unavyotumia.
K**a Una Changamoto Ya Kuwahi Kileleni, Uume kusimama legelege Na kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa
Piga Simu Sasahivi.
0688484174
PIA. UNAWEZA JIUNGA NA GROUP LANGU LA WHATSAPP
KUPATA ELIMU & USHAURI
BONYEZA HAPA KUJIUNGA
πππππππππ
https://chat.whatsapp.com/Ggn7SjNvVOX1Ps0BMstlSZ
*KARIBU NIKUHUDUMIE π€ USIKAE NA CHANGAMOTO.*
0688484174
08/06/2023
Ilikuwa Juma Tatu tar 25 Mwezi wa 4 2023 saa 10:00 Usiku Nikiwa naelekea Kulala nyumbani Kwangu Kimara..
Mara ghafla Naona Simu Yangu Inaita...
Na Kwa Kawaida huwa Sina Tabia Ya Kupokea Simu ifikapo Saa 10:00 Usiku kwani ni Muda wangu wa Kupumzika...
Lkni cha Kushangaza Siku Hiyo Ilikuwa Tofauti kidogo ..
Nilichukua Simu Nikaipokea,na Ghafla Nikasikia sauti..
Habari za Usiku Doctor mimi ni yule Jonathan Wa Mwanza...
Nikajibu Salama Kiongozi Kwema??
Alinijibu Kwa haraka Na Kwa Pressure Ya aina Yake....
Hapana Kiongozi nlikuwa Na tatizo Tunaweza Kuzungumza??
Nikamwambia Karibu Kiongozi...
Dr.Nina tatizo ambalo Ambalo limekuwa Likinisumbua Kwa Muda Mrefu Sana..
Nikauliza tatizo gani??
Alianza Kujieleza Kwa haraka haraka Sauti Ikiwa k**a inataka Kukatika hivi...
Kwa Muda Mrefu Sasa Nimekuwa Nikihangaika na Tatizo hili Takribani Miaka 2 Sasa.
Uume wangu Umekuwa ukisimama Lege-lege,Yaani Kila Ninapotaka Kushiriki tendo..
Uume unasinyaa Mara tu baada Ya Kuingiza Kwenye Uke na Kushindwa kuendelea kbsaaa..
Hii hali Imenifanya Nakosa Amani kbsaa Katika Ndoa Yangu...
Kwani Mke wangu Amekuwa akinidharau,hanisikilizi tenaa, na amekuwa Mtu wa Kugomba Mara Kwa mara...
Pasipokuwa na Sababu yoyote..
Hili nimeliona Kwani hapo Mwanzo Mke wangu Alikuwa Mwenye Heshima ya Hali ya Juu Na Upendo Wa kipekee..
Lkni Kwa sasa hali ni Tofauti kbsaaa kwa ninachokiona..
Kwani imefika mahali mke Ana ujasiri wa hali Ya Juu Na anaweza Kwenda popote ata bila Kunifahamisha π
Nimejaribu Kutumia Njia tofauti ili kutatua tatizo langu lkni zote zimedundaa...
Nilienda hospitali kufanya vipimo Na afya haikuwa na tatizo...
Nilinunua dawa za kimasai zaidi ya Mara mbili lkni wapi..
Ilifika mahali Mpaka nikafanya Maamuzi Ya Kutumia Vi**ra ili tu nimridhishe Mke wangu japo nilikuwa Nafamu kuwa zina athari..
Lkni bado hali ilizidi kuwa mbaya zaidiii...
Nimejaribu Kufanya Mazoezi na Kufuata muongozo wa Vyakula unaoutoa kwenye group...
Lkni bado Tatizo ni Kubwa sana Mkuu..
Naomba Nisaidie niweze Kunusuru Ndoa Yangu...
Unajua Nini Kilichofuata baada Ya hapo?
..BORA umeuliza..
Nilitumia Dk 45 Kuzungumza nae,Jinsi Tatizo lake lilivyo na Shida Iko wapi..
Kulingana na Maelezo Yake na Muda wote Mada ilikuwa ni Kuiweka akili Yake Sawa..
Kwani alikuwa bado Haamini kile Ambacho anakiona Na Kukisikia Kwa Mke Wake...
Baada Ya hapo Nilitumia Dk 15 tu Kumuelezea kuhusiana Na Program Ya Virutubisho..
Yaani " *MEN VITALITY "*
Men Vitality hufanya Kazi Nyingi Sana Katika Afya Ya Mwanaume Lkni hizi Ni Chache ambazo..
Nitakwenda kushare Na wewe..
*Kuboresha Afya Ya Mzunguko wa Damu:* Men vitality pack hufanya Kazi Katika..
Kuboresha Afya ya Mzunguko wa Damu Kutokana Na...
*AL-ARGININE* iliyopo Ndani Yake ambayo hutanua Mishipa Na Kuruhusu Damu ipite...
PILI...
Huondoa Aina Ya Mafuta Mabaya,Na Kuruhusu Damu Kupita Kwenda Kwenye Sehemu Zote Za Mwili..
Yaani ,Kuanzia Kwenye Ubongo,Moyo Na Ile Mishipa Ya Uume..
Inaamana Kwamba Kwa Wewe ambae pia Ulichujua Kipindi Cha Nyuma...
Itakusaidia Kwenda Kulisha Mishipa Na Misuli Ya Mashine Yako Kuwa Imara Zaidi..
*Afya Ya Ubongo* Ina Wingi wa Madini Na Vitamins tofauti ambayo Husaidia ...
Kuhakikisha Kuwa Afya Yako Ya Ubongo inakuwa vizuri Na Oxygen ya Kutosha Inafika Uko..
Inakupa Pumzi Na Uwezo Wa Kukaa Kifuani Kwa Muda Mrefu, K**a ilivyo kwako Na ikiwa Ni Ndoto Ya Kila
Mwanaume Kuwa na Uwezo wa Kubaki Kifuani Kwa Muda Mrefu bila Kuchoka..
Kutosha Na Men Vitality Inavyofanya Kazi basi Itakwenda Kuwa Mkombozi..
Hapo...
Baada Ya Mazungumzo haya Ya Muda Mrefu Kila Mtu alikwenda Kupumzika Akiwa Na Jambo Kichwani..
Baadae Mr.Jonathan alianza Program Yake Ya Men Vitality Pack Kwa Siku 60..
Na Huyu Ni Yeye baada Ya Kutumia Men Vitality Pack Kwa Siku 60..
Uwezo wake Wa Kushiriki Tendo Umerudi Na Sasa anaweza Kushiriki..
Bila Kipimo kuanzia bao 3 Na Kuendelea..
Anaweza Kurudia Muda Wowote Akihitaji..
Uume Unasimama K**a Msumari bila Kusinyaa..
Ndoa Yake Imeimarika Na Mke wake Anampenda Zaidi Ya Ilivyokuwaa..
Amekuwa Na Pumzi Ya Kutosha Na Anaweza Kubaki kifuani Kwa Dk 20 Mpaka 60.
By the Way K**a Na Wewe Upo hapa Na Unapitia hali K**a Ya Ndugu Jonathan..
Unaweza Kunitumia Ujumbe Kupitia Namba Yangu
0688484174
Au Kunipigia Moja Kwa Moja Niweze Kukupatia Muongozo Wa Kuipata Men Vitality Popote Ulipo.
Karibu Sana Na Nikutakie Jioni Njema..
Wako Katika Kujali Afya Yako..
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
25500
