AFYA YAKO

AFYA YAKO

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA YAKO, Health/Beauty, Dar es salaam, Dar es Salaam.

02/09/2022

*LINDA AFYA YA MOYO, PRESHA NA MZUNGUKO WA DAMU KWA KUTUMIA BIDHAA HIZI BORA SANA ZA FOREVER ARGI+ & ARCTIC SEA (Omega 3).*

*▪️ UTANGULIZI.*

*Argi+* na Omega 3 ni bidhaa ambazo husaidia kwenye afya ya kila mfumo kwenye mwili wa binadamu. Zina *L-Arginine* ambayo kwenye mwili husaidia kutengeneza gesi ya *Nitric Oxide* ambayo *husaidia kutanua mishipa ya damu na kuruhusu damu kusafiri vizuri kwenda kwenye sehemu mbali mbali za mwili.*

Nitric Oxide *pia husaidia katika kuweka sawa msukumo wa damu kuwa vizuri sana, hivyo kuondoa athari zinazopelekea moyo kutanuka kwasababu moyo husukuma damu vizuri.*

*JE KWANINI UTUMIE ARG+ & ARCTIC SEA (Omega 3).*

♦️ Argi+ itasaidia kwenye kuondoa Taka Mwili mwilini kutokana na matunda ya berries na komamanga.

♦️Husaidia kutanua mishipa ya damu na hivyo kurekebisha msukumo wa damu kuwa vizuri hivyo kusaidia afya ya moyo.

♦️ Husaidia kurekebisha Changamoto ya nguvu za kiume maana damu kutembea vizuri ndio kila kitu kwenye hilo eneo.
*Kumbuka:*
Ili mwanaume aweze kusimamisha uume wake vyema, lazima kuwe na mzunguko mzuri wa damu katika mwili wake, na pia lazima kuwe na uwiano mkubwa na mzuri wa damu inayoingia katika uume.

♦️ Husaidia kwenye kujenga mifupa na misuli hasa hasa kwa wale wanaofanya mazoezi.

♦️ Husaidia kudhibiti changamoto ya presha, moyo kutanuka, Afya ya Ubongo na mzunguko thabiti wa damu katika mwili.

♦️ Husaidia kupunguza / Kuondoa kiwango cha Chelesterol mbaya kwenye damu na kwenye mishipa ya damu.

♦️ Huusaidia mwili kutengeneza homoni zinazopunguza Madharaa Ya kuzeeka.

♦️ Husaidia kila mfumo wa mwili na hivyo kukupa afya njema na kuepuka magonjwa yasiyoambukiza.

*MATUMIZI:*
Sachet Moja kwenye 250ml za kinywaji chako cha Aloe Vera, Maji, Juice, Mtindi etc. Mara moja kwa siku.
Omega 3 hutumiwa Asubuhi, Mchana na Jioni / Usiku.

*JE UNGEPENDA UANZE KUTUMIA SASA !??.*

NIPIGIE KWA SIM NO
,0788108402

*KARIBU SANA UPATE SULUHISHO.*

02/09/2022
02/09/2022

HII NI MAALUMU KWA WANAUME👯🏻‍♂ NA WANAWAKE

JE UMEWAH KUJUA UMUHIMU 💥FOREVER MULT MACA😍 MY FRIEND 👯🏻‍♂️🥳🥳
Inatokana na mmea uitwao MACA au Lupidium meyenii kutoka nchini Peru wenye historia ya miaka zaidi ya 2000 Kuongeza Stamina ya mwili .Haina madhara na Ina faida kubwa sana kwa WANAUME na WANAWAKE.

Wanawake wa PERU wanaotumia MACA kuanzia wakiwa na umri wa miaka 3 ili wawe na NGUVU YA HAMU TENDO LA NDOA na uwezo wa kuzaa.
Ina Protein nyingi katika mfumo wa Amino Acids ,na Virutubisho muhimu vinavyosaidia kazi kuamsha ishara za Hamu ya TENDO la NDOA

*FAIDA ZA MULT MACA *
√Aphroidiasic Activity
INAONGEZA HAMU YA MAPENZI KWA KINA MAMA NA BABA kwa asilimia 180 stamina na nguvu.
√Inasaidia kuondoa msongo wa mawazo.
√Inasaidia kuondoa Madhara ya kukomaa kwa HedhiMenopause( homon na kusikia Joto Kali_hot flashes)
√Inarutubisha mayai
√Inaongeza idadi ya mbengu za kiume (s***m count)kwa asilimia 200 na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri(mobility)

Kwa maelezo Zaidi piga simu no 0788108402

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
255