AFYA BORA.

AFYA BORA.

Share

Tunatoa suluhisho kwa wanawake wenye changamoto za uzazi.

22/09/2022

Nguvu ya *'COMPLETE'* Kwenye Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke

✍🏻Humwezesha mwanamke kupata mimba kwa;
➡️ Hutibu na kuzuia Mvurugiko Wa Vichocheo vya Uzazi (Homon Imbalance)

➡️Hutibu na kuzuia Uvimbe kwenye Mfuko wa uzazi (Fibroids)

➡️Hutibu na kuzuia Uvimbe kwenye Mfuko wa mayai (Ovarian Cyst s)

➡️Huzuia magonjwa ya Mambukizi ya Mfumo wa via vya uzazi (PID)

➡️Tiba ya Maambukizi ya njia ya Mkojo (Urinary Tract Infection, UTI) na Gono (Gonorrhea)

➡️Huondoa Makovu kwenye Mfuko wa uzazi yanayosabishwa na matumizi ya vitanzi au njia za Uzazi wa mpango

➡️Kinga na tiba dhidi ya Ukomo wa hedhi kabla ya wakati (Early Monopause Problems)

➡️Huondoa miwasho na uchafu/Utoko ukeni (Vaginal Discharge/Vaginitis)

➡️Huondoa Maumivu ya tumbo wakati wa hedhi (Abdominal pain)

➡️Huondoa ukavu ukeni

➡️Huzuia mimba kutunga nje ya kizazi (Ectopic pregnancy)

➡️ Husafisha Kibofu cha Mkojo

✍🏻Matumizi yake ni dozi ya siku 30 Hadi siku 90 inategemeana na Aina ya Tatizo na ukubwa wa Tatizo Lako. Pia unaweza kutumia kwa matumizi KUJIKINGA na Magonjwa tu,Usisubiri Uumwe. Kinga Ni Bora Kuliko Tiba.

Karibu tukuhudumie, Wengi Waliotuamini Wamepona!

K**a umekosa mtoto, una matatizo ya Uzazi, Ugumba, hedhi, Uvimbe,Mirija Kuziba, UTI,PID,Mirija Kuziba, Mvurugiko wa hormones nk. Wasiliana nasi kwa piga/WhatsApp📱0778054128

20/09/2022

MUUJIZA WAKO UNAKUJA🙏

11/09/2022

Wanawake wengi duniani wamekuwa wakipata majibu ya changamoto zao za uzazi kwa zaidi ya miaka 14,kwa kutumia V-CAPSULES wamerejesha Furaha yao.

Karibu tukusaidie 0778054128

10/09/2022

Magonjwa haya bado yanakusumbua?
Jipatie suluhisho la kudumu🥰

05/10/2021

*DALILI ZINAZOONESHA KUWA UNAUGONJWA WA FANGAS ZA UKENI*

Kuna dalili nyingi sana k**a zifuatavyo;

⛔~MUWASHO SEHEMU ZA SIRI

⛔~VIPELE VIDOGO VIDOGO UKENI

⛔~KUTOKWA UCHAFU MWEUPE AU WA RANGI YA KIJIVU UKENI WENYE HARUFU MBAYA

⛔~VIDONDA AU MICHUBUKO UKENI

⛔~KUTOKWA NA HARUFU MBAYA UKENI

⛔~KUPATWA NA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO LA NDOA

⛔~KUVIMBA NA KUWA MWEKUNDU KATIKA MDOMO WA NJE WA UKE

⛔~KUWAKA MOTO NDANI NA NJE YA UKE.

*KINGA YA FANGASI ZA K**E*

🅾️1.EPUKA KUSAFISHA UKE KWA KUTUMIA VITU VYENYE KEMIKALI K**A SABUNI

🅾️2.EPUKA KUTUMIA MARASHI YENYE CHEMIKALI UKENI NA KUINGIZA VITU MBÀLIMBALI UKENI K**A VIDOLE, ASALI, MGAGANI N.K

🅾️3.EPUKA KUTAWADHA KUTOKEA NYUMA KWENDA MBELE BAADA YA KUJISAIDIA HAJA KUBWA AU NDOGO

🅾️4.MTIBU MPENZI WAKO ALIE NA UGONJWA WA FANGASI

🅾️5.SAFISHA UKE NA KUJIFUTA KWA KITAMBAA SAFI ILI KUUACHA UKE UKIWA MKAVU

🅾️6.HAKIKISHA KINGA YA MWILI WAKO IKO JUU

🅾️7.VAA CHUPI ZILIZOTENGENEZWA KWA VITU HARISI K**A PAMBA NA HARIRI

🅾️8.EPUKA ULAJI MBAYA WA CHAKULA HASA PUNGUZA VYAKULA VYENYE SUKARI NYINGI

21/06/2021

Imarisha afya yako kwa kahawa lishe.

01/06/2021

MWANAMKE KUJIAMINI

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Mwenge
Dar Es Salaam