Sesy Glow

Sesy Glow

Share

Sesy Glow ✨ | Digital Creator
Glow β€’ Lifestyle β€’ Beauty πŸ’–
I create. I inspire. I influence πŸ’―
πŸ“© Let’s work +255 679 786 252
πŸ“Dar es salaam

08/06/2026
04/06/2026

Daaaaaah πŸ’”πŸ’”πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

02/06/2026

Ila bodaboda...................πŸ’”πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

02/06/2026

K**a ungekuwa mwalimu, ungechukua hatua gani kwa mwanafunzi huyu? πŸ˜‚πŸ˜

A. Kumpeleka ofisini πŸƒβ€β™‚οΈ
B. Kumpa adhabu πŸ“š
C. Kumpongeza kwa ubunifu wake πŸ‘
D. Yote hapo juu πŸ˜…πŸ˜‚

Tuambie jibu lako kwenye comments! πŸ‘‡πŸ€£

01/06/2026

Msichana huyu mrembo, madaktari walifanya kila jitihada kuokoa maisha yake baada ya kuungua kwenye moto wa bweni uliotokea Nakuru, lakini kwa masikitiko makubwa hakufanikiwa kupona na amefariki akiwa hospitalini. πŸ˜­πŸ’”

Tukio hili limeacha maumivu makubwa mioyoni mwa wengi. Tuungane kumpa heshima yake ya mwisho.

R.I.P πŸ•ŠοΈ

01/06/2026

Ila wapishi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ’―

01/06/2026

Studio za msanii Barnaba Classic zimeungua moto usiku wa kuamkia Juni 1, 2026, Mwananyamala jijini Dar es Salaam. πŸ’”πŸ”₯

Barnaba amesema amepoteza makao makuu ya kazi yake (High Table Sound), sehemu inayowategemeza vijana wengi, licha ya kufanyiwa ukarabati mkubwa wiki mbili zilizopita.

β€œHQ yetu imekuwa majivu, lakini nitaanza upya,” amesema Barnaba.

Tunamuombea nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu. πŸ™

31/05/2026

R.I.P πŸ•ŠοΈπŸ’”
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Zainab Lipangile maarufu k**a Zay B, amefariki dunia leo na anatarajiwa kuzikwa saa 10:00 jioni Tabata Kinyerezi, kwenye msikiti ulipo msiba.

Zay B atakumbukwa k**a mmoja wa marapa wa k**e walioandika historia ya muziki wa Tanzania kupitia nyimbo zilizopendwa na wengi k**a Niko Gado na Mama Africa.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. πŸ•ŠοΈ

31/05/2026

R.I.P πŸ•ŠοΈπŸ’”πŸ˜­
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Shelui, Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Agnes Nasania Amos, amefariki dunia ghafla.

Tunatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wote walioguswa na msiba huu. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. πŸ•ŠοΈ

30/05/2026

Skinluxy face cream πŸ˜‹ 😍 πŸ’•

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Address

Kariakoo, Kinondoni
Dar Es Salaam
11101