Sesy Glow
Sesy Glow β¨ | Digital Creator
Glow β’ Lifestyle β’ Beauty π
I create. I inspire. I influence π―
π© Letβs work +255 679 786 252
πDar es salaam
Daaaaaah ππππππππππππππππππ
Ila bodaboda...................ππππππππππππππππππ
K**a ungekuwa mwalimu, ungechukua hatua gani kwa mwanafunzi huyu? ππ
A. Kumpeleka ofisini πββοΈ
B. Kumpa adhabu π
C. Kumpongeza kwa ubunifu wake π
D. Yote hapo juu π
π
Tuambie jibu lako kwenye comments! ππ€£
01/06/2026
Msichana huyu mrembo, madaktari walifanya kila jitihada kuokoa maisha yake baada ya kuungua kwenye moto wa bweni uliotokea Nakuru, lakini kwa masikitiko makubwa hakufanikiwa kupona na amefariki akiwa hospitalini. ππ
Tukio hili limeacha maumivu makubwa mioyoni mwa wengi. Tuungane kumpa heshima yake ya mwisho.
R.I.P ποΈ
Ila wapishi πππππππππππππππππππ―
01/06/2026
Studio za msanii Barnaba Classic zimeungua moto usiku wa kuamkia Juni 1, 2026, Mwananyamala jijini Dar es Salaam. ππ₯
Barnaba amesema amepoteza makao makuu ya kazi yake (High Table Sound), sehemu inayowategemeza vijana wengi, licha ya kufanyiwa ukarabati mkubwa wiki mbili zilizopita.
βHQ yetu imekuwa majivu, lakini nitaanza upya,β amesema Barnaba.
Tunamuombea nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu. π
31/05/2026
R.I.P ποΈπ
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Zainab Lipangile maarufu k**a Zay B, amefariki dunia leo na anatarajiwa kuzikwa saa 10:00 jioni Tabata Kinyerezi, kwenye msikiti ulipo msiba.
Zay B atakumbukwa k**a mmoja wa marapa wa k**e walioandika historia ya muziki wa Tanzania kupitia nyimbo zilizopendwa na wengi k**a Niko Gado na Mama Africa.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. ποΈ
31/05/2026
R.I.P ποΈππ
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Shelui, Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Agnes Nasania Amos, amefariki dunia ghafla.
Tunatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wote walioguswa na msiba huu. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. ποΈ
30/05/2026
Skinluxy face cream π π π
Click here to claim your Sponsored Listing.
Address
Dar Es Salaam
11101
