Neema clinic
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Neema clinic, Muheza na Uhuru, Dar es Salaam.
17/09/2022
DAWA YA MENO YA ETERNAL
(ETERNAL TOOTHPASTE)
HII NI DAWA YA MENO NA KINYWA KWA UJUMLA NA PIA NI DAWA YA NGOZI
Ingredients
glycerin, calcium phosphate +Xylitol(Xylitol
Hii ni dawa ya meno inayotokana na mimea tiba ya asili ambayo imechanganywa kwa pamoja na kuifanya kuwa ni dawa yenye nguvu zaidi na bora kuliko zote.
Kutokana na aina ya mimea tiba iliyotumika dawa hii imekuwa na matumizi mbalimbali.
Dawa hii haina fluorine
DAWA HII INAONDOA MATATIZO YAFUATAYO;
➖Huzuia kutoboka kwa meno
➖Hufanya meno kuwa meupe
➖Inauwa bakteria wanaoeneza maradhi ya kinywa na meno
➖Inasaidia kwa wale wanaosumbuliwa na ganzi ya meno
➖Huondoa harufu mbaya katika kinywa
PIA DAWA HII INAHUSIKA NA NGOZI
➖Inatibu chunusi na fangasi
➖Inatibu afya ya ngozi
➖Huondoa makovu
➖Pia inatibu tumbo na kusaidia kufunga kwa tatizo la kuhara.
➖Inatibu mafindofindo
➖Pia inawasaidia wenye manyama ya pua
➖Inatibu mapunye na muwasho,
➖Pia inakausha damu kwa mtu aliepata jeraha kwa mawasiliano nipigie kupitia namba 0693377759
17/09/2022
DAWA YA MENO YA ETERNAL
(ETERNAL TOOTHPASTE)
HII NI DAWA YA MENO NA KINYWA KWA UJUMLA NA PIA NI DAWA YA NGOZI
Ingredients
glycerin, calcium phosphate +Xylitol(Xylitol
Hii ni dawa ya meno inayotokana na mimea tiba ya asili ambayo imechanganywa kwa pamoja na kuifanya kuwa ni dawa yenye nguvu zaidi na bora kuliko zote.
Kutokana na aina ya mimea tiba iliyotumika dawa hii imekuwa na matumizi mbalimbali.
Dawa hii haina fluorine
DAWA HII INAONDOA MATATIZO YAFUATAYO;
➖Huzuia kutoboka kwa meno
➖Hufanya meno kuwa meupe
➖Inauwa bakteria wanaoeneza maradhi ya kinywa na meno
➖Inasaidia kwa wale wanaosumbuliwa na ganzi ya meno
➖Huondoa harufu mbaya katika kinywa
PIA DAWA HII INAHUSIKA NA NGOZI
➖Inatibu chunusi na fangasi
➖Inatibu afya ya ngozi
➖Huondoa makovu
➖Pia inatibu tumbo na kusaidia kufunga kwa tatizo la kuhara.
➖Inatibu mafindofindo
➖Pia inawasaidia wenye manyama ya pua
➖Inatibu mapunye na muwasho,
➖Pia inakausha damu kwa mtu aliepata jeraha
15/09/2022
KARIBUNI CHINA PLAZA HAPPYNESS HEALTH (0693377759) tunatibu magonjwa yote sugu k**a vile
i.Matatizo ya kisukari
ii.matatizo ya kansa
iii.matatizo ya vidonda vya tumbo
iv.matatizo ya macho
v.matatizo ya uzazi
v.matatizo ya meno
v.kujikojolea kitandani
vi.pia tunazo dawa za kupunguza mwili na uzito
vii.magonjwa ya watu wazima na wazee
tunapatikana gorofa la china plaza mkoa wa dar-es-salaam .Njoo ukutane na madaktari bingwa na wazoefu na wakarimu
huduma nyingine zitolewazo niy pamoja na ;-
head message machine-hii ni mashine nzuri kwa wale wanaosumbuliwa na matatizo ya kichwa kuuma na kukosa usingizi pia huondoa maumivu ya kichwa na shingo
30/08/2022
Neema clinic inapenda kuwaatarifu watu kuwa kutakuwa na uchunguzi wa kiafya kwa siku Saba kwa watu wenye changamoto k**a uzazi ,vidonda vya tumbo,moyo uvimbe,Tezi dume,Ngili,mifupa nk kwa gharama ya Tsh 20000
Kwa mawasiliano piga 0693377759 Tupo kariakoo China plaza gorofa ya tatu
ZOEZI LA UCHUNGUZI WA KIAFYA KWA WATU WOTE.
Unachangamoto yoyote ya kiafya inayokusumbua, au inayokukabili au kukukosesha usingizi au kukupa mawazo?
Umewahi kufanya uchunguzi wa kina watatizo lako?
Kwa sasa taasisi ya Gcat eternal health inayojihusisha na afya na kutoa huduma ya uchunguzi wa mag'onjwa mbalimbali imeanza zoezi la utoaji wa vipimo vya mwili mzima kwa gharama nafuu sana ya 20,000 tu.
Utafanyiwa uchunguzi kwenye maeneo haya;
1/Mfumo wa damu/mishipa ya damu(Moyo na ubongo)
2/Mifupa na maradhi ya Mifupa
3/Mfumo wa uyeyushaji na mmeng'enyo wa chakula
4/Afya ya uzazi kwa kina mama
5/Afya ya Ngozi na maradhi ya Ngozi
6/Mfumo wa fahamu
7/Jicho na maradhi ya macho
8/Afya ya uzazi kwa kinababa
9/Mfumo wa upumuaji.
Zaidi ya watu 230 sasa wamepata huduma ya uchunguzi wa vipimo na kupatiwa ufumbuzi wa matatizo yanayowakabili.
Baada ya uchunguzi utaweza jua chanzo Cha tatizo lako, tatizo lenyewe na ugonjwa nyemelezi.
Pia utakutana na wataalamu watakao kusimamia, kukushauri, na kukusaidia kuondokana na tatizo lako,
Zaidi sana utaokoa muda wako Kwa kuhudumiwa kwa haraka na Kwa gharama nafuu.
Tupo Dar es salaam, kariakoo mtaa wa Uhuru na Muheza,
Mawasiliano 0693377759
Kumbuka Huduma hii ni Kwa watu 20 tu wa mwanzo idadi ikitimia gharama itapanda.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Website
Address
Dar Es Salaam
