Afyacare
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afyacare, Dar es Salaam.
29/07/2022
Body splash
Nzuri zinanukia vizuri
10000/= tu rejareja
8000 /= tu jumlaa
Delivery tunafanya mikoani na dar
Kwa maelezo piga
0673272693
29/07/2022
Kwa ushauri na tiba piga
0673272693
18/10/2021
HORMONE IMBALANCE NI NINI? KUWA MAKINI
Ni kutokuwepo na usawa katika homoni za uzazi (Progesterone na Estrogen Hormone) ambazo huratibu mfumo wa uzazi k**a kubeba mimba, kupevusha mayai, kupata hedhi kila mwezi, siku za hedhi kuwa na mpangilio maalumu, kupata ute wa uzazi na uke, kupata hamu ya tendo n.k Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%
SABABU ZA MVURUGIKO WA HOMONI
1. Utoaji wa mimba
2. Uwepo wa sumu mwilini
3. Kutokula mlo uliokamili au mfumo mbovu wa maisha
4. Family history (Upungufu au ongezeko ya homoni ya progesterone na Estrogen)
5. Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
6. Uzito mkubwa
7. Msongo wa mawazo
7. Kutofanya mazoezi
8. Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango
9. Kukoma kwa hedhi
DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI
1. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
2. Kutoshika mimba
3. Mzunguko wa hedhi kubadilika
4. Kuongezeka uzito
5. Kupungua hamu ya tendo la ndoa
6. Kupoteza kumbukumbu
7. Hasira za Mara kwa Mara
8. Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabonge mabonge
9. Uke kuwa mkavu
10. Kutoka jasho jingi usiku
11. Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
12. Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI
1. Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
2. Mimba kuharibika mara kwa mara
3. Kukosa mtoto au Ugumba
4. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
5. Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
6. UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara
7. Kuzeeka mapema
8. Kuziba kwa mirija ya uzazi
9. Saratani
10. Uvimbe kwenye uzazi wa mwanamke (Fibroids and Cysts)
SULUHISHO
Tumia bidhaa zetu za Tibalishe ni suluhisho pekee kwa tatizo hili, husaidia kuweka sawa homoni za mwanamke, kuboresha mfumo mzima wa uzazi, kuondoa sumu mwilini na kupunguza kasi ya uzee. Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya
Maelezo zaidi ushauri DM/call 0673272693
Matatizo kwenye kizazi yakikaa kwa muda mrefu huleta kansa ya shingo ya kizazi wanawake na matatizo yote karibu kupata ushauri
17/09/2021
WATU WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA UTI
wenye vidonda kwenye uti wa mgongo
yeyote mwenye tatizo katika mfumo wa mkojo
la ndoa linaweza likahamisha bakteria kutoka kwenye uke kwenda kwenye urethra
ya njia za uzazi k**a kutumia diaphragm,spermicides,kondomu nk
KURUDIARUDIA KWA UTI(UTI SUGU)
Mara nyingi wanawake wakipata UTI inaweza ikawa inajirudia mara kwa mara kulingana na sababu zifuatazo
1.Uwezo wa bakteria kujishika kwenye njia ya mkojo hivyo kutotibika na kurudia tena
2.Sababu nyingine ni wanawake kuwa non sector yani kuwa na damu grupu A,B na AB ambao hawawez kuzalisha kinga nzur kwa ajili ya hao bakteria
DALILI ZA UTI
1.Kukojoa mara kwa mara na maumivu wakati wa kukojoa
2.Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye kibofu au mrija wa mkojo
3.Maumivu ya misuli na tumbo
4.Mkojo kuwa na harufu mbaya na pia kubadilika rangi kuwa nyeusi au rangi ya mawingu nk
5.Kwa mtu aliyeathiriwa figo anaweza kuwa na maumivu mgongoni au kwenye mbavu pia kichefuchefu na kutapika
6.Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo
JINSI YA KUZUIA UTI SUGU
1.Kunywa maji mengi kunsaidia kusafisha bakteria kwenye mfumo
2.Mtu anatakiwa akojoe mara kwa mara kila anapojiskia kukojoa
Mkojo ukikaa sana kwenye kibofu unaweza zalisha bakteria
Na baada ya kukojoa wanawake wanatakiwa kujisafisha kuanzia mbele kurudi nyuma ili kulinda urethra
3.Vaa nguo za ndani za pamba na ambazo hazibani sana kuruhusu hewa kupita vizuri ,epuka jinsi zinazobana sana ambazo zinaweza kukusanya na kuleta tatizo.
4.Tumia ped za ms sunshine ped pekee zenye uwezo wa kuzuia na kutibu UTI na pia zinaruhusu hewa kupita vizur
20/08/2021
Je????? ???una ndoto ambazo unatamani kuzitimiza lakini ujapata fursa ya kukuwezesha kuishi ndoto zako
Unatamani kufanikiwa lakini kila unachojaribu inashindikana?
Tutafute tukujuze
Ipo fursa ambayo itakuwezesha kuishi ndoto zako
Tutafute tukujuze
Pia unaweza kutuma neno fursa kwenda whatsapp no 0673272693 whatsap tu Ticket zipo za kutosha karibuni
💪🏽
19/08/2021
Mirija kuziba(blocked fallopian tubes) au kuwa na maji,kitaalamu tunaita (hydrosalpinx),au mirija kuwa na Usaa(pyosalpinx) ni shida kubwa,wanawake Wengi wanaotafuta watoto wanasumbuliwa na shida ya mirija na mirija ikiwa na maji inavimba k**a sausage,mwanamke anakuwa anaumwa tumbo chini ya kitovu na wakati wa tendo...
Ila kuna wanawake k**a hana maumivu na hatafuti mtoto anaweza kuwa mirija imeziba bila kujua..
Na CHANZO kikubwa cha KUZIBA MIRIJA KUJAA MAJI NA KUZIBA NI PID(Pelvic inflammatory disease),ruptured appendicitis Operation za Tumbo na endometriosis
Chanzo kikubwa cha PID ni Magonjwa ya NGONO ambayo ni chlamydia na gonorrhoea.....
Kipimo cha mirija kinaitwa HSG(HysteroSalpingoGram),nina mgonjwa alikuwa mirija yote imevimba na kujaa maji,katumia dawa mwezi mmoja,ku control kipimo cha pili,mirija ina size ya kawaida kabisa sasa anaruhusiwa kuweza kushika mimba....
Maana changamoto ya mirija ni risk ya kutunga mimba nje ya kizazi kwenye mirija.
Pata tiba ya kukausha MAJI,USAA na kusafisha mirija,wasiliana nasi piga 0673272693
Kwa changamoto nyingine za magonjwa ya wanawake follow us upate elimu zaidi
16/08/2021
HELLOW!!!!!!!!!!!!👩🦰
K**A WEWE NI MWANAMKE BASI FEMICARE INAKUHUSU HATA K**A SI MGONJWA.🦋🦋
KUTOKANA NA SIFA ZAKE KUBWA,,, BIDHAA HII IMEKUWA GUMZO KWA WANAWAKE WENGI.
HUFANYA KAZI ZIFUATAZO;
💦Inatibu fangasi sugu na UTI sugu.
💦Inatibu PID ikichanganywa na yunzhi.
💦Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa, na kurejesha ute ute unaotakiwa
💦Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
💦Inazibua mirija ya uzazi iliyoziba.
💦Inarekebisha hedhi iliyo vurugika.
💦Inakaza misuli ya uke iliyegea na kufanya kuwa tight.
💦Inaondoa michubuko ukeni
💦Inatibu chango
💦Huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo.
WAHI SASA UJIPATIE YA KWAKO KWA BEI YA ELFU 35 TU💕. Kwa mawasiliano zaidi piga 0673272693
Follow Pricilla Tonya👩🕊]]]]]] Pricilla Tonya👩🕊]]]]]] Pricilla Tonya👩🕊]]]]]] Pricilla Tonya👩🕊]]]]]] Pricilla Tonya👩🕊]]]]]] Pricilla Tonya👩🕊]]]]]] Pricilla Tonya👩🕊]]]]]]
15/08/2021
PID- PELVIC INFLAMATORY DISEASES.
Ni madhara yatokanayo na wadudu ( bacteria) walio shambuliwa via vya uzazi, mirija ya fallopian, mifuko ya mayai(ovaries), mfuko wa uzazi(uterus), shingo ya kizazi na uke.
PID ni tatizo linalowasumbua wanawake wengi sana na Mara nyingi bila kujua ni PID.
-
SABABU ZA PID.
Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kupata PID.
1.Kufanya ngono isiyo salama.
2.Maambukiz ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama au mara baada ya mimba kuharibika.
3.Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi.
DALILI ZA PID NI K**A ZIFUATAZO;
√ Kichefuchefu
√kutapika
√homa za Mara kwa Mara
√maumivu wakati wa kukojoa
√maumivu wakati wa s*x
√uume kutoka na uchafu baada ya s*x (unatoka kwa mwanamke )
√maumivu ya tumbo chini ya kitovu
√maumivu ya mgongo
√kutokwa na uchafu ( discharge) ukeni unakuwa ya rangi ya maziwa, kahawia, njano au kijani
√kutokwa na majimaji ukeni yenye harufu mbaya na wakati mwingine usaha
√harufu mbaya/ shombo ukeni
√kupata hedhi bila mpangilio
MADHARA YA PID.
Maambukizi kweny njia ya kizazi husababisha madhara makubwa sana kwa mwanamke k**a UGUMBA na mimba kujishikiza mahali pasipo sahihi tofaut na mfuko wa mimba na kadri unavyoumwa PID ndivyo hatar ya UGUMBA inavyoongezeka.
MATIBABU YA PID;
Usijali kabisa k**a wewe ni mmoja wa mhanga wa tatizo la PID kwa muda mrefu na umetafuta ufumbuzi bila mafananikio, basi tambua kwamba PID inatibika na kupona kwa haraka pamoja na magonjwa sugu na ya Uzazi kwa kutumia dawa maalumu
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane 0673272693
Click here to claim your Sponsored Listing.
