Harvin Store

Harvin Store

Share

Tunatoa ushauri na kutatua matatizo ya kiafya kwa kutumia virutubisho lishe.

Tunatoa ushauri wa ngozi na kuuza vipodozi
Tunasaidia wanaotaka kupunguza uzito
Tupigie/whatsapp 0714 474732
Tunapatikana Tabata Segerea Karibuni sana

12/05/2026

K**a mwili wako unapitia haya

* uchovu wa mara kwa mara
* Stress
* Kukosa nguvu
* Wanaofanya kazi muda mrefu

Njoo tutete kidogo, seli zako zinaonyesha kukosa chakula chake hivyo kushindwa kufanya kazi vizuri

Call/whatsapp 0714 474732

12/05/2026

Wapendwa wangu
*Wenye stress
* Wanaofanya kazi nyingi za akili
* Wanafunzi
* Wenye pressure/cholesterol

Nawaita huku

Call/whatsapp 0714 474732

12/05/2026

Call/whatsapp 0714 474732

01/05/2026
01/05/2026

๐Ÿฅฌ๐Ÿซ‘๐Ÿฅฆ๐ŸŒฝ

13/04/2026

๐Ÿง  1. Usimlazimishe mtoto kula

Watoto wana hisia kali sana. Ukimlazimisha:
โ€ข Anajenga chuki na chakula
โ€ข Anaanza kula kwa hofu, si kwa hamu

๐Ÿ‘‰ Badala yake: mpe chakula, mwache aamue kula kiasi gani.

โฐ 2. Tengeneza ratiba ya kula

Mtoto anahitaji utaratibu:
โ€ข Kula muda maalum kila siku
โ€ข Epuka kumpa snacks kila muda

๐Ÿ‘‰ Njaa ya kawaida humfanya ale vizuri zaidi.

๐Ÿฒ 3. Fanya chakula kiwe kivutio

Watoto wanapenda vitu vinavyoonekana vizuri:
โ€ข Tumia rangi (mboga, matunda)
โ€ข Panga chakula kwa kuvutia kwenye sahani

๐Ÿ‘‰ Hata mtoto mgumu kula, akiona chakula kizuri anaweza kushawishika.

๐Ÿ‘จโ€๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿ‘ง 4. Kula pamoja k**a familia

Mtoto akikuona unakula:
โ€ข Anaiga tabia
โ€ข Anaona kula ni jambo la kawaida

๐Ÿ‘‰ Epuka kumpa chakula peke yake kila mara.

๐ŸŽฎ 5. Epuka distraction (TV/simu)

Kula huku anaangalia TV au simu:
โ€ข Hupunguza umakini wa kula
โ€ข Anaweza kula bila kujua au kukataa kabisa

๐Ÿ‘‰ Mfundishe kula kwa utulivu.

๐Ÿฅ„ 6. Mshirikishe mtoto kwenye chakula

Hata k**a ni mdogo:
โ€ข Mwache ashike kijiko
โ€ข Ajaribu kula mwenyewe

๐Ÿ‘‰ Hii huongeza hamu ya kula kwa sababu anajihisi โ€œanahusikaโ€.

๐Ÿฅ— 7. Badilisha aina ya chakula

Usimpe kitu kilekile kila siku:
โ€ข Leo uji, kesho wali + mboga, kesho yake ndizi, n.k.
โ€ข Changanya ladha na textures

๐Ÿ‘‰ Uchovu wa chakula hupunguza hamu ya kula.

โค๏ธ 8. Mpe upendo na subira

Kula sio vita ๐Ÿ˜…
Mtoto akiona presha:
โ€ข Atakataa zaidi

๐Ÿ‘‰ Mtengenezee mazingira ya furaha wakati wa kula.

Kwa ushauri call/whatsapp 0714 474732

13/04/2026

๐Ÿšจ Mtoto wako anakataa kula na anaonekana kudhoofika?

Unamwandalia chakula lakini anakula kidogo sana au anakataa kabisa?
Anaonekana kuugua mara kwa mara, mwili hauna nguvu, na hata mwalimu anasema anashuka darasani?

Wazazi wengi wanapitia hali hii bila kujua sababu halisi.
Mara nyingi tatizo linakuwa mwili wa mtoto kukosa virutubisho muhimu vinavyosaidia ukuaji na nguvu za ubongo.

Mtoto anapopata virutubisho sahihi anaweza kusaidiwa:

โœ”๏ธ Kuongeza hamu ya kula
โœ”๏ธ Kuimarisha kinga ya mwili ili asiugue mara kwa mara
โœ”๏ธ Kuongeza nguvu na uchangamfu
โœ”๏ธ Kusaidia ubongo kufanya kazi vizuri zaidi darasani

Wazazi wengi tayari wameanza kuona mabadiliko kwa watoto wao baada ya kuanza kutumia.

Usimwache mtoto wako apoteze afya na uwezo wake darasani wakati unaweza kuchukua hatua mapema.

๐Ÿ“ฉ Andika โ€œMTOTOโ€ kwenye DM au WhatsApp nikuelekeze jinsi ya kupata bidhaa.
๐Ÿ“ฆ Delivery inapatikana.

Call/whatsapp 0714 474732

10/04/2026

Usiendelee kuteseka tena , Suluhisho lipo

Call/whatsapp 0714 474732

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Tabata Segerea
Dar Es Salaam
13565

Opening Hours

Monday 08:00 - 20:00
Tuesday 08:00 - 20:00
Wednesday 08:00 - 20:00
Thursday 08:00 - 20:00
Friday 08:00 - 20:00
Sunday 09:00 - 20:00