Harvin Store
Tunatoa ushauri na kutatua matatizo ya kiafya kwa kutumia virutubisho lishe.
Tunatoa ushauri wa ngozi na kuuza vipodozi
Tunasaidia wanaotaka kupunguza uzito
Tupigie/whatsapp 0714 474732
Tunapatikana Tabata Segerea Karibuni sana
K**a mwili wako unapitia haya
* uchovu wa mara kwa mara
* Stress
* Kukosa nguvu
* Wanaofanya kazi muda mrefu
Njoo tutete kidogo, seli zako zinaonyesha kukosa chakula chake hivyo kushindwa kufanya kazi vizuri
Call/whatsapp 0714 474732
Wapendwa wangu
*Wenye stress
* Wanaofanya kazi nyingi za akili
* Wanafunzi
* Wenye pressure/cholesterol
Nawaita huku
Call/whatsapp 0714 474732
Call/whatsapp 0714 474732
01/05/2026
๐ฅฌ๐ซ๐ฅฆ๐ฝ
13/04/2026
๐ง 1. Usimlazimishe mtoto kula
Watoto wana hisia kali sana. Ukimlazimisha:
โข Anajenga chuki na chakula
โข Anaanza kula kwa hofu, si kwa hamu
๐ Badala yake: mpe chakula, mwache aamue kula kiasi gani.
โฐ 2. Tengeneza ratiba ya kula
Mtoto anahitaji utaratibu:
โข Kula muda maalum kila siku
โข Epuka kumpa snacks kila muda
๐ Njaa ya kawaida humfanya ale vizuri zaidi.
๐ฒ 3. Fanya chakula kiwe kivutio
Watoto wanapenda vitu vinavyoonekana vizuri:
โข Tumia rangi (mboga, matunda)
โข Panga chakula kwa kuvutia kwenye sahani
๐ Hata mtoto mgumu kula, akiona chakula kizuri anaweza kushawishika.
๐จโ๐ฉโ๐ง 4. Kula pamoja k**a familia
Mtoto akikuona unakula:
โข Anaiga tabia
โข Anaona kula ni jambo la kawaida
๐ Epuka kumpa chakula peke yake kila mara.
๐ฎ 5. Epuka distraction (TV/simu)
Kula huku anaangalia TV au simu:
โข Hupunguza umakini wa kula
โข Anaweza kula bila kujua au kukataa kabisa
๐ Mfundishe kula kwa utulivu.
๐ฅ 6. Mshirikishe mtoto kwenye chakula
Hata k**a ni mdogo:
โข Mwache ashike kijiko
โข Ajaribu kula mwenyewe
๐ Hii huongeza hamu ya kula kwa sababu anajihisi โanahusikaโ.
๐ฅ 7. Badilisha aina ya chakula
Usimpe kitu kilekile kila siku:
โข Leo uji, kesho wali + mboga, kesho yake ndizi, n.k.
โข Changanya ladha na textures
๐ Uchovu wa chakula hupunguza hamu ya kula.
โค๏ธ 8. Mpe upendo na subira
Kula sio vita ๐
Mtoto akiona presha:
โข Atakataa zaidi
๐ Mtengenezee mazingira ya furaha wakati wa kula.
Kwa ushauri call/whatsapp 0714 474732
13/04/2026
๐จ Mtoto wako anakataa kula na anaonekana kudhoofika?
Unamwandalia chakula lakini anakula kidogo sana au anakataa kabisa?
Anaonekana kuugua mara kwa mara, mwili hauna nguvu, na hata mwalimu anasema anashuka darasani?
Wazazi wengi wanapitia hali hii bila kujua sababu halisi.
Mara nyingi tatizo linakuwa mwili wa mtoto kukosa virutubisho muhimu vinavyosaidia ukuaji na nguvu za ubongo.
Mtoto anapopata virutubisho sahihi anaweza kusaidiwa:
โ๏ธ Kuongeza hamu ya kula
โ๏ธ Kuimarisha kinga ya mwili ili asiugue mara kwa mara
โ๏ธ Kuongeza nguvu na uchangamfu
โ๏ธ Kusaidia ubongo kufanya kazi vizuri zaidi darasani
Wazazi wengi tayari wameanza kuona mabadiliko kwa watoto wao baada ya kuanza kutumia.
Usimwache mtoto wako apoteze afya na uwezo wake darasani wakati unaweza kuchukua hatua mapema.
๐ฉ Andika โMTOTOโ kwenye DM au WhatsApp nikuelekeze jinsi ya kupata bidhaa.
๐ฆ Delivery inapatikana.
Call/whatsapp 0714 474732
10/04/2026
Usiendelee kuteseka tena , Suluhisho lipo
Call/whatsapp 0714 474732
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
13565
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 20:00 |
| Tuesday | 08:00 - 20:00 |
| Wednesday | 08:00 - 20:00 |
| Thursday | 08:00 - 20:00 |
| Friday | 08:00 - 20:00 |
| Sunday | 09:00 - 20:00 |
