ngaya___

ngaya___

Share

NGOZI YAKO BEFORE ANYTHING ELSE

17/06/2025

🥳🥳

K**a babes unatamani kangozi kazuri chenye afya

📩📞Call or text 0685704072

📨WhatsApp Call/text 0685704072

🚩 TUPO KARIAKOO MTAA WA MAFIA NA JANGWANI

🚚 DELIVERY unaletewa popote ulipo ❌ FREE DELIVERY


#0747589335

16/06/2025

Sabuni k**a sabuni TAMUUUUUUUU yani kunogaaaa

K**a mvivu kupaka mafuta hii sabuni itakufaaa SANA

Unapaka zako oil tu sabuni inakungarisha vizuri

Bei 50,000

📩📞Call or text 0685704072

📨WhatsApp Call/text 0685704072

🚩 TUPO KARIAKOO MTAA WA MAFIA NA JANGWANI

🚚 DELIVERY unaletewa popote ulipo ❌ FREE DELIVERY

#0747589335

Photos from ngaya___'s post 16/06/2025

Nilipata mteja akaniambia "Ngaya mi ngozi yangu ina shida" Mi nikamuuliza "babe shida hipi hiyo embu niambie" akasema kwa upole "SING'AI YAANI KILA NACHOPAKA HOLA 😔" Mie sasa nikamwambia "bibie umanamjua bwana Pr. FRANÇOISE BEDON wewe 🥳" akaanza kuchangamka "ndo nani da Ngaya huyo na anahusika vipi na shida yangu🤷🏾‍♀️?!".

Mie kwa kicheka nikamtolea hiyo lotion APA ya Pr. FRANÇOISE BEDON PARIS bana hizi zipo kwa flavour nyingiii na zina kazi moja tu

Kung'arisha na kurudisha ngozi iliyofubaaaa

Zinarekebisha ngozi yaani ni garage ya ngozi hizi lotion

Zina kupa unyevu ndani ya masaa 72 ukiamua usiogee kesho uamake nayo bila kupaka mafuta haina baya Bado utakua na unyevu

Alafu sasa inaondoa madoa yanayowababishwa na jua, chunusi

Bei 45,000

📩📞Call or text 0685704072

📨WhatsApp Call/text 0685704072

🚩 TUPO KARIAKOO MTAA WA MAFIA NA JANGWANI

🚚 DELIVERY unaletewa popote ulipo ❌ FREE DELIVERY


#0747589335
l






**aYaMtoto

13/06/2025

Kwa watu ambao hawatumii moisturizer, neno langu kwao ni hili:

Mnaikosesha ngozi yenu hitaji la msingi kabisa, na sio tu kwa ajili ya urembo, bali kwa ajili ya afya yake.

Kutotumia moisturizer ni sawa na kumiliki mmea mzuri na kuusahau kuumwagilia maji.

Fikiria ngozi yako k**a kizuizi (barrier) kinachokulinda dhidi ya mazingira jua, vumbi, na bakteria.

Moisturizer inafanya kazi muhimu

🧴Protects the Skin Barrier, Moisturizer inatengeneza tabaka la ulinzi linalozuia unyevu wa asili wa ngozi usipotee na pia inazuia vitu vibaya visiingie kwa urahisi. Bila moisturizer, kizuizi hiki hudhoofika na ngozi inakuwa rahisi kupata shida k**a muwasho na wekundu.

🧴 Hata Ngozi ya Mafuta Inahitaji Unyevu, Huu ni mkanganyiko mkubwa sana. Watu wengi wenye ngozi ya mafuta wanafikiri hawaitaji moisturizer. Ukweli ni kwamba, ngozi yao inaweza kuwa na mafuta mengi lakini ikawa na upungufu wa maji (dehydrated). Ngozi inapokosa maji, inajaribu kujilipizia kwa kutoa mafuta mengi zaidi, na hivyo tatizo linakuwa kubwa zaidi. Moisturizer nyepesi (lightweight) itasaidia kuipa ngozi maji inayohitaji na kuifanya itulie na isitoe mafuta kupita kiasi.

🧴Inapunguza Kasi ya Kuzeeka (Anti-aging), Ngozi yenye unyevu wa kutosha inaonekana nyororo na ya ujana. Ukavu hufanya mistari midogo (fine lines) na makunyanzi (wrinkles) yaonekane wazi zaidi na kwa haraka. Kutumia moisturizer kila siku ni moja ya njia rahisi na bora za kuzuia dalili za uzee za mapema.

🧴Inafanya Bidhaa Nyingine Zifanye Kazi Vizuri: Ukitumia bidhaa nyingine k**a serum au hata dawa za chunusi, zitafanya kazi vizuri zaidi kwenye ngozi yenye unyevu wa kutosha. Ngozi kavu haiwezi kunyonya virutubisho vizuri.
Ushauri wa Kuanza:

‼️Huna haja ya kuanza na vitu vingi au vya gharama. Anza na moisturizer rahisi, nyepesi inayofaa aina ya ngozi yako. Itumie angalau mara mbili kwa siku asubuhi na jioni baada ya kusafisha uso wako.

Hiyo ni hatua ndogo itakayoleta tofauti kubwa sana kwenye afya na muonekano wa ngozi yako sasa na miaka ijayo.

Photos from ngaya___'s post 12/06/2025

🌾 Rice Cream

HII face cream ina kiwango cha juu cha “rice bran essence” kutoka Yeoju, Korea (~41 %)—inayojumuisha ceramidi nyingi zinazosaidia kuimarisha kinga ya ngozi na kuilinda dhidi ya mionzi ya UV.

Ceramidi kutoka kwa rice bran huunda kizuizi kizuri dhidi ya msuguano wa mazingira, kusaidia kurekebisha ngozi yenye unyevu 

Moisturizer hii inaingia kwa haraka, na haitoi muonekano wa mafuta (non-greasy) k**a kitumbua

Huondoa mafuta kupita kiasi kupitia phytic acid huku ikitoa unyevu, hivyo inafaa kwa ngozi mchanganyiko au yenye mafuta.

Ina virutubisho k**a vitamin B, E, hyaluronic acid, shea butter, na ceramide ikitoa unyevu, kulegeza ngozi, na kupunguza mikunjo.

Ni fragrance free, vegan, haina parabens, ethanol, essences, kutumikia aina mbalimbali za ngozi, hata kwa ngozi sensintive.

75,000

📩📞Call or text 0685704072

📨WhatsApp Call/text 0685704072

🚩 TUPO KARIAKOO MTAA WA MAFIA NA JANGWANI

🚚 DELIVERY unaletewa popote ulipo ❌ FREE DELIVERY

#0747589335

07/06/2025

Why Tissue oil ‼️

1. KupuKupunguzaovu – Ina vitamin E ambayo husaidia kuponya na kulainisha makovu madogo madogo.

2. Kuondoa stretch marks – Inatumika mara kwa mara kwa wanawake waliopitia ujauzito au kupungua/kuongezeka uzito.

3. Kulainisha ngozi kavu – Ni nzuri kwa ngozi ya miguu, mikono, magoti, na maeneo yanayokauka haraka.

4. Kuboresha muonekano wa ngozi – Hutoa unyevu na mng’ao wa asili.

5. Inafaa kwa matumizi ya kila siku – Ni nyepesi, si nzito k**a mafuta mengine, na haiwachi ngozi ikiwa na mafuta mengi.

___

📩📞Call or text 0685704072

📨WhatsApp Call/text 0685704072

🚩 TUPO KARIAKOO MTAA WA MAFIA NA JANGWANI

🚚 DELIVERY unaletewa popote ulipo ❌ FREE DELIVERY

#0747589335

26/08/2024

Vitu muhimu ufahamu kuhusu VITAMIN C NA TUMERIC LOTION

Vitamin C inasaidia kuondoa madoa meusi na kung'arisha ngozi, na kufanya iwe na mwonekano mzuri.

Turmeric ina sifa za kupunguza uvimbe na inaweza kusaidia kupunguza madoa yanayosababishwa na chunusi au uzee.

Vitamin C ni kioksidishaji (antioxidant) chenye nguvu, ambacho husaidia kulinda ngozi dhidi ya uharibifu wa mazingira k**a vile miale ya jua na uchafuzi wa hewa.

Mchanganyiko wa vitamin C na turmeric husaidia kupunguza alama za uzee kwa kuboresha uzalishaji wa collagen, ambayo inasaidia ngozi kuwa na unyoofu zaidi.

Turmeric ina sifa za kutuliza na inaweza kusaidia kupunguza muwasho na ngozi nyekundu.

Kwa ujumla, matumizi ya lotion yenye mchanganyiko wa vitamin C na turmeric yanaweza kusaidia kuboresha afya ya ngozi na kuifanya ionekane yenye afya na mng'aro.

Bei 55000

Call or WhatsApp #0685704072

26/08/2024

Retinol oil 🔥🔥🔥🔥🔥

Wengi tumezoea retinol ni kwa makunyanzi yaani kuondoa na kufifisha makunyanzi

Lakin one thing you should know ni kwamba RETINOL INANGARISHA NA KUONDOA MADOA

one of the best skin care ingredients 😉

For healthier skin chukua hii oil

Bei 35,000

Call Or WhatsApp #0685704072📲

26/08/2024
23/08/2024

FAIR AND WHITE 👌🏼

HONEY K**A UNATAKA FAIR SHADE ING'ARO WA NGOZI, KUTAKATISHA NGOZI, KUNOGESHA RANGI YA NGOZI YAKO ✅

IM TALKING ABOUT FAIR SKIN CARAMEL SKIN🥳 SILK SKIN 🥳

OOOH IM LOST IN WORDS NISEMEJE UNIELEWE

BEI 65000

CALL OR WHATSAPP #0685704072📲 #0747589335

&w #

23/08/2024

Licorice oil ina mali ya kuondoa madoa ya ngozi (hyperpigmentation) kutokana na asidi ya glabridini iliyomo ndani yake, ambayo huzuia uzalishaji wa melanini.

Matumizi ya mafuta ya licorice yanaweza kusaidia kupunguza kuonekana kwa madoa meusi, alama za chunusi, na kuboresha mng'ao wa ngozi kwa muda.

Kwa matokeo mazuri zaidi ni muhimu kutumia DR DAVEY ORIGINAL LICORICE OIL zilizo na viwango vinavyofaa vya licorice

Na kutumia endeleve na kuendelea kwa muda mrefu ili kuona matokeo. Pia, ni vyema kushauriana na mtaalamu wa ngozi kabla ya kutumia bidhaa yoyote mpya ya ngozi.

Bei 35000.

CALL or WhatsApp #0685704072

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address

NGAYA VipoDozi
Dar Es Salaam
11106