WAFtv
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from WAFtv, Dunga Street, Dar es Salaam.
Baba anjela avamia kwa Mr mwanya naku pasua vio vyagari la mwanaya
hili swala wewe unaonaje ni mpango au ni kweli
Uteuzi wa Fiston Mayele katika kikosi cha DR Congo national football team kitakachoshiriki FIFA World Cup 2026 umetarajiwa kunufaisha klabu yake ya Pyramids FC kwa mapato ya takribani dola 198,000 (sawa na Shilingi milioni 514) kutoka FIFA.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, FIFA hulipa klabu ambazo wachezaji wake wanashiriki Kombe la Dunia, ambapo kila siku mchezaji akiwa kwenye michuano hiyo huingizia klabu yake takribani dola 11,000.
Kwa kuwa DR Congo inatarajiwa kuwepo kambini na kucheza kwa angalau siku 18 kuanzia maandalizi hadi hatua ya makundi, Pyramids FC inatarajiwa kunufaika moja kwa moja kupitia uwepo wa Mayele katika mashindano hayo.
Kiasi hicho kinaweza kuongezeka iwapo DR Congo itafanikiwa kusonga mbele zaidi katika hatua za mtoano, jambo litakalozidisha muda wa Mayele kubaki kwenye michuano hiyo.
Mayele ni miongoni mwa washambuliaji waliochaguliwa na kocha Sébastien Desabre, ambaye ana matumaini makubwa na kikosi hicho katika mashindano ya Kombe la Dunia 2026 yatakayofanyika Marekani, Canada na Mexico.
Our love story
Our love story
Nilifanya vile ILI nikuumizee
Alikuwa anapenda mapenzi balaa
(Dedicated to Mariam)
NIFFER KAKIWASHA VIBAYA MNO
Je wewe unasemaje juu ya hili sakata la na
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
