AFYA YAKO

AFYA YAKO

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA YAKO, Health/Beauty, Dar es Salaam.

AFYA YAKO – WhatsApp channel 30/03/2026

https://whatsapp.com/channel/0029VbCZL66Au3aNAwj2wr30

AFYA YAKO – WhatsApp channel Follow AFYA YAKO's WhatsApp channel. Nasaidia kutatua changamoto zote za afya magojwa yote sugu kwa tiba mbadala, mikoa yote Tz. Mawasiliano na ushauri ni bure kabisa..
Dr. Zebedayo on WhatsApp/call +255764833988. Join 16 followers for the latest updates.

23/02/2026

Pata ofa yako sasa 👇👇
Message Dr. Zebedayo on WhatsApp. https://wa.me/255764833988

04/06/2023

2v2v2

04/06/2023
29/04/2022

Je! Unahitaji mtoto? call 0764833988

07/04/2022

Nakusaidia kutibu afya ya uzazi bure kabisa.
Call/WhatsApp 0764833988

07/04/2022

Nakusaidia kutibu Afya ya uzazi bure kabisa..
Call/WhatsApp 0764833988

11/02/2022

*UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS) NA SULUHISHO LAKE*

*FIBROID NI NINI?*
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi (ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama
ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.

*Kuna aina kuu zifuatazo za fibroids:*
1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizaz)

*Watu wafuatao wako hatarini kupatwa na ugonjwa huu fibroids*
1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi
4.unene
5.kuingia hedhi mapema

Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu huwaga unaongezeka
kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto. Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids.

*Dalili za fibroids*
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye kiaharufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa
hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpangilio
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi

*Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo*

1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha
mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu

Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto:
1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza
mishipa ya kupitisha mayai kutoka
kwenye mfiko wa mayai yaani ovari
2.Uvimbe pia unazuia yai
lililorutubishwa kujishikiza kwenye
kizazi..hasa submucosal fibroids
3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu.

11/02/2022

FAHAMU FAIDA ZA FEMICARE KWA WEWE MWANAMKE.
Femicare ni Dawa au Tiba ya Asili kutoka USA ambayo hutumiwa na Wanawake kwaajili ya kuondoa changamoto mbalimbali Ukeni. Imetengenezwa kiasili 100% haina kemikali mbaya.

ZIJUE FAIDA 9 ZA FEMICARE.
1. Huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaochangia vyoo.

2. Inatibu Fangasi sugu ukeni na U.T.I sugu.

3. Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D ikitumika na Yunzi.

4. Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika.

5. Inafanya Uke kuwa msafi na mkavu muda wote.

6. Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika ikitumika na Yunzhi.

7. Inakaza misuli ya Uke uliolegea na kuwa tight.

8. Inaondoa maumivu ya Tumbo chini ya kitovu. (chango).

9. Inaondoa michubuko ukeni, vidonda na vijipele vyote.
`
Uke ni sehemu ya wazi yenye unyevu unyevu ni rahisi Kuvurugwa na kupata Maambukizi ya Mara kwa mara, Utibu na Utunze kwa kutumia Femicare feminine cleaner, Kiboko ya Maambukizi yote Ukeni na kwenye via vya Uzazi. Call/WhatsApp 0764833988

07/01/2022

OFISI ZA BF SUMA TANZANIA ZIPO WAPI?*
Hapa Tanzania ofisi zipo Dar es salaam ( mlimani city ndio makao makuu ya kampuni )
Ubungo, Mbeya, Iringa, Dodoma, Arusha, Tabora, Manyoni, Shinyanga, Kahama, Bukoba,Mwanza na Ngara

Kampuni ina malengo makubwa mawili

*1.Kuboresha uchumi na kuwa na kipato endelevu*

2. *Kuboresha afya*
Kwa nini afya? Kwa sababu palipo na uzima yote huwezekana, huwezi ukawa na pesa huku uko unaumwa au ukawa mzima pesa huna dunia ya sasa ukiwa na pesa,afya na Mungu ,hakika wewe ni mfalme duniani.
Hiyo ndiyo maana fupi ya kampuni yetu ya *BFSUMA*.

*JE UNATAKA KUJUA NAMNA GANI KAMPUNI INAJIHUSISHA NA AFYA NA KUINUA VIPATO VYA WATU...? ENDELEA KUFUATILIA SOMO HILI HAPO CHINI*
Kwa upande wa Afya Kampuni ya *BF SUMA* inazalisha *virutubisho lishe (Food Supplement)* kwa ajili ya kuzuia na kutibu Maradhi tofauti tofauti ndani ya Mwili wa Mwanadamu ;

*MIFUMO YA MWILI AMBAYO KAMPUNI INAZALISHA VIRUTUBISHO*

*🔘* *MFUMO WA MIFUPA NA JOINTS*
Hapa huzalisha VIRUTUBISHO vinavyohusika na kuhakikisha Mifupa inakuwa katika hali nzuri wakati wote yaani kuzuia na kutibu Maumivu ya mifupa,kiuno,mgongo na kwenye Joints.

🔘 *MFUMO WA UZAZI*
Hapa kampuni inazalisha bidhaa ambazo zitamsaidia *Mwanaume* Na *Mwanamke* katika mfumo mzima wa uzazi
Kwa upande wa Mwanaume inamsaidia kuepukana na maradhi tofauti tofauti kwenye uzazi k**a vile nguvu za kiume,Ngiri,Tezi dume na kwa upande wa Mwanamke hapa kampuni imejikita katika kuzalisha bidhaa ambazo zitamsaidia kuponywa na kuzuia U.T.I sugu, Fungas,Harufu,Miwasho

🔘 *MFUMO WA KINGA ZA MWILI*
Hapa kampuni imejikita kuzalisha bidhaa ambazo zinaenda kuongeza na kuzipa nguvu kinga za mwili

🔘 *MFUMO WA USAFI*
Hapa kampuni inajihusisha na uzalishaji wa bidhaa zitakazo kufanya uonekane katika uasilia wako hususani katika ngozi na kinywa.

Pia Mifumo Mingine ambayo kampuni inazalisha bidhaa ni

➡ *MFUMO WA MMENGENYO WA CHAKULA*

➡ *MFUMO WA DAMU NA UBONGO*

Hizo hapo juu ni Baadhi ya Mifumo ambayo kampuni inazalis

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam