ASHA TIPS
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from ASHA TIPS, Health/Beauty, Dar es Salaam.
Nutritionist
Tunatatua changamoto zinazo athiri Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
Acid Reflux.Vidonda vya tumbo.Bawasiri
Mwenge:DSM
Call:0655251930
whatsp:0682978185
See translation
whatsapp.me/0655251930
29/09/2025
Feedback 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
29/09/2025
TIBA ASILIA ZA TONSILS (MAWE YA TONSILS)
Mawe ya tonsils (tonsilloliths) ni vipande vidogo vya vitu vilivyokak**aa (hasa chakula, ute na bakteria) vinavyokusanyika kwenye mifuko midogo ya tonsils, hasa za upande wa koo (palatine tonsils).
Aina 3 za tonsils:
1. Palatine - upande wa koo (ndizo wengi huziita "tonsils")
2. Pharyngeal - nyuma ya koo
3. Lingual - chini ya ulimi
Chanzo kikuu cha mawe ya tonsils:
👉🏾Ni chakula, ute na bakteria wanaonaswa kwenye mifuko midogo ya tonsils.
Tumia mouthwash kutoka kwetu kuondoa changamoto hii kwa shilingi 20000 tu.
29/09/2025
Kwa ushauri na suluhisho la uhakika tutafute 0655251930
29/09/2025
Good morning ☀️
18/09/2025
Mkojo wako una rangi gani ?? Jichunguze
18/09/2025
Gesi kujaa tumboni ni nini?
Niile hali ya tumbo au mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuwa na hewa iliyozidi.
NINI HUPELEKEA GESI
KUZIDI TUMBONI?
1-Ulaji mbovu.
2-Kupendelea kutafuna vitu K**a jojo (Big G) mara kwa mara.
3-Unywaji au ulaji wa vyakula kwa haraka yani speed isiyo kawaida ya kula.
4-Kuto kula kwa wakati.
5-Matumizi ya vilevi na uvutaji sigara
6-Kua na mazoea ya kula vyakula vilivyo lala (kiporo) bila kupasha
DALILI ZA GESI TUMBONI?
1-Kutoa hewa mara kwa mara kupitia mdomo (kubeua) au kwenye njia ya haja kubwa.
2-Kua na milio (miungulumo) ndani ya tumbo.
3-Kuhisi hali ya kushiba au kuto hisi njaa.
4-Kula kiasi kidogo cha chakula na kuhisi kushiba nani???
Tutafute kwa suluhisho la kudumu
12/09/2025
Elewa vitu vinavyo haribu sana figo
1. UTI ya mara kwa mara
2. Dawa za sukari,
3. Dawa za Pressure
4. Dawa za HIV
5. Pombe kali
6. Mafuta ya chips yaliorudiwa zaidi ya mara 3
7. Drink energy (Mo energy, Azam energy n.k)
8. Kukaa na mkojo kwa mdaa mrefu
9. Sigara
% Wewe upo namba ngapi hapo ???
Tupo na package ya detoxing tutafute 0655251930
12/08/2025
with .repost
・・・
Acid ya tumbo inapozidi kwenye mrija inaounganisha mdomo na tumbo huitwa
ugonjwa wa Reflux.
TATIZO LA KUCHEUA TINDI KALI. (ACID REFLUX).
Kucheua tindi kali ni hali ambayo mchanganyiko wa chakula wenye tindi kali uliyopo tumboni kila wakati hupanda juu kupitia umio (esophagus).
Hali hii hutokea kwa sababu vali ilivopo unapoishia umio
haifungi vizuri chakula kinapokuwa kimeingia tumboni.Tindi kali hupanda kupitia umio kuingia kooni na
kisha mdomoni, hivyo humfanya mtu ajisikie ladha chungu.
Hali hii ikiwa ya muda mrefu inaweza kupelekea saratani ya koo.
Reflux ya kinywa ni ngumu kugundulika kwani inaambatana na dalili za kutatanisha, Miongoni mwa dalili hizo ni pamoja na.
• Kikohozi kikavu cha muda mrefu.
• Kucheua chakula ikiambatana na ladha chungu.
• Hisia ya kwamba chakula kinakwama kooni.
• Maumivu ya kifua.
•Shida wakati wa kumeza chakula.
•Kukauka koo/Maumivu makali na sauti kukwaruza.
• Tumbo kuwaka moto
• kupata kiungulia.
• kujisaidia choo kigumu.
•Kuwa na wasiwasi muda wote.
• kukosa usingiza.
•Uchovu wa mwili n.k
Karibu upate ushauri na tiba.
Tiba zetu ni bora zaidi kwani zitakupa suluhisho la Kudumu 0655251930•
16/05/2025
TATIZO LAKO LIMEFIKIA HATUA GANI KATIKA HATUA ZIFUATAZO?:
Zipo hatua 4 ambazo GERD (kuzid kwa acid tumbon) hupitia,hatua hizo ni k**a ifuatavyo:
A.HATUA YA KWANZA (MILD GERD).
Wengi katika watu wanaosumbuliwa na GERD huangukia katika hatua hii ya kwanza ya GERD ambapo tatizo huwa katika hatua za mwanzo sana.
DALILI ZA GERD HATUA YA KWANZA (MILD GERD)
1. Kiungulia
2. Maumivu ya kifua
3. Kuhisi k**a kuna vitu vya kunata katika
kooni
4. Kucheua chakula au vinywaji
Katika Hatua hii, mtu anaweza kujitibia kwa kubadili mfumo wake wa maisha kwa kuepuka vyakula na mifumo isiyofaa kutokana na hali yake mfano ajiepushe na Caffeine, pombe,vyakula vyenye mafuta mengi nk. Lakini pia ni rahisi mgonjwa kupona akitumia dawa katika hatua hii ya awali.
B. HATUA YA PILI YA GERD (MODERATE GERD)
Katika hatua hii,watu wenye GERD hupatwa na dalili za GERD mara kadhaa ndani ya wiki na dalili zake hutokea mara kwa mara ukilinganisha na
Hatua ya kwanza na dalili huanza.
Tupo na suluhisho lake 0655251930
13/05/2025
👋🏼
09/05/2025
Happy birthday to Asha tips 🙏🏽
26/04/2025
Tutafute 0655251930 kwa ushauri na suluhisho la kudumu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
