AFYA kwanza

AFYA kwanza

Share

jukwaa la kujifunza elimu ya Afya

04/09/2021

📌 Tunatoa Huduma Ya Vipimo Vya Afya Vya Mwili Mzima (hasa katika mfumo wa uzazi) Kwa Gharama Nafuu Sana ya Tsh 15,000 tu,

➖Pia Tunafanya Matibabu Ya Changamoto Mbalimbali za Kiafya K**a Vile

📌Uzazi 📌Kisukari 📌Mifupa 📌Presha 📌 Vidonda Vya Tumbo 📌 Maumivu wakati Wa Hedhi 📌Uvimbe bila Upasuaji 📌PID Sugu

Na Mengine Meengi

📌Tuna Uzoefu Wa Kutoa Huduma Kwa Miaka Saba (7️⃣) na Tunapatikana

🕐Dar es salaam 🕐Morogoro
🕐Dodoma 🕐Tanga
🕐Mwanza 🕐Arusha
🕐Moshi. 🕐Kahama
🕐Singida 🕐Bukoba
🕐Kigoma 🕐Zanzibar
🕐Masasi 🕐Mbeya
🕐Iringa 🕐Kibaha
🕐Kisarawe 🕐Ifakara

📌Tafadhali Tupigie Kwa Namba

📞📲 0692926983

Au wasiliana na Dr Kwa WhatsApp Kwa Kugusa Link Hapa Chini

https://wa.me/255692926983

19/08/2021

Jukwa hili limelenga kuwasaidia wanawake Wenye Changamoto za Uzazi, Inawezekana unachangamoto ya uzazi kwa muda mrefu sasa k**a Ndio basi Karibu Katika Clinic zetu

📌 Tunatoa Huduma Ya Vipimo Vya Afya Vya Mwili Mzima (hasa katika mfumo wa uzazi) Kwa Gharama Nafuu Sana ya Tsh 15,000 tu,

➖Pia Tunafanya Matibabu Ya Changamoto Mbalimbali za Kiafya K**a Vile
📌Uzazi 📌Kisukari 📌Mifupa 📌Presha 📌 Vidonda Vya Tumbo 📌 Maumivu wakati Wa Hedhi 📌Uvimbe bila Upasuaji 📌PID Sugu

Na Mengine Meengi,,,,

📌Tuna Uzoefu Wa Kutoa Huduma Kwa Miaka Saba (7️⃣) na Tunapatikana

🕐Dar es salaam 🕐Morogoro
🕐Dodoma 🕐Tanga
🕐Mwanza 🕐Arusha
🕐Moshi. 🕐Kahama
🕐Singida 🕐Bukoba
🕐Kigoma 🕐Zanzibar
🕐Masasi 🕐Mbeya
🕐Iringa 🕐Kibaha
🕐Kisarawe 🕐Ifakara

📌Tafadhali Tupigie Kwa Namba

📞📲 0692926983

Au wasiliana na Dr Kwa WhatsApp Kwa Kugusa Link Hapa Chini

https://wa.me/255692926983

06/02/2021

🌻IJUE AFYA YAKO LEO🌻

AFYA ni muhimu sana, jitahidi kuipenda na kuitunza afya yako kwakupima na kujua hali uliyinayo na jinsi ya kujiweka salama.

Karibu katika vituo vyetu vya afya tunatoa huduma ya vipimo vya mwili mzima kwa gharama ya s*t. 15,000/= tu. Na tunatibu magonjwa yote sugu. kwakutumia dawa zisizo na kemikali
Karibu tunatoa huduma ya checkup katika mifumo yote ya mwili k**a ifuatavyo ;-
✳Mfumo wa damu.
✳Mfumo wa mifupa.
✳Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
✳Mfumo wa uzazi kwa kina mama.
✳Mfumo wa uzazi kwa kina baba.
✳Mfumo wa fahamu.
✳Mfumo wa ngozi.
✳Mfumo wa upumuaji.
✳Mfumo wa macho.

Kwa Dar es salam tunapatikana;-
Gerezani kariakoo
Mbagara zakhiem
Banana relini ukonga
mawasiliano yetu ni 📞0692926983:- dar
Kwa mikoani tunapatikana pia kwa mawasiliano piga au tuma ujumbe mfupi kwenda namba
📞0692926983
Wasiliana na doctor moja kwa moja kwa njia ya whatsap kwa kugusa link hii hapo chini 👇🏼👇🏼
https://wa.me/255692926983

14/01/2021

🏵️🏵️ KWA WAKAZI WA
NA MAENEO JIRANI 🏵️🏵️

✍✍📢 HIZI NI HABARI NJEMA KWENU 🏃🏃🏾‍♀️

⭕WALE BINGWA WA MASUALA YA UZAZI KUTOKA ETERNAL INTERNATIONAL CLINIC,

✳ TUME WASOGEZEA HUDUMA ZETU ZA AFYA KWA KUFUNGUA KITUO MAENEO YA
⭕MBAGARA ZAKHEM

⭕KARIBU UPATE HUDUMA ZA VIPIMO VYA KISASA VYA AFYA VYA MWILI MZIMA KWA TSH ELFU NA TANO TU ,(15,000/=)

⭕ Ofa Hii Itadumu Ndani Ya Mwezi Mmoja

🍒🍓🍎 *DAWA ZETU NI TIBA LISHE*🥑🍌🍉🍋

*Zimethibitishwa na *
Huondoa sumu Mwilini na Kuweka Kinga.

* *

✳️ Zimekua Pendwa Duniani Kwa Sasa Baada ya
🍉*Kufanikiwa kutibu VIMBE MBALIMBALI Ikiwemo
🕵 *TEZI DUME* BILA UPASUAJI

⭕ *ETERNAL INATOA TIBA KWA MAGONJWA YAFUATAYO*

❇️ Kushindwa Kubeba Ujauzito
🪀Matatizo ya hedhi kwa wanawake (Maumivu wakati wa hedhi ,hedhi zisizokua na mpangilio, Kutopata hedhi, Kupata hedhi mara mbili ndani ya mwezi)
☸️ Kupungukiwa au kuishiwa kwa nguvu za kiume
⭕Walioathiliwa na upigaji wa punyeto (musterbation)
🍇Magonjwa ya zinaa k**a kaswende,kisonono na masundosundo
🍎Vidonda vya tumbo (stomach ulcers)
⭕Maradhi ya Mifupa
🍒Ngiri (ngiri ya ndani na nje )
🍍Kisukari
🍏kupanda na kushuka kwa presha
🥔Kupunguza unene/kitambi Na uzito
🥐Fangasi za aina zote na bacteria(kuondoa harufu mbaya sehemu za siri ,miguuni,na makwapani)
🥭Mzio (Allergy)
🥑U .T .I SUGU(Mkojo kubadilika rangi, kuuma)
🍅Kushindwa kutungi
🍇Chunusi na mabaka yasiyo sikia dawa.
🍒kuondoa ndevu kwa wanawake (hormonal imbalance)
🍅Matatizo ya Meno na fizi.

⭕ Eternal International Clinic

✳️ Tunapatikana Pia

Banana
Kariakoo
Mbagara
Kibaha.

🈴 Morogoro__Kihonda
🈸 Moshi__Mawenzi
🏵️ Singida _Ilongelo
🈸 Mwanza_Kirumba
❇️ Zanzibar_Kwelekwe
☸️ Mbeya__Ilomba
⭕ Dodoma Area A
✳️ Kahama Majengo
☸️ Tanga Ngamiani
♈ Iringa_ Mafinga
☸️ Masasi

Piga Simu 📞 0692926983

🪀🪀 Au Wasiliana na Doctor Kupitia WhatsApp kwa Gusa Link hapo chini
👇🏿👇🏿

https://wa.me/255692926983

22/12/2020

🌻IJUE AFYA YAKO LEO🌻

AFYA ni muhimu sana, jitahidi kuipenda na kuitunza afya yako kwakupima na kujua hali uliyinayo na jinsi ya kujiweka salama.

Karibu katika vituo vyetu vya afya tunatoa huduma ya vipimo vya mwili mzima kwa gharama ya s*t. 15,000/= tu. Na tunatibu magonjwa yote sugu. kwakutumia dawa zisizo na kemikali
Karibu tunatoa huduma ya checkup katika mifumo yote ya mwili k**a ifuatavyo ;-
✳Mfumo wa damu.
✳Mfumo wa mifupa.
✳Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
✳Mfumo wa uzazi kwa kina mama.
✳Mfumo wa uzazi kwa kina baba.
✳Mfumo wa fahamu.
✳Mfumo wa ngozi.
✳Mfumo wa upumuaji.
✳Mfumo wa macho.

Kwa Dar es salam tunapatikana;-
Gerezani kariakoo
Mbagara zakhiem
Banana relini ukonga
mawasiliano yetu ni 📞0692926983:- dar
Kwa mikoani tunapatikana pia kwa mawasiliano piga au tuma ujumbe mfupi kwenda namba
📞0692926983
Au kwa wamikoani na wa dar pia wasiliana na doctor moja kwa moja kwa njia ya whatsap kwa kugusa link hii hapo chini 👇🏼👇🏼
https://wa.me/255692926983

08/11/2020

🌻ZIFAHAM DALILI ZINAZOASHILIA DALILI ZA MAGONJWA HATARI NA SUGU KATIKA MWILI WAKO MFANO HIII.🌻

🙊CHANGAMOTO YA GANZI KATIKA SEHEMU MBALIMBALI ZA MWILI.🙉

Katika mwili wa binadamu kuna matatizo ya kiafya ambayo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi sehemu mbali mbali za mwili kuwaka moto na hata kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono na hata Kichwa pia,

•Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy,
Matatizo haya ya kiafya (miguu/mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikono.

•Dalili zinazoambatana na tatizo hili
1.Mtu kuhisi ganzi
2. kushindwa kushika au kunyanyua kitu, kuchoka kwa misuli
3.maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni/mikononi,

•Baadhi ya visababishi vya neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni
1.Kupungua kwa virutubisho mwilini,hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex).
2.Matumizi ya dawa, mfano dawa za kutuliza maumivu
3.Uzito mkubwa wa mwili,
4.Ugonjwa wa kisukari,
5.Shinikizo la damu na mengineyo.

•Mtu wenye matatizo au dalili za gazi anashauriwa kufanya mazoezi,kula vyakula vyenye virutubisho na kula mboga za majani na matunda kwa wingi,
Na ikiwa unadalili k**a hizo na unahitaji ufumbuzi karibu
Eternal International Clinic.
Au
🌹Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla,
📲 K**a Ndio Napenda Nikukaribishe Eternal International Clinic
💥Tunatoa Huduma Ya Vipimo Vya Mwili Mzima(Fullbody Checkup) Kwa Tsh 15,000/ tu
🩸 Dawa Zetu ni Tiba Lishe na
🩸 Tuna zaidi ya Vituo Mia moja Duniani kote,

💥 RATIBA YA KAZI NA ORODHA YA VITUO VYETU NCHINI TANZANIA 💥

🌹BANANA_ Jumapili Mpaka Ijumaa
🌹KARIAKOO_Jumatatu mpaka jumamosi
🌹MBAGARA_Jumatatu mpaka Jumamosi
🌹DODOMA_Jumatatu Mpaka Jumamosi
🌹SINGIDA_Ilongelo __Juma tatu Mpaka Jumapili
🌹KAHAMA _Jumatatu Mpaka Jumapili
🌹BUKOBA_Jumapili Mpaka Ijumaa
🌷MOROGORO_Jumapili mpaka Ijumaa
🌷MOSHI_Jumapili Mpaka Ijumaa
🌷LINDI_Jumatatu mpaka Jumamosi
🌷MASASI__Jumatatu mpaka Jumamosi
🌷MBEYA__Jumatatu mpaka Jumamosi
🌷IRINGA__Mafinga
🌹ZANZIBAR__Jumapili Mpaka Ijumaa
💛KIGOMA KASULU __Jumatatu mpaka Jumamosi
🍅MWANZA_Misungwi

🌹KARIBUNI SANA

Tupigie Kwa Namba

📞 0692926983

🩸Au Wasiliana na Doctor kwa Njia ya Whatsapp kwa Ku gusa Link hapa Chini.
https://wa.me/+255692926983

01/11/2020

❤️▪️ PATA ELIMU KWA UFUPI KUHUSIANA NA MZUNGUKO WA HEDHI ❤️

✅ Mzunguko wa mwezi wa mwanamke unaweza kujirudia kwa vipindi vilivyo sawa – au vilivyo na urefu wa siku tofauti, damu inaweza kutoka kwa wingi au kidogo, ikaambatana na maumivu au isiwe na maumivu.
🟤 Vyote hivi ni vitu vya kawaida kwa mwanamke, – “mzunguko wa kawaida kwa mwanamke ni ule aliouzoea.”
⏺️ Tunasema kuna mabadiliko au kuna matatizo katika mzunguko wa hedhi wa mwanamke pale mambo yanapokwenda tofauti na alivyoyazoea mwanamke mwenyewe katika mwili wake.

🪀 Kuna sababu nyingi zinazoweza kusababisha kuvurugika kwa mzunguko wa mwezi wa mwanamke. Baadhi ya sababu hizo ni k**a zifuatazo:

🔴 Kubadili Njia Ya Mpango Wa Uzazi: Kubadili njia ya mpango wa uzazi kutoka moja hadi nyingine kunaweza kuvuruga mzunguko wa hedhi.

🟣 Kukosa Uwiano Wa Homoni: Ni kawaida kwa mwanamke kukosa uwiano mzuri wa homoni za estrogen na progesterone miaka michache baada ya kuvunja ungo na kabla ya kukoma hedhi. Hali hiyo huweza kusababisha mzunguko wa hedhi kuwa mrefu au mfupi na kutokwa na damu kidogo au nyingi kupita kiasi wakati wa hedhi.

🟡 Ujauzito Au Kunyonyesha: Kuchelewa kupata au kukosa hedhi ni dalili ya awali ya ujauzito. Kunyonyesha kwa kawaida humzuia mwanamke kurudia kuanza kupata siku zake baada ya mimba.

⏺️ Matatizo Ya Ulaji, Mazoezi Mazito Au Kupungua Mwili: Matatizo katika ulaji wa chakula, kupungua uzito kwa kiwango kikubwa na kuongezeka kwa shughuli nzito za mwili huweza kusimamisha mzunguko wa hedhi.

⚫ Polycystic O***y Syndrome (PCOS): Hii ni hali inayoweza kutokea ambapo vifuko vidogo vilivyojaa majimaji (cysts) huota kwenye ovari. Dalili ya Polycystic o***y syndrome ni kupata hedhi zisizotabilika au hedhi fupi au kukosa kabisa hedhi. Hii ni kwa sababu mwanamke mwenye PCOS hawezi kutoa yai (ovulation) kila mwezi k**a inavyotakiwa. Utengenenezaji wa homoni zake unaweza kuwa hauna uwiano unaotakiwa, na pengine kukawa na kiwango kikubwa mno cha testosterone.

🟤 Ovari Kuacha Kufanya Kazi Mapema – Premature Ovarian Failure:Hili ni tatizo ambapo ovari huacha kufanya kazi k**a inavyotakiwa kwenye umri unaopungua miaka 40. Wanawake wenye tatizo hili huweza kuwa na siku ambazo hazitabiriki kwa kipindi kirefu cha maisha yao.

❤️ Pelvic Inflammatory Disease (PID): Maambukizi ya wadudu kwenye viungo vya uzazi huweza kumsababishia mwanamke apate hedhi zisizotabirika.

🔴 Uterine Fibroids: Uvimbe ulioota katika nyumba ya uzazi husababisha damu kutoka kwa wingi wakati wa Hedhi.
```💢Ikiwa unachangamoto yoyote inayohusu uzazi na afya ya mwili kiujumla basi usisite:-
🙏🏼🙏🏼 *KARIBU ETERNAL INTERNATIONAL CLINIC*
👉🏼 Tunatoa huduma ya vipimo kwa mwili mzima yani (full body checkup) kwa gharama ya Tsh 15,000/= tu.
🔷 Dawa zetu ni tiba lishe.
🔶Tuna vituo zaidi ya mia moja duniani kote.

🥼 *RATIBA YA KAZI NA ORODHA YA VITUO NCHINI TANZANIA*

🔯 dar es salaam
👉🏼Banana _jumapili _ijumaa
👉🏼 Gerezani kariakoo _ jama tatu _ ijuma mosi
👉🏼Mbagara zakhiem _ juma tatu _ ijuma mosi
✡️ mikoani
👉🏼Dodoma area A _juma tatu _ ijuma mosi
👉🏼Dodoma meliwa _ijumatatu -ijumamosi
👉🏼Mafinga _ ijumatatu - ijumamosi
👉🏼Mwanza _ ijumatatu - ijumamosi
👉🏼Morogoro kihonda _ijumapili _ ijumaa
👉🏼Morogoro dumila _ijumapili _ ijumaa
👉🏼Singida irongero _ ijuma tatu_ ijuma mosi
👉🏼Mbeya ilomba -ijuma tatu _ ijuma mosi
👉🏼Kahama majengo _ ijumatatu _ ijuma mosi
👉🏼Bukoba hamugembe _ijuma tatu hadi _ ijumamosi
👉🏼Moshi mawenzi _juma pili _ ijumaa
👉🏼Mtwara mjini _ ijuma tatu _ ijuma mosi
👉🏼Tanga mjini _ijumatatu _ ijumaa
👉🏼Zanzibari _ijuma tatu _ ijuma mosi
👉🏼Lindi mjini _ ijumatatu _ ijuma mosi
👉🏼Masasi _ijumatatu _ijuma mosi
👉🏼Kigoma kasulu _ ijumapili - ijumaa

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa kututumia ujumbe mfupi au kutupigia cm kwa no:-
Dr 0692926983

Au wasiliana nasi kwa njia ya whatsApp kwa kugusa link hii hapo chini 👇🏽👇🏽👇🏽
https://wa.me/+255692926983

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 07:30 - 22:00
Tuesday 07:30 - 22:00
Wednesday 07:30 - 22:00
Thursday 07:29 - 22:00
Friday 07:30 - 22:00
Saturday 07:30 - 22:00
Sunday 09:30 - 16:30