Dr.May Show
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dr.May Show, Health/Beauty, Salasala, Kilimahewa, Dar es Salaam.
Dr. May Show
A TV Show Hosted by Dr. May Bukuku
Public Health Specialist, SBCC Expert
Plus DStv Channel #294
(Coming soon)
Your comments may be used/published by Dr. May Show on the web or TV
Afternoon Glory! Afternoon Glory! Stay tuned 2022 will be lit here at Dr May Show page!!..ππππποΈββοΈ
25/06/2020
Colourful burger π healthy burger.. nimetumia nini kupika hii healthy bun ya burger? Follow this page na uweke notification ili usipitwe na uhondo..
20/06/2020
STAY WITH US.. TAREHE 1/7/2020 TUTAANZA KUTOA RECIPES ZA MAGONJWA MBALIMBALI ZIKIWEMO PIA ZA KUPUNGUZA MWILI..
βJITAMBUE CHUKUA HATUAβ
Unaweza kutumia tairi lililoisha muda wake k**a kifaa chako cha mazoezi ukiwa gym au nyumbani
Kufanya mazoezi Kwa kutumia tairi ni njia nzuri sana ya kuhusisha mwili wako wote katika kufanya zoezi (full body workout)
Uzuri wa kutumia tairi Kwa mazoezi ni kwamba unaweza kufanyia hata nyumbani
Wakazi wa Mbezi Msakuzi tembeleeni kuna walimu (trainers) wa mazoezi wazuri sana! π€ΈπΌββοΈππΎββοΈπ₯π₯ Tembelea Page ya upate tips mbalimbali za healthy lifestyle na healthy foods
Dr.May Show: Namna ya Kutumia Tairi k**a kifaa cha Mazoezi
MTINDI (YOGURT)
Unautumiaje Maziwa ya Mgando (Mtindi)?!
14/06/2020
Hapo nimetumia ndizi ili kupata ladha ya sukari kwenye juice ya ubuyu.
1. Nimechemsha maji yenye mdalasini mpaka yakachemka/kutokota
2. Nikayamwagia kwenye unga wa ubuyu niliokuwa nimeuweka kwenye bakuli. Nikakoroga
3. Nikasaga ndizi mpaka zikasagika kabisa (blend) halafu nikamimina kwenye mchanganyiko wa ukwaju na maji. Nikakoroga vizuri
4. Ni kaweka kwenye jug then kwenye fridge tayari Kwa kunywa.
Note: utamu wa ndizi ndiyo sukari yangu.
Endelea kuniambia namna unavyitumia NDIZI kwenye mlo wako.
Halafu nitawaambia faida ya NDIZI katika miili yetuπππ
14/05/2020
Ungana nasi kwenye mitandao ya kijamii.
ni Kipindi kuhusu maisha yetu ya kila siku, tabia zetu na tunayoishi.
Vitu vinavyoathiri au kuboresha zetu, na kutoa fursa kwako kuonyesha na kuongelea kuhusu furaha na maumivu katika maisha.
Na zaidi kutupa fursa ya kujitambua na kuchukua hatua.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam
