Emmy Health
PATA VIRUTUBISHO ASILIA MBALI MBALI VISIVYOKUW NA KEMIKAL KWA AFYA BORA ZAIZ 0627823137
TATUA TATIZO LA MIFUPA KWA NJIA SALAMA KABISA 0627823137
Tatizo la mifupa limekuwa tatizo ambalo linawasumbua wengi hasa walio na umri kati ya miak 40 na kuendelea
Hiyo inatokea baada ya maungio kuishiwa gegedu au uteute na kupelekea kupata maumivu makali sana ya mifupa
Karibu niweze kukusaidia na kutatua tatizo la mifupa
Nitakuhudumia na kukusikiliza kwa ukaribu san kwa mawasiliano piga 0627823137
health
22/12/2020
Leo tutazungumzia tatizo linalowapata watu wengi sana pale umri wao unapokuwa umezidi miaka 40 na hasa wale wenye miili mikubwa.
Nina uhakika kuwa umewaona akina mama wenye umri mkubwa na miili mikubwa wanavyopata shida kutembea huku wakiinama toka upande mmoja hadi mwingine kila wakipiga hatua au shida wanayopata pale inapowabidi kupanda ngazi au kukuchuchumaa.
Maneno k**a “ugonjwa wa kuumwa joints, nina tatizo la joints, maumivu ya joints” na maumivu ya mifupa umeyasikia mara nyingi. Tatizo hasa hapa ni nini
Endelea kufuatilia ukurasa wang ili kupata ufahamu zaidi 0627823137
# thaminiafyayako
# emmy health
27/08/2020
JE UNAFAHAMU KUWA TEZI DUME INAUMUHIMU KATIKA MFUMO WA UZAZI WA MWANAUME
Kutoa majimaji ambayo huchanganyika na mbegu za kiume na kutengeneza shahawa
Kusafisha njia ya mkojo ili kupunguza hali ya asidi ili mbegu za kiume zisifike zunapokuwa zinapita kwenye njia hiyo ya mkojo
Kurusha mbegu za kiume( shahawa) wakati wa kufika kileleni
Kulinda njia ya mkojo isishambuliwe na vijidudu vya uti
Kutengeneza chakula kwa ajili ya mbegu za kiume
Kwa mawasiliano zaid piga namb 0627823137 kupata maelezo zaidi
Endelea kufuatilia ukurasa wangu
health
21/08/2020
Dalili za saratani ya tezi dume ni zipi?
Katika hatua zake za awali, dalili za saratani ya tezi dume hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume (BPH). Dalili hizo ni pamoja na
Kupata shida unapoanza kukojoa
Kutiririka kwa mkojo baada ya kumaliza
Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote
Kutoa mkojo uliochanganyika na damu
Kutoa shahawa zilizochanganyika na damu
Usisahau kushare na wengine il kuweza kutoa usaidiz kwa namna moja au njingine na kupata tiba iliyosahihi
Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0627823137
@ Emmy health
07/08/2020
Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume
Usisahau ku like na pia kushare na wengine
Kwa mawasiliano zai nipigie kwa Namb 0627823137
Health
29/07/2020
Hauhitaji kuwaza kuwa uliyetofaut na mkoa wa dar es salaam huduma unapat vp?
Bidhaa inakufikia mkoa wowote ule
Piga namb 0627823137
health
23/07/2020
Wakati ni sas wa kufanya maamuzi
Usingoje tatizo likawa kubwa ndipo ufanye maamuzi kwani unapokaa na tatizo kwa muda mrefu unasababisha matatizo ambayo kwa baadae inaweza kugharimu maisha ya
NAPENDA NIKUTIE MOYO KUWA KUISHI BILA TEZI DUME INAWEZEKAN BILA KUFANYIWA UPASUAJI
KWA MAWASILIAN ZAID 0627823137
health
22/07/2020
Kuna sku nliwah kuwasilian na bab mmoj huko zanzibar na alinielezea kuwa ni nini kinamtatiza na kinamnyima rah katika umri aliop
Katika kuongea nae alinielez kuwa anapat changamoto kam
Kupat mkojo mara kwa mara hasa nyakat za usiku
Anapat maumiv wakat wa kukojoa na pia amepungukiw nguv za kiume
Nilimwambia kuwa anadalili za tezi dume na nikamshaur akapme kupata majb ya uhakika na baad ya hapo alipm na kugundua kuw ni kwel anatatzo la tezi dume
Na tulivozidi kuongea nae nlimuelza kuhusu virutubisho ambavyo anaawez kutumia na kusaidia kutibu tatizo la tezi dume bila upasuaji na nlivomtajia gharama za dawa alidai kuwa ni ghali sana
Nilimwambia sawa kam atapat hudum zingne ni sawa ndipo aliporudi hospitali na kuanza kutumia dawa, na mwisho wa siku alishndwa kupta huduma
NA BAADAE SAN NLIAMUA KUMPIGIA SIMU KUMJULIA HALI NA NILISIKITIKA SANA NLIPOSKIA KUWA AMEPATA SARATANI YA TEZI DUME
Na ndipo alipokubali nimhudumie kwa gharama yetote ile
NASEMA HIVI KWA SABABU UKICHUKULIA JAMBO DOGO MWANZONI LAKINI LINAWEZA KUKUGHARIMU HAPO BAADAE
KWA MAWASILIANO ZAID PIGA NAMB 0627823137
Endelea kufuatilia page yangu
health
Kwa habari njema ni kuwa hauhitaj kuwa na aibu wala kujihisi vibaya
Kwani suluhisho la tezi dume lipo na bila kufanyiwa upasuaji
Wasiliana name 0627823137 kwa huduma sahihi na bora zaidi
health
MUONGOZO NA USIMAMIZI NI BURE KWA WATU WA MWANZO;
Kuwahi kwako kupata huduma ndio kutapelekea kupata nafuu na kuondokana na hili tatizo mapema,
Wasiliana na sisi leo kupitia namba
0627823137
Tutakupa utatuzi, usimamizi pamoja na uangalizi wa uhakika mpaka changamoto yako itakapoisha kabisa, tumeishawasaidia watu wengi na tunaendelea kuwasaidia wengi lakini hii ni kwa wale wenye uhitaji tu.
Huduma yetu itakufikia popote ulipo Tanzania.
health
18/07/2020
Je unafaham kuwa unapofanyiwa upasuaj wa tezi dume huwa kwa asilimia nyingi wanapoteza nguvu za kiume?
Usikae na tatito kwa mda mrefu jitahidi kuwa wazi kwan kunakuweka huru
Wasiliana nami 0627823137
health
17/07/2020
Nlipowasiliana na wanaume weng wenye tatizo la tezi dume nliwasihi wanielez je wanapat changamot gani au ni dalili gani ambazo wanaziona?
Na ni kuwa nikagundua mazungumzo yao yaendana kwani kila mmja alikuwa akisema....
anapata haja ndogo(mkojo) mara kwa mara hasa nyakati za usiku mara tano na kuendelea,
# kuhisi maumivu wakat wa kukojoa
# kuhis kukojoa na anapotak kukojoa mkojo hushindwa kutoka
Je wew unahisi dalili gani, niandikie nipate kukusaidia kwa uamninif mkubwa
Piga namb 0627823137
@ Emmy health
Click here to claim your Sponsored Listing.
