Msewe College
Early childhood Education
10/05/2026
SHERIA NA SERA YA MTOTO TANZANIA
By Msewe College, Ubungo, Mtaa wa NHC
Sehemu ya 1
Tanzania iliridhia *Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Mtoto* mwezi Juni 1992. Kutokana na huo mkataba, serikali ya Tz ikatunga *Sheria ya Mtoto Na. 21 ya Mwaka 2009*.
Sheria hii inahakikisha mtoto yeyote mwenye umri wa miaka 0 hadi 18 anapata huduma za msingi: k**a afya, elimu, lishe, na ulinzi wa kijamii
Sheria hii ilisainiwa na Rais Jakaya Kikwete tarehe 20 Novemba 2009.. Ndiyo maana inaitwa Sheria Na. 21 ya 2009.
*Kazi ya Sheria hii ni:*
1. Kuunganisha sheria zote zinazohusu watoto ziwe moja
2. Kutaja haki za mtoto na kulinda ustawi wake
3. Kuweka utaratibu wa malezi ya kambo, kuasili mtoto, na uangalizi wa mtoto
4. Kudhibiti ajira za watoto
5. Kushughulikia watoto wenye makosa
*SHERIA YA MTOTO JUU YA DAY CARE ZETU*
Vituo vya kulelea watoto wadogo, Sheria inampa Kamishna wa Ustawi wa Jamii mamlaka ya kusajili vituo vya kulelea watoto.
Sheria inakataza kulea mtoto mwenye umri chini ya miaka 5 kwenye vituo hivyo.
*MHIMU*
Mtoto kuanzia miaka 0 adi 2 atalelewa kwenye _Crรจches_
Mtoto kuanzi miaka 2 adi mitano atalelewa kwenye __DAY CARE_ CENTRE_
*Haki za Mtoto*
1. Kutambuliwa k**a mtoto ikiwa ni mtu chini ya miaka 18.
2. Kuishi bila kubaguliwa kwa namna yoyote.
3. Haki ya kuwa na jina na uraia.
4. Kuwajua wazazi wake wa asili na ndugu wengine wa karibu
5. Kupata elimu, chanjo, chakula, mavazi, malazi, na matibabu.
6. Haki ya kupumzika na kucheza.
7. Kutotumikishwa kazi nzito inayoweza kuaribu afya, elimu, akili, au maadili yake.
8. Haki ya kuishi chini uangalizi wa wazazi/walezi wake.
*Wajibu wa Mtoto*
1. Kudumisha umoja wa familia.
2. Kuheshimu wazazi, walezi, wakubwa, na wazee na kuwasaidia wakihitaji.
3. Kuitumikia jamii na taifa kwa kutumia akili na nguvu zake kulingana na umri wake.
4. Kudumisha umoja wa kitaifa.
5. Kuhifadhi na kuimarisha mila na desturi nzuri za jamii yake.
6. Kusoma.
7. Kucheza.
Tutaendelea sehemu ya 2
Kwa Elimu hii na dondoo muhimu jiunge na Msewe College katik program zifuatazo
1. Ualimu wa chekechea na malezi 1,300,000 (upate cheti cha Ustawi/ Montessori, )
2. Kompyuta 250,000
01/05/2026
Heri ya siku ya wafanyakazi
05/04/2026
Hari ya Pasaka
03/04/2026
08/03/2026
โค๏ธ
Pre-form five.
jiunge nasi kwa masomo ya Pre-form five katika combination za
1. Sayansi k**a PCM,PCB
2. Biashara k**a EGM, HGE
3. Sanaa k**a HGL, HGK
pia zipo nafasi za form five na six kwa mwaka mmoja. (sifa uwe na C tatu) ata k**a haujabalansi kombi
Tupo ubungo, karibu kabisa na Stendi ya Mawasiliano
0676 240 948 -formfive
08/01/2026
UDAHILI UMEFUNGULIWA MSEWE COLLEGE โ MWAKA WA MASOMO 2026!
Karibu kujiunga na Msewe College utimize ndoto zako katika program zifuatazo
1.Kozi ya Ualimu wa Chekechea na Malezi ๐ถ (utapata cheti cha Ustawi/Montessori)
2. Kozi ya Kompyuta ๐ป
3. Kozi ya Urembo na Ususi wa Nywele ๐โโ๏ธ
4. Kozi ya Secretarial ๐
Pia Tunatoa Programu za Masomo:
Kidato cha 1 & 2 (FTNA)
Kidato cha 3 & 4 (CSEE)
Kidato cha 5 & 6
Pia tunatoa nafasi kwa Wanaorudia Mitihani (Resitters) kufaulu ni uhakika
๐ธ Ada Zetu ni Nafuu!
Jiunge na Msewe College leo na uwe sehemu ya familia yetu, mahali ambapo Elimu Bora inakutana na Ubora!
๐ Location: Ubungo, karibu na Mawasiliano Stendi
๐ Simu: 0676 240 948 / 0766 253 520
โจ Msewe College โTunaandaa kesho yako
28/12/2025
2/2
5. *Walimu kukosa uwajibikaji wa muda mrefu* .Walimu wa muda mfupi wanaweza kutokujituma kikamilifu kwa sababu hawajioni k**a sehemu ya kudumu ya shule.Hali hii itapumguza kwa kiasi kikubwa matoke mazuri na kufanya shule yako usikuwe haraka. Je umewahi jua kwa nini mtu mmoja anaweza tumia ata miaka 10 bila shule yake kukuwa na mwisho akaamua kuiuza au kupangisha. Na akaja mwingine kwa miaka miwili tu shule imesimama. Hapa hakuna mchawi wala nini Mchawi ni maamzi yako .
6. Usumbufu wa ratiba na mipango ya shule.Mabadiliko ya mara kwa mara ya walimu husababisha kusimama kwa vipindi, kuchelewa kwa mitihani, na kuvurugika kwa mipango ya shule. Hali hii inakwamisha ukuwaji wa shule yako.
7. *Kupungua kwa sifa ya shule*
Wazazi na jamii hupoteza imani kwa shule yenye mabadiliko ya walimu mara kwa mara.Sisi Msewe College tunasema kila mtu ayeondoka shuleni kwako ana maneno mazuri au mabaya juu ya shule yako. Na jamii inayaamini kwa sababu kila mwaka au miezi wanakutana na sura mpya za walimu. Hii itakupunguzia wanafunzi na itachelewesha kukua kwa shule yako.
Itaendelea sehemu ya 7 mada hii ina sehemu 10. Jitahidi usipitwe na makala hizi kutoka *Msewe College*
Msewe college ipo Ubungo Mawasiliano stendi, mtaa wa NHC,
Tunakoa kozi za:-
1. Ualimu wa chekechea na malezi ( _utapata cheti cha Montessori/ malezi/Ustawi_ )
2. Kompyuta
3. Urembo na ususi
4. Secretarial course
5. Form Five na six kwa mwaka mmoja
6. Qt na kuridia mitihani
7. English course...
Tuna madarasa ya asubuhi, mchana , na jioni.
Pia tuna Online Classes kwa wafanyakazi na walioko mbali.
๐ Tupo Ubungo karibu kabisa na stendi ya Mawasiliano.
0676 240 948 au 0766 253 520
Click here to claim your Sponsored Listing.
