lemerce_products

lemerce_products

Share

Virgin coconut oil
100% Organic /Raw Coconut Oil
For Cooking ,Skin, Hair and Baby Care

01/12/2023

Hivi Unajua Unaweza Kutumia Mafuta Ya N**i kwaajili Ya Kupikia?

Ndio unaweza, kwasababu
• Hayana kemikali, ni chaguo sahihi kwa Afya yako

• yana uwezo wa kustahimili joto ndani ya muda mrefu bila ya kuzalisha vimelea viatalishi na kuaribika

• Yanaongeza Ladha na harufu mzuri ya chakula chako

Photos from lemerce_products 's post 30/11/2023

Wengi walikua K**a Wewe wakisumbuliwa na Nywele Kavu Lakini Baada ya Kuanza Kutumia Mafuta Haya wamerejesha Furaha yao

30/11/2023

Okoa Pesa Yako Hadi 30% Kwa Kutumia Mafuta Ya ASILI Ya N**i
Hayana Kemikali, Ni salama Kwa Ngozi Yako

29/01/2023

Unasumbuliwa Na Chunusi Usoni?,
Unaweza kuondoa Chunusi Ndani Ya Muda Mfupi
🥥 Kwanza hakikisha unafanya mambo yafuatayo k**a sehemu yako ya maisha ya kila siku (LifeStyle)
Fanya Hivi 👇👇
🥥 Kabla ya kulala osha uso wako vizuri kwa kutumia sabuni na maji safi ya vugu vugu
🥥 Kisha Kausha Uso wako kwa kitambaa kisafi
🥥 Chukua mafuta yako ya n**i ya Asili (100% coconut organic oil), Paka vizuri katika uso wako
📌 ZINGATIA: Tumia utaratibu huu k**a sehemu yako ya maisha ya kila siku (LifeStyle)
🥥 Pengine unajiuliza wapi unaweza kupata mafuta ya n**i ya asili?.
👉 Leo Ni k**a bahati kwako Kuna haya mafuta ya n**i hayana kemikali hata kidogo unaweza kuyatumia katika zoezi lako la kundoa chunusi usoni

📌 Piga namba hii ujipatie mafuta yako sasahivi
0677 994 477.

23/01/2023

Mafuta Bora Ya N**i
✅ 100% Organic

19/01/2023

Na Wewe Unasumbuliwa Na Tatizo Hili?...
Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko mengi sana ya watu kuugua homa ya ngozi
✅ Baadhi yao wakilalamika kuwa wanawashwa sana mpaka wanapata michubuko kwenye ngozi
✅ Wengine wakilalamika wanatokwa na Vipele vinavyo wapelekea wakos mvuto na kushindwa kujiamini.

✅ Wengine wanatokwa na michilizi kwenye ngozi.
✅ Matatizo Haya Sio ya Kufumbia Macho Hata Kidogo Kwasababu Mwisho Wa Siku Utapoteza Kabisa urembo/utanashati wako na kukugharimu kiasi kikubwa cha pesa kwa ajili matibabu..
Unaweza kuwa mmoja wapo kati ya wanaosumbuliwa na tatizo moja wapo hapo juu.
Piga au Tuma ujumbe Sasahivi
0677 994 477
Ujipatie Mafuta Yako Ya N**i Ya Asili 100%..

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address

Mikocheni
Dar Es Salaam