AFYA YA UZAZI
U.T.I, FUNGUSI SUGU, MFUMO WA UZAZI, UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME, TEZI DUME n.k
21/04/2023
*UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU?? 👇👇* Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una dalili za kua na fangasi ukeni k**a zifuatazo; 1.Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara 2.Vipele vidogo vidogo ukeni 3.Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya 4.Vidonda au kuwa na michubuko ukeni 5.Kutokwa na harufu mbaya ukeni 6.Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa. 7.Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke. 8.Kuwaka moto ndani na nje ya uke. Je una dalili hizi tunayo tiba inaitwa FEMICARE kwa ajili ya wanawake ambayo itakusaidia kutibu fangasi sugu eneo la siri. Kwa msaada wa hitaji lako kuhusu tiba hii tupigiee,, "AFYA YAKO NI MTAJI WAKO, ELIMIKA NA CHUKUA HATUA 📞+255 629730399 📞+255 717747399 Whatsapp
Click here to claim your Sponsored Listing.
