AFYA BORA
17/09/2023
ZIPO SABABU NYINGI ZINAKUFANYA KUCHELEWA KUNASA UJAUZITO
Ongezeko la sukari mwilini husababisha kuvuruga mfumo wa vichocheo au Hormones za uzazi.
Tatizo hili husababisha changamoto nyingi za uzazi hasa kwa wanawake na kushindwa kushika ujauzito, mimba kuharibika au mayai kutopevuka.
Hormones ambazo huathirikia zaidi ni
1.Estrogen Hormone
Hii ni Hormone ambayo inafanyakazi ya kutengeneza mayai katika ovari na kulainisha uke yaani Ute ukeni.
Homoni hii ikivirugika mayai yatashindwa kuzalishwa na uke unakuwa mkavu Sana.
2.progesterone-Homoni hii inaimarisha mimba usiharibike, ikivirugika husababisha Mimba nyingi kuharibika Mara kwa Mara
3.FHS - Homoni inayorutubisha na kupevusha mayai.
4.Lutenizing Hormone- Kukomaza mayai
5.Prolactinei Hormone-Homoni inayozalisha maziwa, ikivirugika mama anayenyonyesha anaweza kukosa maziwa kabisa na kwa mama ambaye sio mjamzito anaweza kutokwa na Maziwa kwenye chuchu.
NB:Fuata kanuni za Afya Bora epuka Hormones zako kuvurugika. Ikiwa una changamoto ya Hormonal Imbalance na unahitaji suluhisho ongea na mapema nikupatie Ushauri na suluhuhisho
01/09/2023
01/09/2023
Hizi ni baadhi ya faida za kuondoa Sumu mwilini ambazo unatakiwa kuzifahamu.
Anaandika **
🌿Unapoondoa sumu mwilini unakuwa K**a una renew viungo vya mwili wako kuanza kufanyakazi upya na kuvipunguzia mzigo mkubwa. Miongoni mwa viungo hivo ni Figo, Moyo, Ini, Mapafu, Tumbo na utumbo.
🌿Detox hurefusha siku zako za kuishi kwa kuzuia uwezekano wa kupata kansa, Figo kufeli na maradhi ya Ini.
🌿 program ya kuondoa Sumu mwilini husaidia kuboresha mfumo wa usagaji chakula, Aleji na maradhi yanayotokana na Kinga ya mwili kuushambulia mwili K**a vile type one diabetes, thyroidism, pumu ya ngozi nk
🌿Detox program husaidia mwili kupungua vizuri hasa kwa wale ambao miili yao imegoma kupungua
🌿 Program ya kuondoa Sumu mwilini ni nzuri mno katika kuboresha afya ya Ngozi yako na kukufanya uwe na Nuru. Hii ni muhimu Sana kwa wale ambao wanachukia ngozi zao ambazo Zipo rough Sana na wanapata Pimples Mara kwa mara.
*BOSS NJO ANZA HI PROGRAM*
14/08/2023
Kwa kawaida mimba inaweza
kupimwa kwa njia mbili
Njia ya kwanza ni ya kutumia mkojo, yaani kile
kipimo cha kawaida ,njia ya pili ni ya kutumia
kipimo cha damu kitaalamu kinaitwa Serum
Beta HCG.
Kipimo cha mimba kwa kutumia mkojo
kinaweza kusoma positive wiki mbili baada ya
kushiriki k**a kweli mimba ipo itaonekana.
Japo kitaalamu inashauriwa kupima ujauzito
mara tu usipoona hedhi yako ya mwezi unaofata.
Kwa mfano ulitakiwa kuona hedhi tarehe
20.08,2023 usipoona tu hedhi hapo unaweza
kupima ujauzito ,k**a umenasa kipimo
kitaonyesha mistari miwili.
08/08/2023
Supre gro ni dawa ya mimea wasiliana na me ujipatie 0673798722
Tiba ya bawasili wasiliana na doctor 0673798722
Click here to claim your Sponsored Listing.
