NR DADAZ

NR DADAZ

Share

Kuongeza shepu
Kupunguza vitambi
Kupunguza uzito
Izo Ndio product tulizonazo

Photos from NR DADAZ's post 03/10/2023

Daaah wateja zaidi ya 300 wanatka bye tummy’s tuuuuuuuuuu 😭😭😭

Yani Mungu saidia hat zikifika watu wapate wote inshaAllah 🙏

Photos from NR DADAZ's post 03/10/2023
03/10/2023
Photos from NR DADAZ's post 03/10/2023

Bye tummy’s 😭😭😭

Photos from NR DADAZ's post 03/10/2023

😭😭😭😭😭😭😭😭 DUNIA HAINA URUMA KABISA

Wapenzi wetu aguaje hazipo ivyo jmn swipe left aguaje combo ni muoenekano wa picha number mbili

Tahadhari unapo nunua product popote jiridhishe kwanza alf mwambie muuzaji akutumia picha ya product inafanana vipi jmn daah💔

Jali sana kuusu afya yako bila afya hakuna uzima please please 🙏

Nimesema leo niwaambieee hiii imemtokea mtu ilikwa mwezi wa 5 nikasema ipo siku ntapost kwa ruksa ya boss wangu kwajili ya kutoa elimu kidogo yani jmn hata ukiingia google ukiandika aguaje alf macca root haiza huonekano huooo

Please umakini ni muhimu sana 😭

Photos from NR DADAZ's post 02/10/2023

Bye tummy bye tummy’s 😭😭😭

Photos from NR DADAZ's post 30/09/2023

Bye tummy’s 🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Photos from NR DADAZ's post 30/09/2023

Ukitumia bye tummy’s unatakiwa uleee wapenzi wetuu

Hakuna sababu ya kufanya diet wakati unatumia bye tummy’s

Yani bye tummy’s haufanyi diet unakula kwa muda sahihi matunda kwa wingi mboga za majani na maji ya kutosha yani maji muhimu sana

😋

30/09/2023

Bye tummy’s 🙌🙌🥰🥰🥰🥰🥰

29/09/2023

Tunatoa huduma bora tuna msikiliza mteja kwetu kipaumbele ni huduma 🙌🙌🙌

Story fupi huyu dada alinununua aguaje dozi mbili akasema hajaona matokeo tukamshauri aongezee lkn akanunua kwa bei ya jumla akatumia akasema matokeo yapo kwa mbali mnoo bs tukampa dozi moja for free now anasema kapendeza anataka tu anunue ya kitambi 🤗🤗🥰🙌

29/09/2023

Bye tummy’s 🙌🙏🤗🤗🤗🤗

29/09/2023

Aguaje combo 🥰🥰🙌🙌

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
14123