TIBA YA NGOZI
Tiba ya ngozi ya uso(wanawake Tu)
26/12/2023
Jinsi ya kutibu chunusi kwa kutumia asali na mdalasini hatua kwa hatua
Kutumia asali na mdalasini kunaweza kusaidia kutibu chunusi.
*Hapa kuna hatua kwa hatua:*
Safisha uso wako: Tumia sabuni laini na maji ya uvuguvugu kuosha uso wako ili kuondoa uchafu na mafuta.
Kuchanganya asali na mdalasini:
*Pima kijiko kimoja cha mdalasini na kijiko kimoja cha asali.*
Changanya vizuri hadi kupata mchanganyiko wa kutosha.
Tumia mchanganyiko: Paka mchanganyiko wa asali na mdalasini kwenye maeneo yenye chunusi kwa kutumia kidole chako. Epuka kuweka karibu na macho.
Acha kwa muda: Acha mchanganyiko huo kwa muda wa dakika 10-15. Unaweza kufanya hivi mara 2-3 kwa wiki.
Osha uso wako: Baada ya muda uliowekwa, osha uso wako kwa maji ya uvuguvugu na kisha panguza na maji baridi ili kufunga vinyweleo vya ngozi.
Tumia mara kwa mara: Endelea kutumia tiba hii kwa muda ili kuona matokeo bora. Kumbuka kila mtu anaweza kupata matokeo tofauti na bidhaa za asili.
Nakutakia matokeo mema
Dr. Tukrim
Mafuta ya mzeituni yana asidi nzuri za mafuta, k**a vile oleic acid, ambayo inaweza kusaidia kurekebisha viwango vya homoni mwilini. Asidi hii ya mafuta inaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa katika uzalishaji wa homoni sahihi na hivyo kudhibiti uzalishwaji wa mafuta katika ngozi na kutibu chunusi
Kwa upande mwengine, Ndizi zina virutubisho k**a potassium, ambayo ni muhimu kwa utengenezaji wa homoni mwilini. Pia, ndizi zina vitamin C, antioxidant inayosaidia kuboresha afya ya ngozi kwa kusaidia uzalishaji wa collagen, ambayo ni muhimu kwa elasticity ya ngozi ambayo inafanya ngozi iwe na muonekano nzuri Sana.
Kwa pamoja, mafuta ya mzeituni na ndizi wanaweza kutoa mchango muhimu katika kudumisha usawa wa homoni na kukuza afya ya ngozi kwa njia mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kusaidia kupunguza uchochezi na kutoa kinga dhidi ya athari za Kemikali sumu katika mwili.
Vitu hivi viwli pia vinafanya kazi ya kuvunja mafuta hatari katika mwili na hivyo kusaidia kutoa sumu katika mwili...
Hatua unazoweza kuchukua ili kufaidika na chakula hichi muhimu Sana katika kuweka homoni Sawa na kuimarisha muonekano wako kiujumla.
*Maandalizi*
# Ndizi mbivu moja
# Mafuta ya zeituni(olive oil) ambayo imeandikwa virgin oil. Mara nyingi inakuwa katika chupa ya kibati.
UTUMIAJI
Chukua kijiko kimoja Cha mafuta ya zeituni.
Chukua Ndizi yako na ikate vipande vidogo vidogo.
Chumvu kidogo.
Changanya mafuta kijiko kimoja katika kibakuli chenye vipande vya ndizi mbivu.
Weka na chumvu ya unga kidogo Sana kuweka ladha ya mbali Sana.
Kula mchanganyiko huu Asubuhi na jioni Kila siku
Mchanganyiko huu utakusaidia Sana kuimarisha uzalishwaji wa homoni katika mwili wako,utaimarisha mwili wako na kuimarisha muonekano wao kiujumla.
Mchanganyiko huu pia unakusaidia kudhibiti uzalishwaji mwingi wa mafuta katika ngozi ili kudhibiti chunusi.
Kilichobakia kwako ni kufanyia kazi kwa uchache wa wiki 3 ili update matokeo mazuri, Unaweza kuona matokeo ndani ya siku chacha Sana maana watu hawafanani.
Hii ni Siri ya kwanza ambayo nimeamua kukupa Leo kwa sababu Nina Imani utaenda kupata faida kubwa Sana.
MBINU hizi hazijulikanwi na watu wengi Sana kwa sababu zina matokeo.
Hongera Sana kwa kuwa pamoja Nami Hadi Sasa.
See you😀
TIBA YA NGOZI Tiba ya ngozi ya uso(wanawake Tu)
MAJI YA MCHELE.
NOTE: TUMIA MAJI YA MCHELE K**A PROTINI STEAMING.
USITUMIE KUSPRAY(NYUNYUZIA) KILA SIKU SABABU PROTINI IKIZIDI NYWELE ZAKO ZITAKATIKA SANA.
LOW POROSITY: TUMIA MAJI HAYA MARA MOJA KWA 4 AU SITA.
HIGH POROSITY: AINA HII INAHITAJI PROTIN KWA WINGI TUMIA KWA WIKI MARA MBILI.
NYWELE ZENYE DAWA: AINA HII INAHITAJI PROTIN KWA WINGI
TUMIA KWA WIKI MARA MBILI.
Mchele ni antioxidant unasaidia sana katika kustimulate mishipa ya nywele na kufanya mizizi ya nywele ikue.
★Faida Za Maji Ya Mchele Katika Ngozi na Nywele
1.maji ya mchele yanaweza kutumika katika aina zote za ngozi k**a ngozi kavu na ngozi yenye mafuta
2. Maji ya mchele yana vitamini k**a vile B1, C, E, pamoja na madini, ambayo yanaweza kufanya nywele ziwe na afya.
3. maji ya mchele kwenye nywele ni kuongeza mng’aro kwenye nywele zako lakini kuimarisha uvutikaji wa nywele yani badala ya kuifanya ikatike inaifanya nywele ivutike.
4. Maji ya mchele yanasaidia katika matatizo ya nywele k**a mba na nywele kufubaa.
Namna ya kutengeneza maji ya mchele kwaajili ya nywele;
★Kuandaa
Chukua kikombe kimoja cha mchele, osha mchele wako na kisha uloweke kwenye maji usiku wote kwa masaa 24 na kisha chuja maji yako tayari kwa kutumia.
★Jinsi ya kutumia maji ya mchele kwenye nywele zako.
Safisha nywele zako na kisha zilowanishe na maji ya mchele kuanzia kwenye ngozi ya kichwa hadi kumaliza nywele zote massage kwa dk 5 alafu zifunike na kofia ya plastik kwa dakika 30 kisha osha nywele zako na maji baridi bila shampoo au sabuni.
★ Baaya ya hapo Fanya moisture conditioner kisha style Nywele zako upendavyo.
★ Conditioner hii usifanye zaidi ya mara1 kwa mwezi sababu ina wingi wa protein. Ukifanya zaidi utasababisha Nywele kukatika.
Click here to claim your Sponsored Listing.
