Acid solution
Tunatoa huduma ya matibabu na ushauri kwa wahanga wa magonjwa sugu yasiyo ambukizwa
Hasa KUZIDI KWA ACID TUMBONI-GERD, BP, HEPATITIS B, PID, NGIRI,BAWASIRI.
19/01/2026
⭕Bawasiri imekuwa changamoto kwa wengi sana na kupelekea watu wengi kutapeliwa katika Matibabu kutokana na kuumwa kwao.Hii inatokana na watu wengi waliojipenyeza na kujinadi kuwa wanatibu Bawasiri kutoijua Bawasiri vizuri na hivyo husababisha watu wengi kuamini kuwa Bawasiri ni Miongoni mwa Magonjwa ambayo matibabu yake ni bahati nasibu kumbe siyo KWELI.
⭕ Wagonjwa wengi ambao wamekuja wakiwa na Bawasiri hawavijui visababishi vya wao kupata Bawasiri na wamekuwa wakiamini kwamba dawa pekee ndio suluhu hali ya kuwa si kwel kwa sababu matibabu si dawa pekee bali dawa ni sehemu tu katika Matibabu.
⭕KAWAIDA ya bawasiri, Ni hali ya kudhoofika kwa kuta za mishipa ya Damu aina ya veins eneo la haja kubwa. Na hii huanza taratibu na huwa inakuja halafu inapotea kipindi fulani hivi. Hii inatokana hasa na mtindo wa maisha wa mtu husika. K**a vichochezi vitapungua inapotea, vikiongezeka inarudi. Hii hali ikiendelea huweza kujenga usugu wa tatizo lenyewe.
____________________________________
⭕ Kwahiyo Basi: Hata MATIBABU YA TATIZO HILI kiufasaha yanatakiwa mtu atibiwe kuanzia ndani kuelekea nje, na hii ni kwa sababu Asilimia kubwa za Bawasiri huanzia ndani kisha kuchomoza kwa nje hasa wakati wakujisaidia haja kubwa kwa mtu.
NIPIGIE SIM 0755 868 688 DR.YAQUUT
⭕Utapata OFA ya kujua njia muhimu za kufuata ili KUPONA Bawasiri yako kiurahisi iliyokusumbua kwa muda mrefu.
Karib pandex herbal kupata huduma ya matibabu bila upasuaji
DR.YAQUUTY
0755 868 688
Pandex Herbal Clinic
ILALA-DAR.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |
