BF SUMA

BF SUMA

Share

04/08/2024

RAFIKI YANGU, ASKOFU, MTUME, NABII, MWALIMU, MUIMBAJI, EV, MTU WA MUNGU NATUMA OMBI HILI KWAKO KWA AJILI YA KUCHANGIA KWA HUU UJENZI WA KANISA LA JEHOVAH NISSI CHURCH TZ, NI WENU APOSTLE MORRIS SAVIOUR 🙏🙏ASANTE NAMBA ZIKO HAPO KWENYE PICHA

02/08/2024
Photos from BF SUMA's post 02/08/2024
10/06/2024

UKE MKAVU♀️

LIJUE TATIZO LA UKE MKAVU

UKE MKAVU:Ni tatizo linalo sababishwa na upungu/kiwango kidogo/uwiano mbaya wa homoni za uzazi(HORMONE IMBALANCE)

UKE MKAVU:Ni tatizo linalo wasumbua akina dada na wanawake wengi ni uke usio na ute wa aina yoyote Haijalishi MWANAMKE Ameandaliwa kwa muda gani hapati Ute WA Uke Wala WA UZAZI

DALILI ZINAZOWEZA Ambatana NA Uke MKAVU NI;

♀️. Maumivu wakati wa ngono

♀️. Kusinyaa kwa kuta zauke

♀️. Kutokwa na damu wakati wa tendo

♀️. Kupoteza hamu ya tendo kutokana na maumivu

♀️. Maumivu ya uke wakati wa kufanya mazoezi kutembea, kukaa au kusimama

♀️. Kubadilika kwa mwonekano wa uke na mashavu ya uke

♀️. Kubadilika kwa tabia ya ute unaotoka ukeni

♀️. Kupata hisia za kuungua ukeni

♀️. Msongo wa mawazo na kuhisi mabadiliko makubwa mwilini mwako

VISABABISHI VYA UKE KUWA MKAVU KWA MWANAMKE

Vipo visababishi mbalimbali vinavyoweza kupelekea uke kuwa mkavu ambavyo vinafahamika ambavyo ni;

🔥. Kupungua kwa kiwango cha homoni estrogen kwenye damu

🔥. Hali na mambo yanayoweza kupelekekea kushuka kwa homoni hii ni;

🔥. Kunyonyesha kwa wakati huu

🔥. Kutoka kujifungua

🔥. Kuvuta sigara

🔥. Kutibiwa kwa dawa za saratani kwenye o***y

🔥. Madhaifu ya kinga z amwili

🔥. Komahedhi

🔥. Kukaribia kipinid cha koma hedhi

🔥. Kufanyiwa upasuaji wa kutolewa o***y

🔥. Kutumia dawa za kuzuia uzalishaji wa estrogen

🔥. Kusafisha ndani ya uke kwa maji na sabuni zenye kemikali

Sindrome ya sjogren’s

🔥. Matumizi za kuzuia aleji na homa baridi

MADHARA YA UKE MKAVU

♨️Kuto shika mimba

♨️Kupata michubuko ukeni hvyo n rahisi kuambukizwa magonjwa k**a kaswende,gonorea, HIV n.k

♨️Kuto furahia tendo

♨️Kutokwa damu katkat ya mwezi

KARIBU Afya_bora_bfsuma Kwa Kutatua chanzo cha changamoto Kwa Kutumia Nnjia Sahihi Na Salama Kwa Kutumia VIRUTUBISHO LISHE kutoka Brighter Future Pharmaceuticals company 🇺🇲 BFSUMA

Whatsapp 0685138610fb: BF SUMA



🇹🇿 BF Suma Africa

Photos from BF SUMA's post 10/06/2024

Kula udongo wakati wa ujauzito ni tabia inayojulikana k**a "geophagy" au "pica," na inaweza kuonekana katika maeneo mbalimbali duniani kwa wanawake hususani wakati wa ujauzito. Ingawa kuna imani kwamba kula udongo kunaweza kuwa na faida kwa mjamzito!. Japo ukweli ni kwamba kuna hatari nyingi zinazoweza kuathiri afya ya mama na mtoto kutokana na ulaji wa udongo.
Yafuatayo ni maelezo ya hatari na ushauri kuhusu kula udongo wakati wa ujauzito:-

Hatari za Kula Udongo Wakati wa Ujauzito:-
1️⃣. Magonjwa na Vimelea: Udongo unaweza kuwa na vimelea vya magonjwa k**a minyoo, bakteria, na virusi ambavyo vinaweza kumdhuru mama na mtoto.
2️⃣. Sumu za Mazingira: Udongo unaweza kuwa na sumu k**a risasi, zebaki, na arseniki ambazo ni hatari kwa afya ya mama na mtoto.
3️⃣. Upungufu wa Virutubisho: Kula udongo kunaweza kusababisha upungufu wa virutubisho muhimu k**a chuma na zinki kwa sababu huzuia ufyonzwaji wake mwilini.
4️⃣. Tatizo la Utumbo: Udongo unaweza kusababisha kuziba kwa utumbo na matatizo mengine ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula.
5️⃣. Upungufu wa Damu: Kula udongo kunaweza kuchangia upungufu wa damu (anemia) kwa mama, hali ambayo inaweza kuathiri ukuaji wa mtoto.

Ushauri:-
1️⃣. Lishe Bora:
Hakikisha unapata lishe bora yenye virutubisho muhimu kwa afya yako na ya mtoto wako. Jumuisha vyakula k**a mboga za majani, matunda, nyama, na vyakula vya nafaka nzima.

2️⃣. Virutubisho vya Ziada: Ikiwa kuna upungufu wa virutubisho, daktari anaweza kupendekeza virutubisho vya ziada k**a tembe za chuma au vitamini.
3️⃣. Epuka Vitu Vingine Hatari: Epuka kula vitu vingine visivyo chakula k**a chokaa, sabuni, au gundi.

Ulaji wa udongo wakati wa ujauzito si salama kabisa kwa afya ya mama na mtoto. Ni muhimu kuzingatia lishe bora na kupata ushauri wa kitaalamu ili kuhakikisha afya njema kwa wote wawili.

#
Share zaidi ujumbe huu ili kuelimisha jamii

10/06/2024

BF SUMA inakuletea suluhisho kwa ajili ya changamoto zako zote! Mwanaume usikose hii Apa ili Mama aanze Ku enjoy vizuri dawa nzuri inayo maliza matatizo
Tupo Dar es salaam tabata kisukuru-migombani
Nipigie simu nikuambie bei yake
WhatsApp:0685138610
Piga kawaida 0685138610
Tazama sifa za hii dawa kwenye picha 👇👇👇 karibu sana, njoo mapema zinabaki chache

10/06/2024

BF SUMA INAWALETEA SULUHISHO YA MENO Dr.Ts soma kazi zake hapo kwenye picha 👇👇👇👇 karibu niikupatie tupo Dar es salaam tabata kisukuru-migombani ao piga simu nikuambie bei yake:
WhatsApp: 0685138610
Piga kawaida 0685138610
Karibu sana
Njo mapema maana zinataka isha
Hata mikoani tuna tuma

10/06/2024

BF SUMA inakuletea suluhisho kwa magojwa k**a haya:
✓inaondoa na kuzuia mafua na kikohozi
✓inaondoa miwasho ya ngozi
✓inaondoa na kuzuia maumivu ya viungo k**a mugongo,kiuno,magoti,shingo na visingino
✓inaondoa maumivu na kuzuia misuli kukaza
Mwengine soma kwenye picha👇👇👇👇👇
Piga simu nikuambie bei:
WhatsApp 0685138610
Piga kawaida 0685138610
Karibu sana
Tupo Dar es salaam hata mikoani tunatuma

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

Tabata Kisukuru-migombani
Dar Es Salaam
AIRTELMONEY