Mwanamke Plus+
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwanamke Plus+, Health/Beauty, Morogoro Road, Dar es Salaam.
Nawasaidia Wanawake na Wote Wenye magonjwa sugu kurejesha Afya Zao Kwa Njia ya Asili.
β Homoni & Hedhi
β UTI, PID & Uzazi
β Presha & Moyo
β Figo, Kansa & Kisukari
π² Tuma Neno βAFYAβ Kwenda
WhatsApp: +255 755 982 222 Upate Ushauri wa Bure
Kuwa na Mood swings kabla ya hedhi ni jambo la kawaida Kabisa π
Yaani leo Una furaha ila kesho hasira
π True or false?
Follow Mwanamke Plus+ for more Tips
22/04/2026
Unajua kuwa Hamu ya tendo huathiriwa na afya ya akili?
Stress na Mawazo mengi hupunguza Hamu (desire) na Nyeg* pia?
22/04/2026
Kujizuia kukojoa kwa muda mrefu huongeza hatari ya UTI.
π Ni muhimu sana kwenda kujisaidia kila unapohisi haja ndogo.
Follow Mwanamke Plus+ for more tips
22/04/2026
Ila watu mna visa πππ
βUkianza Kuhesabu siku za hedhi Ni K**a Zinakuja mapema Vileπβ Hii imewahi kukutokea?
21/04/2026
Je, umewahi kupata hedhi isiyo ya kawaida kwa miezi kadhaa mfululizo?
Ulichukua Hatua gani?
K**a Unachangamoto hiyo wasiliana nasi kwa namba 0755 982 222 Kwa msaada wa haraka.
Stress Huongeza Cortisol ambayo Huvuruga Homoni za uzazi. Kupumzika ni Tiba Pia.
21/04/2026
Ukavu Ukeni Unaweza Kusababisha maumivu wakati wa tendo.
Mara nyingi huhusishwa na upungufu wa estrogen.
Wewe Hali yako Ipo vipi?
Kwa msaada zaidi DM kwenye WhatsApp namba 0755 982 222
Follow Mwanamke Plus+ for more Tips
21/04/2026
Fahamu Kuwa Ovulation ndiyo dirisha la kupata mimba.
Bila ovulation yenye afya, uwezekano hupungua sana
π Unajua siku zako muhimu?
20/04/2026
Fahamu Kuwa Kupungua kwa hamu ya tendo mara nyingi huhusiana na homoni au stress.
Ondoa shaka ni hali inayoweza kurekebishwa na ukawa Sawa.
K**a Una Changamoto Hiyo wasiliana nasi Kwa namba 0755 982 222 tukusaidie.
20/04/2026
UTI hutokea pale bakteria wanapoingia kwenye mfumo wa mkojo.
Dalili zake ni maumivu wakati wa kukojoa na kwenda haja ndogo mara kwa mara.
π Usafi na maji ya kutosha ni kinga muhimu.
Follow Mwanamke Plus+ for more tips
20/04/2026
Kwa kawaida Hedhi yenye afya huwa na mzunguko wa siku 21β35.
K**a inabadilika mara kwa mara hiyo ni ishara ya tatizo.
π Hedhi yako iko ndani ya range hii?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
255
Opening Hours
| Monday | 08:30 - 17:30 |
| Tuesday | 08:30 - 17:30 |
| Wednesday | 08:30 - 17:30 |
| Thursday | 08:30 - 17:30 |
| Friday | 08:30 - 17:30 |
| Saturday | 09:30 - 04:00 |
