Mwanamke Plus+

Mwanamke Plus+

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwanamke Plus+, Health/Beauty, Morogoro Road, Dar es Salaam.

Nawasaidia Wanawake na Wote Wenye magonjwa sugu kurejesha Afya Zao Kwa Njia ya Asili.

βœ” Homoni & Hedhi
βœ” UTI, PID & Uzazi
βœ” Presha & Moyo
βœ” Figo, Kansa & Kisukari

πŸ“² Tuma Neno β€œAFYA” Kwenda

WhatsApp: +255 755 982 222 Upate Ushauri wa Bure

22/04/2026

Kuwa na Mood swings kabla ya hedhi ni jambo la kawaida Kabisa πŸ˜…

Yaani leo Una furaha ila kesho hasira

πŸ‘‰ True or false?

Follow Mwanamke Plus+ for more Tips

22/04/2026

Unajua kuwa Hamu ya tendo huathiriwa na afya ya akili?

Stress na Mawazo mengi hupunguza Hamu (desire) na Nyeg* pia?

22/04/2026

Kujizuia kukojoa kwa muda mrefu huongeza hatari ya UTI.

πŸ‘‰ Ni muhimu sana kwenda kujisaidia kila unapohisi haja ndogo.

Follow Mwanamke Plus+ for more tips

22/04/2026

Ila watu mna visa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

21/04/2026

β€œUkianza Kuhesabu siku za hedhi Ni K**a Zinakuja mapema VileπŸ˜­β€ Hii imewahi kukutokea?

21/04/2026

Je, umewahi kupata hedhi isiyo ya kawaida kwa miezi kadhaa mfululizo?

Ulichukua Hatua gani?

K**a Unachangamoto hiyo wasiliana nasi kwa namba 0755 982 222 Kwa msaada wa haraka.

21/04/2026

Stress Huongeza Cortisol ambayo Huvuruga Homoni za uzazi. Kupumzika ni Tiba Pia.

21/04/2026

Ukavu Ukeni Unaweza Kusababisha maumivu wakati wa tendo.

Mara nyingi huhusishwa na upungufu wa estrogen.

Wewe Hali yako Ipo vipi?

Kwa msaada zaidi DM kwenye WhatsApp namba 0755 982 222

Follow Mwanamke Plus+ for more Tips

21/04/2026

Fahamu Kuwa Ovulation ndiyo dirisha la kupata mimba.

Bila ovulation yenye afya, uwezekano hupungua sana

πŸ‘‰ Unajua siku zako muhimu?

20/04/2026

Fahamu Kuwa Kupungua kwa hamu ya tendo mara nyingi huhusiana na homoni au stress.

Ondoa shaka ni hali inayoweza kurekebishwa na ukawa Sawa.

K**a Una Changamoto Hiyo wasiliana nasi Kwa namba 0755 982 222 tukusaidie.

20/04/2026

UTI hutokea pale bakteria wanapoingia kwenye mfumo wa mkojo.

Dalili zake ni maumivu wakati wa kukojoa na kwenda haja ndogo mara kwa mara.

πŸ‘‰ Usafi na maji ya kutosha ni kinga muhimu.

Follow Mwanamke Plus+ for more tips

20/04/2026

Kwa kawaida Hedhi yenye afya huwa na mzunguko wa siku 21–35.

K**a inabadilika mara kwa mara hiyo ni ishara ya tatizo.

πŸ‘‰ Hedhi yako iko ndani ya range hii?

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

Morogoro Road
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:30 - 17:30
Tuesday 08:30 - 17:30
Wednesday 08:30 - 17:30
Thursday 08:30 - 17:30
Friday 08:30 - 17:30
Saturday 09:30 - 04:00