JALI AFYA YAKO
Magojwa yanakua sugu kwasababu tulio wenge hatuna utamaduni wa kupima Afya zetu na kupata tiba sahihi
Tatizo la uzazi linaweza kusababishwa na sababu mbalimbali kwa wanawake na wanaume. Kwa wanawake, baadhi ya sababu za kawaida ni:
1. **Matatizo ya ovulation**: Kukosa au kuwa na mzunguko usio wa kawaida wa hedhi, ambayo husababisha kutokuwa na yai lililopevuka.
2. **Uharibifu wa mirija ya uzazi**: Inaweza kuwa kutokana na maambukizi, upasuaji, au magonjwa k**a endometriosis.
3. **Matatizo ya kizazi**: Uvimbe kwenye mji wa mimba (fibroids), tishu zilizojengeka isivyo kawaida kwenye mji wa mimba, au matatizo ya shingo ya kizazi.
4. **Umri**: Uwezo wa mwanamke kupata mimba hupungua kadri anavyozeeka, hasa baada ya miaka 35.
Kwa wanaume, sababu kuu ni:
1. **Ubora duni wa mbegu za kiume**: Hii inaweza kuwa kutokana na idadi ndogo ya mbegu, maumbo yasiyo ya kawaida ya mbegu, au mbegu zisizo na uwezo wa kuogelea vizuri.
2. **Tatizo la maumbile ya viungo vya uzazi**: Matatizo katika maumbile ya korodani, mishipa inayosafirisha mbegu, au matatizo ya homoni.
3. **Mtindo wa maisha na afya**: Unywaji wa pombe kupita kiasi, kuvuta sigara, matumizi ya madawa ya kulevya, lishe duni, au matatizo ya uzito yanaweza kuathiri uzazi.
Mara nyingi, ni mchanganyiko wa mambo haya kwa pande zote mbili, hivyo ni muhimu uonane na Daktari kwaajili ya kufanya VIPIMO zaidi kuona ni namna gani Tatizo lako litaisha. Wasiliana nami kwa simu namba
0674134413https://wa.me/message/DQJGJPEDS3W7C1
16/11/2024
VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO
Shirika la Afya kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA OFA KWA WATU WATAKAO fika katika vituo vyake vyote, KUPATA HUDUMA YA VIPIMO NA MATIBABU
Ofa hii niya๐๐
โช๏ธ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 30,000/= tu
โช๏ธ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )
Magonjwa tunayo tibu ni;
โ
Matatizo ya Moyo na INI
โ
Kansa,
โ
Vidonda vya Tumbo,
โ
Kisukari
โ
Pumu
โ
Stroku.
โ
Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
โ
Matatizo ya mifupa,
โ
Matatizo ya miguu
โ
Ngozi,
โ
Figo,
โ
Fangasi sugu
โ
Kupunguza unene, uzito, na matumbo
โ
Kuongeza kinga mwilini(CD4)
โ
U.T.I sugu,Gesi
โ
Bawasiri,
โ
Tenzi dume
โ
Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k
TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
๐ Kuosha
๐ Kulinda/ Kukinga
๐ Kujenga
๐ Kutibu
Karibu sana Upate huduma Zetu imara . Tupo Dar es salaam na Mikoani pia tunapatikana
Wasiliana nasi kwa simu namba
0674134413https://wa.me/message/DQJGJPEDS3W7C1
16/11/2024
VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO
Shirika la Afya kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA OFA KWA WATU WATAKAO fika katika vituo vyake vyote, KUPATA HUDUMA YA VIPIMO NA MATIBABU
Ofa hii niya๐๐
โช๏ธ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 30,000/= tu
โช๏ธ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )
Magonjwa tunayo tibu ni;
โ
Matatizo ya Moyo na INI
โ
Kansa,
โ
Vidonda vya Tumbo,
โ
Kisukari
โ
Pumu
โ
Stroku.
โ
Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
โ
Matatizo ya mifupa,
โ
Matatizo ya miguu
โ
Ngozi,
โ
Figo,
โ
Fangasi sugu
โ
Kupunguza unene, uzito, na matumbo
โ
Kuongeza kinga mwilini(CD4)
โ
U.T.I sugu,Gesi
โ
Bawasiri,
โ
Tenzi dume
โ
Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k
TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
๐ Kuosha
๐ Kulinda/ Kukinga
๐ Kujenga
๐ Kutibu
Karibu sana Upate huduma Zetu imara . Tupo Dar es salaam Majumba sita Airport na Mikoani pia tunapatikana
Wasiliana nasi kwa simu namba
0674134413https://wa.me/message/DQJGJPEDS3W7C1
16/11/2024
*๐ฅTUISHI* *HUMOO*๐ฅ ๐ฃ๐๐ง๐ ๐ฆ๐จ๐๐จ๐๐๐ฆ๐๐ข ๐๐ ๐๐จ๐๐จ๐ ๐จ - ๐ง๐ข๐๐ข๐ ๐๐ญ๐ ๐๐ข๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐๐ก๐ ๐:
๐๐๐๐๐ ๐จ ๐ ๐๐๐ ๐๐จ๐๐๐ญ๐ ๐ฌ๐ ๐ฉ๐๐ฅ๐จ๐ฆ๐ ๐ฉ๐ฌ๐ ๐๐ข๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐๐ก๐, ๐๐๐๐๐๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐ง๐๐๐๐๐จ:
Ini ni kiungo muhimu sana ndani ya miili yetu, hufanya kazi zaidi ya 500 ; moja ya kazi ni kuchuja na kuondoa sumu kutoka kwenye damu.
Kutokana na sababu mbalimbali k**a vile matumizi ya pombe kupita kiasi, sumu kwenye damu au maambukizi; ini hupata shida na kuvimba na kushindwa kufanya kazi vizuri. Hii hali huitwa homa ya ini.
Homa ya ini hujulikana kwa kitaalamu k**a Hepatitis.
Hepatitis ni kirusi kinacho sababisha saratani ya ini baada ya kuishi na maambukizi ya muda mrefu pasipo kutibia.
Homa ya ini ni sawa janga linaloua kimya kimya kulingana na takwimu za vifo vya dunia inakadiriwa kirusi cha homa ya ini aina ya B pekee huua watu 600,000 hivi kila mwaka.
Kwa wastani zaidi ya watu bilioni mbili, yaani, asilimia 33 hivi ya watu wote ulimwenguni, wameambukizwa virusi vya HBV (Hepatitis B Virus), na wengi wao hupona baada ya miezi michache. Watu milioni 350 hivi huendelea kuwa na virusi hivyo mwilini, wengi huishi bila dalili na kuendelea kuambukiza watu wengine.
๐๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ก๐๐๐ ๐ญ๐๐ก๐๐ญ๐ข ๐ง๐จ๐ ๐๐๐ ๐๐จ๐๐ ๐๐จ๐๐๐ญ๐ ๐ฉ๐๐ฅ๐จ๐ฆ ๐ฉ๐ฌ๐ ๐๐ข๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐๐ก๐:
Virusi vya homa ya ini B na C husambaa kupitia damu, shahawa au maji maji mengine yatokayo mwilini mwa mtu mwenye maambukizi ya virus vya homa ya ini.
Virusi hivi vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza mtu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.
Zifuatazo ni njia za usambaaji wa virusi hivi vya homa ya ini ambazo ni pamoja na;
1) Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
Mama aliye na maambukizi ya hepatitis b humuambukiza mtoto wakati wa kujifungua, iwapo hamna juhudi za matibabu za kuzuia maambukizi kuna uwezekano hadi asilimia 90 kwa mama kumuambukiza mtoto.
2) Kufanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.
3) Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k**a sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, miswaki.
4) Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya homa ya ini.
5) Kunyonyana Ndimi โDendaโ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.
6) Kubadilishana nguo na mtu mwenye huu ugonjwa au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.
Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko hata vya ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba. Virusi vya ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.
๐๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐ญ๐ ๐๐ข๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐๐ก๐:
Kwa kawaida dalili za mwanzo za homa ya ini hutokea ndani ya miezi 6 baada kuambukizwa,na hutokea kwa baadhi ya watu hazitokei kwa kila mtu.
Mgonjwa mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hupata dalili zifuatazo;
1)Maumivu ya viungo na Uchovu wa mara kwa mara.
2) Kichefuchefu.
3) Mwili kuwasha na kuwa dhaifu.
4) Homa kali.
5) Kupoteza hamu ya kula.
6) Kupungua uzito.
7) Maumivu makali ya tumbo upande wa Ini upande wa kulia.
8) Macho na ngozi kuwa vya njano.
9) Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.
๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐ ๐๐จ๐๐ฆ๐๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐๐ ๐๐จ๐๐๐ญ๐ ๐ฌ๐ ๐ฉ๐๐ฅ๐จ๐ฆ๐ ๐ฉ๐ฌ๐ ๐๐ข๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐๐ก๐ ๐๐ช๐ ๐ ๐จ๐๐ ๐ ๐๐๐๐จ ๐ฃ๐๐ฆ๐๐ฃ๐ข ๐๐จ๐ง๐๐๐๐ช๐:
Kuna kundi dogo la wagonjwa wa homa ya ini hupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo. Hii hatua huitwa โ๐ณ๐๐น๐บ๐ถ๐ป๐ฎ๐ป๐ ๐น๐ถ๐๐ฒ๐ฟ ๐ณ๐ฎ๐ถ๐น๐๐ฟ๐ฒโ.
Watu wenye maambukizi ya kudumu ya virusi vya homa ya ini mara nyingi huwa hawana dalili kwa miaka mingi, kadri muda unavyoenda virusi vya hepatitis husababisha ini kusinyaa hatua hii ya ini kusinyaa huitwa (๐น๐ถ๐๐ฒ๐ฟ ๐ฐ๐ถ๐ฟ๐ฟ๐ต๐ผ๐๐ถ๐) hupelekea ini kushindwa kabisa kufanya kazi vyema.
Pia maambukizi ya virusi vya homa ya ini huchangia kupata saratani ya ini ambayo hujulikana kwa kitaalamu k**a ๐ต๐ฎ๐ฝ๐ฎ๐๐ผ๐ฐ๐ฒ๐น๐น๐๐น๐ฎ๐ฟ ๐ฐ๐ฎ๐ฟ๐ฐ๐ถ๐ป๐ผ๐บ๐ฎ.
๐๐จ๐ ๐๐จ๐๐: Watu wengi huishi na fikra potofu ya kuamini kwamba ugonjwa huu hauna tiba na hivyo hupoteza matumaini ya kuendelea kuishi.
Ugonjwa huu unatibika endapo utawai matibabu ya mapema kabla ya ini kufikia hatua mbaya ya kovu, Sikuzote kovu la ini halitibiki na hii ndio sababu ya kwamba Homa ya ini haina tiba unaweza ukatokomeza maambukizi lakini k**a ini tayari limesha kuwa na kovu inakuwa bado ni changamoto:
KARIBU SANA.
*HALI YA UUME WAKATI WA ASUBUHI*
โ๏ธUume kusimama vizuri mapema wakati wa asubuhi mapema kabla ya kuamka ni jambo la kawaida kwa kila mwanaume mwenye afya njema na hilo hutambulika wakati wa asubuhi mwanaume anapostuka toka usingizini na kuona uume upo ngangari๐.
๐ฃ๏ธKwanini uume kusimama (kudinda) nyakati za asubuhi kabla ya kuamka?
๐Ni swali zuri ambalo unaweza ukawa unajiuliza!
โ๏ธKwa kawaida mwili wa binadamu una mifumo mingi mwilini na yote imejumuishwa katika mifumo miwili inayohusika kuratibu mifumo yote. Mifumo hiyo ni Sympathetic System na Parasympathetic System.
โ๏ธSympathetic System hushughulika na Kuupa mwili taarifa juu ya hatari/tukio linalotokea au linaloenda kutokea na kufanya kua tayari kukimbia ili kujihami au kukabiliana na tukio husika.
โ๏ธParasympathetic System yenyewe inakua hai, imara na tayari (active) hasa wakati wa mapumziko hasa usiku wakati wa kulala. Hushughulika na masuala k**a mmeng'enyo wa chakula, kulala, kuota ndoto na kutoa hamu ya tendo la ndoa (sexual arousal).
โ๏ธWakati huo Parasympathetic System inapokua kazini, homoni ya testosterone inakua juu sana ambayo huchochea neva ya sacral (Sacral nerve) ambayo huchochea damu kuongeza kwa wingi katika mishipa ya uume na hivo uume husimama (Kudinda).
โ๏ธHali hiyo inaweza mtokea kwa jinsi ME wa umri wowote hata kijacho (mtoto wa kiume ambae bado yupo tumboni) hali hiyo huweza kumtokea. Na hali hiyo ikiambatana na ndoto ya ngono (nightmare) huweza hata kufikia mshindo na kutoa mbegu za kiume (ej*******on) kwa ambao tayari wamebarehe, na hapo stori nyingi hasa za vijana walioingia barehe watakua wanaulizana au kujisifu ati wamejichafua au wanajichafua karibu kila siku!!!
โ๏ธAidha, hali hiyo inaweza kupungua au kuacha kutokea kwa sababu mbalimbali k**a vile;
๐Matatizoya kisaiklojia k**a;
-Msongo wa mawazo
-Stress kwa sababu kazi haiendi au pesa hamna, Ugomvi na mwenza wako au kitu chochote kinachoweza athiri mwenendo wako wa kufikri, kukosa mood nzuri, n.k
๐Magonjwa k**a
-Kisukari
-Matatizo ya figo, moyo
-Shinikizo la damu (Presha)
-Vidonda vya tumbo
๐Madhara ya dawa za kulevya/Ulevi wa pombe na uvutaji sigara uliokithiri.
๐Lishe duni
-Kula chakula kiholela (hasa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi)
-Kula chakula kwa shida, kisichokua na virutubisho
-Kula ili kujaza tumbo na sio kula ili kujenga mwili wenye afya bora
๐Unene/Uzito kupita kiasi
๐Madhara ya matumizi ya dawa fulani kwa mda mrefu mfano dawa za;
-Za matatizo ya akili
-Presha/Kisukari
-Kutoa msongo wa mawazo/stress n.k
๐ *Athari za punyeto* (hupelekea misuli ya uume kulegea na kusinyaa)
๐Ajari katika misuli ya uume ambapo neva ya sacral hupita au ajari ya kichwa/uti wa mgongo ambayo huweza kupelekea athari katika mfumo wa usafrishaji taarifa mwilini n.kIwapo mwanaume umeanza kushindwa kusimamisha uume au uume unasimama ukiwa umelegea ukilinganisha na ulivozoea, hiyo huashiria shida fulani kiafya na ni vema ujichunguze au ukutane na daktari kwa mahojiano ili kubaini chanzo ni nini hasa cha hiyo shida ya kushindwa kuamsha uume.
_Wasiliana nami Kwa ushauri,elimu na tiba ya kudumu._
+255674134413.๐ค๐ค
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
