Jacque Networker
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Jacque Networker, Health/Beauty, Dar es Salaam.
24/03/2022
FOREX TRADING with Intelligence Prime Capital (IPC) Robot
19/03/2021
Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN RAISI WA 6 WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
18/03/2021
16/06/2017
TENGENEZA MILLIONI 1 KWA WIKI!! NDIO NI TSHS 1,000,000/= KWA SIKU 7!!!!
IRINGAAAA NI ZAMU YAKO SASA
JUMAMOSI 17/06/2017
K**A UKO IRINGA AU UNA JAMAA ZAKO IRINGA NIPIGIE SIMU 0785-502396
ni GENTLE HILL HOTEL SAA 10:00 JIONI
WAHI SASA, CHANGAMKIA FURSA
14/06/2017
*Kila Aliyefanikiwa Amesaidiwa na Aliyefanikiwa*
Habari za asubuhi champions! πͺπΎπͺπΎπͺπΎπͺπΎ
Ni matumaini yangu kwamba umeamka salama na umejiweka tayari kutimiza majukumu yako ya Leo. Leo ni siku muhimu usikubali ipotee. One day can make you grow.
Karibu sana katika makala nzuri ya Leo niliyokuandalia.
Umewahi kusikia mtu akisema "asingekuwa mtu Fulani mimi nisingekuwa hapa." Katika safari ya mafanikio kuna watu wanaokutoa sehemu moja na kukusaidia kukupeleka mahali pengine.
Jifunze kujikutanisha na watu waliofanikiwa katika nyanja Fulani ambayo wewe ni Mgeni na unatamani kufanikiwa katika nyanja hiyo. Ukijifunza kwa watu waliofanikiwa watakupa mwongozo bora na ramani itakayokusaidia kufika kule unakotaka.
Watu waliofanikiwa watakufundisha namna ya kukumbana na matatizo mbalimbali kwani ukiona nyani kazeeka, tambua amekwepa mishale mingi.
Watu waliofanikiwa watakusaidia kutengeneza daraja ata k**a mto ni mkubwa kiasi gani na utaweza kuvuka. Jifunze kujikutanisha na watu waliofanikiwa na pia kuwa tayari kujifunza kutoka kwao. Kuwa na urafiki na watu waliofanikiwa.
"Watu unaotumia nao muda mwingi unakuwa k**a wao." "You become like people you hang out with." Kumbe ukikaa na watu waliofanikiwa utajifunza mengi kuhusu mafanikio.
Ukweli ni kwamba watu waliofanikiwa wako tayari kukufundisha k**a utakuwa tayari kujifunza. K**a utakuwa makini na mtu mwenye utayari. Vinginevyo hawatakuwa tayari kukufanya wewe mmoja wao. Kwani "ndegewenye mbawa sawa huruka pamoja." Ni msemo wa kiingereza.
Kuna aliyewahi kusema "fuata mto unaweza kukutana na bahari." Kumbe hivyo hivyo fuata watu waliofanikiwa wakufundishe mafanikio, wakufundishe kufanikiwa.
Mwanafilosofia Plato anajulikana kwa kuwa mwanafilosofia mzuri lakini alifundishwa na mwanafilosofia Socrates. Plato akuishia hapo tualimfundishwa mwanafalsafa mashuhuri Aristotle.
Pattie Mallete ni mama yake Justine Beieber ambaye ni mwimbaji maarufu wamuziki kutoka nchini Canada. Akiwa bado kijana kijana alipenda sana kuimba na kuigiza lakini hakuweza kufanya vizuri.tarehe 1 machi 1994 alimzaa mtoto wake wa kwanza Justine BIEBER. Mwanae baada ya kuonesha kupenda kuimba toka akiwa na miaka miwili alijitahidi kumfundisha kuimba na naalimtafutia vifaa vya kucheza muziki k**a gitaa.Justine hakuweza kutumiamkono wa kulia kucheza gitaa hivyo ilimpasa mama yake amtafutie gitaa lakushoto. Mwaka 2007 alimuingiza mwanae katika mashindano ya kuimba yaliyojulikana k**a ''STARTFORD STAR'' ambapo aliibuka mshindi wa pili baada ya kuimba wimbo wa msanii Ne-Yo wa Marekani. Leo hii Justine nimwanamuziki maarufu duniani.Mwaka jana alitamba na kibao chake kilichojulikana kwa jina la "SORRY"
*Kila aliyefanikiwa amefundishwa na aliyefanikiwa.*
14/06/2017
NETWORK MARKETING ina uwezo wa kukupa kipato cha ndoto zako ikiwa upo tayari kuwekeza kwa kuifanyia kazi kwa miaka 2.
njoo TUPIGE KAZI
*WATENDEE WATU WOTE WEMA*
Habarini za asubuhi champions. Ni matumaini yangu kwamba umeamka salama na umejiandaa kwenda kuyatimiza majukumu yako siku ya Leo. Leo ni siku muhimu, usikubali kuipoteza bure. One day can make you grow.
Karibu sana katika makala ya Leo niliyokuandali. Watu wengi wamekuwa wakitenda mambo mema kwa wale watu wanaowafahamu au wenye vyeo fulani. Huu ni mtizamo basi ambao inabidi jamii zetu ziachane nao.
Mara nyingi unaweza kukuta mtu anampa msaada mtu fulani kwa sababu anafahamiana naye. Hii inaleta mtizamo hasi kwa watu wengine. Unapojifanya kuwa mwema kwa bosi wako na kuwafanyia wengine ndivyo sivyo kumbuka hata bosi wako alianzia huko chini.
Kumbe siku moja mtu uliyekuwa ukimfanyia mabaya ndiye atakuja kuwa bosi wako.
Wazazi wengine wamekuwa wakiwanyima watoto wao mambo Fulani Fulani na kuwaendeleza wengine. Mfano unakuta mtoto Fulani ananyimwa kitu Fulani na wengine wanapata. Kuna watu wengine huko nyuma wazazi wao walikataa kuwasomesha lakini Leo hii ndio kitega uchumi cha familia. Wale waliosoma hawazisaidii familia zao. Kumbe wazazi wanayo haja ya kutoa malezi yaliyo sawa kwa kila mtoto.
Kila mtu unayekutana naye kila siku mtendee wema, hujui siku moja atakuwa nani au utamkuta wapi. Kwenye biashara jambo ili ni muhimu sana jali sana wateja wako wote hata k**a ni wa siku moja. Kumbuka watu wananunua kwa mtu wanayemjua na kumuamini. Sasa k**a huwatendei watu mambo mema unategemea kweli waje kwenye biashara yako k**a wateja?
Kumbe inatubidi tubadilike. Tujali kila mtu na tusibaguane.
*See you champions at the top and in the beaches of the world*
Click here to claim your Sponsored Listing.
