AFYA YETU SOTE

AFYA YETU SOTE

Share

TATUA CHANGAMOTO ZOTE ZA KIAFYA NA DR EDSON
WASILIANA WHATSAPP/ CALL +255 653390434

16/01/2025

Acid reflux, au "refluxi ya asidi," hutokea wakati asidi kutoka tumboni inapopanda juu kwenye koromeo (esophagus). Hali hii mara nyingi husababisha dalili zifuatazo:

1. Kiungulia (Heartburn)
Maumivu au hisia ya moto kifuani, mara nyingi baada ya kula au wakati wa kulala.

2. Kutoa gesi au uchungu kooni
Hisia ya kitu kigumu au uchungu kwenye koromeo.

3. Kutoa haja ya mara kwa mara ya kubelch
Kukwama kwa hewa au kutoa gesi mara kwa mara.

4. Kulegea au kuchoma koo (Regurgitation)
Kurudi kwa chakula au asidi ya tumbo kwenye mdomo.

5. Kikohozi kisichoisha
Hasa kikohozi cha usiku au baada ya kula.

6. Sauti ya kupungua nguvu au kuhisi chungu kooni
Hali ya kupoteza nguvu kwenye sauti kutokana na asidi kuchoma maeneo ya koo.

7. Maumivu ya koo au kuhisi uchungu unapoza kinywa
Asidi ya tumbo inaweza kuchoma eneo la juu la koo.

8. Kuhisi ladha chungu au chachu mdomoni
Hii ni dalili ya kawaida wakati wa reflux.

Ikiwa unakumbwa na dalili hizi mara kwa mara, ni muhimu kumwona daktari kwa uchunguzi na matibabu zaidi, kwani reflux ya muda mrefu inaweza kusababisha matatizo k**a ugonjwa wa GERD au vidonda vya koo.

Wasiliana nasi 0653 390 434

Photos from AFYA YETU SOTE 's post 16/01/2025

15/01/2025

0653390434
Inasababishwa na virusi aina 5 A,B,C,D,E
Virusi hivi vikiwa vingi hufanya ini kusinyaa na kudhindwa kufanya kazi yake

Sababu kubwa Huwa ni mtindo wa maisha
ambayo si salama
vyenye sumu nyingi
damu

sundano ambazo si salama
mjamzito kwa 90% humuambukiza mtoto akiwa tumboni,akijifungua au akimnyonyesha

Virus wa kundi A,E huenezwa kwa njia ya kunnywa maji ambayo si salama na vyakula ambavyo si salama

Hapa mtu Huwa anatapika sana na kuharisha
Virus DCB
kwa njia ya kuongezewa damu yenye kirusi
na mtu mwenye virus hivyo
watu ambao wanatabia ya kujidunga
mjamzito mtoto akiwa tumboni,akijifungua na akimnyonyesha 90% anaweza kumuambukiza

CB
Vikiingia kwenye damu k**a KINGA zako zikishindwa kupambana na Hawa virus 🦟🦠 changamoto hii inaweza kukupata


kutumia pombe
vyakula vyenye sumu nyingi ,mafuta mengi ,chumvi nyingi
maji salama

Kwa wenye hii changamoto kuna TIBA ya miezi 2 mpaka mitatu jitahidi KUWAHI TIBA mapema
TUPIGIE no #0653390434

14/01/2025

Madhara ya hepatitis, hispoyibwa mapema.

07/01/2025

Nimekuwa nikiwasaidia watu wengi sana wenye Changamoto ya *KISUKARI* hasa wanaopitia Changamoto zifuatazo.

1.miguu kuwaka moto na kupata Ganzi
2.uoni hafifu
3.presha
4.kiharusi
5.upungufu wa nguvu za kiume
6.ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa
7.mwili kuishiwa nguvu...

*USIKATWE MGUU , MKONO AU KIUNGO CHOCHOTE KWA SABABU YA KISUKARI .*

K**a wewe ni mgonjwa wa kisukari na una kidonda ambacho kimekuhangaisha sana kwa mda mrefu bila ya kupata ufumbuzi basi ujumbe huu ni muhimu sana kwako .

Tunatoa huduma BURE kumuona DAKTARI kwa wangonjwa wa kisukari, Utalipia tu dawa na nutritional suppliment, pamoja na huduma za kusafisha kidonda.

Kwa Mawasiliano Piga

0674769934

WhatsApp ANDIKA NENO DAKTARI Nitakupigia

07/01/2025

KISUKARI
BLOOD SUGAR 0712782282

Hili ni miongoni mwa matatizo ambayo yanatokana na upungufu wa kinga mwilini,

Ifahamike kisukari kina mpata mtu ni kutokana na zile kinga za mwili kushindwa kufanya kazi yake vizuri,

Na ili kinga za mwili ziweze kufanya kazi yake vizuri inahitajika mfumo wa taarifa uwe imara,

Mfumo wa taarifa ndio unao ongoza mwili mzima kwa mfano umwagaji wa insulin kutoka kwenye kongosho inahitajika taarifa moja kwa moja kutoka kwenye ubongo,

Kazi ya figo ni kudhibiti kiwango cha sukari mwilini, maji, chumvi, madini, na acid,

Na katika mwili wa binaadam chumvi ikiingia mwilini inahesabika k**a sukari baada ya madini joto baadhi kuchukuliwa,

Tuangalie moja kwa moja sasa sababu zinazo perekea tatizo hili la kisukari na sukari inabidi iwe 5 tu mwilini haitakiwi kushuka wala kupanda,

Kuna aina mbili ya kisukari hypergreshimier
Hypogreshimier

Yaani sukari kupanda na kushuka

SABABU ZA KISUKARI
1. Msongo wa mawazo
2. Ulaji wa vyakula vyenye sukari kwa wingi
3. Kushuka kwa kinga za mwili
4. Virusi vya ukimwi
5. Presha
6. Uchujaji katika figo kushuka

DALILI ZA KISUKARI
1. Kuhisi njaa mara kwa mara
2. Kuhisi mkojo mara kwa mara
3. Mkojo kunata k**a asili ya sukari
4. Mkojo kua wa njano
5. Macho kua ya chano
6. Kuchoka mara kwa mara
7. Mwili kuishiwa nguvu
8. Kuhisi kiu mara kwa mara
9.ganzi

USHAURI
1. Epuka kula vyakula vyenye sukari
2. Fanya mazoezi
3. Kunywa maji ya kutosha
4. Epuka mawazo
5. Epuka umezaji wa dawa za kemikali kwa muda mrefu

Kisukari kinatibika
Karibu tukupatie huduma bora za matibabu

Wasiliana nasi sasa
0712782282.

07/01/2025

1*UNAHITAJI KUMALIZA CHANGAMOTO YA KISUKARI!?*

Ukweli ni kwamba hauhitaji kutibu kisukari, Unachohitaji hasahasa ni kutibu kongosho na kuboresha utendaji kazi wa seli za mwili kwani ndio chanzo cha tatizo la kisukari. Siku zote ukitaka kumaliza tatizo tibu chanzo chake na hii ndio siri ambayo watu wengi hawafahamu ndio maana huishia kutibu kisukari bila mafanikio leo nakupa hii siri.

✍🏻Hata k**a umeshajaribu tiba zingine kwa kipindi cha nyuma bila mafanikio basi Program ya *DIABETIC PACKAGE* ni kwaajili yako. Soma mpaka mwisho👇🏻👇🏻

📌Ukianza kutumia Program ya _*DIABETIC PACKAGE*_ itakusaidia kutibu kongosho na kurekebisha utendaji kazi wa seli za mwili na kumaliza kabisa changamoto ya kisukari.

✅Unapotumia Program hii itakusaidia..... 👇

⏭Kuboresha Utendaji kazi wa kongosho na kuimarisha seli za mwili kwahiyo utamaliza changamoto ya kisukari kabisa.

⏭Huimarisha utendaji kazi wa homoni ya Insulin mwilini kwahiyo(Huna haja ya kuchoma sindano za insulin au kumeza vidonge kuboost homoni zako).

⏭Huimarisha utendaji Kazi wa Kinga ya mwili na kuchakatwa kwa mafuta mabaya na sumu zote Mwilini kwahiyo utaondokana na stroke pamoja na presha pia kukulinda usipate magonjwa mengine hatarishi.

⏭Itakusaidia kurekebisha mfumo wa uzazi kwahiyo utaweza kufurahia tendo la ndoa na kufanya ndoa yako idumu zaidi na kuwa na furaha na maelewano.

⏭Itakusaidia kuondokana na ganzi kwahiyo utalala usingizi mzuri k**a mtoto mdogo wakati wa usiku bila kuhisi maumivi yoyote ya miguu wala mikono.

⏭Itakusaidia kuondokana na shida ya macho kwahiyo hautaona ukungu tena kwenye macho yako utakuwa umeepuka kukwanguliwa macho na kuchoma sindano zenye gharama kubwa bila mafanikio .

✍🏻Hebu fikiria jinsi utakavyokuwa ukimaliza changamoto ya kisukari...!🤔.. k**a nakuona ulivyotabasama baada ya kufikiria vile utakavyokuwa😊

❌Hautameza tena dawa wala kuchoma sindano kwa maisha yako yote, ni furaha kwakweli maana kumeza dawa kila siku inachosha na kukera sana.

✅Utakula vyakula uvipendavyo ambavyo uliviacha kwa muda mrefu, kwenye sherehe utachanga na kuhudhuria kwa furaha kwani utaweza kushiriki chakula cha pamoja , hata ukiwa safari hautakuwa na mawazo ya nitakula nini...n.k

✅Utakuwa umeokoa pesa nyingi ambazo ungetumia kutibu kisukari kwa maisha yako yote bila mafanikio.

Naomba niwe mkweli tu...

Program ya _*DIABETIC PACKAGE*_ inaweza isiwe kwaajili yako, kwasababu haikutengenezwa kwaajili ya kila mtu, k**a bado haupo tayari kuondokana na mateso ya ugonjwa wa kisukari basi hii si kwaajili yako. Maana sio Kila mtu anaelewa umuhimu wa kulipia gharama ya mara moja, wengi tumekubali kuingia kwenye gharama za Kila siku kwa maisha yako yote.

📌Utaachwa peke yako ukiwa na changamoto ya kisukari,wapo wanaofurahia huduma hii ambao wapo kwenye hatua hii ya kwanza ya diabetic package.

🔺Piga kupata huduma hii.

05/01/2025

Wai matibabu ya hepatitis mapema
Wasiliana nasi 0653 390 434

UGONJWA WA HOMA YA INI - HEPATITIS 🩺

DALILI
Dalili za Ugonjwa wa HOMA YA INI na Jinsi Unavyoambukizwa (Ugonjwa huu ni hatari kuliko UKIMWI) ⚠️

Homa ya Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu. Virusi hivyo vinaitwa Hepatitis virus (vipo vya aina nne: Hepatitis A, B, C, na D) 🦠. Ila B na C ni hatari zaidi.

Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho 💧. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis) 🌍.

Ugonjwa huu k**a haujatibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadaye kifo ⚰️.

CHANZO
Katika maeneo hatari zaidi duniani, Virusi vya Hepatitis B (HBV) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine hususan nyakati za utotoni 👶.

K**a ilivyo kwa UKIMWI, virusi vya Homa ya Ini pia huambukizwa kwa njia ya kujamiiana, mate, jasho, na mwingiliano wowote wa damu 🩸.

NJIA KUU ZA MAAMBUKIZI

Kujamiana bila kinga 😷

Kunyonyana ndimi ('denda') 👅

Mama mwenye ugonjwa kumwambukiza mtoto wakati wa kujifungua 🤰

Kuchangia damu isiyo salama 🩸

Kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k. ✂️

Kuchangia miswaki 🪥

Kuchangia taulo na mwenye ugonjwa huo 🚿

Kubadilishana nguo au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho 🧥

DALILI
Hata hivyo, watu wengine husumbuliwa na homa kali na dalili ambazo hudumu kwa wiki kadhaa. Dalili hizo ni:

Uchovu 😴

Kichefuchefu 🤢

Mwili kuwa dhaifu 🛌

Homa kali 🤒

Kupoteza hamu ya kula 🍽️

Kupungua uzito ⚖️

Maumivu makali ya tumbo upande wa ini 🤕

Macho na ngozi kuwa vya njano 👁️👨‍🦳

Mkojo mweusi 🚻

Kwa wagonjwa wengine, virusi vya Hepatitis B hukua hadi kusababisha ini kuharibika kabisa (cirrhosis of the liver) au saratani ya ini (liver cancer) 🏥.

KINGA

Chanjo 💉

Kutumia kinga wakati wa kujamiana 🛡️

Kuacha kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k. ✂️

Kutochangia miswaki 🪥

Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu 💑

Kutochangia damu isiyo salama 🩸

ipo ✅
📞 Wasiliana nami kwa nambari za WhatsApp:
0653 390 434
Follow hepatitis a,b,c,d and hepatitis a,b,c,d and hepatitis a,b,c,d and e solutions

31/12/2024

+255653390434

Nimekuwa nikiwasaidia watu wengi sana wenye Changamoto ya *KISUKARI* hasa wanaopitia Changamoto zifuatazo.

1.miguu kuwaka moto na kupata Ganzi
2.uoni hafifu
3.presha
4.kiharusi
5.upungufu wa nguvu za kiume
6.ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa
7.mwili kuishiwa nguvu...

*USIKATWE MGUU , MKONO AU KIUNGO CHOCHOTE KWA SABABU YA KISUKARI .*

K**a wewe ni mgonjwa wa kisukari na una kidonda ambacho kimekuhangaisha sana kwa mda mrefu bila ya kupata ufumbuzi basi ujumbe huu ni muhimu sana kwako .

Tunatoa huduma BURE kumuona DAKTARI kwa wangonjwa wa kisukari, Utalipia tu dawa na nutritional suppliment, pamoja na huduma za kusafisha kidonda.

Kwa Mawasiliano Piga

0653 390 434

WhatsApp ANDIKA NENO DAKTARI Nitakupigia
0653 390 434

31/12/2024

Asthma ni hali ya kupumua ambapo mapafu yanaungua na kushindwa kufanya kazi vizuri. Hapa ni sababu, dalili, na madhara ya asthma:

Sababu za Asthma:

1. Mazingira ya Vumbi na Maji: Vumbi, majani, na maji kutoka kwa wanyama na mimea yanaweza kusababisha maambukizi ya mapafu, na hivyo kusababisha asthma.

2. Mikazo ya Mazingira ya Hewa (Pollution): Uchafuzi wa hewa na moshi kutoka kwa magari au viwandani unaweza kuathiri mapafu na kusababisha asthmatic reactions.

3. Magonjwa ya Familia: Ikiwa kuna historia ya asthma au magonjwa ya mzio katika familia, kuna uwezekano mkubwa wa kupata asthma.

4. Allergy: Mzio wa vitu k**a vumbi, poleni, au chakula cha aina fulani ni sababu kubwa inayoweza kusababisha asthma.

5. Mabadiliko ya Hali ya Hewa: Kubadilika kwa hali ya hewa, hasa baridi au joto kali, kunaweza kuchochea mashambulizi ya asthma.

Dalili za Asthma:

1. Kuzongwa na pumzi: Ugumu wa kupumua, hasa wakati wa kufanya kazi nzito au usiku, ni dalili kubwa.

2. Kukoroma na Pumzi Kufu: Kelele za kukoroma wakati wa kupumua, hasa wakati wa kuvuta pumzi, ni dalili ya asthma.

3. Kuhisi shinikizo kwenye kifua: Watu wenye asthma mara nyingi wanahisi shinikizo au uzito kwenye kifua.

4. Kutokwa na Mucus: Hali ya asthma inaweza kuambatana na kuzalishwa kwa makozi mengi (mucus) kutoka kwenye mapafu.

5. Kushindwa kufanya shughuli za kawaida: Kiwango cha kupumua kinaposhuka, mtu anaweza kushindwa kufanya shughuli za kawaida za kimwili.

Madhara ya Asthma:

1. Kupungua kwa Ufanisi wa Kupumua: K**a asthma haitadhibitiwa, mapafu yanaweza kushindwa kufanya kazi vizuri, na kusababisha kupungua kwa ufanisi wa kupumua.

2. Shambulio la Asthma: Mashambulizi ya asthma yanaweza kuwa na madhara makubwa, k**a kushindwa kupumua kabisa, ambayo yanaweza kuhitaji matibabu ya haraka.

3. Matatizo ya Mapafu ya Kudumu: Asthma inayodumu kwa muda mrefu inaweza kuathiri mapafu kwa kudumu, ikiwa haitadhibitiwi vizuri.

4. Kupungua kwa Ubora wa Maisha: Dalili za asthma k**a ugumu wa kupumua zinaweza kuathiri maisha ya kila siku, ikiwa ni pamoja na shughuli za michezo na kazi.

5. Hatari ya Maambukizi: Watu wenye asthma wapo katika hatari kubwa ya kupata maambukizi ya njia ya hewa, kwa mfano, pneumonia au bronchitis.

Hii ni orodha ya baadhi ya sababu, dalili, na madhara ya asthma. Kujua mapema dalili na kupata matibabu sahihi ni muhimu katika kudhibiti hali hii.
Wasiliana nasi 0653 390 434

Follow hepatitis a,b,c,d and e solutions hepa

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam