DOS AFYA CLICK
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from DOS AFYA CLICK, Health/Beauty, Ukonga Magereza, Dar es Salaam.
16/05/2025
HII INAWAHUSU WANAOHANGAIKA NA MATATIZO MY YA UZAZI K**A
-PID
-HORMONES IMBALANCE
-MIRIJA KUZIBA NA KUJAA MAJI
-CHANGO
-KUTOKUPATA UJAUZITO
-MIMBA KUHARIBIKA
-KUSOGEZA KIZAZI KARIBU
-KIZAZI KUGEUKA
✅Kuwa na uvimbe kwenye kizazi au kwenye mayai
✅ Mvurugiko wa homoni/ Homone imbalance
✅ Mirija ya uzazi kuziba
✅ Mirija ya uzazi kujaa maji
✅Kukosa hamu ya tendo la ndoa
✅ Kukosa hedhi/Period
✅ Saratani ya shingo ya kizazi
✅Kuhisi maumivu wakati wa tendo
MATOKEO NI NDANI YA MUDA MCHACHE
wa.me/255768866408
NITAKUSAIDIA UTAPAKATA MTOTO WAKO
28/09/2024
Una changamoto ya kushika mimba?
Ama una changamoto ya mimba kuharibika mara kwa mara?
Wasiliana nasi kwa no 0768 866 408
19/09/2024
Wapedwa hamjambo jmn poleni namajukumu ya kilasiku Watu wengi hujiuliza ni wapi watapata namna ya kutatua matatizo ya ya presha?
Usijali DOS AFYA CLICK ipo hapa kwa ajili yako kukusaidia ni namna gani utakavyo weza kupambanua magonjwa hayo ijulikane hakuna ugonjwa usio tibika
Kwa maelezo zaidi
Tupigie 0768 866 408
DOS AFYA CLICK Afya yako ndo kielelezo kwetu
19/09/2024
*UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..*
1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .
2.Uume unasinyaa taratibu baada ya goli moja na kuendelea inakua ni ngumu.
3.Mwili unahisi ganzi pamoja na uume kusinyaa ukiwa kwenye tendo
4.Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.
5.Uume unasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke unasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .
6.Kupoteza hamu ya tendo la ndoa baada au kabla ya tendo la ndoa
7.kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.
8.Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke,unakuta upo katika ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.
Kwa msaada zaidi:
Tutafute kupitia WhatsApp number 0768 866 408
DOS AFYA CLICK afya yako ndio kielelezo chetu
18/09/2024
Una changamoto ya kushika mimba?
Ama una changamoto ya mimba kuharibika mara kwa mara?
Wasiliana nasi kwa no 0768 866 408
18/09/2024
18/09/2024
Wenyeshida ya miguu kuwaka moto kufa ganzi suluhisho limepatikana
Karibu sana usilalamike miguu inawaka moto inakufa ganzi wakat dawa ipo
Karibun sana unapona kabisa mwasiliano nichek 0768866408
Afya yako ni kielelezo kwetu
18/09/2024
🌹Habari..!
Hedhi kutoka muda mrefu inasababishwa na changamoto nyingi hizi ni baadhi, zifuatazo:-
1. Kuvurugika kwa homoni na mayai kupevuka.
Mabadiliko ya homoni na mayai kupevuka inaweza kupelekea hedhi kutoka muda mrefu.
Kwa mwanamke mwenye afya njema asiye na matatizo ya uzazi anaweza kuona mabadiliko haya hasa anapokaribia kukoma hedhi, au mwanzoni unapoanza kupata hedhi wakati wa kubalehe.
.lakini pia homoni zaweza kuvurugika kutokana na matatizo mbalimbali k**a changamoto za tezi ya thyroid na vimbe kwenye mayai.
.k**a homoni zako zimevurugika au k**a mayai hayatolewi kwenye mifuko ya mayai wakati wa mzunguko wako, ukuta wa mimba utakuwa mnene sana
. Na pale ukuta utakapobomoka na kutoka nje hehdi yako itakuwa ya muda mrefu sana na nzito.
2. Matumizi ya dawa.
Yanaweza kupelekea hedhi kutoka muda mrefu kutokana na dawa ulizotumia katika mwezi husika. Dawa hizi ni pamoja na:-
• dawa za maumvu
kuzuia mimba(contraceptives) na
dawa za kupunguza uvimbe mwilini
• Ujauzito
•Bleed ya muda mrefu inaweza kuwa kiashiria cha mimba kutunga nje yakizazi au mimba kuharibika.
... Unaweza pia kupata bleed ya muda mrefu endapo una tatizo la kondo la nyuma kwenye mimba yako.
K**a ulifanya kipimo cha mimba ukakuta kinasoma positive, na unapata bleed hakikisha unaenda hospitali haraka.
3. Uvimbe Kwenye kizazi(Uterine fibroids or polyps.
Uvimbe kwenye kizazi unaweza kupelekea hedhi kutoka muda mrefu na ikaambatana na mabonge ya damu.
Fibroids hutokea pale misuli ya kuta za kizazi zinapoanza kukua kupita kiasi.
..Kutanuka kwa kizazi (adenomyosis)
Adenomyosis ni tatizo lingine kwenye kizazi ambalo husababishwa na tishu kukua kupita kiasi.
Tatizo linaweza kusababisha kizazi kutanuka na hedhi kutoka muda mrefu zaidi.
4. Matatizo ya tezi ya thyroid(tezi ya shingoni)
K**a tezi ya thyroidi haifanyi kazi vizuri kuzalisha homoni zinazotakiwa kwa shughuli za mwili inaweza kupelekea hedhi kutoka muda mrefu sana.
Tatizo hili la tezi ya thyroid huitwa hypothyroidism.
5. Uzito Mkubwa na Kitambi.
Uzito mkubwa na kitambi husababisha hedhi nzito na kutoka kwa muda mrefu.
Hii ni kwasababu seli za mafuta huzalisha zaidi homoni ya estrogen. Estrogen ikizidi sana huvuruga hedhi yako.
5. Pelvic inflammatory disease(PID)
PID ni maambukizi ya bakteria kwenye njia ya uzazi.
Tatizo lisipotibiwa mapema hupelekea hehdi kuvurugika na hivo upate hedhi ya muda mrefu. PID pia husababisha maumivu chini ya kitovu, maumivu kwenye tendo la ndoa na kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu kali au mbaya.
6.Saratani.
Hedhi kutoka muda mrefu inaweza kuwa ni kiashiria kwamba una saratani ya kizazi au saratani ya shingo ya kizazi.
Tafadhali naomba nisaidie KUSHARE ujumbe huu na mwingine.
_______________________
Muda wowote ukiwa tayari, kuna namna 1 kubwa ninazoweza kukusaidia.
*1. Kukupatia matibabu ya program 01 pekee kuweza kujipatia wasiliana nami kupitia Nambari 0768866408
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Culinary Team
Attire
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
