TIBA na AFYA - TNA

TIBA na AFYA - TNA

Share

DAKTARI WAKO KIGANJANI.. Msaada wa karibu kwa miongozo ya Matibabu na elimu ya Afya.

07/04/2026

Kwanini ni ngumu sana kuacha sukari?

Watu wengi hawajui… sukari inaweza kuathiri ubongo kwa namna inayofanana na utegemezi (addiction).

Katika video hii, Prof. Mohamed Janabi anaeleza ukweli huu muhimu ambao wengi hawajawahi kuuelewa.

⚠️ Ukiangalia hadi mwisho, utaelewa kwanini unajikuta unarudia kutumia sukari kila siku bila kujua.

Je, Wewe umejaribu kuacha sukari ukashindwa? Tuambie uzoefu wako.

Tazama video kamili kwa kubonyeza link hii
👇👇👇
https://youtu.be/L-VaT9jL-Hg?si=wlavV1chi7RtxM0r

04/04/2026

Watu wengi wanaamini asali ni salama sana kuliko sukari…
Bila hata kujali kiwango cha matumizi yake
Lakini ukweli wake utakushangaza!

Hapa Prof. Janabi anafafanua uhusiano wa karibu uliopo kati ya asali na sukari na hivyo kusisitiza uzingatiaji wa kiwango cha wastani cha matumizi.

Tazama video kamili kwa kubonyeza link hii
👇👇👇
https://youtu.be/L-VaT9jL-Hg?si=vtl4kXyDNrvejwxM

26/03/2026

Wanaume wengi wanapoteza nguvu bila kujua sababu halisi…
Habari njema ni kwamba unaweza kuboresha hali hii bila kutumia dawa.
Wakati mwingine, mabadiliko madogo ya mtindo wa maisha yanaweza kubadilisha kila kitu.

Unadhani nini kinaathiri nguvu za kiume zaidi?
Stress, lishe au mtindo wa maisha ya kila siku?

Tazama video ujifunze njia rahisi na salama kisha tuambie maoni yako

https://youtu.be/eriJej4GrbA?si=Nr18GUdKVNrkjuci

24/03/2026

Unaua figo zako kimya kimya kwa tabia hizi za kila siku.
Watu wengi hawajui hadi tatizo linapokuwa kubwa.

Tazama video kamili YouTube 👇👇👇

https://youtu.be/HY9WfXwAPs0?si=n9j_RVJxqVhiPDG-

Photos from TIBA na AFYA - TNA's post 12/03/2026

Katika kuadhimisha Siku ya Figo Duniani, TNA Care tunahimiza jamii kuongeza uelewa kuhusu umuhimu wa afya ya figo.
Kinga na uchunguzi wa mapema ni hatua muhimu katika kupunguza madhara ya magonjwa ya figo.

11/03/2026

Kwenye video hii, Prof. Mohamed Janabi anaeleza kwa uwazi hatari za vyakula vyenye mafuta mengi na vyakula vilivyosindikwa (processed foods) ambavyo vimekuwa sehemu ya kawaida ya maisha ya familia nyingi leo.

Vyakula hivi vinaweza kusababisha:
• Kuongezeka kwa unene kupita kiasi (obesity)
• Hatari ya magonjwa ya moyo
• Shinikizo la damu hata kwa umri mdogo
• Kuongezeka kwa hatari ya kisukari
• Kuathiri ukuaji na afya ya watoto

Afya ya mtoto huanza na maamuzi ya chakula ya mzazi.
Tunachoweka kwenye sahani leo kinaweza kuamua afya ya mtoto kesho.

09/03/2026

Presha ni moja ya magonjwa ambayo watu wengi huishi nayo bila kujua. Mara nyingi huitwa “muuaji wa kimya kimya” kwa sababu inaweza kukaa mwilini kwa muda mrefu bila kuonyesha dalili za wazi.
Watu wengi hugundua presha baada ya kupata matatizo makubwa ya kiafya k**a vile:

• Kiharusi
• Matatizo ya moyo
• Matatizo ya figo n.k

Kupima presha mara kwa mara kunaweza kusaidia kugundua mapema na kuzuia madhara makubwa k**a haya na mengine yanayoweza kutokea.

Je, unafahamu Hali ya Presha Yako?

19/05/2025

Taasisi ya Tiba na Afya Care (TNA CARE) inatoa salamu za pongezi kwa Prof. Mohamed Yakub Janabi kwa kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika kwa kipindi cha mwaka 2025 - 2030. Tunakutakia kheri na baraka nyingi katika majukumu yako mapya, Mwenyezi Mungu akuongoze..

The Tiba na Afya Care (TNA CARE) Institution extends its heartfelt congratulations to Prof. Mohamed Yakub Janabi for being appointed as the World Health Organization (WHO) Regional Director for Africa for the period 2025 - 2030. We wish you success and abundant blessings in your new responsibilities. May the Almighty God guide you throughout this journey.

18/03/2025

https://youtube.com/?si=IzqxhwM-1RqdIGvy

⬆️🩺SUBSCRIBE SASA💊⬆️⬆️

Karibu katika YouTube channel ya TIBA NA AFYA CARE inayokupa Taarifa, Ushauri na Elimu ya Afya na Matibabu BURE kutoka kwa madaktari bingwa wa ndani na nje ya Tanzania..

⬆️💊SUBSCRIBE SASA🩺⬆️⬆️

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Posta
Dar Es Salaam