Mafuru Health Care
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mafuru Health Care, Health/Beauty, Dar Es Salaam, Tanzania, Dar es Salaam.
# Ushauri kuhusu Afya, Matibabu na changamoto Mbalimbali za Kiafya.
📞what's up no: 0752 373 154
# Pona UTI & PID sugu.
#.Vidonda vya tumbo na Tumbo Kujaa gas
# Matatizo ya Uzazi kwa Mwanaume na mwanaume
#Pona pressure,sukari na stroke
# Gauti na goita
07/04/2026
TATIZO LA KUZIDI KWA KIWAGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔
Gastroesophageal reflux disease (GERD).
-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.
Watu wengi sana wanasumbuliwa na tatzo hili bila wao kujua wanasumbuliwa na tatzo hili na hufikia hatua wengine kudhani wamerogwa kutokana na dalili ya tatzo hili. Tutaangalia dalili ambazo mtu anaweza kugundua kuwa anasumbuliwa na tatzo hili.
DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️
1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🖇️ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🖇️ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🖇️ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🖇️ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🖇️ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🖇️ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🖇️ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🖇️ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🖇️ Kupata kikokozi kisichoisha
11.🖇️ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🖇️ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🖇️ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🖇️ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🖇️ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto
07/04/2026
LINDA AFYA YA MIFUPA NA MAUNGIO
Afya ni muhimu kwa maendeleo ya mwili wako.
Good Bone Good health
🩺 USHAURI WA LISHE KWA MGONJWA MTU CHOLESTEROLI KUBWA
(HYPERCHOLESTEROLEMIA)
Malengo ya Lishe:
1 Kupunguza kiwango cha LDL (cholesterol mbaya).
2 Kuongeza HDL (cholesterol nzuri).
3 Kupunguza ulaji wa mafuta na kalori.
4 Kulinda afya ya moyo na mishipa ya damu.
Vyakula Vinavyopendekezwa:
1 Matunda na mboga angalau mara 5 kwa siku.
2 Nafaka kamili k**a mchele wa kahawia, uji wa shayiri, mkate wa ngano kamili.
3 Mafuta yenye afya: mafuta ya zeituni, parachichi, karanga, mbegu, samaki
wenye omega-3.
4 Vyenye sterols/stanols k**a maziwa au margarine maalum.
Epuka au Punguza:
1 Mafuta yaliyojaa: nyama yenye mafuta, siagi, maziwa yenye mafuta mengi,
mafuta ya n**i na mawese.
2 Trans fats: vyakula vya kukaanga, mikate ya viwandani, margarine.
3 Cholesterol nyingi: maini, mayai ya njano, dagaa wa kamba.
4 Wanga rahisi na sukari: soda, p**i, vyakula vilivyosindikwa.
5 Pombe nyingi, kunywa kwa kiasi tu.
Vidokezo vya Ziada:
1 Soma lebo za vyakula, chagua ‘low fat’ au ‘cholesterol free’.
2 Pika kwa kuchemsha, kuoka au kuchoma badala ya kukaanga.
3 Fanya mazoezi angalau dakika 150 kwa wiki.
4 Dumisha uzito unaofaa kwa afya.
Mfano wa Milo:
• Asubuhi: Uji wa shayiri (oats) na tunda + maziwa yasiyo na mafuta.
• Mchana: Kuku wa kuchoma na saladi yenye mafuta ya zeituni.
• Jioni: Samaki wa kuoka, mchele wa kahawia, mboga zilizochemshwa.
• Kitafunwa: Karanga chache au tunda
Kwa msaada zaidi wasiliana nami
📞0752373154
14/11/2025
*NINI CHANZO CHA GANZI NA MIGUU KUWAKA MOTO ?*
• Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.
• Mwili wa binadamu hutawaliwa na mifumo ya neva au kwa kitaalamu Nervous System, ambapo katika mifumo hii kuna mfumo mkuu, central nervous system (ubongo na uti wa mgongo) na pia kuna mfumo wa pembezoni ambao ni kazi za mwili mbali na ubongo na uti wa mgongo (peripheral nervous system), mfumo huu wa pembezoni hujumuisha kazi za misuli, mapigo ya moyo, mmeng’enyo wa chakula tumboni, uwezo wa kuhisi baridi au joto, kugusa vitu na kujua ukali wa ncha ya kitu na kadhalika.
• Matatizo haya ya kiafya (miguu au mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.
• Dalili .
1. Mtu kuhisi ganzi
2.Maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni au mikononi,
3. Kuhisi k**a umevaa soksi au gloves wakati hujavaa,
4. Kuhisi k**a kuna kitu cha ncha kali kinakuchoma miguuni au kwenye vidole,
5. Kushindwa kushika au kunyanyua kitu,
6. Kuchoka kwa misuli na kadhalika.
• Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo naomba uyafahamu:
1. Kupungua kwa virutubisho mwilini, katika hili tunamaanisha mwili kutokuwa na vitamini vya kutosha na hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex).
2.Matumizi ya dawa, mtu kuwa katika matumizi ya baadhi ya dawa, mfano dawa za kutibu kifua kikuu au za kupambana na virusi vya ukimwi huweza kumsababishia mtumiaji matatizo ya neva.
3. Uzito mkubwa wa mwili: Hali hii hupelekea maumbile ya viungo vya mwili mfano umbile la uti wa mgongo lionekane tofauti na ilivyo kawaida, kubadilika huku husababisha baadhi ya neva katika uti wa mgongo zikandamizwe zaidi na misuli au uzito wa mwili na hivyo kusababisha neva hizo zishindwe kufanya kazi vizuri, matokeo yake ni wewe kuanza kuhisi maumivi au kufa ganzi kwa miguu.
4. Ugonjwa wa kisukari: Mtu mwenye tatizo la kisukari huwa hatarini zaidi kuugua au kupata matatizo ya neva, (diabetic polyneuropathy).
• Shinikizo la damu: Mtu kuwa na shinikizo kubwa la damu (High blood pressure) pia ni kihatarishi kinachoweza kumfanya mtu apate ugonjwa huu wa neva.
• Baadhi ya vitu hatarishi vinavyoweza kumfanya mtu apate matatizo haya, vinaweza kuepukika kwa mtu kuyabadili maisha yake mfano, k**a ulikuwa hufanyi mazoezi ya mwili, basi ujitahidi kuupa mwili mazoezi ili kupunguza uzito wa mwili, kuepuka magonjwa ya kisukari na kuepuka kuwa na shinikizo kubwa la damu, kula chakula chenye virutubisho vya kutosha.
• Kwa Ushauri wa Kitaalamu Kuhusiana na Matatizo Mbali Mbali Kuhusu Afya - Wasiliana Nasi Kupitia Namba ☎️ 0752373154
na Wengine Unaowapenda Wapate Elimu hii Bure.
11/11/2025
*K**A UNA UMRI WA MIAKA ZAIDI YA 35 HII INAKUHUSU ILI KUEPUKANA NA MARADHI YA UTU UZIMA*
*•Ni mchanganyiko wa virutubisho* vyenye *antioxidant* na *anti-aging*
*Mchanganyiko huo huo unaondoa mikunjo ya Ngozi*
*na kurudisha Ngozi katika hali ya ujana yenye mvuto zaidi.*
*↪️Antioxidant inaondoa sumu mwilini na kukuupatia mwili nguvu upya*
*na kinga dhidi ya magonjwa ya uzeeni.*
*↪️Mchanganyiko wa resverantrol na NMN unarudisha umri nyuma kwa kuunda*
*upya speed ya NAD+ ambayo inazuia magonjwa yanaoletwa na uzee;*
*➡️ Sukari*
*➡️ Pressure*
*➡️ Kusahau*
*➡️ kuangamiza cells za saratani*
*➡️ Kuboresha afya ya moyo*
*YouthEver*🧑🏻
*1️⃣ Husaidia kukinzana na uzee*
*2️⃣ Husaidia kukinzana na Saratani yoyote ile*
*3️⃣ Husaidia kutengeneza DNA mpya*
*4️⃣ Ni nzuri sana katika kupambana na matatizo ya wanawake, Ngozi, Matatizo ya uzazi*
*5️⃣ Husaidia kuboresha mishipa ya damu na misuri*
*6️⃣ Kumbuka hii Bidhaa Inatumika Na Jinsia Yoyote.*
📞 0752373154
08/11/2025
*FAIDA ZA PURE AND BROKEN GONADEMA LUCIDIUM SPORES*
Maarufu K**a *UYOGA MWEKUNDU*
⏺ Hupandisha CD4 mwilini
⏺ Huongeza Kinga mwilini
⏺ Ni nzuri kwa walio ugua mda mrefu
⏺ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
⏺ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
⏺ Ni nzuri kwa waathilika wa VVU
⏺ Huongeza nguvu Mwilini
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
⏺ Huondoa Sumu mwilini
⏺ Huondoa uvimbe mwilini
⏺ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
⏺ Huondoa Maumivu makali wakati wa hedhi
⏺ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini
⏺ Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu
⏺ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
⏺ Huimarisha macho
⏺ Huongeza nguvu za kiume
⏺ Huondoa vimelea vya Saratani
⏺ Huimarisha ngozi yako
⏺ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
⏺ Hutibu Ugumba
⏺ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
⏺ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo ikitegemea jinsia
*FAIDA ZA PURE AND BROKEN GONADEMA LUCIDIUM SPORES*
Maarufu K**a *UYOGA MWEKUNDU*
⏺ Hupandisha CD4 mwilini
⏺ Huongeza Kinga mwilini
⏺ Ni nzuri kwa walio ugua mda mrefu
⏺ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
⏺ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
⏺ Ni nzuri kwa waathilika wa VVU
⏺ Huongeza nguvu Mwilini
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
⏺ Huondoa Sumu mwilini
⏺ Huondoa uvimbe mwilini
⏺ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
⏺ Huondoa Maumivu makali wakati wa hedhi
⏺ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini
⏺ Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu
⏺ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
⏺ Huimarisha macho
⏺ Huongeza nguvu za kiume
⏺ Huondoa vimelea vya Saratani
⏺ Huimarisha ngozi yako
⏺ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
⏺ Hutibu Ugumba
⏺ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
⏺ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo ikitegemea jinsia
📞 0752 373 154
🩸 KISUKARI (DIABETES MELLITUS)
Diabetes ni ugonjwa wa muda mrefu unaotokea pale ambapo mwili hauzalishi insulini ya kutosha au hauwezi kutumia vizuri insulini inayozalishwa.
👉🏽 Insulini ni homoni inayozalishwa na kongosho (pancreas) ambayo husaidia sukari (glucose) kuingia ndani ya seli ili kutoa nishati.
Wakati insulini haifanyi kazi ipasavyo, sukari hubaki kwenye damu, na hivyo kusababisha kiwango cha juu cha sukari (hyperglycemia).
Kiwango hiki cha juu kwa muda mrefu kinaweza kuharibu mishipa ya damu, moyo, figo, macho, na neva.
⚙️ AINA ZA KISUKARI
1. Aina ya Kwanza (Type 1 Diabetes)
Hutokea pale ambapo kongosho hakiwezi kabisa kutengeneza insulini. Mara nyingi huanza utotoni au ujana. Wagonjwa huhitaji insulini kila siku maisha yote.
2. Aina ya Pili (Type 2 Diabetes)
Hii ndiyo aina inayopatikana zaidi (zaidi ya 90% ya wagonjwa).
Hutokea pale ambapo mwili unazalisha insulini lakini haiwezi kutumika vizuri (insulin resistance).
Inahusishwa na ulaji wa vyakula vyenye sukari/mafuta mengi, uzito mkubwa, na kutokufanya mazoezi.
3. Kisukari cha Mimba (Gestational Diabetes)
Hutokea kwa wanawake wakati wa ujauzito.
Mara nyingi hupotea baada ya kujifungua, lakini huongeza hatari ya kupata Type 2 baadaye.
⚠️ DALILI ZA KISUKARI
✅ Kukojoa mara kwa mara
✅ Kiu isiyo ya kawaida
✅ Kula sana lakini kupungua uzito
✅ Uchovu na udhaifu
✅ Kutoona vizuri
✅ Vidonda visivyopona haraka
✅ Kuwashwa sehemu za siri (hasa kwa wanawake)
🍎 NAMNA YA KUJIKINGA AU KUDHIBITI KISUKARI
🍲Kula vyakula vyenye virutubisho na epuka vyakula vyenye sukari/mafuta mengi
🏃♂️Fanya mazoezi mara kwa mara
🧟♂️Dhibiti uzito wa mwil.
🧴Epuka uvutaji sigara na pombe
🩺Pima kiwango cha sukari mara kwa mara
Kwa tiba na Ushauri wasiliana nasi sasa
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 12:00 |
| Tuesday | 08:00 - 12:00 |
| Wednesday | 08:00 - 12:00 |
| Thursday | 08:00 - 12:00 |
| Friday | 08:00 - 12:00 |
