SIRI YA AFYA YANGU

SIRI YA AFYA YANGU

Share

NASAIDIA WATU WENYE CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA AFYA K**A VILE PID,UTI,FANGASI,TEZI DUME,KISUKARI N.K

Photos from SIRI YA AFYA YANGU's post 27/03/2025

TUVIMKONO SASA🥰🥰🥰

Photos from SIRI YA AFYA YANGU's post 27/03/2025

Jamani nyieeeeeee...Mungu ni mkubwa...Nakuombea wewe mwanamke anaehitaji mtoto mungu akupe haja ya moyo wako😭🙏

27/03/2025

BABA K HAKIKISHA UNAKUWA KARIBU NA MWENZA WAKO UNAMFARIJI KWENYE HII SAFARI...HII ITAMFANYA AONDOKANE NA STRESS...MWANAMKE ANAHITAJI KUJALIWA ZAIDI KATIKA HIKI KIPINDI ♥️🥰

27/03/2025

WATOTO NI BARAKA ....JIUNGANISHE NA HIZI BARAKA NYUMBANI KWAKO🙏♥️

27/03/2025

MAFUTA YA SAMAKI BADO YAPO CALL 0759814141

27/03/2025

UKITAKA KUWA MAMA K USIYEKUWA NA STRESS HAKIKISHA UMATUMIA MAFUTA UA SAMAKI.
KUNA MAMA NILIMHUDUMIA KIPINDI CHOTE CHA UJAUZITO AKAWA ANATUMIA MAFUTA YA SAMAKI KWA MWENDELEZO...ANAKWAMBIA KATIKA WATOTO WAKE WOTE ALIOJIFUNGUA SIO WAZURI K**A HUYU WA SASA♥️🥰.....TUMIA SALMON OIL ...0759814141

27/03/2025

Mama k UNASHAURIWA kutumia mafuta ya samaki kwa kuboresha afya na ukuaji mzuri wa mtoto🥰

18/03/2025

Ujauzito huleta furaha sana kwenye ndoa....muombe mungu abariki uzao wako🙏

18/03/2025

Kwa wale wanohitaji fertility booster ipo kwenye punguzo la bei wa kufunga mwezi March...0759814141

18/03/2025

Kamwe usijikatie tamaaa wakati wako umefika

18/03/2025

Uzito mkubwa kupita kiasi pia huchangia mwanamke kutoshika mimba kwa urahisi leo wacha nikupe shule.

Kwa kawaida mwili wa binadamu una hormone za aina mbili tunaziita catabolic hormone na anabolic hormone, mfano catabolic hormone ni Tlyroid hormones,steroid hormone na Glucagone hormone na mifano ya Anabolic hormone ni Growth hormones, s*x hormones na insulin hormone....

Hizi hormone anabolic na catabolic zinatakiwa zibalance na zikiwa kwenye balanced state ndo kipindi hiki mtu anakuwa hana shida yeyote na hizi hormone.

Kwa watu wenye Uzito mkubwa (OBESITY)hawa watu wanaathiri insulin hormone kwa kupunguza sensitivity kwenye ufanyaji kazi matokeo yake hupelekea mwili kuanza kuzalisha insulting nyingi ili kuongeza sensitivity ili insulin ifanyw kazi vizuri matokeo ya kuongezeka kwa insulin kupita kiasi hupelekea other anabolic hormones kuanza kupungua ili kutengeneza mzani sawa wa anabolic na catabolic hormones, mifano ya anabolic zinazopungua baada ya insulin kuongeza kupita kiasi ndo hizi sasa nilizo fundisha yaani s*xy hormone na Growth hormone ndo hii sasa inaathiri moja kwa moja fertility na kuanza kupelekea matatizo kwenye kizazi na kufanya kulatikana kwa ujauzito kuwa kugumu mnooo

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam