Dr.msigwa

Dr.msigwa

Share

mimi ninashughulika na kutatua changamoto mbalimbali za kiafya kwa kutumia mimea na virutubisho

07/04/2025

BAWASIRI INATIBIKA BILA OPERATION.

‼️•Tumia muda wako
SOMA HADI MWISO•

🍇UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE.
(Miwasho uvimbe na maumivu Katika sehemu ya haja kubwa)HEMORRHOIDS.

Bawasiri ni ugonjwa ambao unatokana na kuathirika kwa mishipa ya sehemu ya ndani na nje ya haja kubwa na kupelekea wakati mwingine kutoa damu na maumivu wakati wa haja kubwa,
Mara nyingi tatzo hili huwapata watu kuanzia umri wa miaka 25-70.
Ila kwa sasa ugonjwa huu unawaathili mbaka watoto wa umri wachini kabisa.
BAWASIRI YA NDANI.
Hiki ni kinyama kinacho ota ndani kabla ya kutoka nje.
➡️Huanza kwa mtu kukosa choo maumivu makali wakati wa kijisaidia
➡️pia uvimbe huanza kujitengeneza kwa kutoka ndani ya tundu la haja kubwa hasa pale wa Kati wakujisaidia

BAWASIRI YA NJE
➡️Hi ni ambayo hujitokeza sehemu ya nje ya tundu moja kwa moja baada ya ndani kujiimarisha vizuri.
Bawasiri ni tatizo linalo anzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, huu mfumo ukiwa mmbovu upelekea misuli ya haja kubwa kutanuka, hivyo husababisha kuanza kusikia maumivu na miwasho kwa ndani.

Bawasiri huweza kusababishwa pia na
➡️ Kufanya mapenz kinyume na maumbile
➡️ujauzito
➡️kuhara kwa muda mrefu
➡️kutopata choo kwa muda mrefu

🍇DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI

-kujisaidia choo chenye harufu Kali
-kupumua na kushindwa kuzuia kinyesi pale unapo pumua(kujamba).

-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia

-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa

-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)

-Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa.

-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.

-Kinyam kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa

🍇MADHARA YA BAWASIRI
➡️upungufu wa damu mwilini
➡️kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
➡️kutopata hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote
➡️Kuathirika kisaikolojia na kupelekea kutojiamini katika hadhara ya watu hasa pale miwasho inapozid

Tiba yake hospital ugonjwa huu ni operation,kukata uvimbe ili usiendelee kukua.Tiba hiyo huwa chanamgamoto ya kujirudia tena baada ya muda Fulani,pia upelekea maumivu makali kwa mgonjwa na kutokwa na damu mara kwa Mara

WASILIANA NASI *CARE & CURE HERBAL CLINIC* KUPATA MATIBABU BILA OPERATION NA BILA KUJIRUDIA

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Mbagala
Dar Es Salaam