Otee Asilia

Otee Asilia

Share

Body products

19/05/2026

1️⃣Haina Paraffin wala Petroleum Jelly!ni Organic, 100% Plant Based! Ipo very Smooth, Soft & Creamy! Inapakika Kirahisi Sana
2️⃣250g Tzs 25,000! 350g Tzs 35,000! 500g Tzs 50,000 & 1Kg Tzs 75,000
3️⃣Tunapatikana Dar Es Salaam, Tupigie 0657376670 or whatsapp 0785360020

Photos from Otee Asilia's post 12/05/2026

1️⃣Hii ni Package Nzuri Mno kwa Ajili ya changamoto za Ngozi k**a ECZEMA, SENSITIVE SKIN, NGOZI KAVU AMBAYO INATOA HADI MAGAMBA, NGOZI INAYOWASHA,BABY RASHES & DIAPER RASHES
2️⃣ Package hii ina Body Butter ambayo ambayo 100% ORGANIC PLANT BASED ni Mazito ila yanapakika Kirahisi sana hata ukiwa mkoa au nchi yenye baridi! Body butter hii ipo very creamy,Soft & Smooth! Imesheheni Vitamin A,C,E na virutubisho vingi ambavyo vitairutubisha ngozi yako na ndo mana tunaiita ", SIAGI YA NGOZI"
3️⃣ Package hii ina Akili Soap ambayo ni Sabuni Pole( gentle cleanser) ambayo imetengenezwa na Aloe Vera Juice( Squeezed from Aloe Leaves) pamoja na Emollients Mostly ni Shea Butter!Ni Sabuni Nzuri Mno kwa wale wenye changamoto za ECZEMA, sensitive Skin, Reactive skin, Dry Skin, Itchy skin! Povu lake lipo Very Creamy, Haijawekwa Rangi wala Haina Perfume nor artificial Fragrance
4️⃣ Package hii inafaa kutumiaa na Watoto na Hata watu wazima Pia!
5️⃣Tunapatikana Dar Es Salaam! Tupigie/ whatsapp 0785 360020 KARIBU TUKUHUDUMIE

24/04/2026

1️⃣Our CREAMY,, SMOOTH & SOFT BODY BUTTER aka "SIAGI YA KWENYE NGOZI" ni Mazito, Sio Magumu ni Malaini yanapakika Kirahisi sana hata Ukiwa kwenye Mkoa wenye Baridi
2️⃣Huwafaa na Yamewasaidia Watu wengi wenye changamoto ya ECZEMA yaan watu wazima na Hata watoto Pia!Huwafaa Wenye changamoto mbalimbali za ngozi k**a Ngozi kavu yenye kuwasha hadi kutoa magamba( yenye scales yangu miraba miraba) Wenye Ngozi sensitive & Reactive Pia
3️⃣ Ni Mazuri Mno kwa Watu wenye ngozi aina zote( wanaoyatumia wanasema yanafanya ngozi iwe nadhifu na yenye kung'aa) yanawafanya watoto wawe na. Ngozi ya kitajiri( yaan mtoto anakua na kangozi katamuu chenye muonekano nadhifu wenye afya) Wazazi Wengi hutumia Body Butter hii kwenye ngozi za Watoto wao!
4️⃣Wamama Vijacho hupakaa mafuta haya tumboni ili kuzuia kupata michirizi pale tumbo linapotanuka na wamekiri yamewasaidia sana
5️⃣ Body Butter hii imesheheni virutubisho Tele ambavyo vinarutubisha sana ngozi k**a Vitamin A,Vitamin C,Vitamin E na vingine Vingi
6️⃣TUPIGIE 0657376670 OR WHATSAPP 0785360020

23/04/2026

OUR BODY BUTTER
1️⃣ Ni 100% Organic( Plant Based) ipo Soft,Smooth and Very Creamy! Yes ni mazito na yanapakika Kirahisi Sana hata Ukiwa Kwenye Mkoa wenye Baridi! Yamesheheni Virutubisho tele k**a Vitamin A,Vitamin E & Vitamin C
2️⃣ Inatumiwa na Watu Wenye ngozi za aina zote,Mazuri Mno kwa wale wenye ECZEMA(yamewasaidia Mno wakubwa na hata watoto pia). Ni Mazuri Pia Kwa Wale wenye Ngozi Kavu( Dry Skin) na Inayowasha.Wale wenye sensitive Skin & Reactive Skin
3️⃣Wamama Wajawazito huyatumia kupakaa Tumboni kuanzia miezi ya mwanzo ya mimba( First Trimester) ili kuondoa chances za Kupata Stretch Marks Tumboni
4️⃣ Yapo katika Ujazo wa 250g(Tzs 25,000) 350g(Tzs 35,000)500g(Tzs 50,000) & 1KG(Tzs 75,000)
Tupigie 0657376670 or whatsapp 0785360020! KARIBU TUKUHUDUMIE

06/01/2026

250g Tzs 25,000! Tupigie 0657376670 or whatsapp 0785360020

08/12/2025

1️⃣OUR HAIR BUTTER inasema " KIPILIPILI" CHAKO KIMEPATA MKOMBOZI! Our Hair Butter ni 100% Ayuverdic& Plant based! Ni ORGANIC KABISA
2️⃣Ni kwel YANAJAza sana Nywele, YANAKUZA , Na YANALAINISHA Mno Nywele! Wenye Nywele Fupi huyatumia kwa ajili ya KUTONESHEA
3️⃣ Wanaume hutumia Hair Butter hii kwa Ajili ya kutunza Ndevu zao(Yaan Huyapakaa kwenye ndevu kwa ajili ya kuzilainisha na kuzikuza pia)
4️⃣Wazazi Wengi Piaa Hutumia Hair Butter katika Nywele za Watoto wao
5️⃣ Yanafaa kutumika katika Nywele za NATURALs(ambazo hazina dawa) na RELAXED Hair Pia!
6️⃣ 250g kwa Tzs 25,000 & 500g Kwa Tzs 50,000

24/10/2025

OUR LUXURIOUS HAIR BUTTER
1️⃣Watumiaji wanaiita "THE MAGIC BUTTER"( Kutokana na Positive changes ambazo imeleta katika Nywele zao) sisi Tunaiita "CHAKULA CHA NYWELE"
2️⃣Imetengenezwa na Viambata vya Asili yaan Ayuverdic Oils and Butters ambavyo vimelenga KUKUZA,KUJAZA,KULAINISHA NA KULETA UOTO MPYA( na ndo mana wengi huipenda na huitumia kutonea nywele)
3️⃣Hair Butter hii huondoa ukavu kwenye nywele( haswa kwa wale wenye nywele kavu)kwani yanakaa Muda Mrefu sana kwenye nywele( yaan yana Seal Moisture) na hvyo ni mazuri sana kwa wale wanaostruggle na Nywele kavu,nywele ngumu, Nywele zinazojifunga funga na wale wanao struggle sana kuchana nywele zao kwasababu zinauma kutokana na ugumu wa nywele au ukavu wa nywele
4️⃣Yana Texture Nzuri sana sana ya Ulaini,ingawa ni mazito kiasi,yana harufu nzuri mnoo,ni 100% Plant based yaan Authentically ORGANIC! hayajawekwa Rangi wala kuwekwa Fragrance/ perfume! Harufu yake ni nzuri kutokana na Ingredients zilizomo humo
5️⃣Yanatumiwa na Wanawake,Watoto(wazazi wengi huyatumia kwenye nywele za watoto wao both wakiume na wakike)Wanaume Pia Hutumia yaan ni two in one yaan wanatumia kichwani kwenye nywele na kwenye ndevu pia! Ni MAZURI MNOA na YANAPENDWA MNO MNO
Yanapatikana katika ujazo wa Tzs 250g kwa Tzs 25,000 & 500g kwa Tzs 50,000.
TUPIGIE 0657376670 OR WHATSAPP 0785360020

12/10/2025

OUR LUXURIOUS HAIR BUTTER
1️⃣watumiaji wanaiita "THE MAGIC BUTTER" sisi tunaiita "CHAKULA CHA NYWELE"
2️⃣Imetengenezwa kwa Viambata vya asili yaan Ayuverdic oils & Butters ambavyo vimelenga KUKUZA,KUJAZA,KULAINISHA NA KULETA UOTO MPYA( na ndo mana wengi hutumia kwa Ajili ya kutonea Nywele)
3️⃣Hair Butter hii inaondoa ukavu kwenye nywele( haswa kwa Wale wenye nywele kavu)kwani yanakaa Muda Mrefu sana kwenye nywele( yana Seal in Moisture) na hvyo ni Mazuri sana kwa Wale wanaostruggle na Nywele kavu,Nywelee ngumu, Nywele zinazojifunga funga
4️⃣Yana Texture Nzuri sana ya Ulaini, ingawa ni Mazito kiasi,Yana harufu nzuri Mnoo, Ni 100% plant based yaan authentically Organic, Hayajawekwa Rangu wala kuwekwa Fragrance/perfume! Harufu yake nzuri ni kutokana na Ingredients zilizomo humo
5️⃣Yanatumiwa na Wanawake,Watoto(wazazi wengi huyatumia kwenye nywele za watoto wao both wakike na wakiume)! Wanaume Pia Hutumia ni Two in One yaan wanatumia kichwani na kwenye Ndevu Pia! Ni mazuri Mno YANAPENDWA MNO MNO
Yanapatikana katika ujazo wa 250g kwa Tzs 25,000 & 500g kwa Tzs 50,000.TUPIGIE 0657376670 OR WHATSAPP 0785360020

Photos from Otee Asilia's post 08/10/2025

KISURA aka KADUDE KA MAAJABU
1️⃣Hii ni Face Moisturizer ambayo kutokana na wingi wa VITAMIN C husaidia sana kuongeza wingi wa utengenezaji wa Collagen na hvyo kufanya ngozi iwe ng'avu, Yenye Afya na Pia kupunguza zile dalili za ngozi kuchoka yaan mikunjo kunjo ya ngozi ambayo ni dalili changa ya ngozi kuzeeka
2️⃣Ina Vitamin A ambayo hufanya Skin Rejuvination and Regeneration and hvyo ina uwezo mkubwa kwa Kufifihisha Madoa kwenye ngozi on Prolonged Use
3️⃣Wingi wa Anti Oxidant k**a VITAMIN E huifanya Kisura iwe na uwezo wa Kuzuia ngozi kuharibiwa na Miale Mikali ya Juu na hvyo kuepusha Premature Skin Aging
4️⃣Kisura itakufanya uso wako uwe mng'avu Muda Wote kwani ina wingi wa Omega 3,6 & 9 na Hvyo ngozi inakua Moisturized kwa 24hrs Yaan Kisura labda uitoe mwenyewe usoni ila Hakuna Kupauka Uso ukitumia KISURA!
INAPATIKANA KWA TZS 15,000 Tupigie 0657376670 or whatsapp 0785360020! KARIBU TUKUHUDUMIE

Photos from Otee Asilia's post 13/07/2025

AKILI SOAP
1️⃣Ni Sabuni ya Asili iliyotengenezwa Kwa kutumia Aloe Vera Juice iliyokua squeezed kutoka kwenye Aloe Leaves pamoja na Emollients/ Moisturizers Mostly Shea butter ambayo Rangi yake creamy ndo Dominate katika Our AKILI SOAP)
2️⃣ Akili Soap ni Sabuni Pole( gentle Cleanser) imetengenezwa kwa Ajili ya Kusaidia Watu wenye changamoto mbalimbali za ngozi k**a ECZEMA,Sensitive Skin,Reactive Skin, Dry itchy & Scaly Skin, Baby Rash & Diaper Rash!
3️⃣ Akili Soap Imetengenezwa Kwa ajili ya Fragile Skin za Watoto na hvyo hutumiwa na Watoto Pamoja Na watu Wazima Pia
4️⃣ Inapatikana kwa 100grams kwa Tzs 5,000! Tupigie 0657376670 au Whatsapp 0785360020
REAL ALOE, TRUE ALOE, GENUINE ALOE VERA ipo kwenye AKILI SOAP!KARIBUNI SANA

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00