Tabibu Mwakasege
Tabibu Mwakasege ni Wazoefu katika kutibu Magonjwa Sugu kwa Dawa Asili na Mazoezi Tiba
04/08/2026
JICHO LA TATU
Je unaelewa nini kuhusu jicho la tatu? Nimesikitika sana kusikia watu wanadanganywa,Wanatapeliwa na hata kuharibiwa Maisha na Hatma zao wakiaminishwa Kufunguliwa Jicho la Tatu Na Hilo ndio lililonisukuma kuandaa Makala Hii,.............
Mtu ana Nguzo au vituo saba vya Nguvu (Energy centers) zinazofahamika k**a CHAKRAS,Ukizielewa hizi Nguzo Ndio Utaelewa Jicho la Tatu ambayo ni Nguzo ya Sita,Nguzo hizi zinapatikana katika Uti wa Mgongo kuanzia chini unapoanzia Uti wa Mgongo(Base) hapo Ndipo ilipo Nguzo Mzizi(Root Chakra) Rangi yake nyekundu inahusika na uimara wa Mwili na Mahitaji muhimu ya Mtu kuishi( Survival Needs)Nguzo ya Pili inaitwa Sacral chakra (Ubwa) Inapatikana chini ya Kitovu Rangi yake ni ya Chungwa(Orange) Inahusika na Mihemko( Emotions)Mapenzi(Sexuality) na Ubunifu(Creativity)
Tatu ni Solar plexus chakras(Nafsi ) Rangi yake njano
Inapatikana eneo la kitovu juu Inahusika na Nguvu binafsi,Kujithamini na Kujiamini
Nguzo ya Nne ni Heart Chakra (Moyo) Rangi yake ni kijani Inapatikana katikati ya kifua,Hili ni daraja kati ya Mwili na Nafsi au Roho inahusika na Upendo na Ushirikiano
Nguzo ya Tano ni Koo(Throat) Rangi yake ni Buluu inahusika na Mawasiliano na Ukweli
Ya Sita ndio Ajna( Third Eye) yani jicho la Tatu Rangi yake ni Indigo(Buluu iliyoiva au Nili) Inapatikana katikati ya paji la Uso(Katikati ya Nyusi) Inahusika na Hekima, Maono(Intuition) na Imagination( Fikra/Mawazo)
Saba ni Crown,Rangi ya Zambarau(Purple)Juu ka kabisa ya Kichwa Inahusika na Muunganiko wa Kiroho,Mwangaza na Ufahamu wa Ulimwengu
Nguvu hizi zikifungwa au kutofanya kazi vizuri zinaleta Matatizo katika utendaji wa Kazi, kwa kila nguzo na namna inavyohusika Mfano kutokuwa na Amani na Utulivu,Kuwa na mkazo(Tension) kumeng'enya chakula kwa shida kukosa kujiamini Kukosa Maono na Utambuzi wa Mambo, Tiba ni kuamsha Nguzo husika na Rangi katika kila Nguzo (Chakra)inakusaidia kuiimarisha Nguzo hiyo kwa kula vyakula/Virutubisho vilivyo na Rangi husika pia Katika Meditation(Tahjudi) na Yoga Rangi husika zitakusaidia kuamsha Nguzo husika,Watu wengi wanaishia Nguzo Tatu za Chini na wengine wengi kwa shida Wachache wamefikia Nguzo ya 4 na wachache zaidi ya 5 Sita na Saba ni za wachache zaidi japo inawezekana Ukizingatia hatua kwa hatua Ambatana Nami kwa Masomo zaidi
03/08/2026
04/06/2026
Mwani ni Kinga na Tiba Bora kabisa
Chujio Bora la Maji kwa Afya
20/04/2026
Maji ni kitu muhimu sana katika Afya na Lishe,Ni muhimu kuzingatia matumizi ya Maji sahihi na bora,Mashine hii ya kuchujia maji inayptumia madini asili itakusaidia kuepuka gharama na Kemikali zinazotumiwa kusafisha maji hivyo kukuhakikishia Afya njema!
10/04/2026
Lantana Camara ni Mmea unaoongeza uwezo wa ubongo kukumbuka Mambo,Ni mzuri kwa watu wote,Kuanzia Wazee pia wanafunzi hata k**a haujapata tatizo la usahailifu,Inasaidia kuhuisha seli za Mwili,Mfumo wa Upumuaji,Mishipa ya Damu Nk,Mmea huu una utajiri wa madini na vitamin,wasiliana nasi k**a unahitaji iliyosindikwa kitaalam
Mashine hii inafanya kazi ya Kusisimua mishipa ya fahamu ya Mwili kwa njia ya Uti wa Mgongo,Uti wa Mgongo ni mfumo mkuu wa fahamu na ni muhimili wa Mwili Ukisisimuliwa Kwa Utaalamu huu husaidia Uponyaji wa Magonja sugu yasiyoambukiza ki upkeep kwa tatizololote la Mgongo inatibu kabisa, Wasiliana nasi k**a unajitaji huduma au Mashine hii
13/03/2026
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ALIYE NA TATIZO LA PRESHA KUSHUKA;
Presha Kushuka ni jambo la hatari na la Dharula linaweza kusababisha kupooza(Stroke),Shambulio la Moyo(Heart Attack),Moyo kufeli(CHF) na kifo cha ghafla,
NINI UNAPASWA KUFANYA?
# Koroga Kijiko kikubwa cha kahawa katika kikombe cha Chai chenye maji ya moto kisha anywe
# Tangawizi Saga punje ya tangawizi changanya na maji kikombe kidogo kisha chemsha Anywe
Anaweza pia kuanza kutafuna tangawizi kwa kumega vipande kadiri awezavyo
# Chumvi,Koroga chumvi kijiko Kimora katika maji kikombe cha Chai kisha mgonjwa anywe,Chumvi mbichi kwa wingi hupandisha presha
# Unaweza pia kunywa kinywaji kilicho na Caffeine kwa wingi k**a "Energy drinks Pia Kola k**a Pepsi na Coca-Cola hupandisha Presha
04/03/2026
PUNGUZA UZITO ACHA SABABU;
Wengi utawasikia "Huu Mwili ni asili yetu nimerithi kwa Mama/Baba,Hapo haujarithi mwili ila Umerithi mtindo wa Maisha wakati mwingine kuanzia tumboni ila ukielewa rekebisha Lishe utapungua tu
# "Nafanya sana Mazoezi ila sipungui" Swali ni baada ya Mazoezi unakula nini?Wengi Mazoezi huwapa Hamasa ya kula chakula kwa wingi tena cha aina moja
# Kuna wale wa Mazoea ya kijamii,Waafrika wengi Wanaona unene ni sehemu ya Mafanikio yani ukiwa mnene unaonekana Unamaisha Mazuri Ukikonda Unaonekana hauna pesa,Japo hii imeanza kupungua watu wanaelimika,katika kundi hili Kuna niliowasikia wakisema MWILI NDIO UNAWAWEKA MJINI hawawezi kupungua,Wanaelewa wenyewe ni kwa namna gani.
CHANGAMOTO;
# Mtu anataka Dawa za Sukari na Presha ila hawezi kuzingatia Lishe elekezi Kuna Ugumu hapa
# Anataka kupungua ghafla kwa kunywa dawa ya kumkondesha haraka bila kujishughulisha!Tatizo Hilo
# Anataka dawa za Kuongeza Nguvu za kiume tu hataki kutatua chanzo cha tatizo anashughuliks na matokeo
27/02/2026
Tumbo ni sehemu muhimu sana kwa Afya yako Magonjwa mengi yanaanzia Tumboni,
Udhibiti wa Magonja mengi pia Uanweza Fanyika Tumboni,
HAKIKISHA&/ZINGATIA
1.Unakula chakula bora kilicho na Virutubisho vyote vinavyohitajika Usisingizie gharama kwa sababu Kuna Virutubisho TibaAsili vilivyo na Virutubisho vyote na Gharama yake ni ya kawaida
2.Unywaji wa Maji Asubuhi kabla ya chochote Pata maji yenye joto la kawaida(Warm temperature) glasi mbili K**a ni ya moto waweza weka limoo
Usinywe maji wakati wa Chakula angalau iwe nusu saa kabla au baada ya chakula
3.Usifuge kitambi yani kuwa na nyama zembe
4.Unatakiwa Upate Choo kila siku angalau mara moja kwa uhakika
5.Epuka matunizi ya Kemikali sumu kadili uwezavyo ikiwa ni pamoja dawa na vyakula visivyo na tija kwa Afya (junk foods) Soda,Keki,clips Nk
Usisite kuwasiliana nasi kwa Tiba na ushauri
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
