TIBA YA EDEN
(Healing Miracle Herbs) INAHUSIANA NA KUIJUA AFYA YETU NA MATIBABU YA ASILIA YANAWEZAJE KUTUSAIDIA ๏ฟฝ0618047580
24/10/2025
FAIDA YA MAJANI YA MNDIMU
๐ฟ Majani ya Mndimu (Lemon Leaves)
Majani haya yanatokana na mti wa Citrus limon, na yamejaa mafuta muhimu (essential oils) na virutubisho vinavyofanya yawe na nguvu ya tiba asilia.
---
๐งช Viambata muhimu vilivyomo
1. Vitamin C
Husaidia kuongeza kinga ya mwili
Husaidia ngozi na uponyaji wa majeraha
Ni antioxidant inayopambana na sumu mwilini
2. Flavonoids (k**a hesperidin, diosmin)
Hupunguza uvimbe (anti-inflammatory)
Hulinda seli dhidi ya uharibifu wa radicals huru
3. Limonene
Ni mafuta muhimu (essential oil) yenye harufu ya citrus
Huua bakteria, fangasi, na virusi
Husaidia mmengโenyo wa chakula
4. Citral na Linalool
Hupunguza wasiwasi na msongo wa mawazo (calming effect)
Husaidia kulala vizuri
Ni antiseptic asilia
5. Calcium, Potassium na Magnesium
Huimarisha mifupa, misuli na mfumo wa damu
6. Beta-carotene & Polyphenols
Husaidia ngozi kungโaa
Hupunguza hatari ya magonjwa sugu k**a kisukari na presha
---
๐ Faida kwa mwili
Sehemu ya mwili Faida kuu
Mfumo wa kinga Hukuza uwezo wa mwili kupambana na magonjwa.
Mfumo wa mmengโenyo Husaidia kutuliza gesi, choo kigumu na maumivu ya tumbo.
Ngozi Hupunguza chunusi, madoa na kuua bakteria wa ngozi.
Mfumo wa upumuaji Hupunguza kikohozi, mafua na msongamano wa pua.
Mfumo wa fahamu Harufu yake hutuliza akili, stress, na kuchosha mwili.
Moyo na damu Hupunguza cholesterol na shinikizo la damu.
---
๐ซ Namna ya kutumia
1. Kwa kunywa k**a chai ya tiba:
Chukua majani 5โ7 mapya
Chemsha kwenye kikombe kimoja cha maji kwa dakika 10
Tia kijiko 1 cha asali ukipenda
Kunywa asubuhi au jioni ukiwa na uvuguvugu
2. Kwa mvuke (kupumua):
Chemsha majani mengi kwenye sufuria kubwa
Funika kichwa kwa kitambaa na pumua mvuke dakika 5โ10
Husaidia mafua, sinus, au koo lenye usaha
3. Kwa ngozi:
Chemsha majani, acha yapoe, kisha osha uso au mwili
Husaidia kupunguza chunusi, madoa, na harufu mbaya
0618047580 call or wathapp๐
12/10/2025
๐ฉถ FAIDA USIZOZIJUA KUHUSU UYOGA ๐
Uyoga ni chakula asilia chenye virutubisho vingi vinavyosaidia mwili kuwa imara na afya bora.
โ
Una protini nyingi zinazosaidia kujenga misuli
โ
Unasaidia kupunguza mafuta mwilini na kitambi
โ
Una antioxidants zinazochelewesha uzee wa seli
โ
Husaidia kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya magonjwa
โ
Ni rafiki kwa mfumo wa mmengโenyo wa chakula
โ
Husaidia kudhibiti shinikizo la damu na sukari
12/10/2025
๐๐? ๐ช๐๐๐๐๐๐ ๐จ ๐ ๐๐๐๐จ๐๐ญ๐ ๐ฃ๐๐ฃ๐๐ ๐ญ๐๐ ๐๐๐จ๐ช๐ ๐ก๐ ๐๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐๐ ๐ญ๐ ๐๐๐๐๐ฌ๐:
1. ๐๐จ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐๐๐ง๐๐๐ ๐จ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐ช๐ ๐๐๐๐๐จ๐๐: Mbegu za papai zina viondoa sumu na vimeng'enya (enzymes) vinavyosaidia kuboresha usagaji wa chakula.
2. ๐๐จ๐๐๐๐๐๐๐๐ก๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐ก๐ฌ๐ข๐ข ๐ง๐จ๐ ๐๐ข๐ก๐: Zina mali ya kuua minyoo na wadudu wengine wa tumboni.
3. ๐๐จ๐ฅ๐๐๐๐๐๐ฆ๐๐ ๐๐๐ข๐ฅ๐๐ฆ๐ง๐ข๐: Tafiti zinaonyesha kuwa mbegu za papai zinaweza kusaidia kupunguza kiwango cha cholesterol mbaya (LDL) mwilini.
4. ๐๐๐ก๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐๐ ๐๐จ๐๐๐ญ๐: Mbegu hizi zina viondoa sumu na mali za kuzuia maambukizi, ambazo husaidia kuimarisha kinga ya mwili.
5. ๐๐๐ฌ๐ ๐ฌ๐ ๐๐ก๐ : Zinaaminika kusaidia kuondoa sumu kwenye ini na kulinda afya ya ini kwa ujumla.
Hata hivyo, ni muhimu kushauriana na mtaalamu wa afya kabla ya kutumia mbegu za papai kwa matibabu yoyote ili kuhakikisha usalama na ufanisi.
31/08/2025
๐๐๐๐๐ ๐จ ๐ฉ๐ฌ๐๐๐จ๐๐ ๐๐ข๐ฅ๐ ๐ก๐ ๐ฉ๐ฌ๐๐๐จ๐๐ ๐๐๐ง๐๐ฅ๐ ๐๐ช๐ ๐ช๐๐๐ข๐ก๐๐ช๐ ๐ช๐ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐
Kwa mgonjwa mwenye kisukari (diabetes), ni muhimu kula vyakula vitakavyodhibiti kiwango cha sukari kwenye damu na kulinda afya ya moyo na mishipa. Vifuatavyo ni baadhi ya mapendekezo ya vyakula bora:
1. ๐ ๐ฏ๐ผ๐ด๐ฎ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ท๐ฎ๐ป๐ถ: K**a vile mchicha, sukuma wiki, broccoli, na kabichi. Zina nyuzinyuzi na virutubisho vinavyosaidia kupunguza viwango vya sukari kwenye damu.
2. ๐ ๐ฎ๐๐๐ป๐ฑ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐ธ๐ถ๐ฎ๐๐ถ: Chagua matunda yenye sukari kidogo k**a mapera, tikitimaji, maapulo, parachichi, na matunda yenye nyuzinyuzi nyingi. Epuka kula matunda yenye sukari nyingi kwa wingi k**a ndizi na maembe.
3. ๐ฃ๐ฟ๐ผ๐๐ถ๐ป๐ถ ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฎ๐ณ๐๐ฎ: Kula samaki, kuku bila ngozi, mayai, na kunde (maharage, dengu, mbaazi). Husaidia kujenga mwili bila kuongeza sukari.
4. ๐ฉ๐๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ป๐๐๐๐ถ๐ป๐๐๐๐ถ: K**a vile ugali wa dona, brown rice, oatmeal, na mikunde. Nyuzinyuzi husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu.
5. ๐ ๐ฎ๐ณ๐๐๐ฎ ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฎ๐ณ๐๐ฎ: Tumia mafuta ya zeituni, parachichi, na karanga. Epuka mafuta ya kukaanga mara kwa mara na mafuta yaliyojaa (saturated fats).
6. ๐ ๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ผ๐๐ต๐ฎ: Kunywa maji ya kutosha kila siku badala ya vinywaji vyenye sukari k**a soda na juisi zilizoongezwa sukari.
---
๐ฉ๐ฌ๐๐๐จ๐๐ ๐ฉ๐ฌ๐ ๐๐จ๐๐ฃ๐จ๐๐:
Vyakula vyenye sukari nyingi: Keki, soda, juice za dukani, peremende, na ice cream.
Vyakula vya kusindikwa: Chipsi, sausage, fast food, na mikate yenye unga mweupe.
Pompe: Huchangia kupanda au kushuka ghafla kwa sukari.
Chumvi nyingi: Inaongeza shinikizo la damu ambalo ni hatari kwa wagonjwa wa kisukari.
Kwa kuzingatia lishe bora na dawa, mgonjwa anaweza kudhibiti kisukari na kuboresha hali ya afya kwa ujumla.
๐ธ๐๐ฎ ๐๐๐ต๐ฎ๐๐ฟ๐ถ ๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ถ ๐ฝ๐ถ๐ด๐ฎ ๐ป๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ
06180475
31/08/2025
_*FAHAMU TATIZO LA MIKONO NA MIGUU KUFA GANZI, MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE.*_
Miguu Na Mikono Kufa Ganzi Ni Tatizo La Kiafya Ambalo Huambatana Na Dalili Za Mtu Kuhisi Maumivu, Baridi Na Kuwaka Moto,
_Tatizo Hili Kitaalam Hujulikana Kwa Jina La Peripheral Neuropathy..._
Matatizo Haya Ya Kiafya Miguu Na Mikono Kuhisi Ganzi, Baridi Au Maumivu Husababishwa Na Kuumia
Au Kudhoofika Kwa Neva Za Pembezoni Mwa Mwili (Miguuni Au Mikononi) Na
Hivyo Kupoteza Uwezo Wake Wa Kufanya Kazi Vizuri Sehemu Husika... .
_*DALILI ZINAZOAMBATANA NA TATIZO LA KUFA GANZI KWA MIGUU NA MIKONO.*_
&. Viungo Vya Mwili Kuhisi Ganzi...
&. Kushindwa Kushika Au Kunyanyua Kitu,
&. Kuchoka Kwa Misuli Ya Miguu Na Mikono...
&. Maumivu Au Kuwaka Moto Maeneo Ya Miguuni/Mikononi...
_*SABABU ZINAZOCHANGIA NEVA ZA MWILI KUSHINDWA KUFANYA KAZI VIZURI...*_
>> Kupungua Kwa Virutubisho Muhimu Mwilini, Hasa Vitamini Na Madini...
>> Matumizi Ya Dawa Zenye Antibiotics Kwa Muda Mrefu,
>> Uzito Mkubwa Wa Mwili Usioendana Na Kimo Chako...
>> Ugonjwa Wa Kisukari,(Diabetic Polyneuropathy).
>> Shinikizo La Damu (Blood Pressure)
>> Kufanya Kazi Zenye Kushika Shika Maji Muda Mwingi, Mfano Viwanda Vya Vinywaji Baridi...
>> Kunywa Pombe Kupita Kiasi Hasa Pombe Kali.
>> Uvutaji Wa Sigara Na Bidhaa Zingine Za Tumbaku...
>> Matumizi Ya Vinywaji Vyenye Caffeine Nyingi Mfano Cola,Kahawa, Soda n.k..
>> Tabia Ya Mtu Kutofanya Mazoezi Ya Viungo n.k...
_*Suruhisho La Kuondokana Na Ganzi Kwenye Miguu/Mikono*..._
Hatua Ya Kwanza Ni Kurekebisha Viwango Vya Sukari Kwenye Damu,
Yaani Tibu Chanzo Cha Tatizo La Sukari Ambalo Ni Kongosho Pamoja Na Seli Zaki Za Mwili
Fuatilia Kwa Usahihi Lishe Bora Ninayoelekeza Kwani Ina Mchango Mkubwa Sana Katika Kudhibiti Dalili, Madhara Mengi Yatokanayo Na Sukari
Hii Ni Tiba Mama Ya Kwanza Kuifuatilia Na Kuelewa Umuhimu Wa Kula Vyakula Aswa Vya Mafuta Mazuri Kuliko Wanga Na Sukari...
Tatu, Jipangilie Ratiba Ya Kufanya Mazoezi, Kwani Mazoezi Ni Lazima
Yatakusaidia Pakubwa Sana Ukiwa Unafanya Mazoezi Ya Viungo Vyako Na Kukupa Faida
K**a Kupunguza Mafuta Mabaya Kwenye Mishipa Ya Damu , Kupunguza Msongo Wa Mawazo Na Kuimarisha Misuli Ya Mwili...
Nne, Ni Kuepuka Mazingira Hatarishi Yenye Kemikali Na Kuavha Kuvuta Sigara, Sh**ha n.k
Kwani Wagonjwa Wengi Wenye Ganzi Wapo Kwenye Hatari Ya Kuugua Magonjwa Ya Figo, K**a Mawe Ya Figo
Ndio Maana Ni Muhimu Kuepuka Mazingira Yenye Sumu Ili Kupunguza Mzigo Kwenye Figo Wa Kuchuja Sumu Hizo...
Tano, Pambana Na Msongo Wa Mawazo, Hiki Ni Kichocheo Cha Mwili Kuvimba Na Kututumka(Inflammation)
Na Kuongeza Makali Ya Dalili Mbaya Za Kisukari Ikiwemo Ganzi,
Kufanya Mazoezi Na Kuwa Karibu Na Familia Yako Zote Ni Njia Nzuri Za Kupambana Na Msongo Wa Mawazo...
Mwisho; _Kwa Mgonjwa Mwenye Shida Ya Ganzi Namshauri Mara Kwa Mara Kufanya Vipimo Na Kujua Maendeleo Ya Tatizo Lake_
Pia Usimeze Dawa Ovyo! Kwa Kununua Phamacy Pasipo Maelezo Ya Daktari...
Ili Kujihakikishia Uponyaji Nashauri Kutumia Matibabu Haya Ya Suppliments (Virutubisho Lishe) Ambavyo Ni Njia Salama Vitakavyokusaidia Kuondoa Sumu,
Kurekebisha Sukari Kwa Kuimarisha Kongosho Na Seli Za Mwili
Pamoja na Kurekebisha Neva Ambazo Zimeathirika Na Sukari Nyingi Kwen
0618047580
Huu ni ushuhuda wa mgonjwa kansa
Kuna Sababu 12 zinazoweza kupelekea mtu kupata shida ya kisukari cha kupanda
1 Uzito wa damu ulozidi, kutokana na mafuta mengi au chemikali mbaya(vyakula na vinywaji
2 Kusinyaa kwa mishipa ya damu kutokana na sababu za kimazingira
3 Msongo wa mawazo ulopitiliza
4 Kuwa na tatizo la kuzid kwa asidi tumboni au vidonda vya tumbo
5 Kongosho kushindwa kuzalisha homoni zake ipasavyo kwa sababu ya lishe mbaya na sumu nyingi
6 Kutokunywa maji ya kutosha
7 Kula sana vyakula vya mafuta na sukari(wanga)
8 Mabadiliko ya mwili kutokana na ujauzito
9 Ajali kuathiri ogan ya kongosho, pitiutari,na zinginezo
10 vilevi vya aina mbalimbali kupitiliza
11 Matumizi mabaya ya madawa mbalimbali ya hospital hata ya asili
12 Kutofanya mazoezi
Kwa ushauri na tiba karibu kwenye ofisi zetu zilizopo mikoa mbalimbali
Tuwasiliane whatsapp/call 0618047580
31/08/2025
๐๐๐ ๐จ๐ฃ๐ข๐ก๐ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐ ๐ก๐๐๐๐ญ๐๐ ๐ ๐ฌ๐๐๐๐ก๐ฌ๐๐๐ ๐๐๐ฌ๐
Kwa mgonjwa wa kisukari, dawa ya tiba kamili inapaswa kufanya kazi kwenye maeneo makuu manne (4) ya msingi ili kusaidia mwili kurejea katika hali ya kawaida. ๐๐ถ๐๐ถ ๐ป๐ฑ๐ถ๐๐ผ ๐ธ๐ฎ๐๐ถ ๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ๐๐ผ ๐ฑ๐ฎ๐๐ฎ ๐ถ๐ป๐ฎ๐ฝ๐ฎ๐๐๐ฎ ๐ธ๐๐ณ๐ฎ๐ป๐๐ฎ:
1. ๐๐จ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐๐ข๐ก๐๐ข๐ฆ๐๐ข (๐ฝ๐ฎ๐ป๐ฐ๐ฟ๐ฒ๐ฎ๐) kurejesha uwezo wa kutoa insulini kwa kawaida
Kisukari mara nyingi husababishwa na kongosho kushindwa kutoa insulini ya kutosha au kabisa.
Dawa nzuri inatakiwa kuamsha au kurekebisha kongosho lifanye kazi yake k**a kawaida tena.
2. ๐๐จ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐ฆ๐๐๐ ๐ญ๐ ๐ ๐ช๐๐๐ ๐๐จ๐ฅ๐จ๐๐๐ ๐๐จ๐ฃ๐ข๐๐๐ ๐๐ก๐ฆ๐จ๐๐๐ก๐ ๐ฉ๐๐ญ๐จ๐ฅ๐(kupunguza insulin resistance)
Kwa watu wengi wenye kisukari aina ya pili, insulini ipo lakini mwili hauitambui ipasavyo.
Dawa lazima ipunguze ukinzani huu ili sukari iingie kwenye seli kirahisi na kupungua kwenye damu.
3.๐๐จ๐ฆ๐๐๐๐ฆ๐๐ ๐๐๐ ๐จ ๐ก๐ ๐๐จ๐ข๐ก๐๐ข๐ ๐ฆ๐จ๐ ๐จ ๐ก๐ ๐ง๐๐๐ ๐ญ๐๐ก๐๐ญ๐ข๐ฉ๐จ๐ฅ๐จ๐๐ ๐๐ข๐ ๐ข๐ก๐ ๐ก๐ ๐๐ก๐ฆ๐จ๐๐๐ก๐
Ini na figo vikiwa na sumu huathiri mfumo wa sukari.
Dawa bora inasaidia kusafisha damu, ini na figo kwa ufanisi.
4.๐๐จ๐๐ ๐๐ฅ๐๐ฆ๐๐ ๐ ๐๐จ๐ ๐ข ๐ช๐ ๐จ๐ ๐๐ก๐'๐๐ก๐ฌ๐๐๐ ๐ก๐ ๐๐จ๐ฅ๐๐๐๐๐๐ฆ๐๐ ๐จ๐ฆ๐๐ช๐ ๐ช๐ ๐๐ข๐ ๐ข๐ก๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐ก๐
Usagaji chakula usio sawa unaweza kuongeza kiwango cha sukari kwa haraka.
Dawa lazima irekebishe mfumo huu ili sukari isiingie kwa kasi na kuongeza usawa wa homoni nyingine zinazohusiana na sukari
๐๐๐ฎ ๐ต๐ถ๐๐ผ ,๐บ๐ด๐ผ๐ป๐ท๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐๐๐ธ๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐ถ๐น๐ถ ๐ฎ๐ฝ๐ผ๐ป๐ฒ.
> Dawa lazima isimamishe kisababishi, irejeshe uwezo wa mwili kudhibiti sukari na iondoe sumu mwiliniโhasa kwa mtu aliyeamua kupona kwa dhati.
๐๐ข๐ญ๐ ๐๐๐ ๐๐๐ (Viwango vya Juu)
โ Hii ni dozi maalum kwa ajili ya wagonjwa wa presha na kisukari, inayotoa matokeo ya haraka na ya kudumu kwa walio wengi waliotumia.
โInatumia kwa kipindi cha miezi miwili, na imeundwa kwa viwango vya juu vya ubora wa dawa.
๐จ๐ป๐ฎ๐ฝ๐ผ๐ฎ๐ป๐๐ฎ ๐ฑ๐ฎ๐๐ฎ ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฒ๐๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐๐๐ฎ๐ฟ๐ฎ๐๐ถ๐ฏ๐ ๐๐ฎ ๐น๐ถ๐๐ต๐ฒ ๐ฏ๐ผ๐ฟ๐ฎ ๐๐๐ฎ๐ธ๐ฎ๐๐ผ ๐๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐ถ๐น๐ถ ๐๐ฝ๐ฎ๐๐ฒ ๐บ๐ฎ๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐ผ ๐ฏ๐ผ๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ถ
11/08/2025
*Miezi mitatu... kimya..! Hakuna hedhi, wala huna ujauzito..๐คฏ*
Kila siku unasubiri, lakini kalenda yako ya mwezi inakudanganya tena na tena...
*Je, hii ni kawaida?*
Hii ni ishara inayoweza kuashiria kitu kikubwa kinachoendelea ndani ya mwili wako (Hormone imbalance)
*Ndiyo na maanisha Hormone imbalance....*
Wengi hudhani hedhi kuchelewa ni ujauzito pekee, lakini ukweli ni kwamba homoni zako ndizo zinazoendesha mfumo mzima wa uzazi...
Zikichanganyikiwa tu, Mwili unavuruga ratiba yake ya asili....
*Tuone, Sababu kuu zinazoweza kuchangia...*
โณ Msongo wa mawazo unaosababisha Cortisol kupanda na kuvuruga homoni za uzazi.
โณ Uzito kupungua au kuongezeka ghafla hubadilisha usawa wa Estrogen na Progesterone.
โณ Matatizo ya tezi (thyroid) yanayoathiri moja kwa moja mzunguko wa hedhi.
โณ PCOS (Polycystic O***y Syndrome) โ tatizo la kawaida kwa wanawake wengi... *(Nitaelezea k**a mada)*
โณ Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango kiholela, hasa P2 โ Huchanganya homoni kwa nguvu kubwa, na kusababisha mzunguko wa hedhi kusimama au kuvurugika kabisa..
*NB:* Mwili wa mwanamke ni k**a saa ya kifahari, Sehemu moja ikiharibika, mfumo mzima unasumbuka..
Usikae kimya miezi 2-3 bila hedhi bila ujauzito, Ni dalili ya mwili wako kukulilia....
Pima afya yako, kagua homoni zako, na ufuate mwongozo sahihi wa kitabibu.
Afya ya uzazi ni msingi wa afya yako yote, Soon nitakuja na Miongozo ya kitaalamu kwa wanawake wenye Hormone imbalance...
Yawezakuwa ni wewe au mpenzi wako, Miongozo hiyo itakusaidia, Sio kutibu tu..Pamoja na kuepuka Hormone imbalance...Kuishi katika afya bora...
*Niambie nipo tayari kwa kunipa LIKES ๐ Zikifika Reactions 999+ Nakuja na sehemu ya Pili...๐ซก*
11/08/2025
*VYAKULA VYENYE KUONGEZA MANII* (Shahawa) na kuimarisha mbegu za kiume
1. *GARLIC (KITUNGUU SWAUMU)*
Vitunguu saumu huweza kusaidia mzunguko wa damu kuwa mzuri katika mwili wako hasa hasa katika maeneo ya via vya uzazi vya mwanaume. Hufanya mbegu za kiume kuwa na ngumu pia ina vitamini B6 ambayo huzuia mbegu za kiume kuharibika.
2. *BANANA(NDIZI)*
Ndizi husaidia kuongoza homoni za uzazi za mwanaume pia ina vitamin A,B1 na C ambayo husaidia katika uzalishaji wa mbegu za kiume na kuufanya mwili kuwa na nguvu.
3. *DARK CHOCOLATE*
Husaidia kuongeza ujazo wa manii pamoja na wingi wa mbegu za kiume.
4. *SPINACH*
Ina madini ya folic acid ambayo huongeza mbegu za kiume pia ukimbiaji wa mbegu hizo saa ya tendo.
5. *NUTS (KARANGA)*
hii usaidia kuongeza ujazo wa manii pia uzalishaji wa mbegu za kiume huongezeka.
6. *EGGS (MAYAI)*
Huongeza idadi ya mbegu za kiume kwani yana protini, virutubisho vilivyomo kwenye mayai husaidia katika utengenezaji wa mbegu za kiume zenye nguvu na afya bora. tumia mayai yakienyeji
7. *MCHICHA.*
Una folic acid ambayo ni muhimu kwa ukuaji wa afya ya manii.
8. *MBEGU ZA MABOGA.*
Zina phytosterol ambayo inajulikana kuboresha uzalishaji wa testosterone katika mwili. Zina mafuta yenye asidi ya omega-3 ambayo kuboresha mzunguko wa damu na kuongeza kiasi cha mbegu.
โผ๏ธ *yakula vipo vingi ila ivi niambayo uongeza kwawingi nakusaidia kuboresha Mbegu kwaharaka zaida*
๐ง *K**a Unachangamoto yaupungufu wanguvu zakiume tuwasiliane tunadawa nzuri sana ambayo inamaliza Kabisa Tatizo la Upungufu wanguvu zakiume nakuimarisha Mbegu*
๐Je Umejifunza Kitu โ๐๏ธ
Kwa Ushauri au matibabu Tupigie simu ๐โ๏ธ 0618047580
Dr Jerryson
0618047580
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
