Neolife Independence Distributor

Neolife Independence Distributor

Share

WASILIANA NASI 0715 744716 /0753 844716 KARIBUNI SANA TUWAHUDUMIE

Wauzaji Na Wasambazaji Wa Bidhaa Za Neolife Super Gro Mbolea ya Maji Tanzania...KUSAJIRI MAWAKALA WA MBOLEA KWA MTAJI MDOGO..OFISI ZETU ZINAPATIKANA DAR ES SALAAM MWENGE MPAKANI..

09/03/2026

NAITWA DIRECTOR AMINATA MACHULO TOKA NEOLIFE GNLD INTERNATIONAL (TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ )

JE UNATAKA KUJIUNGA NA NEOLIFE
KIBIASHARA AU KWA MATUMIZI BINAFSI??
KUBORESHA AFYA YAKO AU KWA WALE UWAPENDAO?

AMA UNAHITAJI KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADA NA ENDELEVU?

NA UMEJARIBU BIASHARA NYINGI BILA MAFANIKIO??

NJOO NIKUFUNDISHE BIASHARA YENYE FAIDA ZA KILA SIKU NA FAIDA KUBWA NA NZURI KILA MWISHO WA MWEZI.

UMEAMBIWA MTAJI NI BEI GANI RAFIKI??

MIMI NAKWAMBIA NI KWA 195,000/=TU KUMBUKA HII NI OFA.

NJOO UIMARISHE AFYA HUKU UKIPATA BIDHAA KWA BEI YA JUMLA.
UWE MWANACHAMA
NA UJENGE BIASHARA UKIWA WAKALA UNAETAMBULIKA NA KAMPUNI KUBWA YA KIMATAIFA.

NI RAHISI SANA KUIFANYA UKIWA POPOTE TUTAKUSHIKA MKONO NA UTAFANIKIWA SAWA SAWA NA SHAUKU YAKO.

Wasiliana nami 0715 744716
KARIBUNI SANA

24/11/2025

Wakulima niwaambie kitu, Huu sio wakati tena wa kulima KINYONGEEE....si wakati wa kutumia nguvu nyingi na gharama nyingi halafu MAZAOO habaaa......MKOMBOZI YUPOO πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯SUPER GRO inajibu changamoto zako zotee kwenye kilimo.....

Pia TUNASAJILI MAWAKALA MIKOA YOTE YA TANZANIA ILI TUWAFIKIE WAKULIMA WENGI ZAIDI

Wasiliana nasi 0715744716
Karibuni sanaa Tuwahudumie

20/11/2025

Mbolea ya Super Gro ni kirutubisho cha kimiminika kinachotumiwa k**a kiamshamvua (sticker & spreader) ili kusaidia mimea kunyonya maji na virutubisho vizuri zaidi. Kwa zao la korosho, unaweza kuitumia kwa njia ya kupulizia majani au kumwagilia kwenye udongo. Hapa kuna mwongozo wa matumizi yake:

1. Matumizi kwa Kupulizia Majani

Changanya Super Gro na maji kwa uwiano wa 1ml ya Super Gro kwa lita 1 ya maji.

Ikiwa unataka mchanganyiko mwingi, tumia 20ml ya Super Gro kwa lita 20 za maji.

Mimina mchanganyiko huo kwenye pampu ya kunyunyizia na upulizie majani ya mti wa korosho hadi yapate unyevunyevu mzuri.

Pulizia asubuhi au jioni ili kuepuka upotevu wa maji kwa mvuke.

Rudia kila baada ya wiki 2 hadi 3 kwa matokeo bora.

2. Matumizi kwa Kumwagilia Udongo

Changanya Super Gro kwa uwiano wa 1ml kwa lita 1 ya maji kisha umwagilie kwenye shina la mti wa korosho.

Hii husaidia mizizi kunyonya maji na virutubisho kwa ufanisi zaidi.

Fanya hivi mara moja kwa mwezi kwa mti uliokomaa na mara mbili kwa mwezi kwa miche midogo.

Faida za Super Gro kwa Korosho

βœ… Husaidia mimea kunyonya maji na virutubisho vyema.
βœ… Hupunguza upotevu wa maji kwenye udongo.
βœ… Huimarisha ukuaji wa majani na kuongeza utengenezwaji wa maua na matunda.
βœ… Huzuia baadhi ya magonjwa ya majani kwa kuboresha uimara wa mmea.

Kumbuka kutumia mbolea hii ya super gro pia na mbolea nyingine za kawaida k**a NPK na Samadi kwa kiwango kidogo sana ili kupata mavuno bora zaidi. Je, unataka mwongozo wa matumizi kwa hatua maalum za ukuaji wa korosho?

Kwa mahitaji ya Mbolea ya super gro piga hizi namba
0715744716

17/11/2025

OFA OFA OFA πŸ“’πŸ“’
Habari mkulima wetu wa kilimo chenye Tija nitumie nafasi hii kukwambia usipitwe na upepo wa OFA haijalishi upo mkoa gani ukinunua Super Gro ya lita tano unasafirishiwa bure kabisa

Lita Tano unaipata Kwa Bei ya 150,000/
Sasa hii ofa ni Kwa siku tatu
Narudia ni siku tatu usiseme haujaona Ili TANGAZO

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

MWENGE MPAKANI
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00