J,TIBA LISHE

J,TIBA LISHE

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from J,TIBA LISHE, Health/Beauty, Dar es salaam, Dar es Salaam.

👨‍⚕️MTAALAMU WA AFYA (MSHAURI WA LISHE)
KUTOA HUSHAURI NA TIBA, YA MAGONJWA SUGU YA SIO AMBUKIZWA, K**A KISUKARI, SHINIKIZO LA DAMU, PRESSURE, KIHARUSI, UZITO MKUBWA , TIBA YA FIGO NA INI, TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI , NA
TUNAVIPIMO
☎️+255741178451

21/12/2025

# #0741178451

21/12/2025
17/12/2025

J,TIBA LISHE 👨‍⚕️MTAALAMU WA AFYA (MSHAURI WA LISHE)
KUTOA HUSHAURI NA TIBA, YA MAGONJWA SUGU YA SIO AMBUKIZWA, K**A KISUKARI, SHINIKIZO LA DAMU, PRESSURE, KIHARUSI, UZITO MKUBWA , TIBA YA FIGO NA INI, TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI , NA
TUNAVIPIMO
☎️+255741178451

17/12/2025

# ,UNAFAHAMU KUA PALE SUMU INAPOZIDI MWILINI MTU KUKOSA AMANI YA KUISHI HUANZA KUPATA MAGONJWA MBALIMBALI HATARISHI K**A UCHOVU WA KUDUMU, MAUMIVU YA MWILI KUVIMBA TUMBO NA KUSHUKA KWA KINGA YA MWILI?

wangu wa leo:
Jenga tabia ya kusafisha mwili wako mara kwa mara ili kuondoa taka na sumu mwilini, kwa ajili ya afya bora, nguvu ya mwili na maisha yenye furaha.

❓ Je, wewe unaondoa vipi taka sumu mwilini?
📞 Nipigie au nitumie ujumbe, nikupatie maelekezo sahihi na msaada wa karibu.

☎️ +255696977703
🗨️ 0741 178 451

゚ ゚

17/12/2025

# ,UNAFAHAMU KUA PALE SUMU INAPOZIDI MWILINI MTU KUKOSA AMANI YA KUISHI HUANZA KUPATA MAGONJWA MBALIMBALI HATARISHI K**A UCHOVU WA KUDUMU, MAUMIVU YA MWILI KUVIMBA TUMBO NA KUSHUKA KWA KINGA YA MWILI?

# #0741178451

wangu wa leo:
Jenga tabia ya kusafisha mwili wako mara kwa mara ili kuondoa taka na sumu mwilini, kwa ajili ya afya bora, nguvu ya mwili na maisha yenye furaha.

❓ Je, wewe unaondoa vipi taka sumu mwilini?
📞 Nipigie au nitumie ujumbe, nikupatie maelekezo sahihi na msaada wa karibu.

☎️ +255696977703
🗨️ 0741 178 451

゚ ゚

12/11/2025

# UMESUMBULIWA NA CHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME KWA MUDA MUREFU BILA MAFANIKIO?

# #+255741178451

# DALILI ZA MTU MWENYE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

1. Kufika kilele mapema. Mwanaume dalili moja wapo itakayo kwambia kuwa unachangamoto ukianza kuona unafikia kileleni mapema tofauti na mwanzo

2. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume wako vizuri kwa kawaida uume wa mwanaume aliyekamilika (rijali) unaposimama unatakiwa kuwa imara k**a msumari.

Lakini kwa mwanaume anaekabiliwa na tatizo hili uume wake hata ukisimama hubakia kuwa lege lege na huweza kusinyaa wakati wowote.

Tatizo hili lina matokeo ya kulegea kwa mishipa ya uume, kumbuka kuwa mishipa ya uume ndiyo inayofanya Uume usimame balabala

3. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha kabisa. Hali hii hutokea pindi tatizo la kutokuwepo kwa msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume linapokuwa limekomaa

4. Uume kusinyaa na kurudi ndani. Uume unakuwa hauna uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa hali hii husababishwa na upigaji punyeto kwa muda mrefu pia magonjwa hasa chanjo la KIUME au NGIRI

5. Kutoa mbegu chache na nyepesi hii tena ni dalili nyingine mbaya kwa mwanaume ukiona unashiriki tendo muda wa kutoa mbegu zako zinakucha chache au nyepesi jua kabisa sio dalili nzuri kwako pia mbegu zako zinatakiwa ziruke sio kutililika/kuchuruzika k**a maji

VYANZO VYA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME
1. Msongo wa mawazo
2. Ugonjwa wa kisukari
3. Shinikizo la damu (pressure)
4. Kupooza kwa mwili
5. Ulevi ulokithiri
6. Ulaji mbovu wa vyakula vyenye mafuta mengi
7.kujichua(masturbation)

Kwa ushauli, Elimu, Miongozo, Suluhisho sahihi kwa upande wa afya ya uzazi tupigie sasa hivi au tuma ujumbe .

# 0741 178 451

11/11/2025

Message AFYA BORA KWA TIBA LISHE on WhatsApp. https://wa.me/255741178451

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam